Mvua yaleta kilio Dar " Sina ndugu sijui naelekea wapi, Wapangaji hawajulikani walipo ..."

  Рет қаралды 72,910

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Mvua iliyonyesha takriban kwa saa saba kuanzia saa tisa alfajiri ndani ya mkoa wa Dar es Salaam, imeacha maumivu kwa wakazi wa mkoa huo ambapo baadhi ya nyumba zimesombwa na maji, huku mawasiliano ya barabara yakikatika.
Wakazi wa Tegeta Nyuki na Mbezi Beach jijini hapa wamesema wako katika hali mbaya baada ya maji ya mvua inayoendelea kunyesha Januari 20, 2024, kutuama na kubomoa makazi yao.
Mwananchi Digital, leo imefika Mbezi Beach na Tegeta Nyuki kushuhudia wingi wa maji hayo, huku wananchi wakieleza kilio chao.

Пікірлер: 59
@anjelinamwinga
@anjelinamwinga Жыл бұрын
Watanzania wenzangu ni hizi ni nyakati za mwisho turud kwa yesu wa msalaba ndio tutakuwa salama zaid
@DeanaRaphael
@DeanaRaphael Жыл бұрын
Tuache maasi ushoga uasherati wanawake kutembea uchi nk tumrudie Allah atunusuru na majanga haya😢
@Ayuminchasi
@Ayuminchasi Жыл бұрын
Umesahau wanaume kulawit watoto kuwabaka na kuua umeona wanawake tu
@ShadiyaSalim-v1b
@ShadiyaSalim-v1b Жыл бұрын
Polen sana Mungu azid kuwakinda na kuwafanyia wepes in Shaa Allah
@rashidsimba3680
@rashidsimba3680 Жыл бұрын
Dada kaongea Ukweli sana ,Dar watu wamehodhi Mapori na hayaendelezwi
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 Жыл бұрын
Dada umeongea mantiki sana, tamaa za viongozi kuhodhi maeneo kwa kutumia vibaya ofisi za umma waache kabisa!
@AziziMapunda-vt4nv
@AziziMapunda-vt4nv Жыл бұрын
Watanzania tumuombe mungu atusaidie
@frankwarembosaloon5316
@frankwarembosaloon5316 Жыл бұрын
Viongozi kujali MATUMBO kuliko wananchi Africa hovyo
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 Жыл бұрын
Dada umesema ukweli,viongozi waachie maeneo waliojilimbikizia.ufisadi kila kona
@JoelTangas-g4k
@JoelTangas-g4k Жыл бұрын
Mungu akasema nuhu ajenge safina
@SATZ-news
@SATZ-news Жыл бұрын
Mwachieni mbarikiwa😢
@ashamohamedy8637
@ashamohamedy8637 Жыл бұрын
Mungu awape subra waathirika wote
@DanielSinavangi
@DanielSinavangi Жыл бұрын
Hakika dada umeongea vitu vyamsingi Sana.🙏
@ErickKilipamwambu
@ErickKilipamwambu Жыл бұрын
Nawapa pole sana watu wategeta
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Poleni sana
@gallusmbaga5522
@gallusmbaga5522 Жыл бұрын
Kuna umuhimu pia wananchi kujitahidi kuwa na uelewa
@RehemaMakuka-q4e
@RehemaMakuka-q4e Жыл бұрын
Wakubwa Wana hodhi mpaka nyengine hawajui wafanyie nn muwape na wenanch
@TatuZuberi-qq9yu
@TatuZuberi-qq9yu Жыл бұрын
Pole dada
@morjanoman5181
@morjanoman5181 Жыл бұрын
Kilaeno ni serikali itavyotokea. Maafa kama aya wanawaumiza watoke wakakae wapi kateni maeneo ya kujenga watu ambao wameasirika na mafuriko
@chuguletheodos3342
@chuguletheodos3342 Жыл бұрын
Ndugu mwandishi ilo nyonyo jamani mbona nimedata apo❤
@naturelle1097
@naturelle1097 Жыл бұрын
😂surely
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 Жыл бұрын
Du mwandishi mshape huo jamani hata waasilika wanafarijika kukuona hongera sana.
@kjb_user0077
@kjb_user0077 Жыл бұрын
Yaani wewe unawaza mshape wakati watu wapo kwenye kilio?! Duh
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Жыл бұрын
WEWE UNAMSHUKURU KAFANYA NINI MNASOMBWA NA MAJI ETI NAMSHUKURU
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 Жыл бұрын
Maji yana tabia ya kuchimba chini kwa chini kama umejenga karibu na mto.unaweza hisi upo salama lakini chini ya nyumba kulishakuwa shimo
@erickzephania1030
@erickzephania1030 Жыл бұрын
Siasa za Afrika zinaumiza sana
@HIDACHAPILE
@HIDACHAPILE Жыл бұрын
Lieitishia mvua kupeleka mahakamani yupo sahihi kwani MTU toka elfumbili na mbili Maji yanaingia lkn hachukui hatua wapo wakusaidiwa wapo wakuachwa
@HappyAdrian-l8q
@HappyAdrian-l8q Жыл бұрын
Pore sana dada
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Жыл бұрын
Subuhanallah
@anwarmusic17
@anwarmusic17 Жыл бұрын
HII NCHI YA TANZANIA NI NGUMU SANAAA
@AbdullyAlly-k6t
@AbdullyAlly-k6t Жыл бұрын
Duh😭😭😭😭
@anwarmusic17
@anwarmusic17 Жыл бұрын
Mvua imetoka juu 😂 kwani huwa inatokea chini?😂😂
@rajabushedafa6397
@rajabushedafa6397 Жыл бұрын
Kweli??? 😢hili tukio linachekesha ndg😢
@jonathansolomon456
@jonathansolomon456 Жыл бұрын
Jamani dada hadi wewe pole sana Mungu akuyie nguvu
@vickysteven1172
@vickysteven1172 Жыл бұрын
Maji ni kama tembo yanakumbukumbu na njia zake
@saidkhamisi9592
@saidkhamisi9592 Жыл бұрын
Laahaulaa walaaquuwata illa bil laa
@ShukurkollAngel
@ShukurkollAngel Жыл бұрын
Kuna watu wanaishi hapo kutokana na kupenda kuishi mjini. Wengine ni kipato kidogo hakuna sababu ya kuoneshana vidole. Duniani kote maafa yanatokea. Jambo kubwa ni kusaidiana baada ya janga.
@dudemussa6715
@dudemussa6715 Жыл бұрын
Tuwe na subira kutokana na maafa haya. Aamin.
@ELIZABETHWAGARA
@ELIZABETHWAGARA Жыл бұрын
Mbona ni hatari sana
@AnnaSanga-bs7pl
@AnnaSanga-bs7pl Жыл бұрын
Njoon mnunue viwanja homboza hakunaga mafuriko
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Жыл бұрын
NA HAO WATENGENEZA MATOFALI NAO NDO WANAIZISHA MAPOLOMOKO.
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Жыл бұрын
ATA HUYU MWANAMKE KAONGEA KWELI LAKINI YULE MWANAUME KAONGEA KAMA SHOGA ETI NAMSHUKURU
@omanoman2044
@omanoman2044 Жыл бұрын
Rudin vijijin kwenu am hamna vij8jin kwenu kam mim
@magrethkapinga1811
@magrethkapinga1811 Жыл бұрын
Maskini 😢
@saidmabanga388
@saidmabanga388 Жыл бұрын
Serikqlii itengeneze ii mitoo mitoo inafuhata raia tofautii na serikalii inavo sema raia watke mqbndenii c kwelii
@ditmahdeejay
@ditmahdeejay Жыл бұрын
Bro tumeskia
@hillarimtambo482
@hillarimtambo482 Жыл бұрын
Polen sana wapendwa
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq Жыл бұрын
Itajulikana wakati ukifika Wacha wahodhi maeneo nchi nzima hivihivi
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 Жыл бұрын
Samahani wahodhi ndio nini ?
@JacquilineNoah
@JacquilineNoah Жыл бұрын
@@fettyrashid9042😂😂😂😂
@panadomadola3064
@panadomadola3064 Жыл бұрын
Hao wahouthi wa Yemen wameingiaje humu kwenye mafuriko?
@panadomadola3064
@panadomadola3064 Жыл бұрын
Baadhi ya wajinga eti wanailaumu serikali !! Kwani serikali inakosa gani? Na baadhi ya wajinga wametishia kuipeleka mvua mahakamani ili ikajibu shtaka la kuharibu na kubomoa nyumba za watu.😮😮 Bado sijajua kesi hiyo itasikilizwa kwenye mahakama gani?! Tunasubiri mwenyekiti aseme neno😊😊
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Жыл бұрын
Kodi za wananchi zinaenda wapi?
@morjanoman5181
@morjanoman5181 Жыл бұрын
Apo sasa serikali inashindwa kujenga maema kwaniaba ya kuwasitiri wananchi wao. Apo KAZI yakusema watoke waendewapi na family'a inasoma
@hamoudyahya7635
@hamoudyahya7635 Жыл бұрын
Serikali isiseme tu watu wahame. Hii mito kingo zake ziboreshwe maana hayo mafuriko yanatanua mito
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Ilitakiwa waweke mawe makubwa kuyadhibiti kama walivyodhibiti kule kwenye ufukwe wa Ikulu mpaka Aghakhan Hospitali.
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Wanatakiwa wazuie kwa majabali laa sivyo mmomonyoko maji yanatanua wakicheza Dar yote itakuwa bahari ya maji
@stevenlugojeremia2323
@stevenlugojeremia2323 Жыл бұрын
Walisha ambiwa wahame na wengine walisha pewagwa mpaka maeneo huko mabwe pande wakayauza kisha wakarudi tena.. sasa wafanywaje?? Wakitolewa na virungu watasema Serikali ina uwonevu wakiachwa huru hawajiongezi
@TheKing-m4g
@TheKing-m4g Жыл бұрын
Pooole saaana dada angu
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
Tanzania Most Luxurious Neighborhood will Blow your Mind
12:10
Steven Ndukwu
Рет қаралды 398 М.
Sh Xassan Al Waajidi Maxa Lagu Heystey Marku Laha Qabilta Sh Xassaan Abu Salmaan
22:08
imam shafici media قناة الإمام الشافعي
Рет қаралды 62 М.
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН