Hongera sn Kaka yangu mwabukusi kwa kulipigania hili Taifa bila hivyo Taifa letu tutalipoteza,tunamshukru sn kwa kutuamsha watanganyika na watanzania kwa ujumla!!!Mungu wa mbinguni azidi kukubariki na kukukingia kwa Kila hatali,, MUNGU mbariki mwabukusi Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki Tz yetu tusonge mbele kwa ajili ya nchi yetu tuko pamoja
@robbymzee34232 ай бұрын
Mungu ibaliki Tanzania iendelee kutuletea wasema kweli
@JesuinaBabili4 ай бұрын
hakika Taifa tupo msibani na hiyo lugha ngumu uliyonena umetutendea haki wana wa Nchi hii …Baba wa Mbinguni akutunze na kukupa ulinzi daima Wakili Mwabukuzi… Barikiwa sana …
@seifmohd53574 ай бұрын
Asante sana mkuu tunakuelewa sana Mungu azidi kukupa nguvu ili uweze kututetea wanyonge cc
@justice6074 ай бұрын
Mimi ni mwenyekiti wa Ccm, mkoa flani lakini nakubali nondo zako Advocate
@kaaakwakutuliaa51794 ай бұрын
ivi unajua znz hauwezi kununua kiwanja
@SilivanusMahinjaАй бұрын
😅 no.😂😢😮😅😊@@kaaakwakutuliaa5179?
@batwelimahenge78504 ай бұрын
Asate mkuu Nakuelewa sana pamoja sana
@user-py9jj5yr9l4 ай бұрын
Mungu azidi kukupa maisha marefu najifunzaga mengi sana kwako
@dominiclyamchai95614 ай бұрын
Mwabukusi WAPE VIDONGE VYAOOOO,TEMA MADINI MWANANGU.NCHI HII IMEKWISHA KABISA.
@danielmpanguko7594 ай бұрын
Umeongea sahihi sana Kaka Mwabukusi, kutembea na bahasha za kuomba ajira kila siku haina tofauti na maandamano.
@user-rr1ds9jm1q4 ай бұрын
Safi sana ongea ukweli
@faustinebahenobi34124 ай бұрын
Uyo ndo mwambukusi msomi makini
@davidtuya95864 ай бұрын
Asante Sana mwabukusi mungu akubariki
@KingBuddah-nx3ui4 ай бұрын
MWABUKUSI NAKUKUBARI SANA WEWE MZARENDO WA UKWELI C MNAFIKI
@deniccgabriel61534 ай бұрын
Mwabukusi nakuelewa sana CCM kwasasa ni mwenda wazim na uyo mmamma wao
@jesaminzo4 ай бұрын
Huwa sijutii kupoteza bando langu kukusikiliza Hon Advocate Mwabukusi❤
@pidiusDominick-qi7nl4 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@godwinkasaizi8824 ай бұрын
Amen and this is true. We need seriously Reform
@giztony20094 ай бұрын
Aisee Tanzania ina watu hadimu sana😊😢😢😢
@MACHOYATAI-jk6fu4 ай бұрын
Asante MUNGU akubariki mwabukusi
@yussuph-lx7cu4 ай бұрын
Mwabukusi ni Martin Luther king wa TANZANIA ,HONGERA MWABUKUZI ,,WEWE NI MKOMBOZI WA TANZANIA YETU ,CCM WAMEGEUKA KUWA WAKOLONI WEUSI
@anosiata82424 ай бұрын
Napenda hoja zako mungu akulinde wakili Mwambukusi
@amosjoseph72414 ай бұрын
Akili kubwa sana
@johnmalembo64644 ай бұрын
Unatosha kuwa mwalimu wangu.... Napenda kujifunza kwako
@athuman74804 ай бұрын
Ila mwabukusi akigombea uraisi chadema inapita vizuri tu
@user-cl5yq6ne3q4 ай бұрын
Amina sifa kwa Mungu alie waimba watu kama hawa majasiri wa kukemea maccm haya. Mungu ongeza wengine zaidi the name of Jessus
@StephenLetta4 ай бұрын
Nakukubali. Akili yako na uzalendo siyo vya kutiliwa shaka
@abeidmayanga8094 ай бұрын
Kweli limebemendwaa aiseee😂😂😂😂
@phillipmasungwa73654 ай бұрын
UPO SAHIHI KABISA MWAMBUKUSI.
@amanicarloschissanga48114 ай бұрын
Heshima nyingi kwako kamanda mwabukusi, tupo pamoja mkitangaza lugha ngumu kiongozi tutaizungumza wote mpk hawa manyang'au wajue kwmb hatutanii
@hamphumichael719425 күн бұрын
Tanganyika ❤Mungu azidi kutubariki tuna vichwa Sanaa
@mosesmacha10804 ай бұрын
MUNGU wa Mbinguni akulinde Mwabukusi🎉🎉
@samhadas7884 ай бұрын
Asante Kaka ❤❤
@user-ky3eu3zt8o4 ай бұрын
Kaka Mungu kakuweka hapo kwa kusudi lake hakika sisi tunakuelewa sana Mungu akulinde
@siamollel60514 ай бұрын
Mungu Akutunze kwajili Ya Tanzania
@kingmichael12343 ай бұрын
Uko sasa kabisa kiongozi ✊🏽
@danielaudax67554 ай бұрын
uko sawa bro yaani sawaa kabisa
@user-ok6lv3je4b3 ай бұрын
Mungu akulinde bila mungu huwezi
@user-jx5ze9wz8e4 ай бұрын
Nakukubali sana kamanda uko vizuri san ccm na wabunge wao hawana maana yoyote
@festokastory52824 ай бұрын
Mwabukusi aungwe mkono na kila mtanzania mwenye akili timamu
@user-fh1wg4jv9i4 ай бұрын
Kichwa kimeshiba maarifa ndani ya kichwa nakubali sana
@faustinemangula84244 ай бұрын
Mwambusi umekaribia kuwa mtumishi wa Mungu.
@DevothaLighton-dl6zi4 ай бұрын
Ccm wasipotuelewa, tutawelewesha kwa njia ambayo wataijua. Jamani tupambane machawa wamechachamaa wanapinga mazurI wamepewa kitu na ccm
@mariamumechara33984 ай бұрын
Uko sawa kaka
@rahimhassan67224 ай бұрын
Nakufaham sana kwa lugha hi yaleo..ccm ni mizimu majambazi
@bonifasimichael13203 ай бұрын
Respect kiongozi Mungu akulinde ipo siku wakati itafika tu
@user-do5by8jl6g4 ай бұрын
Chai moto kikombe moto salam ziwafikie ccm
@sportsnewjs433025 күн бұрын
CCM ni HATARI sana kwa uhai wa Taifa letu la Tanzania 🇹🇿 kwa sasa Ukweli Wananchi tusipo amsha hakili zetu, basi Raslimali na vitegauchumi muhimu, CCM watauza vyote
@omaryjudasymwanga71724 ай бұрын
Alafu yanaibuka majitu hata A.E.I.O.U hayajui inaandikwaje alafu yanakwambia mitano tena yani hata broo makonda akifufua mautumbo yanayoliza watu waliopo na wasiohusika ila wanalia kwa kuona wenzao wanapita kwenye upuzi gani ndani ya nchi yenye watalam kila anayekuja anakuja nalake mtu anakaa mahali miaka 60+ kanakuja kajinga kamoja eti ondoka hapa umevamia yani uzaliwe usomeshwe alafu uwarudie watu mlivamia hivi mpo serious makonda anachofanya nikizuri maana anafufua kaburi ambazo zimezikwa mpaka watu saba ndani sasa subirini mda wa fidia tuone mtalipa ngapi maana uhuni huu sijui
@user-cl5yq6ne3q4 ай бұрын
Hiyo ndio mipumbavu wa taifa hili
@nicholasakeya67903 ай бұрын
Iam from kenya i like on how u express ur self
@sospeterodhiambo68694 ай бұрын
Uko sahihi kbs Ila ukisoma comments za watu wengi wetu ni wajinga wa kutupwa hawaelewi kitu na hata ukimuuliza akupe hoja hata moja Hana na hajui Ama kweli tulinyimwa elimu maksudi ili ujinga uendelee
@user-dp1ch6vv6z4 ай бұрын
Kweli kabisa na isitoshe mabwege wengi wasio helewa ni wale wanao ishi kwa shemeji zao na kulala sebleni kama baiskeli wakijuwa maisha wameyamaliza.
@joycejoel16334 ай бұрын
Sospeter hao wanao comment ujinga sio kwamba ni wajinga ila ndo wale ambao Genge la wahuni wa chache ni ndugu zao .
@peterkasanga-fw7th4 ай бұрын
Sisi watanzania tumezidi uoga, uwanja wa mpira wanaujaza lkn kwenye masilai ya taifa watu tupo mbali kama hayatuhusu MUNGU awabaliki kemeeni hawa uwauwa nchi niyawote.
@herielimushi4 ай бұрын
Kweli kaka yangu
@user-ow3km3xy8k3 ай бұрын
unatupgania baba lakn wengin wanakuona kama mpuuz tu mungu akulinde baba
@johnsonsabanya58604 ай бұрын
Sema hii nchi inaliwa na watu wachache
@omaryyusuph78773 ай бұрын
Mwamba nakukubali sana
@richardsalim10424 ай бұрын
Yupo thabiti ni hatar,let say ndio Rais patanoga sana
@bonifasimichael13203 ай бұрын
Wame mdhohofisha tundulisu Mungu katuletea msemaji mwingine na Mungu ataibua wakina mwabukusi wengine. Chadema Ni chama makini
@King_Of_Everything4 ай бұрын
👊✌️✊
@PaullKapagala3 ай бұрын
Mboe ungekuwa kama huyu mean bukusi tungekuelewa ondoa upole
@user-hl9xu4vo1qАй бұрын
Yaani mpaka nimejikuta nadondosha michozi, kwann watu wenye usubutu kama hawa wasipewe nchi!!
@bonifasimichael13203 ай бұрын
Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki viongozi wa CHADEMA
@jaberalyafei2744 ай бұрын
Si kweli bwaaaaana sema kweeeeeliii> weweeeeee
@asanterabikimaro90813 ай бұрын
Uko sawa mkuu.❤
@richardsalim10424 ай бұрын
Huyu mwamba ni pafect kinoma mpaka raha kumsikiliza
@user-kp4zp1lr4u3 ай бұрын
Mungu akuongezeee nguvu imeongea point kwenye swala wafugaji
@BartolomeuHenrique-mx1fn3 ай бұрын
Unaendelea vizuri kutetea nchi
@user-ux8ms6ky9i3 ай бұрын
Kweli kaka sisi wakulima wa kahawa miseny tunapangiwa bei na watu ndo maana kahawa zote zinakwenda 10:40 uganda zote zinatoka tz
@skylevelmedia75813 ай бұрын
Speek speek 💪
@peacemwesiga4 ай бұрын
Machozi yananitoka meneno mazito!!
@user-jf7rg1ux9l3 ай бұрын
Safar ya matumain inaonekana.
@SimonLimuruti4 ай бұрын
Wakili wetu mungu tu ndio atake kukuilipa,kweli naomba tukipata dola kuongoza nchi wewe upewe uraisi au umakamu kabisa unnafaa
@clemenceparokola4 ай бұрын
Natamani achukue fomu nchi itakaa sawa
@user-jk6we5qu2x3 ай бұрын
Pamoja mkuu unaipenda nchi yako
@KingBuddah-nx3ui4 ай бұрын
WEWE MWANA SIASA WA MAENDEREO WA UKWELI ASIEKUJUA AKUJUI
@clarencehilary55884 ай бұрын
Rais ajae ni mwambukusi sio samia na hatukutaki kabisa samia achia tanganyika yetu hatukutaki
@denismnubi70013 ай бұрын
Tumuchagie ela za kuchukua fomu ya urais huyu mwamba anatufaa kabisa
@user-cw3vu8mu3k4 ай бұрын
Kweli wamasai wanaonewa
@user-ye3xp1lf7i4 ай бұрын
Kakanakukubari sana
@KijukuuMtemi4 ай бұрын
Huyu jamaa mbabe haogopi dah maneno yako mazima lakini kelele hazifiki pahala wamezuia mpini ww umezuia shoka itakuchinja tu
@peacemwesiga4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@willymdeka60344 ай бұрын
Na mfumo wa chadema umebemendwa na mwenyekiti wa kudumu
@evansdecaprio81964 ай бұрын
Sio kweli
@user-no6sg5vc5z3 ай бұрын
Natamani niwanunulie simu wananchi niwawekee bando pia wakusikilize jamani akili kubwa kama hiii inateketea kwenye kizaungu tusaidie
@user-ub6nh5zq4f4 ай бұрын
Tumekuelewa baba
@bonifasimichael13203 ай бұрын
Chadema mpeni mwabukusi agombee urais Atabeba mpaka ya vipofu bila ushabiki mwabukusi anatosha
@user-dl1mg2qf4nАй бұрын
😢Duuh basi kwa sauti hii unayo itumia ni ya kikoloni kabisa, Zungumza kiswahili ili nguo yake iliyochaka akuelewe vizuri, Aa
@FridayMwassa22 күн бұрын
Kwaani wewe umesoma kwa lugha gani mpaka unamhukumu mwabukisi
@user-bx3ko9ft5t4 ай бұрын
Wewe ni mwamba mtu na nusu nakuunga mkono brother
@karolikisaka89914 ай бұрын
Ni wenye akili tu watakuelewa ila watanganyika wamepofushwa na ccm wasione mbele Kuna nini
@fikirially78754 ай бұрын
Mmemkuta Rais mwenye ustahamilivu 2020 mngejarabu kutanua hiyo midomo kwa yule mwamba mngejua serikali ipo kazini acha ubaguzi wa nchi kipindi cha magu ulikuwa wapi nenda kasimamie familia yako kwanza umalize migogoro kule kwenye familia yako.
@MussaSelemani-wz5np4 ай бұрын
ndio maana tulimuua nahuyu akileta ukuma wake naye anakufa
@MathiasNzungu4 ай бұрын
Wachungaji tunakuombea
@user-pj4mx2ro4h3 ай бұрын
Kazi ya maskio ni kuskia
@prudencemushi69483 ай бұрын
Nimerudi kusikiliza tena leo kujitia hasira...😊
@ZenaMwakalambile4 ай бұрын
Kama sio maigizo kwani bandari ziko studio,kafanye fujo kwenye hiyobandari.
@allonjoseph54674 ай бұрын
hivi ww unamaanisha ww upo salam?? au unapepo lina kusumbua ccm imekuwa jini linalo nyonya wana nchi wake ipo siku utajua hujui mungu yupo acha azungumze ss tunamuelewa
@giftkalenge4183 ай бұрын
mwambukusi anatakiwa sana CDM
@mariamumechara33984 ай бұрын
😮asate kaka erim nzali sana
@user-do5by8jl6g4 ай бұрын
Hiyo dio faidabya kusoma mauwa ya pongezi kwa Bob nyanga makani wakiri msomi kwa kuwaigisha vijana matunda yako bob tunayaonabmungu akupunguzienadhabu ya kaburi hayati bob nyanga makani vijana wako wapo wanapambana
@denismnubi70013 ай бұрын
Aisee tumuchagie ela ya fomu ya urais huyu mwamba anatufaa ksbisa
@MuhojaMalicho4 ай бұрын
Ww ni mzaredo wetu
@user-yj9un6iz9c4 ай бұрын
Mbona unafoka ndugu yangu na wewe bado sana kwenye siasa naona kama unalala Mika sema sera zako wewe
@JoshuaStanley-qu3im4 ай бұрын
Watu tuna hasira tumechoka
@user-yj9un6iz9c4 ай бұрын
Sawaaa Fanya kazi
@MACHOYATAI-jk6fu4 ай бұрын
Mako anajuwa akili zako ndogo?
@user-qg3kf1ue7z2 ай бұрын
ateuliwe mgombea 🎉 Cdm
@francissimwinga-gb2vdАй бұрын
Kweli mwambukusi musomi unaitendea haki elimu Yako wakati wasomi wengi wamegeuka machawa wewe umekataa Kwa kupigania kizazi kijacho
@KingBuddah-nx3ui4 ай бұрын
NA ANAEKUELEWA ANAKUELEWA VIZURI SANA
@user-dl1mg2qf4nАй бұрын
Kwa hivyo Dubai sio Nchi ila Tanzania ni nchi? Sometime nyinyi wasomi mnatufanya mazuzu, watu waliotuacha mbali sio nchi ila Tanzania ndio nchi😂, sectors karibu zote hakuna nchi haina wageni