Asante pastor kwa haya mafundisho...Mungu azidi kukupa nguvu na ujasiri wa kuieneza injili yake
@marthakalekye8069Ай бұрын
Naomba maombi juu ya mume wangu macho yake yanazibwa na ukungu mweupe hata kazi hajaenda wiki 2..naamini atapona..Amen..asante kwa mafunxo
@phylismutinda453029 күн бұрын
@@marthakalekye8069 atapona kwa Jina la Yesu
@lucmahugo2354Ай бұрын
Barikiwa zaidi baba Umekuwa zaidi ya baraka kwangu Nakufata nikiwa DRC congo
@joycemashikolo9096Ай бұрын
Baba yangu mwema mtunze mtoto wako huyu katika jina. la yesu amen
@DainaMwaikwaba8 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu unanibariki sana Mungu akulinde, Mungu akutetee , Mungu awe ngao yako siku zote za maisha yako, Mungu abariki na uzao wako,kila unalifanya Mungu alifanikishe kwa jina la Yesu kristo aliye hai,Amina
@mlishohadija692322 күн бұрын
Mungu akubariki pr kwa mafundisho mazuri Mungu azidi kukufunika na damu yake🙏 naazidi kukupa ufahamu zaidi na zaidi
@kinsman-mx6qhАй бұрын
Amen mentor may GOD CONTINUALLY BLESS YOU AND INCREASE YOUR BOUNDARIES
@deborahkihedu7183Ай бұрын
Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza Mchungaji.
@etoabwe345114 күн бұрын
Mchungaji Mungu akubariki na azidi kukufunulia zaidi na zaidi ili wana wa Mungu wajengwe kiroho,umenijenga imani zaidi na zaidi
@margaretwanjiru9096Ай бұрын
Barikiwa sana Pastor unapoendelea kutufundisha
@IsaacButiya14 күн бұрын
Thanks pastor mbaga tukutane mbinguni Nimejus thamani yangu God bless you
@elienew3788Күн бұрын
Mungu azidi kukutia nguvu Mtumishi wa uendelee kufungua macho walio gizani.
@ChristinaJohn-oj9nc14 күн бұрын
Amen pastor nina shida ya kisaikolojia ninakupataje
@danielmutunga318117 күн бұрын
Am blessed by this sermon
@user-kq9je6zf3vАй бұрын
Amen asate mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana 🙏🙏🙏
@NaomieWema-o9h15 күн бұрын
Asante sana una tuyiya moyo Tangu nianze kufwatiliya nina amani Mungu aendeleye kuku tumikisha Niko RDC)goma
@ShirimaneemaАй бұрын
Amina Pastor, Mungu azidi kukuangazia nuru za uso wake
@joyikaya74297 күн бұрын
AMINA PR. ZIDI KUBARIKIWA.
@sylviesaidi574027 күн бұрын
Kwali kabisa nimeipenda ilisomo 👏🙌🙏🏻
@rehemanashon3739Ай бұрын
Amina. Barikiwa sana Pastor.
@AnnahPetro-ct6rv23 күн бұрын
Ubarikiwe sana pr yaani mahubiri yako yamenibariki mnoo, mwenyezi MUNGU azidi kukutunza ili tunufaike na madini yako🙏🏼🙏🏼
@perisbosibori224927 күн бұрын
May GOD continue using you in a MIGHTY way so that many will know the LORD and be saved, 🙏🙏.
@angelnziajose7655Ай бұрын
Barikiwa Pr kwa ujumbe mzuri
@jamesmedard5538Ай бұрын
BARIKIWA SANA PR.MMBAGA.
@carinethebosslady3722Күн бұрын
Namshukur Mungu kwani somo hili limeenda kujib maswali yangu niliokuwa najiuliza kuwa kwanini Mungu aliufanya moyo wafarao mgumu…leo nmeelewa kuwa kumbe kusud la Mungu lilikuwa ni kuangamiza miungu ya misri kwanza ndipo wana wa israel waondoke misri🙏
@sylviesaidi574026 күн бұрын
Thanks!
@ElizabethMunis-dq1loАй бұрын
Amen
@ElizabethOmwoyo-hj4chАй бұрын
Thanks God you are on air finally coz have been waiting for it eagerly since last night, let us all stay blessed by the word greatly 🙏
@user-dk3xi4pz7oАй бұрын
Barikiwa or kwa ujumbe mzuri
@Marykariuki-km5fjАй бұрын
Nabalikiwa sana
@elizabethgodfreytondo305219 күн бұрын
AMEN
@Mapenzi263525 күн бұрын
Mch. Mmbaga upo sahihi sana kuwa Mungu ni halisi. Evolution siyo halisi ni uzushi tu (unintelligible ). No single evolutionary postulates have been observed . To the contrary ,every creationist postulates have been observed. That settles it.
@lydianashon8010Ай бұрын
Ubarikiwe sana Mchungaji umenifumbua sana macho ya kiroho
@emmanuelmbwambo657116 күн бұрын
SAWA mchungaji 🙏
@Mapenzi2635Ай бұрын
AMEN . Tunakusubiri na tunakuombea
@estherogembo5536Ай бұрын
Eagerly waiting
@ChristinaJohn-oj9nc14 күн бұрын
Amen pastor nina shida ya kisaikolojia ninakupataje ?
@GraceMasheneneАй бұрын
Pastor naomba niomber nasimbuliwa na nguvu za giza
@mshigilakarume4425Ай бұрын
Amina pasta
@apollobupolo9884Ай бұрын
Ameeeen
@user-wg2gd2nl6cАй бұрын
Aminaaaa
@frenkbatromeo7900Ай бұрын
Pastor kwanini kofia za vijana wa pathfinder pia zina umbo la mdomo wa samaki zenyewe hazihusiani?
@Mapenzi263525 күн бұрын
E
@user-yb6rw3tm1dАй бұрын
Pastor naomba number yako pls
@ziporamachilu6877Күн бұрын
Unaniponya kiroho na kimwil li paster nBwanq n mwema tunakuombea ulinzi wa Bwana atuongoze
@user-fx5vl2qv7n26 күн бұрын
Nina swali... mashindano ya Olympic yalifanyika kwa heshima ya mungu zeus wa ugiriki...je kuna madhara gani kwa mkristo kushiriki au kushabikia mashindano hayo leo...??
@user-fx5vl2qv7n24 күн бұрын
Jaman napataje majibu sasa
@angelnziajose7655Ай бұрын
Mbona hili somo halifunguki?
@user-cr1nk1zc5sАй бұрын
Wameandika linafunguka saa 12:00 Ndo maana my dear
@angelnziajose7655Ай бұрын
@@user-cr1nk1zc5s Asante ndio naona sasa barikiwa sana my dear
@user-cr1nk1zc5sАй бұрын
Tubarikiwe sote my dear ❤
@ChristinaJohn-oj9nc14 күн бұрын
Amen pastor nina shida ya kisaikolojia ninakupataje
@ChristinaJohn-oj9nc14 күн бұрын
Amen pastor nina shida ya kisaikolojia ninakupataje ?
@judithnjalambaya2450Ай бұрын
Amen
@ChristinaJohn-oj9nc14 күн бұрын
Amen pastor nina shida ya kisaikolojia ninakupataje ?
@ChristinaJohn-oj9nc14 күн бұрын
Amen pastor nina shida ya kisaikolojia ninakupataje ?