Yaan kilichobaki ccm ni kuhamacshana tu tukapige kura wala tucrudie nguvu nyingi tuko wengi sana na ushindi lazm
@kingfocustzog3 жыл бұрын
Ukiwa Single Hakuna Mtu Anayekutafuta Wala Kukupenda Ila Ukiwa Kwenye Mahusiano Yenye Furaha Sasa Hapo Ndo Vishetani Vinajileta. 😁
@josephinewangwe90643 жыл бұрын
Nampenda Sana Magufuli ila anatuangusha kule Mara vijijini kwa mfano kule Shirati hajawahi kufika wananchi wanashida ya maji ,wananchi wamesahaulika na kule ndipo kuna hospitali kubwa ya wilaya iliyo na shule kubwa pia ya Nursing kwakweli hapo amatusahau.
@priscalameck87003 жыл бұрын
Msukuma nakupendaga sana😄😄
@trophainamagogwa79663 жыл бұрын
Mpeni kura anawapenda saana
@amiramir-tx1my3 жыл бұрын
Baba tupo pamoja sana
@festondenga42533 жыл бұрын
Napenda sana kisukuma ndooo maana hata rais wangu nipo nae begakwabega
@trophainamagogwa79663 жыл бұрын
Mwabheja saaaana ngosha
@zesootv67263 жыл бұрын
Achakuongea kikabila tutafanya nchi ye2 iwe kama kenya
@margarethpolepole7438
Mungu akulaze mahali oema peponi Magufuli
@atanasjisonge25383 жыл бұрын
Safi sana msukuma
@deborahbenny4583 жыл бұрын
Mbona tundu la choo haliogea luga yake singida?wapinzani aibu mmesha shindwa zamani hata ulaya tunawacheka kwa miemko yote lisu halio kuwanayo huku ulaya tumemchoka
@majabamagashi24663 жыл бұрын
Taarifa ya habari ya saa mbili uck
@KUTOKA-ep2fk3 жыл бұрын
Waandishi wa habari mnaotokana na makabila ya kusini kanda ya ziwa na kati na mashariki na magharibi mnashindwa wapi kutofautisha R & L?
@georgeisdory99983 жыл бұрын
Msukuma ni machine 👍👍👍 shuleni dalasa la Saba
@geopolitics943 жыл бұрын
Msukuma ni jembe sana 😂
@user-mu7fi2id3i
Msukuma we noma bungeni ongera sana
@aginesmashakaMashaka
❤❤❤❤❤
@mwambietv76143 жыл бұрын
Mnaleta malugha yenu huo ndo ukabila tunaosema ongea kiswahili yatoshaa full stop