MUSUKUMA ASIMULIA HISTORIA YAKE NA MAGUFULI! KUTOKA KWENYE UDEREVA TAXI HADI KUINGIA KWENYE SIASA

  Рет қаралды 156,470

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Жыл бұрын

MUSUKUMA ASIMULIA HISTORIA YAKE NA MAGUFULI! KUTOKA KWENYE UDEREVA TAXI HADI KUINGIA KWENYE SIASA

Пікірлер: 154
@godfreychaba9673
@godfreychaba9673 Жыл бұрын
Nimejifunza katika maisha hakuna kukata tamaa, JPM from tax driver to president, hard work , uadilifu, nidhamu,
@MartinyMaryogo-nt6xg
@MartinyMaryogo-nt6xg Жыл бұрын
kbsa yan daaah hata mm naptia changamoto sasa ila nmepata faraja sana kwa haya
@onesmopambila5369
@onesmopambila5369 2 ай бұрын
​❤❤❤❤😅qqqqqq ❤
@user-lo1ub5sv1t
@user-lo1ub5sv1t Жыл бұрын
Msukuma hongera Mungu akupe maisha marefu na vijana tunajifunza k2
@francisbenard9
@francisbenard9 Жыл бұрын
Tatizo wanao host hawapo sereous tungeyajua mengi....
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 Жыл бұрын
Kuna kitu nimekipata kutoka kwake jamaaa ni genius sana
@fredmjema9310
@fredmjema9310 28 күн бұрын
One of the best educative interview i have once met in my life
@damiannaftal773
@damiannaftal773 Жыл бұрын
Yan hii story kama mv ila m kama mm nimetoka nakitu kiukwel dah maisha Yana safari ndef kama iv japo hatuwez kuwa level moja ila na believe siku yang namm ipo
@erickrubanda
@erickrubanda Жыл бұрын
King msukuma namkubali sana
@adsonchisongela3768
@adsonchisongela3768 2 ай бұрын
Weka Nuktaaaa
@rajabumshana8167
@rajabumshana8167 Жыл бұрын
Kwenye biashara ya viatu anasema alipata mauzo ya million 400 kwa siku3 pale korogwe najiuliza hata kama ni mnada lkn hayo mapato ni mengi kwa mji kama ule
@MayalaMasesa-gl9tz
@MayalaMasesa-gl9tz Жыл бұрын
hujasikia sio viatu kasema vocha na sigara zinamauzo mpaka sasa watu wanauza mamilioni
@domsalimited3375
@domsalimited3375 Жыл бұрын
Upo vizuri sana baba angu hujadanganya historia yako
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Жыл бұрын
Msukuma hana moyo wa uchoyo juu ya mapito yake, na ni elimu kubwa kwa watanzaniya
@JacobNikolaus-oy2ld
@JacobNikolaus-oy2ld 2 ай бұрын
Msukuma kwa kweli una moyoo wa kazi
@user-wd3dy4yn9o
@user-wd3dy4yn9o 7 ай бұрын
ماشاء الله
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Жыл бұрын
Huyu mheshimiwa msukuma history ya mapito ya maisha yana funzo ni elimu kwetu
@gervasmahungo9167
@gervasmahungo9167 Жыл бұрын
Tatizo hatoi nafasi kuwasikiliza wanahabari yeye Yuko SAWA tofauti na mbunge wetu
@SammitindoJeremia-jv4qb
@SammitindoJeremia-jv4qb 11 ай бұрын
Kaka wew umetisha
@samwelrevocatus1218
@samwelrevocatus1218 Жыл бұрын
Nilicheka sana wakati anasema alitoroka na shuka la hospitali
@simonuriyo7968
@simonuriyo7968 Жыл бұрын
Me sio mwasiasa lakini nawapenda Wazalendo, Mjomba Msukuma nakukubali, Simon Uriyo Capetown SA
@HajjiHassan-db1jx
@HajjiHassan-db1jx 25 күн бұрын
Kwa kweli mheshimiwa congratulations yako umepabana sana sio kazi rahisi
@samwelnevele7796
@samwelnevele7796 11 ай бұрын
Wee ni kiongozi wa kweli hongera
@johnlyatuu6048
@johnlyatuu6048 Жыл бұрын
Angekuwa hai ungekubali kusema kamagufuli kakaja pale
@mosesabrahamovic996
@mosesabrahamovic996 Жыл бұрын
Siku unanyosha GGM ndpo nipokukubali nilikuwepo geita
@leganmichael6148
@leganmichael6148 Жыл бұрын
Msukuma unaweza kulaumu sana wasomi, au kulaumu wataftaji wengine kwa kuona kama wazembe lakini ukweli wa katika MAISHA KUNA KITU KINAITWA BAHATI, KIlam mmoja ana BAHATI yake katika maisha. Hata uliotafta nao maisha sio kila mmoja kayapata kama wewe, hata wasomi unao waona kama wazembe ni kwa vile wamepita njia hiyo ya utaftaji, wewe mwenyewe ungesoma ungekuwa miongoni mwao. Katika maisha kuna kutafta ndio, kuna hursal lakini suala la KUPATA utajiri lina BAHATI ndani yake. Natajiri wengi ambao hawajasoma wanao wasomi ni wazembe na wavivu lakini wanasahau kuwa ndio Diversity yenyewe ya maisha katika Jamii. Wapo ambao hawajasoma, wametafta kwa nguvu lakini hawakupata, na wapo waliosoma na bado wamekuwa matajiri.
@GivenTobago
@GivenTobago Жыл бұрын
siamini bahati work the fuck hard bro
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi Жыл бұрын
@@GivenTobagoBahati ipo ndiyo maana watu wote sio matajiri wa mamali mafedha,matajiri ni wachache na watu wa kawaida ni wengi zaidi na watu wengi wanapambana sana sana kuliko hata huyo Msukuma lakini mafanikio hakuna.
@nufaikafurnishers1384
@nufaikafurnishers1384 Жыл бұрын
Siamini katika bahati, Katika utafutaji wengi tunashindwa kuthubutu pia kubwa kukaa katika kitu kimoja,pia kutokimbia changamoto,ninahistolia katika utafutaji wangu Hadi hapa nilipo
@LoxloxJuma
@LoxloxJuma Жыл бұрын
Sahihi sana
@agtbss3463
@agtbss3463 11 ай бұрын
Tafuta pesa hbr za bahat tupa kule
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 11 ай бұрын
Nomaa
@sochriman
@sochriman Жыл бұрын
Ushuhuda makini, Dr Msukuma anafaa kuongoza nchi miaka kadhaa ijayo
@mdachiog5211
@mdachiog5211 Жыл бұрын
Kabisa me timu yake
@sochriman
@sochriman Жыл бұрын
Yeah, jamaa km vijana tutamdikiliza na kujifunza kwake ni inspiration tosha
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 7 ай бұрын
Walikufukuza ila ukawa Mwenyekiti CCM Mkoa hapo ndipo ulipo wakaangia
@user-bs8yw6pl2z
@user-bs8yw6pl2z Жыл бұрын
King just keep moving to the highest position we trust you baba
@kinigarm8239
@kinigarm8239 Жыл бұрын
Kumbe Masunga John aendelee Kuwa dereva Taxi Japan Tokyo.
@saydouside9468
@saydouside9468 Жыл бұрын
Msukuma bg up..na wazee wa clouds..maiki kubwa..itamchosha..
@nardhismhagama6266
@nardhismhagama6266 10 ай бұрын
10:52 katika watu wasiokuwa akili wewe namba moja unasema hakuna watu bandalini ni mitambo tu harafu unasema ajila zitaongezeka hatukuelewi masanja😅
@alfredrutaguza7506
@alfredrutaguza7506 Жыл бұрын
Tena wew chawa amwache mzee wetu apumzike kwa amani
@leemaccshaban52
@leemaccshaban52 Жыл бұрын
Msukuma anaweza ata kuwa rais uraisi siyo elimu niuwezo wa kutawala, nimbuge nae tamani kukutana nae macho kwa macho, siyo muongo
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Nadhani sheria eti uwe na degree japo moja kugombea uraisi lol
@user-kb7hw7sw8d
@user-kb7hw7sw8d 2 ай бұрын
Hakuna binadamu asie kuw muongo ila inategemea unadangany vp?📲 htr xana hii
@Jackylmariam-qy6qe
@Jackylmariam-qy6qe Жыл бұрын
Masud unamzuia mtu asiongee unakera bhana unapapara Sana alafu uyo bonge mkao gani uwo
@scopy0428
@scopy0428 Жыл бұрын
Nilichogundua kutoka kwa Mh Dkt Joseph Kasheku Musukuma kuwa Ni Mtu asiyekubali kushindwa Kirahis
@Wallacenyusi3326
@Wallacenyusi3326 Жыл бұрын
Honorable Msukuma, tunakuamini sana tena Wewe utakuwa president of the country one day . We believe that President Magufuli has thought a lot . Continue to work hard for the people of tanzania 🇹🇿
@charleskaozya9924
@charleskaozya9924 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🙌
@mugapro
@mugapro Жыл бұрын
Haitakuja kutokea, Kwa Katiba tu ya sasa, ni lazima uwe na Degree, sio hizo honorable, ya darasani, kwa miaka ua mbele itakuwa masters 😄
@yohanacharles9631
@yohanacharles9631 Жыл бұрын
@adkajisi4536
@adkajisi4536 11 ай бұрын
@@mugapro si tunabadili tu
@saidimazengo9934
@saidimazengo9934 Жыл бұрын
Nipo tayari bandle liishe nikimsikiliza king maana huwa ni content tu huzungumza
@USbmnk
@USbmnk Жыл бұрын
Msukuma nini kimekudanganya umekula Hela za bandari kwani umepungukiwa nini walah utakufa Kama mafisadi wengine tu huna maana kabisa mkataba wa bandari
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 4 күн бұрын
Tupe ushahidi kama kahongwa...imagine upo court na hakimu anskuuliza ushahidi...acheni roho mbaya
@michealjoseph796
@michealjoseph796 Жыл бұрын
musukuma unajua sn father Kwa sbb unauongozi flani hivi kama wa marehemu magu nakuona unakuja kuwa kiongozi mkubwa sn
@elishamwalongo3010
@elishamwalongo3010 Жыл бұрын
Jaman mnaweza kuniunganisha na msukuma jaman please
@habyhabib7538
@habyhabib7538 Жыл бұрын
Maji ni uhai ukizama baharini hauponi,ila ukiwa na kiu usinywe maji,ila kufa kwa maji baharini ni umandazi,.zakuambiwa changanya na zako
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Жыл бұрын
Msukuma mi nakupenda Sana naomba kukuona!!
@user-pi2mb4nr7n
@user-pi2mb4nr7n Жыл бұрын
Uko poa sana king msukuma
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 7 ай бұрын
Msukuma unajua kuogelea 😂
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Жыл бұрын
King msukuma.mpambanaji sana
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
UNAWEZA KUNIPA MUDA KIDOGO? (MSUKUMA VOICE)
@allymusira2153
@allymusira2153 Жыл бұрын
Safi sana king
@crispingerald3000
@crispingerald3000 Жыл бұрын
Uyu jama ni master kwel kwel ni mwanajesh halis watoto wamama waskilize
@godfreymasabwida4064
@godfreymasabwida4064 Жыл бұрын
Muongo huyu amekua diwani wa CCM kabla ya miaka hiyo.
@abdul-rahimkadhi766
@abdul-rahimkadhi766 Жыл бұрын
Safi sana....nimejifunza mengi sana
@chrisvictor4984
@chrisvictor4984 Жыл бұрын
kweli waliofanikiwa wote walipambana kwa nguvu zote natamani huyu jamaa na hayati magufuli wawe kwenye njiapanda cku 1 watupe madini chuma
@machasofficialsite6221
@machasofficialsite6221 Жыл бұрын
Atakuaje na magufuli ambae ameshafariki.
@richardfrank9950
@richardfrank9950 Жыл бұрын
Never give up one day back to comment 💪
@idrisamngagi284
@idrisamngagi284 Жыл бұрын
muandishi unambana MH
@emmamga5495
@emmamga5495 Жыл бұрын
Suala la kudogodesha mtu ni kiswahili cha bara hata si waha tunatumia mfano ka magufuli
@robertphilip385
@robertphilip385 Жыл бұрын
Mbunge wa ndiyo hajui chochote kaziyake ndiyooooo
@mudisemi2397
@mudisemi2397 Жыл бұрын
🎉🎉
@musaalfani9303
@musaalfani9303 Жыл бұрын
Story tamu hii
@GivenTobago
@GivenTobago Жыл бұрын
msukuma ni mkweli namkubali sana
@moriscollins4494
@moriscollins4494 Жыл бұрын
Lazima watu wazungumze wapumue....
@amosmacompyuta1015
@amosmacompyuta1015 Жыл бұрын
Mimi nimepanga kwake
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Жыл бұрын
Jamani niunganishe nae🤣🤣
@nisilueno
@nisilueno Жыл бұрын
Nakuelewa sana msukuma
@RobertChacha-hb9re
@RobertChacha-hb9re Жыл бұрын
Kumbee😮😮
@timboxlee919
@timboxlee919 Жыл бұрын
Huyu ni mwarabu Sasa
@isackdeo2439
@isackdeo2439 Жыл бұрын
msukuma up vzr kaka
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
Kwa nn asitoe kabla
@user-fi6sh5qd2p
@user-fi6sh5qd2p Жыл бұрын
Afu havimbi wala nini
@albertlongino657
@albertlongino657 Жыл бұрын
Msukuma binafsi nakukubari sana.
@nestorylongino9111
@nestorylongino9111 Жыл бұрын
Wajina
@user-xj4uc8gf4u
@user-xj4uc8gf4u Жыл бұрын
😅😅😅😅😅 kamakufuli
@user-by7ie6yy5n
@user-by7ie6yy5n Жыл бұрын
Namkubali Sana huyu kiongozi
@saidabdillahi8107
@saidabdillahi8107 Жыл бұрын
Profesa Msukuma mmoja katika Watanganyika wachache wenye akili haogopi rangi ya mtu kabila la mtu wala dini ya mtu
@user-kb7hw7sw8d
@user-kb7hw7sw8d 2 ай бұрын
Hajalogwa huyoo😅
@thomasmeseyeki7712
@thomasmeseyeki7712 7 ай бұрын
Role model msukuma namkubali sana
@ngasajulius8797
@ngasajulius8797 Жыл бұрын
Uskumani amnaga mtoto wa mama Wala wezi ni kazi tu..
@Jackylmariam-qy6qe
@Jackylmariam-qy6qe Жыл бұрын
Yani kweli
@annasolomon9855
@annasolomon9855 Жыл бұрын
Ni kweli
@jeremialyati6092
@jeremialyati6092 Жыл бұрын
Hapana chezea mwanasiasa
@mariethamjema1557
@mariethamjema1557 Жыл бұрын
Huyu kipanya ananiuzi anavyomzuiya Mh 😒
@user-pl3du3jf8s
@user-pl3du3jf8s Жыл бұрын
Jpm
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 Жыл бұрын
Umeshakula pesa za bandari Sasa unapiga domo, kwendraaa
@steventogolai3865
@steventogolai3865 Жыл бұрын
Mzee wangu uko makin sana kwa kwer sisi vijana tuna jifunza kitu baba mm najifunza zahidi natamani nikutafute unipe elimu ya akiri ninamna gan naweza kufait ningize pesa baba
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 11 ай бұрын
Piga kazi
@ramakazina170
@ramakazina170 Жыл бұрын
Mzee baba ml 500 kwenye kiloba mh tena za kuuza viatu jamani?. Unajua ml ambazo sio mpya ni zigonhasa.
@hemedmtunguja9788
@hemedmtunguja9788 Жыл бұрын
Huyu mjanja mjanja tu
@ChachaWambura-kj1hj
@ChachaWambura-kj1hj Жыл бұрын
We ni mwamba
@myself4128
@myself4128 Жыл бұрын
Umelipwa Kiasi gani ile Trip ya Dubai??? manaake DP world wamekupa hela umejiharishia! Tulidhania Una Uzalendo lakini Bure kabisa
@ibrahimurichard377
@ibrahimurichard377 Жыл бұрын
Masudi try to contro your hands,huyo ni mheshimiwa mbunge
@edwinmalugu3477
@edwinmalugu3477 Жыл бұрын
Hawa watoto akina marioo wanaruka ruka tu wananunua gar
@yasinjumahamis6267
@yasinjumahamis6267 10 ай бұрын
😅😅😅😅.watoto.wanaluka.luka2.wananunua.voki
@enoszaka-tx8qw
@enoszaka-tx8qw 11 ай бұрын
eti kamagufuli 😂😂😂😂
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Жыл бұрын
Duh..!?
@user-zn7vw3pj6p
@user-zn7vw3pj6p 7 ай бұрын
Nimuhimu kujifunzakwako
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 Жыл бұрын
Msukuma nakuchukia na viongozi wote mliounga mkataba wa hovyo ipitishwe sisi chama chetu CMM lakin hatuna viongozi ni mandunduka tuu bendera fuata upepo akiongea mmoja hata hoja ya hovyo yote yanaunga mkono yote tunawaachukia mno
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
nikweli hata mimi nimelichukia sana
@b1vevo
@b1vevo Жыл бұрын
Genius Mr minds
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 Жыл бұрын
Yuda
@sirajbakari104
@sirajbakari104 Жыл бұрын
Maisha yanasiri san
@user-kb7hw7sw8d
@user-kb7hw7sw8d 2 ай бұрын
Exactly bro, that's why there is day and night
@JacobNikolaus-oy2ld
@JacobNikolaus-oy2ld 2 ай бұрын
Uwakika xana 😢😢
@habyhabib7538
@habyhabib7538 Жыл бұрын
Siasa majitaka ,takataka,
@edgarbiz63
@edgarbiz63 Жыл бұрын
😂
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 Жыл бұрын
Umeshabikia mkataba wa bandari kumbe mkata wenyewe wa hovyo masharit ya hovyo tatizo hamjui lungha kutafsiri mkataba Kwa hiyo mnasomewa na mtu akimaliza ndo anawaidisia
@emilyKassiano-oo5iy
@emilyKassiano-oo5iy Жыл бұрын
Mumeuza bandari zetu
@Swahili_land001
@Swahili_land001 Жыл бұрын
Mwamba sana huyu
@sundayyohana-qx3ys
@sundayyohana-qx3ys Жыл бұрын
Masaliti wewe siyo msukuma wamagufuri wa sasa
@user-rz2yu1dw8c
@user-rz2yu1dw8c Жыл бұрын
Hapana uhalisia wa Jimbo kwa mbunge mje muona Kama Kuna mahara kateleza ni kwenye miundo mbinu mpya shule anyway niishie hapo Ila Kuna mengi ya kuona jimbon kwake
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 Жыл бұрын
Tanzania ukiwa fisadi na kichwani zero unakuwa staa, huyu sawa na Haji Manara!
@athuimansaid7279
@athuimansaid7279 Жыл бұрын
Mbona unazurumu watu
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 Жыл бұрын
Ww kakuzulumu ngapi
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 Жыл бұрын
anajikosha anajikooosha msukuma huna jipya huna akili kwanzia ulivoanza ujinga wa kutetea hata mabaya sababu tu unapewa mabillion na kitambi umwota kwa pesa za watanzania huna maana sikuhizi
@user-mv4qb2xk7f
@user-mv4qb2xk7f 11 ай бұрын
Huyu mwamba sana
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 Жыл бұрын
Ww ni mbwaaaaa tu mjinga sana ww
@jonessalum6325
@jonessalum6325 Жыл бұрын
We boya kweli ya chukie maisha yako yakimasikini ujipate
@jumannehamadi2282
@jumannehamadi2282 Жыл бұрын
huyu jamaa nilikuwa namkubali Sana ila kanikela kwenye ishu ya bandari kahongwa pesa maana tundu lisu kaisha sema ukiona mtu anaushabikia huo mkataba ujuwe hana akili ama kahongwa
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Жыл бұрын
Mpende tu,unahakika kahongwa??¿
MUSUKUMA MBELE YA WANAHABARI, ACHUKIZWA KUMDHIHAKI HAYATI MAGUFULI
14:50
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 54 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 86 МЛН
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 2,7 МЛН
"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA
10:05
MPWA WA MAGUFULI AELEZA ALIVYOFUKUZWA KAZI
4:12
Wasafi Media
Рет қаралды 27 М.
Веселый мма
0:58
Ицюань | Школа Оздоровления и Самопознания
Рет қаралды 436 М.
Tournament of the best. Who do you think won? 🏆🐐😍
0:43
Max VS Football
Рет қаралды 2,7 МЛН