Ila wasukuma wanauwezo na hawana woga wako vzr raisi mwingne atokee uko uko
@frankkajoba8372 Жыл бұрын
Sana
@victormtani7170 Жыл бұрын
Wasomi hao wanaojiita Ma Doctor ndio wenzi na wapumbavu sana na Msukuma ana akili nyingi sana siyo za kusomea ana akili za kuzaliwa toka kwa Mungu hivyo hao wasomi wa madarasani ni kuiba mitihani na kujipa Degree wakisema wamesoma kumbe hovyo kabisa. Tanzania tungekuwa na Watu 20 km Msukuma Tanzania tungekuwa mbali sana.
@ndewariopeter Жыл бұрын
Darasa la Saba oyeee wasomi asilimia 79 hovyooooo uhalisia wa maisha yetu waafrka,unahitaji maamuzi tu,nchi ina mitaji ya kutosha,tunawakodolea mataifa ya watu weupe macho? wapeni hawa watu nafasi kubwa,tuangalie utendaji wao nao
@psj1564 Жыл бұрын
Lasaba wako vizuri kuliko wenye digrii
@jacksondaniel5577 Жыл бұрын
Muheshimiwa msukuma, wewe ni magufuri, Yani ukisimama wewe namuona magufuri kasimama, dah! Mpaka machozi🤔🤔😭😭😭
@namsamson3443 Жыл бұрын
I love Msukuma kwa kweli, huyu wala sio degree ya kheshima hii ni ya darasani kabisa, hao waliokalia degree za shule hawana kitu
@fintanmkesha1077 Жыл бұрын
Mkiambiwa mtu anapotunukiwa u dr kama huo wat wamemfatilia sana nawakagundua kna kit anacho akilin
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
2025 amkeni Watanganyika muikombowe nchi yenu kutoka kwenye mikono ya raisi. wa sanamu na walaji wanao muwezesha
@annawillbard4138 Жыл бұрын
Uko vizuri sana Msukuma
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Sema msukuma dili ziko chalinze kwa wauza madawa ya kulevya tumewachoka kweli kweli timu msoga tunaomba na wao wafe kama walivyomuua magufuli
@rosechuwa9493 Жыл бұрын
Huyu jamaa ni muhimu sana kwenye taifa letu la Tanzania. Mungu akubariki sana msukuma
@athuimansaid7279 Жыл бұрын
Wewe muone hivyo sio mtu huyo
@mako331 Жыл бұрын
Yani ukimsikiliza huyu jamaa utatamani kulia machozi jinsi Watanzania maskini wanavyoibiwa! Ni kama wapiga dili sasa wameamka wote kutoka mafichoni kila kona ni dili tu , haya mama kazi kwako
@edimundrevelian1246 Жыл бұрын
Ila Mh. Msukuma wewe ni zaidi ya Dr.
@abdulrazackkipingu5437 Жыл бұрын
Namuona kama magufuli ajaye miaka ya mbeleni hapo Congratulations 👏👏 👏
@migerajacob581 Жыл бұрын
Hongera kwa kupiga kelele ila hovyo ndivyo Nchi hii inavyo kwenda, nation cake inaliwa na watu wa chache,,
@honoratamafala6968 Жыл бұрын
Yaani Tanzania tungekuwa na Msukuma wanne tuu na wa tano wakutekeleza ,tungekuwa mbali mmno.ila janjajanja nyinngi ,wakusikia na kutekeleza hawapo kabisa inauma mno.Msukuma Mungu akujaze hekima ,utamshangaa Mungu pale atakapokupa ukuu wa nchi.amina.
@Burner_Acc Жыл бұрын
Msukuma anatemaga facts sana 😅
@hassanidrisankingilea8827 Жыл бұрын
Dr. Msukuma ni ana akili sana sema hawa majamaa ni wanaiba bila hata kutumia akili Dr. Endelea kuwanyoosha
@martinmadodo4666 Жыл бұрын
Hongera Mh Joseph Kasheku,unawapita kwa hoja Madoctor Uchwara...
@chaulachaulaya5259 Жыл бұрын
Bw. Napoleon Bornapathe aliwahi kutuambia “"Never interrupt your enemy when he is making a mistake.” “Usimshtue/usimuingilie adui yako pindi anapofanya makosa”
@ShaffyNtibenda Жыл бұрын
Namkubali sana mungu amlinde
@clemencemkondya8561 Жыл бұрын
Huyo ndiyo msukuma anayesema ukweli mtupu
@mwitawakimara3649 Жыл бұрын
Safi ndio inatakiwa uzalendo kama huu
@chybuwagwantaz8054 Жыл бұрын
Namkubali sana msukuma
@mgemamgema95 Жыл бұрын
Uko vizuri sana Dr musukuma
@octavianmushi Жыл бұрын
Msukumaaaa uko vizuri sanaaaaa😂❤
@mamaluusoap5834 Жыл бұрын
Kanda ya ziwa Ina watu vichwaaa
@lennymallya Жыл бұрын
Hii sehemu ya Taarifa inapoteza mda haina maaana
@waziriuledi6322 Жыл бұрын
Unakili sana jamaaaa
@vicentmlumba591 Жыл бұрын
Shida sionii Watuu waku support jamaaan what's wrong kila siku msukuma yupo mbele wengine mwaogopa or
@aminimushi6945 Жыл бұрын
Kama nikupigwa,watanzania tunapigwa,Mungu tuhurumie,ccm mko wapi?
@geraldndila5172 Жыл бұрын
Hakika hii nchi kunabaazi yaviongoz Wana tiahasira sana, ila ipo cku mtatapika namlichomeza endeleen nakujiaminisha kuwa hii nchi niyenu😮😮😮
@kitovagvankiwele3447 Жыл бұрын
TRA ndo kikwazo kuliko kitu chochotea kwa nchi hii wanasumbua Sana wafanyabiashara
@emmanuelletema8385 Жыл бұрын
Halafu eti wanawapiga vita darasa la 7 !!!loh 😢
@malimusi-uf4ib Жыл бұрын
Msukuma ni mwamba sana
@AlAl-sd9pl Жыл бұрын
Nampenda xana msukuma anauchungu xana na wanachi WA Tanzania
@Kristofanitv Жыл бұрын
Hongera sana msukuma,huyu ni mzalendo wa kweli
@deogratiuswambura7597 Жыл бұрын
Musukuma nakuerewa sana kuna mambo ukweli ayaitaji erim
@wanguwangu34 Жыл бұрын
Msukuma umeongea facts kweli,big up.
@husseinmkanga7794 Жыл бұрын
Kusamehe wakwepa Kodi ni kosa kubwa. Marekani wakwepa wanafungwa na wanafirisiwa hawasamehewi serikari nyingi duniani zinaendeshwa na kodi. Kwahiyo mnasamehe kodi alafu mnaenda kukopa. Mnasamehe watu madeni alafu serikari inakopa kujiongezea madeni. Hayo ndio mambo ya kuvuja nyama mchuzi unabaki. Tunatiwa changa la macho. Msukuma ni mdaiwa ndio maana anataka tra wasamehe madeni. Na tozo msitoze zinawaibia wananchi wana lipa kodi mara nyingi kwa mshahara mmoja.
@fridoliusrushunju9093 Жыл бұрын
Shida ni kwamba haya yanazungumzwa yanaishia uko bungeni mwakani atakuja tena kuyauliza yaleyale ovyo kabisa
@anosiata8242 Жыл бұрын
Hicho kiwanda ni ni msoga si ndo . wenye nchi. Wimbo wa roma mkatoliki.
@piusmayanga Жыл бұрын
Kubali kataa wasukuma wana akili
@julianamasato5655 Жыл бұрын
Hapo mtu kati watu wa maokoto wako wengi .wanatengeneza madiri kutuibia wananchi
@petrohaonga4353 Жыл бұрын
Ni mmoja ya wabunge mashujaa
@mohdmood9726 Жыл бұрын
Huyu ni zaidi ya wasomi
@DAUDENOS-hn7go Жыл бұрын
Hongera sana mbunge msukuma upo sawa kabisaa. Hapa chato nyamirembe
@DAUDENOS-hn7go Жыл бұрын
Uelewa sio kusoma mpaka upate dngrii mnamuona msukuma. MUNGU atupe nani zaidi ya huyu mtetezi .
@spiderelexander9977 Жыл бұрын
Msukuma uko vzr sana sema wanatumia usomi wao kukukwepa kijanja.
@samwelhechei8537 Жыл бұрын
Upo vizuri Dr
@tatoorashedi1787 Жыл бұрын
Msukuma uko vizuri lakini kwenye bandari umelambishwa asali
@leonarddimdoy6237 Жыл бұрын
Hivi mnauhakika ni darasa la saba B??huyu jamaa anatudaganya huyo ni profesa kbx
@Saiddoti4 ай бұрын
Uwo niwizi mtupu.kwahalihiyo nchi haitoenderea.
@kimingowameno4068 Жыл бұрын
Bora wewe kuliko wenye phd
@mkamamkengeji4240 Жыл бұрын
Madakitari huwa atukati tamaa na kuyakimbia matatizo lakini tuna tatua matatizo
@anthonycharles1551 Жыл бұрын
Huyu jamaa angesoma sijuw ingekuwaje
@alidhinaselemani7446 Жыл бұрын
Angekuwa kama wasomi wetu walivyo tu ndiyo shida hapo
@denisrukangula2227 Жыл бұрын
Angeharibika
@dicksontimoth4297 Жыл бұрын
Asingekuwa na akili kama waliosoma
@christinenyagiro666227 күн бұрын
Hii Inchi ni tatizo kubwa sana ya cha juu. Hapa ni cha juu ambacho kinaenda kwa mtu.
@LucasSalimLiamaLiama-vq7qh3 ай бұрын
Hii nchi bora tuwa wasukuma waitawale milele na jamaa wapo vizuri kabisa
@yahyajuma8793 Жыл бұрын
Natamani nikutane na huyu jamaaa angalau tule na kunywa pamoja
@kapesaemmanuel24223 ай бұрын
Nakupenda masukuma gombea urais utatutetea we ni kama JPM
@brayanjames9953 Жыл бұрын
Kwani apo msukuma alimpaa nini uyo mwenzake apo🤔🤔🤔 au nime ona mimi tu
@mandava41536 ай бұрын
Simu iliwaka ni kama imeita ndo akampa
@souksoukeventsandmarketing653 Жыл бұрын
TRA leo wamekula 20,000 ki nguvu
@meshacknyandongo5774 ай бұрын
Kutoka kwa wasukuma Kuna watu vichwa sana mm nawakabali sana
@RamiaRess-tu8it Жыл бұрын
Kazi iendeleee wabunge teteeni haki za watanzania.
@ZachariaGManyecha11 ай бұрын
Siku zote ukweli unauma pambano musukuma
@J4UPro Жыл бұрын
Msukuma msukuma wewe ni kichwa
@Nedjadist Жыл бұрын
Msomi wa tatu pekee bungeni!
@salummhina4857 Жыл бұрын
Huyu bwana msukuma wakati mwingine huwa yuko makini .Hivi kweli kama hivi ndivyo mmmmmh nchi hii vipi?