❤ mwabukusi ni hadhina yenye thamani kubwa Sana katika nchi hii,..👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
@hamisijuma81243 ай бұрын
Huyu kichaa tu anatafuta ugali wake
@migerajacob5813 ай бұрын
Tungepata watu 100, kama Mwapukusi nchi ingenyoka,, big up bro,, tupo nyuma yko,
@FrankMwakatundu-cu6bd3 ай бұрын
KUWA WA PILI BAADA YA MWABUKUSI, TATIZO LA WATANZANIA WEEENGI WANAFIKIRI HAWEZI KUWA YEYE ILA WENGINE 99 NA MH. MWABUKUSI WATAKUWA 100. NI KOSA KUFIKIRI HIVYO!!!
@JaneJennifer-zk7bk2 ай бұрын
Bila katiba mpya tutakuwa tunapiga kelele tu ndugu yangu ,na ndiyo maana hawajali
@user-zk9fz2xi9z4 ай бұрын
Ubarikiwe Sana sana mungu akulinde kwa kukosoa nakuelimisha ccm yenye uelewa wa f darasan
@veronicanabina33803 ай бұрын
Mwabukusi, ukigombea uraisi kupitia Chama chochote kura yangu nakupatia asubuhi na mapema
@EbenezerMagari4 ай бұрын
Asante Mungu kwakutupa vichwa kama hawa
@jamesmassamakeri24184 ай бұрын
Mwanahabari soma kwanza ndo upate content za kuwahoji watu wenye uwezo Kama hao , hongera advocate
@sixberthcostantini92904 ай бұрын
Kweli kiongoz ongea ukweli Mungu akulinde
@chedijohn22704 ай бұрын
Mwabukusi safiii Mungu akuongezee hekima na,busara Amen.
@hanscmakerdm99434 ай бұрын
Muandishi hana anachokijua😅
@user-zr1jf1gb4m4 ай бұрын
Mh Mwambukusi kweli ni mwalimu mvumilivu. Anavumilia kuwafundisha mazuzu
Tunakuombea kaka Mwambukusi Mungu hakubari Ila Kua makini na hawa watu sio wazuri
@fabianmnyenyelwa87523 ай бұрын
Mwabukusi umesheheni madini, uko vizuri hakuna mwana-ccm anayeweza kupinga nondo zako. bigup bro nakukubali sana
@tegoswadakta89963 ай бұрын
Asante kwa shule Mwabukusi, asante baba
@AizackKalenge-ro5rc4 ай бұрын
Mwabukusi Hongera kuitetea Tanganyika,
@user-jj7qv7kh2s4 ай бұрын
Mimi nakukubali Sana mzalendo wa kweli
@KhaleedHamad-vl7lz4 ай бұрын
Bro uko poa sana chadema mnawatoa wapi hawa watu wasomi hivi sio vilaza akili zao hazijalala
@user-zk9ox3di4b3 ай бұрын
Amkeni watanganyika msidanganywe na wajanja CCM iwe mwisho wake kutawala Tanganyika asante sana mdogo wa mwabukusi
@yohanaisayasimoni3 ай бұрын
Waziri ajae mwambukusi huyu ni azina ya nchi
@MageAwe-hl5zb18 күн бұрын
Mhesimiwa mungu akubariki yeyote atakayeinuka kinyume yako awe adui wa mungu na hao wanaonguka Raisi wetu na kumfanya chukizo kwa wanamchi mu ngu awaaibishe watahayarishwe. Wafedheheshwe
@christinangondi42123 ай бұрын
HAKUNA kipande cha Ardhi na Rasilimali za Watanganyika zitakazouzwa kwa watu weupe, milele Amina
@evansdecaprio81964 ай бұрын
Tanganyika inawatu wa maana sana
@RutinikiGosbert4 ай бұрын
Mr. Mwambukusi huyo naye achana naye hana jipya kama hajui ata tamko la maaskofu ni wapi uyo
@ezronhussen54014 ай бұрын
Ccm mbona wana jinufaisha wao tyu
@salummohamed26894 ай бұрын
Mwabukusi nakuheshimu kwa kut upatia elimu
@Zanijasy-hy7vm2 ай бұрын
Mwabukusi Nyerere II WA Tanganyika
@ukululegeorge93093 ай бұрын
mwabukus yuko sahihi,na Mungu amzidishie uhai kwa faida ya watanzaia.
@DonMooSTUDIO_Express4 ай бұрын
JAMBO TV hapa mmeingia sehemu siyo 😂😂 huyu siyo Tundu Lissu ambaye mnajitahidi kumtoa kwenye point zake kwa makelele yenu. Huyu mwamba akishimika kashimika kweli😂
@user-nn6zq1ok7i4 ай бұрын
YAANI HATA SIS TUTAKUFA KAMA WIMBO USEMAO TAZAMA RAMANI UTAONA NCHI NZURI NA MWISHO UNASEMA TANZANIA UNILINDE HATA KUFA😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯
@mwambietv76143 ай бұрын
Nchi hii ni inataka watu kama hawa Vivaaa Mwabukusi
@user-nn6zq1ok7i4 ай бұрын
NDIO MAANA TUNAJIUNGA KTK MAANDAMANO KUIKOMBOA TANGANYIKA
@Sehewa_Edward_Mohamed3 ай бұрын
Kuelewa ni ngumu Sana. Watu wanataka kanga na chakula tu. Ila huyu mtu ni mwamba
@1961nungwi4 ай бұрын
Hawa waandishi wa habari wa siku hizi kaazi kweli kweli!!
@jesaminzo4 ай бұрын
Kweli kabisa. Yeyote anayeamini kuwa statement ya Bashite ni ndogo, lazima tuwe na wasiwasi na IQ yake
@user-fz3bk6vw2b4 ай бұрын
Nakukunal asant
@beatricefilbert11714 ай бұрын
Mungu akuweke
@JumaMbaga-sd5yi9 күн бұрын
Huyu jamaa anaakili nyingi sanaaaasas na anakuja kwelikweli sio mxaha
@mariamusaulo44294 ай бұрын
Mwandishi hatoshi kumhoji huyoo Baba
@elibarikimollel71494 ай бұрын
Wakili msomi Mwabukusi umetisha,kina Lisu mnazaliwa kila siku,safari hii lazima waaibike kwa kukataa kuchutama badala yake wanaamua kukaa kimya nchi ccm ifie mikononi mwao!
@rahabufilangali-cp6br4 ай бұрын
Shetani hawezi kufukuza pepo
@AmosNabiiAmos3 ай бұрын
Asante
@lenniefei67104 ай бұрын
Tanzania kumbe imejaa mapumba kweli ! Hamna nchi yeyote ulimwenguni eti mkuu wa mkoa ndie hakimu na wakili kwa masuala ya kisheria ! Upuzi mtupu.
@JeremiahMwalukosya-eh5nf4 ай бұрын
Kaka mwambukusi ila makonda ndo umechemka sana tena pakubwa Kuna mahakama ya haki Tanzania hio nisiasa sasa mahakama ya Tanzania niyakihuni sana
@barakamanga55024 ай бұрын
Duh safari bado kumbe mbichi hii
@issacklyandala70234 ай бұрын
Bungeni yupo msukuma na lusinde msiba mkubwa
@success-only4 ай бұрын
😂😂😂 IQ ya makonda ni ndogo Uko sawa wakili mwabukusi
@peacemwesiga4 ай бұрын
Mwabukusi❤❤❤
@williamgeorge-hd2tn4 ай бұрын
Shida ni kwamba nchi hii inamazuzu
@OmmyJames-xn7ji4 ай бұрын
Wa kwanza wewe 🥳🥳🥳🥳
@sasha-ri7tf4 ай бұрын
UKITAFUTA UMARUFU MTAJE KIONGOZI MKUBWA, NDIO ANALOLIFANYA (MWAMBUKUSI)
@mbungemilanzi81494 ай бұрын
Wambieni ukweli hao makafili waache wizi watende haki dunia niya munngu hii wala siyao
@JaneJennifer-zk7bk2 ай бұрын
Wakati mnapambana bandar zetu zirudi, msisahau kupambana pia ili kupata katiba mpya ambayo italinda raslimali za taifa letu,tusikubaliane kabisa na huu usanii wa hawa wanasiasa wanasema watanzania wanataka katiba mpya mdomoni huku wakijua hawawezi kukubali kwa vitendo maana wanajua uhalifu wanaofanya kinachowalinda ni katiba
@shmohd114 ай бұрын
Meabukusi usipotoshe. Weee unajua nchi mbali mbali duniani zilizo ktk Famme kama Uingereza, Dubai, Kuwa a sovereign State siyo jambo pekee linalongatiwa ktk kuingia mikataba kati ya sehemu ya Dola na nchi ya nje. Does Ireland, as part of United Kingdom, forbidden to enter into agreements with other nations? Je katiba ya UAE haona vifungu, Exclusivity Clauses, zinazoruhusu Emirates kuingia mikataba na nchi za nje? ACHA KUDANGANYA WATU
@lazaromshamu35214 ай бұрын
ndugu ulifuatilia hukumu ta mahakamani lakini..? kasikilize majaji walitamka nn kuhusu hao dubai
@Ally-ts5gk3 ай бұрын
Hamna lolote hapo hajapewa mkwanja tu huyo mpeni chase huyo anyamaze wabongo kwa pesa ni noma mikwara tu hiyo jamani tutaona mwisho wake tuombe uhai na uzima tu kwa muumba wetu
@bmdele58164 ай бұрын
Mwandishi huyo kiazi kabisa, Ajibu kwanza kwa sauti Dubai ni nchi!😊
@christinangondi42123 ай бұрын
Wenye Hekima na Busara kama hawa wanaishi mtaani, ILA wenye kichwa cha mwendawazimu ndo wamekalia VITI, very SAD
@RwegoshoraPatt-os2ik3 ай бұрын
Mwamba nakukubali kujitoa muhanga......lazima tu wakunyamazize...hatujui njia ipi itatumika ...😢
@VailettyShigerla-fw2sg4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-rc1dp6ux3k3 ай бұрын
Watanzania tufunguke vichwa ccm majambazi mafisadi😅mwaandishi wa ovyo
@PatrickKalinga-yw6kl3 ай бұрын
🙏🙏🙏
@josephandrea3 ай бұрын
Mwambukusi usiache kugombea ngazi ya Rais mambo yanyooke unaitetea sana rasilimali za Tanzania
@user-nn6zq1ok7i4 ай бұрын
TUAITETETEA NCHI YETU KWA GHARAMA YOYOTE HATA KUFA KATIBA INATUTAKA
@ellyburton68623 ай бұрын
Mwandishi na wew kiwango chako ni kidogo mno hujui nn hapo
@Jassmin-media-official2 ай бұрын
Ndugu mtangazaji huwe inajiaandaa kabla hujaenda kumuoji mtu kwanza fanya utafiti soma vitabu fukunua ndo saaa ujue kuuliza maswali, saaa wewe unaendatu kila swali ukiuliza huna utafiti,
@profs.a54124 ай бұрын
Mwandishi weeeeeee😂😂😂
@christinangondi42123 ай бұрын
Weweee, kwani hujui kwamba vyombo vya dola vyooote viko mikononi mwa mkulima wa mboga mboga?
Watanganyika tumekwisha serekali imebewa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache
@Mwinjilisti9663 ай бұрын
Huyu jamaa Ana njaa ya madaraka Wala siyo uzalendo
@IddiAbdi3 ай бұрын
Usimshutumu makonda yupo saw nikichwa
@veronicanabina33803 ай бұрын
Jamani mwandishi ulijua unakuja kumhoji nani, au umepewa taarifa ya kushtukiza?
@ZenaMwakalambile4 ай бұрын
Makonda atawanyoosha nyie.mnajaribu kumsema vibaya lakin wanyonge wanamuamin kupitia maelekezo ya samia.
@NorbertusNyamuga4 ай бұрын
mh mwabukusi huyo unaefanya nae mahojiano sio mwandishi ni mtu wa chukua chako. ...
@mussamuna9003 ай бұрын
huyu mwandishi hajui amekutana na mtu wa namna gani
@JOHNKKULULINDA-pc6gy3 ай бұрын
HIVI, LIPI JEMA, KUKIRI KUWA KUNA MAKOSA YA BAADHI YA WATENDAJI . NA KUAHIDI KUANZA UPYA KUWASHUGHULIKIA ASIO WAAMINIFU.
@sultansallah87722 ай бұрын
Tanganyika upi.
@HamisiNguku28 күн бұрын
Rahidhani ulishasepa mashujaa fm
@Rich_lodrickLodrick_mollel4 ай бұрын
U
@richardmakweta88754 ай бұрын
Hivi huyu mwandishi kasoma????
@AizackKalenge-ro5rc4 ай бұрын
Huyu mwandishi ana akili sawa,Au anatafuta kiki ya kuteuliwa?
@user-wg6px3nv1u4 ай бұрын
Makonda ni ziro katika kratasi je kichwani itakuwa 100 au 50 kichwani?
@maryamabdallah31404 ай бұрын
Wacheni urongo wenu, huo ni mtazamo wako...alisema kutokana na hali ya mwananchi wa kawaida hawezi kupambana mahakamani ukiwa huna pesa kwhy ni bora tatizo litatuliwe live 😊
@@salummohamed2689 wao kipi wanafanyia wananchi...wananchi wako ktk madhila makubwa ya matatizo... Unadhani huyo mwanasheria yuko tayari kasimamia kesi za walalahoi??? Use yr brain sio mnafanya ushabiki usio na maana.
@maryamabdallah31404 ай бұрын
@@bravofundikila965 bravo, hujafikwa na shida... Ngoja upatikane na shida utajua hakunaga mwabukus wa Bure kuja kukutetea Bora ya huyo mtatuzi wa shida za watu live, japo mnahisi ni maigizo
@peacemwesiga4 ай бұрын
Muhandisi hajui chochote masking aibu😂
@juliusmsangi68494 ай бұрын
Huyo sio Mhandisi(Engineer) ni Mwandishi asiyejua uandishi!
@mwasoprince34593 ай бұрын
USHAURI WANGU MWABUKUSI GOMBEA UBUNGE ILI UKASEMEE WANANCHI
@clarencehilary55884 ай бұрын
Rais ajae ni mwambukusi uwe raisi wetu wa tanganyika
@reginas18324 ай бұрын
Mwandishi kilaza
@hamisijuma81243 ай бұрын
We huna lolote mbona huendi mahakama ya kimataifa muongo wewe
@jaydenbedas57293 ай бұрын
Kama mahakama kuu ilitereza ikabariki uuzaji wa bandari na inafanya uende mahakama ya juu kuhoji Je raia wa kawaida uhakika wa hakizao ziko wapi mahakamani je Kila mwenye haki anapata haki mahakamani bila kupindisha je wanauwezo wa kuendesha kesi sehemu tofauti kwa gharama kubwa Kama ww Kosa la makonda liko wapi kushauri raia wasikimbilie mahakamani bali wasuruhishe wenyewe
@clemencemkondya85614 ай бұрын
Acha porojo wewe ndiye huna akili kabisa .Huo ni uzushi .Achakupotosha watu ..Makonda ndiyo dawa yenu