Jobe na Michael Kublan wanaweza kufanya maajabu msimu ujao.
@suitbertmaro57925 күн бұрын
Sina shaka na MICHAEL
@vitalisantony2395 күн бұрын
Waliokwishaondoka ni Mickson, Saido, Chama na Inonga
@WizkidMwkalundwa5 күн бұрын
Simba were the best all time
@babaabro88475 күн бұрын
Kuna Augustine kutoka River United katangazwa mchana huu Muna lala sana
@EzekiaMyila3 күн бұрын
Kanut anastaili kubaki putin kama putin abaki
@ProsperSantos5 күн бұрын
Jobe. Babacar sar. fredy tumfikilie kwanz 🤣
@SaidMana-dp4et5 күн бұрын
Ahmed ali tutajie majina ya wachezaji wa simba tuliowaacha mpaka sasa umetuacha njiapanda hatuelewi kitu hatujui nani kaachwa na nani kaingia tafadhari sana tupe majina kaka
@@flova7022 Ina maana sawadogo, Jefferson, outarra Dejan, okwa na akina jobe ni wazuriii ila hawakulindwa ?? Then ayoub Lakred, Chama , tshabalala, Inonga na che Malone ni wazuri pia ila wao wamepewa ulinzi ?? Basi ongezen kampuni za ulinzi kk security na suma jkt kwaajili ya kuongeza ulinzii 🤣🤣🤣