Yap yap siku zote nakukataa maneno yako ya ovyo ila leo umeongea kimichezo zaidi naona umekomaa sasa.
@simeonmazigo59183 ай бұрын
Ukimkataa wewe anapata hasaragan?😅😅😅😅
@criminalminds77233 ай бұрын
Ulimkataa jeh yeye anakujua Kwanza?pili anakukubali??tafta hela Mzee Baba uache kumkataa mtu ambae hakujui
@allymwinyi9703 ай бұрын
Leo Mwakinyo umeongea kimichezo na kiukomavu zaidi Maashallah .Endelea hivyo, acha maneno na majibu magumu. Wakati wa ubinadam, ujamaa na uzalendo kuwa hivyo. Utafika mbali sana ndugu. Be blessed.
@deodaud34783 ай бұрын
Kumbe umebadilika make nimependa kauli zako kwa mabondia wenzako kwa leo
@SaidiYahya-t1c3 ай бұрын
Champezz one time two timez all the times
@barakamwasala2283 ай бұрын
Yeye alienda na viatu pea ngapii ulaya alivyosema kiatu kinabana
@masoudhamad15923 ай бұрын
Mtoto wa Fatma Kungwi siku zote huongea pumba... eti"Apigwe aanguke" Acha roho mbaya dogo
@fadhilially73573 ай бұрын
UYO MTANGAZAJI MI NAONA ANAWEZA AKAWA SHOGA MASWALI YAKE YA KIKUMA SANA
Sasa ww kiatu c kilikubana ujeruman hukuwa na 2pair? Broo
@SadickAbdallah-d5n3 ай бұрын
Yan katika siku mwanang umeongea points leo broo umeonesh ukubwa wako na hekima yak kaka
@StevenDaniel-dc6cy3 ай бұрын
Ww xikia vzr hio Crip usilopoke mwakinyo wap alipo mcrashi MTU na kumsema hajafanya vzr 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Abeid-w4c3 ай бұрын
Mwakinyo nishamkosoaga sana juu ya kauli zake akihojiwa Leo Nampongeza sana juu ya mahojiano yake ameongea kikubwa kikomavu zaidi akiendelea hivi atavutia wengi na kujiheshimisha zaidi hata waliokuwa wanampinga watamkubali big up ngumi sio uadui ni mchezo tena hatari kuna kila sababu mabondia kupendana na kuheshimiana.
@fadhilially73573 ай бұрын
SAFI SANA CHAMPEZ
@KambiAsso3 ай бұрын
Mwakinyo ww mduanzi kwer ww mbona ulisingizia viatu vimekubana ulikuwa hujui kubeba viatu pea mbili
@geofreymwamakula71783 ай бұрын
Big up mwakinyo
@BatirimayoJohn3 ай бұрын
wew ni mkubwa pia sis ni mashabik zako zamani ulikua unaongea point ila cku unazingua japo mi bado nakusapot