Nakuombea kwamungu uzidi kuwapelekea Moto hivohivo love you mbunge msukuma mfikishie ujumbe na mbunge wetu deo sanga huku makambako Barbara yakwenda mgololo kiliko kiwanda Cha karatasi cyonjia cpati picha ukifika kifukuu ahsante
@aureliambawala71455 жыл бұрын
OUR SEEDS OF TZA Msukuma May God bless you.Unaishauri vzr serikali yako.STD 7 hoyeee.Umeongea FACT ila sijui km zitafanyiwa kazi.May God bless TZA.
@tumainimbilinyi65913 жыл бұрын
Nakupenda msukuma 🙏 🙏
@zakiamwaliko75965 жыл бұрын
Big up msukuma uko sahihi wambie tu ukweli, hata darasa lasaba tunaweza vidato nijina tu
@mesitenyamhanga16674 жыл бұрын
Safi Sana tunakukubari ww ni zaidi ya wapinzani
@richardibrahim56093 жыл бұрын
Unafikili chuoni wanasona mambo makubwa!!! Me nipo chuo tunafundishwa causes of road accidents. 😁😁😁
@amaninaupendo.35395 жыл бұрын
Amen Amen. Mungu atusaidie watanzania. Amen.
@yunussilayo17713 жыл бұрын
Daah napenda kumsikiliza sana uyu tajiri wa darasa la saba musukuma
@husnamussa36383 жыл бұрын
Mungu akuweke mbunge msukuma
@fatnayusuph12833 жыл бұрын
Mungu amsimamie huyu Baba anaongea point hakurupuki
@kelvincharles49985 жыл бұрын
Daah imeniuma saana aisee kamari za wachina zinakusanya hadi zaidi ya MILLION 7 kwa siku ndani ya mkoa mmoja, Tubalikeni ndugu zangu wananchi tutafute Pesa kwa njia za uhakika sio njia za kubahatisha.
@pauloaxwesso75265 жыл бұрын
hakika hapo kwenye kamari nimekuelewa sana big up sana!
@anorderick71623 жыл бұрын
Msukuma pamoja na darasa la saba lako Unawazidi wa Chuo kikuu..! Wengine wasomi lakn wanafiki kwa Kuogopa Uongozi..!
@rupertoako84174 жыл бұрын
Dah msukuma uko vizuri
@tungundanya95695 жыл бұрын
Dah nmekuelewa Sana 🤝 mh Joseph
@lamsnshiga8925 жыл бұрын
Msukuma anakipaji cha uongozi
@musahassanisan54025 жыл бұрын
Napenda sana unavochangiaga daah hongera
@shafiirajabu52073 жыл бұрын
Huy msukuma kaaaah!!! Ni shigidaah😁😁😁
@sarahthomas83615 жыл бұрын
Msukuma hajawah niagusha 🙌
@masanjashija26224 жыл бұрын
King msukuma hanampinzani 2020
@shidabundala89844 жыл бұрын
Uko vizuri msukuma unaitetea serekali yetu
@CatherineMbatta4 ай бұрын
Point✍️✍️✍️
@lugayilajohn62695 жыл бұрын
Lazima upite 2020 unafaa
@emmanuelcharles52485 жыл бұрын
Msukuma point zake utafikir ni professor ! Nakubalee sana
@lukaman33375 жыл бұрын
kweli dalasa LA saba kazi wanaweza lakin mungu hana ubagizi watoto wote ni wake .tunaomba dalasa LA saba mungu akipenda warudishwe kazin wengine wanavipaji sana kutoka kwa mungu.amin
@saimonmushi71533 жыл бұрын
Good baba
@rashidyhassan46795 жыл бұрын
Msukuma namuelewa sanaa
@mengichalamila40735 жыл бұрын
I LOVE U SAAAAAAAAAAANA
@neemafredy31383 жыл бұрын
Safi msukuma waambie hao
@jacklinewisdom48433 жыл бұрын
😘msukum
@deusdebitkowa96575 жыл бұрын
Unaeleweka sana Musukuma. Akili njema. Mawaziri fanyeni kazi,wasaidieni Watanzania.
@Uenwoo55703 жыл бұрын
Makini king behind na allyk-king
@costvangazazaidi62085 жыл бұрын
Msukuma Hongera sana Ikiwezekana Kamari Ipigwe Marufuku kabisa
@felixmagulu61425 жыл бұрын
Brother msukuma wewe ni Mzalendo wa kweli.
@costvangazazaidi62085 жыл бұрын
Sijawahi kuona MTANZANIA alietajirika kwa Kucheza Kamari Kwa Mchina
@محمدبنسعيدمشاوي5 жыл бұрын
msukuma kwa kweli sometimes huwa unanikosha sana ukizungumzia suala la nchi,,ila ukija kwenye kukashifu wanasiasa wenzako ndio doooh,,unanivuruga
@blandinamnyinga83183 жыл бұрын
😂😂😂😂ana wapaka kinyesi hadi kinageuka perfume kwao,huyuuu hatareee
@ashurakaswa37965 жыл бұрын
Binafsi namuelewa sana msukuma
@abcswahilii33225 жыл бұрын
Safi Musukuma... siku zote maelezo yako yanasaidia taifa.
@dicksonnmeipendaacvnzrjack15215 жыл бұрын
ABC Swahilii ww nkchwaaa huwa xjutii MB zangu
@hellenamapunda79894 жыл бұрын
Namkubali sanaaa msukuma saluti
@hamadmfaume9385 жыл бұрын
Msukuma nakukubali sana
@vicentsunguramwanaharakati50995 жыл бұрын
Uko sawa
@vicentrevocatus93533 жыл бұрын
Nakukubaliaga sana ungekuwa rais watu wangepata taabu sana
@issazakaria97044 жыл бұрын
Ungekuwa na shahada tu pangechimbika
@saidpembe18265 жыл бұрын
Safi
@esthermilembesayi10544 жыл бұрын
Safi hiyooo.
@ramamashaka98205 жыл бұрын
kweli nisawa kamali za mchina zifutwe wachina ni wezi tu ninakuunga mkono msukuma
@shadrackpeter71194 жыл бұрын
Musukuma wewe nijembe bora uwe una wakumbusha hao wanao tumia vitabu kuongea wakijifanya wasomi.
@aludomakori42303 жыл бұрын
Msukuma we balaaaaa
@tekethetraveller5 жыл бұрын
Msukuma uko sahihi
@antonymwajombe85364 жыл бұрын
Naogopa kutoka na mabegi
@ibrahimmbogo33684 жыл бұрын
Alipofikishwa Muskuma
@bahatisaimon60195 жыл бұрын
kweli haya makamali wayatoe2 wa2 wengine wanashinda hapo
@bahathmaganga12844 жыл бұрын
Yaan uyu jamaaa agombee u rais
@elishakapaliswa49465 жыл бұрын
Ni kweli hasa kwenye kamali serikali ilichunguze kwa umakini vijana weng wanaangamia kwenye bonanza za mchana!!! Hakuna wanachoweza fikir zaid ya kucheza bonanza na michezo mingine ya kubahatisha wizi mtupu!!!
@barakakajange73353 жыл бұрын
Mheshimiwa spika ngugai na wabunge wote nyinyi nisauti ya wananchi wanyonge Mimi kwa mtazamo Wangu kuhusu swala la raisi kuongezewa muda Wa uongozi nisahihi sana kwani ktk uongozi awumu 5 hii imeonyesha maendeleo makubwa ktk nch yetu pendekezo wekeni hili mjadala mezani Mimi baraka kutoka morogoro.
@chongemarwa60515 жыл бұрын
Kweli hata juzi mchina amepiga kijana hapa geita mjini maeneo ya lunguye paa hapa geita
@chananjamasaaka49833 жыл бұрын
👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
@magidachimija55995 жыл бұрын
Hili limsukuma sometimes ni jiniazi kichizi likiwa halijalewa duh
@mabulaoneamosy12814 жыл бұрын
Huyu ndiyo kihiyo anatumia muda mwingi katika mipasho kuwadhalilisha wabunge wenzake na mawazi hoja zake za kukariri hoja zilizosemwa na wenzake
@kiatu5 жыл бұрын
Msukuma sukuma hao. Wengine wanasema angesoma ingekuwaje? Angekuwa kama wasomi anaowasema. Yuko vizuri alivyo.
@godlovekasaka41665 жыл бұрын
RINOVAT KAZIMILI ataacha historia wapinzan watapigwa chini kwa zaid ya asilimia 90
@consalvakileo82055 жыл бұрын
Kweli baba
@ndeshukurwakaaya43853 жыл бұрын
Jamani, kamari katika taifa linalokuwa hizo ni kamba za kunyonga taifa kupitia watanzania hususani vijana. Watu na hasa vijana wajitoe kufanya kazi zitakazowaheshimisha. Taifa linahitaji mbinu za kuzalisha kwa kutumia akili. Utajiri wa nchi na siyo kucheza kamari uramaduni wa kuja. MJENGA NCHI NI MWANANVHI NA MVUNJA NVHI NI MWANANVHI. VIPAJI , AKILI NI MALI.
@jitimamjitima26634 жыл бұрын
diamond
@jitimamjitima26634 жыл бұрын
diamond
@jitimamjitima26634 жыл бұрын
magufuri
@jitimamjitima26634 жыл бұрын
magufuli
@amoskatto9555 жыл бұрын
Wenye elimu wanaongea pumba ....mcheki msukuma anaongea point tu na elimu yake ya la 7
@issazakaria97044 жыл бұрын
Ni kweli kabisa huyu bwana angepata kuendelea kusoma angetisha sana
@zuberigwakula85315 жыл бұрын
Bora hukusoma umebaki na akili zako timamu
@jafarmlawa90825 жыл бұрын
Safi sana mb msukuma
@fatmalyego25314 жыл бұрын
Kweli kabisa
@sondanzingulasondasam40295 жыл бұрын
Ndio maana Msukuma wewe ni Tajili una akiri ya kuzaliwa
@محمدبنسعيدمشاوي5 жыл бұрын
hahahaa...eti mawaziri wanakaa magomeni wanaogopa nyumba za serikali ,,,msukuma bana
@hanifahamis2215 жыл бұрын
TRA lori zeto tanzania walipe 1,500,000m kwa mwaka tosha mtaona mtakavopata hela Pili kwny mafuta efd zinausumbufu na hasara kateni kodi yenu huko depo juu kwa juu
@chongemarwa60515 жыл бұрын
Kweli kabisa mchina sio musukuma
@adamkundi1674 жыл бұрын
Kura yangu ya ndio umesha pata 2020/2025
@fanfrees_motors_ltd33195 жыл бұрын
Namuelewa sana huyu jamaa
@kwilasashija31473 жыл бұрын
Wambie msukuma mwenye akil nying.
@athumanhassani8053 жыл бұрын
Huyu msuka ukinitajia kati yabunge ukiweka watatu huyu namba moja hajawai kosea katika karia yake pili apendi unafki huyu ndio mbunge alieteuliwa na wananchi hajapita kiujanjaujanja
@kisirigaswalehe11755 жыл бұрын
King msukuma
@barakakajange73353 жыл бұрын
Msukuma wewe kiongozi bora
@abuusufian65065 жыл бұрын
Huhuhu Eti Kluggel kweli aseee
@athumanhassani8053 жыл бұрын
Hivi huyu jamaa kwanini asiweata waziri wamipango
@godrivermasanja66875 жыл бұрын
John mtundu
@lenjeevara34075 жыл бұрын
Pwaaaaaaaaaaa
@xelinerparis73655 жыл бұрын
unaakili ya PHD
@zachariazabron3205 жыл бұрын
Msukuma uko sana huo mzani uliowekwa bandarin ni kero folen mpaka utacho
@dicksonlusinde28305 жыл бұрын
Kuhusu mizan umenena yan tz baada ya kusonga mbele tunarud nyuma mizan ya bandar nikelokumba sana
@soloartist_ivanvespalusind16095 жыл бұрын
Dickson Lusinde Kwema!
@sadickmkakile84765 жыл бұрын
Hapimiki uyu jamaa
@bashirumussa25585 жыл бұрын
Msukuma mm nimekuerewa hapo kwenye Pesa haramu serekali inakusanya kodi yakamali vijanawengi hawafanyi kazi wanashinda kwenuekamal
@missmoresa88545 жыл бұрын
Kweliii kabisaaa
@reginanampala7293 жыл бұрын
Yani huyu msukuma namkubali sn ww nilaisi wa badaye
@israeladam92783 жыл бұрын
Mhhhh
@lucasmugoma28705 жыл бұрын
Ndugu zangu hawa wachini wa nini ktk nchi ya Tanzania
@mtaratibh36695 жыл бұрын
Lucas Mugoma
@isaacmwansile48325 жыл бұрын
Penda sana
@jerichoseth41885 жыл бұрын
Huyu jamaa angekuwa profesor angekuwa hatari zaidi
@manyotaskipper57655 жыл бұрын
Jericho Seth angekuwa professor angebadilika Roho asingekuwa hivyo
@ktravel35275 жыл бұрын
Maprofesa wetu ni wapuuzi tu bora tu alipo ishia
@mbarakahussein96415 жыл бұрын
angekuwa Professor asingetumia akili yake badala yake angetumia akili ya watu waliotunga vitabu alivyosoma kipindi chote hadi kuwa professor.
@mugemainyas52415 жыл бұрын
Msukuma ana akili za kuzaliwa .
@georgemkanga85413 жыл бұрын
87
@peteralfonce58485 жыл бұрын
Wachina wamehamishia kamali zao vijijini hadi huku ngukumo wilaya ya nzega zipo kibao
@dicksonkilupa22584 жыл бұрын
HIVI MHESHIMIWA RAIS HUWEZI KUMFANYA HUYU NDUGU AIONGOZE HATA WIZARA MOJA? SIKU ZOTE MIMI NAMWELEWA VIZURI NA NI MKWELI 100%
@msaliwapilimsaliwapili2774 жыл бұрын
Uyu angesoma ungekuwa mtu mkubwa sana
@pascalmgina5 жыл бұрын
Unaweza sema huyu ndio professor na Kabudi ni STD 7. Point tupu kaongea
@stephanomchenya63445 жыл бұрын
tabu sana
@kisirigaswalehe11755 жыл бұрын
Akili kubwa sana hii
@faidhatramadhan27835 жыл бұрын
Wangempa uwaziri
@issakisalu92375 жыл бұрын
The genius on the map But in Tanzania is like a song no one care.
@bakarimngazija66725 жыл бұрын
CCM rushwa imetawala na mawaziri ndio wakwanza wanaoisimamia kwasababu wao wanakula posho za wavuja jasho.
@heartnsanya11825 жыл бұрын
Watumishi wote ccm
@kasanzumasunga18985 жыл бұрын
Elimu sio jambo la kujivunia sana kwenye ulimwengu wa Leo. Jambo la kujivunia ni kufanya mambo makubwa kwa ajili ya nchi, wananchi na wewe binafsi. Msukuma anajua mpaka anapitiliza, WanaGeita wamrudishe tena Bungeni. He is an asset to our country
@eliasdaniel45625 жыл бұрын
jambo la kamari za kichina ...asee ni jambo baya sana kwa mtu mwenye akili sawa sawa! labda tu niombe watanzania wenzangu tuunge mkono jambo hili.
@eliasdaniel45625 жыл бұрын
msukuma n mtu safi anatambua hakika!! siwez kusema saana kwan suala la bonanza za kichina lilikua linaniuzi sana...
@eliasdaniel45625 жыл бұрын
na sijawahi kusogea kuliona hilo bonanza hakika!
@eliasdaniel45625 жыл бұрын
naomba mkumbuke michezo za fedha ikiwemo jackpot bingo, na zinginezo ziliishia pa ovyo!!
@eliasdaniel45625 жыл бұрын
labda tu nimalize kwa kusema huwezi kupata hela kirahis rahis kama jins wengine wacheza hayo mabonanza wanavodhan"
@princessaidal11305 жыл бұрын
Sasa ww siunafaa kua Rais kabisa jamani,, uuuuwiiii gombea basi sisi tutakupa Kura