No video

MWAMPOSA VIDEO OFFICYALY PASCHAL CASSIAN

  Рет қаралды 103,951

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE

7 ай бұрын

#0766998994 #call0688199370 #

Пікірлер: 612
@harrisonkahindi
@harrisonkahindi 6 ай бұрын
Huu ni ujumbe ambao sisi wakristo wengi hatutaki kuskia ,hususan waimbaji wa injili na wahubiri .....maana injili ya kweli ni upanga na moto ulao. Pascal Mungu azidi kukuinua ,akupe maarifa zaidi na neema inayotosha.
@Qwang6
@Qwang6 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂sawa mtumishi
@JuniorSimbeye
@JuniorSimbeye 6 ай бұрын
Na injiri ya kwer iubiliwe Nimependa san ujumbe huu Mungu akujalie vipawa zaid❤❤❤
@user-zi5ck7ot5t
@user-zi5ck7ot5t 6 ай бұрын
Amen Amen ..Amen...nimebarikiwa sana ....Endelea kusema kweli Na Mungu wa mbinguni akulinde mtumishi...namkubali Yesu aliye ndani yako.
@NatashapraizzyPraizzy-p7u
@NatashapraizzyPraizzy-p7u 21 күн бұрын
😢Barikwa sana mtumishi kwa nyimbo zako.
@imanimwanuke6103
@imanimwanuke6103 6 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu mtumish wa mungu
@fradynicholous2579
@fradynicholous2579 6 ай бұрын
Amen iyo ndio injiri ya Yesu kristo aloyotuagiza. Kusema kwel
@ShukraniMtweve-jc3cb
@ShukraniMtweve-jc3cb 6 ай бұрын
Ubarikiwee mtumishi watu wanaamin mafuta kuliko kum wamini mungu wa kweli lazma ukweli usemwe watu wapone Mana mungu alisema tupendane uonapo mwenzio anangamia lazma umsaidie
@andrewnyenza
@andrewnyenza 6 ай бұрын
Waachieni watu wamwabudu Mungu wa kweli💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
@masaulihassan2740
@masaulihassan2740 6 ай бұрын
I'm muslim pure, but pascal cassian I'm listening his song every day,the fact artist to me
@hclever7731
@hclever7731 5 ай бұрын
Kulikuw na haja ya kusem I'm Muslim
@nasrathyusuph3964
@nasrathyusuph3964 5 ай бұрын
im muslim too but this guy is just so good
@user-dr3zw3iw5t
@user-dr3zw3iw5t 6 ай бұрын
Ungu akubariki sana ulichokiimba ni kweri na Amina kabisa Mungu akulinde kassian
@nolascosanga2301
@nolascosanga2301 6 ай бұрын
Safi sana be blessed tumechoka kuona watu wanafugwa ufahamu kwajili ya kutafuta miujiza
@jericonzogolo149
@jericonzogolo149 6 ай бұрын
Mnaombishia mtumishi passical cassian mtajua siku ua mwisho Yesu akirud
@djchiccotzofficialdjorigin1280
@djchiccotzofficialdjorigin1280 6 ай бұрын
NICE SONG UKWELIIIIIII
@user-dr3nf1fy1w
@user-dr3nf1fy1w 6 ай бұрын
Hakuna binadamu aliyekamilika ila Mungu anawajua waliowake tangu kuumbwa kwa msingi wa dunia
@user-yd4vy7le3h
@user-yd4vy7le3h 6 ай бұрын
hii nyimbo imenibariki sana baba kemea zambi kwa nguvu usichoke hata watakuchukia watakupiga vita usichoke mungu atakulipa
@user-ii1qk9xn9z
@user-ii1qk9xn9z 6 ай бұрын
Waachie wana wa Mungu, siku zimefika Yesu anarudi. Manabii wote wa uongo waachie watu waabudu Mungu kwa roho na kweli sio mwilini. Wanahubiri injili ya mwilini, matendo ya mwilini na watu nao bado wanaoona na kusikia lkn macho yao yamepofushwa na kupenda vya ulimwengu huu. Ubarikiwe sana mtumishi 🙏🙏
@leonidasbzzojoyhatung3118
@leonidasbzzojoyhatung3118 6 ай бұрын
Nyimbo za pascal Cassian zinaujumbe mzito .nami zimenifundisha neno la Mungu kabisa.🙏🙏🙏
@user-ii1qk9xn9z
@user-ii1qk9xn9z 6 ай бұрын
@@leonidasbzzojoyhatung3118 sana yaani
@abelmbata37
@abelmbata37 6 ай бұрын
Huyo Mungu wa kweli yuko wapi? Hao watumishi wa kweli wako wapi mbona hamuwataji? Ukimwambia mtu aondoke lakini humuonyeshi kwa kwenda hiyo iko sawa? Wapo waliokuwa wavuta bangi je warudi kuvuta?
@user-ii1qk9xn9z
@user-ii1qk9xn9z 6 ай бұрын
@@abelmbata37 Ai jameni wewe mbona wakaa msumbufu kiasi hii! Wauliza Mungu wa kweli yuko wapi? Aliyefanya uamke leo ni Yeye na pumzi unayotumia ni Yeye... Mungu yupo aliyetuokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake; pia watumishi wapo.... wanaohubiri kweli ya kristo na sio kuuza mafuta. Kristo hakufa kwa ajili ya mahitaji tu kila siku... mahali unahubiriwa kuacha dhambi na toba fuata hiyo madhabau.
@user-ii1qk9xn9z
@user-ii1qk9xn9z 6 ай бұрын
@@abelmbata37 Kuna Mungu mmoja tu wa kweli, jina lake Yehova. Zaburi 83: 18. Yeye ni Roho; hatuwezi kumuona. Anatupenda, naye anataka tumpende. Anataka tuwapende watu wengine pia. Yeye aliye juu zaidi, muumba wa vitu vyote
@godfreymanyilizu5789
@godfreymanyilizu5789 6 ай бұрын
Siku hizi Hadi kwaya Zina kiki duu noma sana.😅😅😅
@REHEMACONERIOCOSTANCE
@REHEMACONERIOCOSTANCE 6 ай бұрын
Njaa tu haliyonanyo anatafuta umaalufu kwa nguvu, huyo Mwamposa unae mjaji yupo kimya pole sana ndugu yangu wewe ungekuwq umekamilika ungemuacha mkeo na kumuimbia nyimbo nikweli wewe una hofu ya Mungu wewe
@user-ku3vb9ph3x
@user-ku3vb9ph3x 5 ай бұрын
upo sahii
@millyarapta6933
@millyarapta6933 6 ай бұрын
This man was in freemason sometime back, for him to mention those servants he has reasons.lets be wise. He has a good message to the church of Jesus Christ.Naomba tumsikize.
@willykaule6615
@willykaule6615 6 ай бұрын
I wish i saw when he was getting his deliverance from freemason. Who delivered him?
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 6 ай бұрын
Yes he has reasons. Good reasons. May Jesus protect him more
@Qwang6
@Qwang6 6 ай бұрын
The problem is he fight direct with the people who are in the same family to show some weakness which he thinks they have, you can't create a good picture to others who worship the God through him. He must tell the truth to the people who have not yet accept the presence of God at all , that is his duty and responsibilities not to insult them infront of mass why dont he sent message to them directly personaly without others!!! dont you see that bro
@user-py9qh7sz6s
@user-py9qh7sz6s 2 ай бұрын
Fact
@piusmodest9663
@piusmodest9663 6 ай бұрын
bro God bless you yaani kile unafanya ni kikubwa sana kwa Jina la YESU watu wapokee
@furahag3098
@furahag3098 6 ай бұрын
Eeeh mungu Linda mtumishi wako aendelee kufungua macho wote ili tujue ukweli ambao hatujaskia kwa makanisa 🙏🙏🙏
@kasangagregory5747
@kasangagregory5747 6 ай бұрын
Anao waimbaga wako kimya tu wanaendelea na kazi. Lazima tukubali tu Mungu anaweza akafanya vitu kwa ukubwa na kushangaza. Ila wengi tunaingia kwenye mtego wa kufikiri ni shetani. Mungu atusaidie sana
@feddymwanga5462
@feddymwanga5462 27 күн бұрын
Tuhubirieni neno, hao manabii na mitume twaache na Mungu wao
@ckevents3593
@ckevents3593 6 ай бұрын
Mungu akubariki kwa kulijua hilo na kuliweka wazi. ukwe lazima usemwe. Nabii ni mmoja tu tulie nae. Na sio vinginevyo
@matildamushi1741
@matildamushi1741 6 ай бұрын
Pole Sana hujui unachokiimba nakuonea huruma.
@user-kv7iq4gh3i
@user-kv7iq4gh3i 6 ай бұрын
Nipo nimekaa nasoma comment nani wingine anasoma comment 😂😂😂 maana naona mechi Kali sana mwaposa FC Vs Nabii
@zaitunmwaktawa6971
@zaitunmwaktawa6971 6 ай бұрын
Mimi
@user-ku3vb9ph3x
@user-ku3vb9ph3x 5 ай бұрын
mimi
@gabrielkyando2632
@gabrielkyando2632 2 ай бұрын
God bless you pascal,, kwenye waimbajii hapo ni hatar hasa kwa waimbajii wanawake kuwaacha waume zao imekuw to much
@paulsimon9871
@paulsimon9871 6 ай бұрын
Mtumishi Paschal Cassian umekosea pakubwa sana kujiwekelea kwenye msalaba hakika tubia hiyo dhambi n
@user-nj4nn5ig1w
@user-nj4nn5ig1w 6 ай бұрын
Ameni hawataki kusoma neno nabado watakanyaga vingi tu, Watu wangu wanapotea kwakukosa maarifa,
@panduafricangiant4902
@panduafricangiant4902 6 ай бұрын
Vita ya uchumi ngumu sana😂😂😂
@MargrethMloka
@MargrethMloka Ай бұрын
Sema sana usinyamaze
@user-dz7yc1xh1v
@user-dz7yc1xh1v 6 ай бұрын
Heeeeeeei watumishi mmefikia huko kutungiana nyimbo uwiiiiii yesu rudiiii
@justinmande4238
@justinmande4238 6 ай бұрын
Mungu hakusaidie kumjua zaidi ya hapo lipo fikia akufunguwe zaidi mtumishi
@franksarwatt9084
@franksarwatt9084 6 ай бұрын
Amelaaniwa mtu yule angikwaye msalabani Yesu Kristo anatosha wewe unafanyaje sasa
@BarakaMajogoro-mm3ug
@BarakaMajogoro-mm3ug 25 күн бұрын
Mungu akulinde ktk vita uliyo nayo
@SilviaRafael-mc5ki
@SilviaRafael-mc5ki 6 ай бұрын
Yan wewe kila mtu ana dhambi kwahiyo wewe ndo mtakatifu peke yako bas hongera
@user-di9re6cb6p
@user-di9re6cb6p 6 ай бұрын
God bless u, wakuabudiwa ni Mungu pekeee
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 6 ай бұрын
Ufunuo ni wa Siku moja.Nashangaa sanaa..Sijamsikia Mwaposa anataja damu ya Yesu.Nabii mkuu ni Yesi tu.sema watu wapone
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 6 ай бұрын
Hakika haswaa
@user-vb7tu5zs9d
@user-vb7tu5zs9d 6 ай бұрын
Ndugu yangu tumwachie mungu afanye kazi sake ss sio mahakimu Hakuna mkamilifu chini ya jua kila mtu anamapungufu yake hata ww poa hujakamilika
@user-vg9ou8zo4z
@user-vg9ou8zo4z 5 ай бұрын
MUNGU anatumia binadamu kufikisha ujumbe wake,, muimbaji haja hukumu ila amefikisha ujumbe,, najua mpaka kufikia kuimba hivyo amefanya research through maandiko matakatifu so ana uhakika na anachoimba.
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 6 ай бұрын
Mtwanga maji kwenye kinu.. shetani uliyetumwa na mungu kuja kuwajaribu Imani ya wakristu
@AlexSindima
@AlexSindima 6 ай бұрын
Iv wewe ni nabii mzee au acha mdomo wewe ni mungu mungu ndo anajua haki Kama umekosa nyimbo za kuimba nyamaza ata mpumbavu akinyamaza huhesabiwa hekima
@alphonceshayo1726
@alphonceshayo1726 6 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu. Jitafakari na ujitathmini. Siku ukiamka huko ulipo utakuwa umechelewa na utajuta. If you won't change; Your days are numbered man of God. The almighty God will erase you permanently Himself!
@samirsultan8548
@samirsultan8548 6 ай бұрын
Amn ukwel wowote,kwann uwataje watumishi wa Mungu
@user-cg5cz8md2t
@user-cg5cz8md2t 6 ай бұрын
❤❤ amen... Bibilia inasema umepewa bure toa bure. Ukweli uyu mtume ni mpigaji anauza adi udongoo duuuh. Watu tunaangamia kwa kukosa maarifa BWANA MUNGU WA MAJESHI NYOSHA MAPITO YETU. Mana niia tunazopita tunaona ni sahihi lakn ni njia za mauti. Ongoza hatua zetu Bwana
@abednegomadege
@abednegomadege 6 ай бұрын
Amen
@isakanayingo1003
@isakanayingo1003 6 ай бұрын
Mhuu usilolijua eti anauza udongo wap kakuuzia
@mwamatengejay
@mwamatengejay 6 ай бұрын
Hawe wa kweli au wa uongo tunachojua injili Ina hubiriwa Mungu ndo atakaye muhukumu
@user-zb5tg7cl2t
@user-zb5tg7cl2t 6 ай бұрын
isome vizur bibilia itakusaidia na utajua kweli
@brightbillgates6351
@brightbillgates6351 6 ай бұрын
Unamtaka BONIFACE MWAMPOSA mfatilie upone usipotaka acha nenda Makanisa ni mengi sana Iman yako ndio itakayo kuponya.... Acha kusema watumishi wa mungu we mtumikie mungu wako unaemuamin kupitia mchungaj yoyote hapa duniani I LOVE YOU MWAMPOSA
@jaspertheonest
@jaspertheonest 6 ай бұрын
turudi kwenye biblia kuponya maisha yetu ndio ujumbe hapo ,mafuta na chumvi ni ushirikina ,Yesu anajitosheleza ,
@KaseMwaliyoyo-mb3wp
@KaseMwaliyoyo-mb3wp 6 ай бұрын
Amen mungu akubariki mtumishi
@EsterShirima-vr7cv
@EsterShirima-vr7cv 6 ай бұрын
Sijaelewa kikubwa imani sister tukiwa na imani tunaponywa
@user-samweli
@user-samweli 6 ай бұрын
Pascal naomba usome ujumbe wangu ivi kwann nyimbo zako zote una ponda watumishi wa mungu ila wewe umesahau kama ulikua frimasoni nahatujui kama kweli umetoka huko
@deniswills9241
@deniswills9241 6 ай бұрын
Sijui ndio mahubiri yenyewe au lah??!!!!😂
@GenovevarKavikule-it2wc
@GenovevarKavikule-it2wc 6 ай бұрын
Namim nashindwa kuelewa nyimbo zake zote nikuponda watumishi tu akiona mtu kamfanyia jambo zuri anamwimbia kumsifia sasa nashindwa kuelewa katumwa na Mungu au na freemason
@user-mz2wx5dt9v
@user-mz2wx5dt9v 5 ай бұрын
Nyie wapumbavu wa miujiza feki mwacheni paschal aimbe ukweli saw iyo ndo injili tunayoijua
@nicholauschogo7521
@nicholauschogo7521 21 күн бұрын
Elewa neno tubu
@Pendopasilika
@Pendopasilika 3 ай бұрын
Aisee barikiwa mwana wa MUNGU ujumbe huu unachoma sana maana umeimba ukiwa rohoni sana umevuviwa na nguvu ya MUNGU barikiwa sana
@dorotheabadili4526
@dorotheabadili4526 6 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi, Unachosema ni kweli kabisa Hakuna nabii kwa hiki kizazi nabii wa mwisho ni yohana mbatizaji tangu hapo tunaishi katika ukamilifu wa nyakati gal 4;4 Mafuta kwa sasa ni Holy spirit, uliona wapi Roho anakanyangwa,Roho Mtakatifu yupo ndani ya mtu si nje, Mungu atusaidie kuyaelewa maandiko kwa kweli
@WilliamMandwanga
@WilliamMandwanga 2 ай бұрын
Mtumishi kweli jumbe zako.zinafunuo wa RoHo MTAkATiFU
@emakulathjmkhai3736
@emakulathjmkhai3736 6 ай бұрын
Cha msingi ni kuhubiri Neno la Mungu, kila mtu na achague njia ya kuiendea
@deniswills9241
@deniswills9241 6 ай бұрын
Safi
@meniusjaphet8243
@meniusjaphet8243 6 ай бұрын
Uko sawa ila kwakuwa saiz macho Yao yametiwa Giza hawatakuelewa ila watakuja kuelewa muda muda utakuwa umewaishia ubarikiwe sana mtumishi pascal
@AnordyNyoka
@AnordyNyoka 2 ай бұрын
Amina
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 6 ай бұрын
Kiki zimefika kwenye Nyimbo za Injili
@djchiccotzofficialdjorigin1280
@djchiccotzofficialdjorigin1280 6 ай бұрын
WAAMBIEEE UKWELIIIIIIII
@siphaholelaholela6956
@siphaholelaholela6956 6 ай бұрын
Haisaidii kitu kwendaaaa
@innocenteliyaofficial7645
@innocenteliyaofficial7645 6 ай бұрын
Mungu akulinde mtumishi wa Bwana
@BrendaShiriswa-lo5wx
@BrendaShiriswa-lo5wx 6 ай бұрын
Ukweli mujungaji mungu akubariki hii wembo naisikiyanga kila siku ukweli kabiza from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪and i love you song🎉🎉🎉🎉🎉
@EliaminiJoshua
@EliaminiJoshua 6 ай бұрын
Enyi watu watu wa Mungu fungukeni,hao manabii wengi wapo kwaajil ya utapeli...somen neno la Mungu fungukeni.....mtakanyagishwa mafuta mpka mkome
@JOMBA111
@JOMBA111 6 ай бұрын
Eleza mwinjilisti uwe na moyo usichoke, unatumia moyo na tunaokufuatilia,
@JoshuaJerryS
@JoshuaJerryS 6 ай бұрын
I feel the anointing 🙏
@mutabazijoseph-mo6ww
@mutabazijoseph-mo6ww 6 ай бұрын
Kweri kabisa upo sahihi
@christiangabrieli8527
@christiangabrieli8527 5 ай бұрын
Yaan skujua vizur kumbe unawaimba. Watumishi pole sanaaaaa
@joycefaida6548
@joycefaida6548 6 ай бұрын
Mungu akubariki Sanaa🙏,,,Mungu azidi kukupa ujasiri na Maisha marefu,,,wote tunajua ukwel
@GaudeIgonzela-pv2vk
@GaudeIgonzela-pv2vk 6 ай бұрын
Jamniiii hata wewe hauelewi kama ni nabii wa kweli maana hapo upo tu kama kutafuta kiki bac kama na wewe kweli ni mtumishi wa MUNGU ujewafata private ukawaambia sasa kukaa mnatuchanganya huku mtandaoni hatuelewi nan ndio wa kweli na mtumishi wa MUNGU huwajioshi kwa kutumia watu bali yeye mungu humtambulisha kwamba ndio kwamba huyu ni wake sasa wewe mwenyewe hueleweki
@user-tz4ik4wi2p
@user-tz4ik4wi2p 6 ай бұрын
GOD PROTECT YOU SO MUCH MY BROTHER WE LOVE YOU SO MUCH
@MartinMangi-gi2dp
@MartinMangi-gi2dp 6 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa kusema kweli wapinge wakubali ila kweli utaishi milele, nimekubalikuwa bwana anainua watu ambao wanamukilisha katka roho nakwel kwa ajili ya kanisa lake
@cecymwasija8061
@cecymwasija8061 6 ай бұрын
Axnt kwa ujumbe
@user-ss8ym3ut3s
@user-ss8ym3ut3s 6 ай бұрын
Tuachie mwamposa wetu umekosa chakuimba acha kutafuta kiki broo Tena acha usihukumu usije ukahukumiwa kama unasoma Bibilia kweli
@clasclass
@clasclass 5 ай бұрын
Ebu mfuatililie mtume Meshack usikie ana vofunza neno,achaneni na hao kina mwamposa ni jehanamu wanawapeleka tu
@clasclass
@clasclass 5 ай бұрын
Ebu mfuatililie mtume Meshack usikie ana vofunza neno,achaneni na hao kina mwamposa ni jehanamu wanawapeleka tu
@eliasbonda9802
@eliasbonda9802 2 ай бұрын
Tuoneshe alipohukum! Inamaana mtu akis3ma ukweli anakua amehukum?
@Theneptune763
@Theneptune763 3 күн бұрын
NI VYEMA KABLA YA MTU KUZUNGUMZA AMA KUHUKUMU JAMBO AFIKIRIE SANA NA AKUWE ANAFAHAMU NENO VIZURI .Hivi wewe hujui huduma nitofauti ???? kwani unaisoma bibilia gani jameni ??? ama atahujui unachosoma ?? Mtume meshack ana jukumu na huduma yake amabyo bwana amempa pia vile vile Pascal Cassian mungu kuna huduma yake maalum amempea >>>>>sasa yeye anacho kisema hapa ni huduma yake sio ya meshack .Mungu akusaidei na akupe hekima na neema ya kuelewa kazi ya mungu ,.Bwana amumbariki mtumishi wake Pascal Cassian
@rashidmatata4386
@rashidmatata4386 5 ай бұрын
hatumjui mtumishi wa kweli anaye tuhubiria neno la Mungu wanakondoo wenzangu wengi wao ni waganganyifu 2 soln ni kuwana na imani yako mwenyew kwa kufanya mema uliyo amuliwa na bwana @Mungu wetu
@johnsonlweyemam7944
@johnsonlweyemam7944 6 ай бұрын
CASIAN anatafuta kiki kwa hao watumishi wa Mungu ...nafikir walio karibu nae wanampotosha hajui atendalo...Huduma ya mafuta na maji ipo Ki Biblia ,.Manabii waliwapaka mafuta wagonjwa nao wakapona...yesu alipomwambia yule kipofu kanawe KTK mto mara 7 nawe utapona ..wazee walipaka mafuta wagonjwa nao wakapona .CASINN ACHA KUPOTOSHA JAMII
@user-fc6qc8np5n
@user-fc6qc8np5n 5 ай бұрын
Lakn ilikua ni bure sio hela
@PenieDaniel
@PenieDaniel 4 ай бұрын
Kweli kabisa ​@@user-fc6qc8np5n
@davidmagesa6773
@davidmagesa6773 6 ай бұрын
Wewe kasian unawivu sana maisha Yana kuchapa mtu akifanikiwa kidogo maneno Yana anza punguza mdomo
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 6 ай бұрын
Hasira za njaa😢
@user-py9qh7sz6s
@user-py9qh7sz6s 2 ай бұрын
Mungu akutoe gizan
@Moviany31
@Moviany31 6 ай бұрын
Kutokuamin unachofanya sio zambi ila achen kupigana majungu huwezi kubadili iman za hao watu au wewe umepewa uwezo wa kuona nyoyo zao
@Jesuslovesus10670
@Jesuslovesus10670 6 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi,, very true 💯💯
@user-cq2os8we1n
@user-cq2os8we1n 6 ай бұрын
Nguvu ya Yesu iko inatenda kazi sema wakichukia watapoatu bado kitambo kidogo Yesu anakuja
@langatkennedy3947
@langatkennedy3947 6 ай бұрын
Barikiwa Paschal cassian
@pendorobert3552
@pendorobert3552 6 ай бұрын
😭😭😭nyimbo mpk imeniliza watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa mungu akubariki kaka damu ya yesu ikukinge na vita vyote na nira mbaya kwako
@JerusaMkuyu-pw1zo
@JerusaMkuyu-pw1zo 3 ай бұрын
Huyu baba nampenda sana 😆😅😅
@stephenonyiso2124
@stephenonyiso2124 6 ай бұрын
Kosa ulilofanya nikujiweka msalabani lakini ujumbe uko sawa ❤ twataka nyimbo kama hizi sio kushusha nyavu kila mwaka Nyimbo zinazotukumbusha kutubu dhambi
@isacklameck5647
@isacklameck5647 6 ай бұрын
Hakuna kosa kwasababu huo ni ubunifu, na kumbuka kuwa zamani za wagalatia waliokuwa wanasurubiwa ni waharifu yaani watenda maovu so usiseme kakosea kujiweka msalabani, kwani wakati Yesu anasurubiwa hakukuwa na wengine waliosurubiwa??
@Shad-nd6lh
@Shad-nd6lh 6 ай бұрын
Asante San kwa ujumbe wako huu mtumishi wapo watu watakao ukataa huu ujumbe lakn wameusikia mwenye sikio na asikie, nayeyote anae beza huu ujumbe naye nimoja Kati ya hao manabii hongera San bro
@marobaraka
@marobaraka 6 ай бұрын
Safi ujumbe mzuri
@user-gp4zx3yc7e
@user-gp4zx3yc7e 3 ай бұрын
The song is real encouraging,,,
@JonesKapipo-fx8vh
@JonesKapipo-fx8vh 6 ай бұрын
Sasa we ndio uwaubilie watu injili ya kweli sio kudili na ao watu,acha wivu fanya yako mungu na wewe atakuinua,nyimbo yenyewee mbaya
@deniswills9241
@deniswills9241 6 ай бұрын
Huo ndio ukweli aache kudili na watu,yeye akazane atuonyeshe Mungu wa kweli ili watu wafate
@Pendopasilika
@Pendopasilika 6 ай бұрын
Hivi Kuna nyimbo gani ya paschal iliyo mbaya nyimbo zote Zina uvuvio wa Roho mtakatifu wasemaje we kuwa nyimbo mbaya nyimbo nyimbo zake Zina uwamsho sema ninyi mmefungwa na shetani ndio maana hamuelewi
@JonesKapipo-fx8vh
@JonesKapipo-fx8vh 6 ай бұрын
Acha ushabiki wa kijinga ww,
@Deboraclementgm
@Deboraclementgm 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@pianaEzra
@pianaEzra 3 ай бұрын
Mungu aendelee kukutunza mtu wa mungu uendelee kutufunulia
@zejophluma
@zejophluma 5 ай бұрын
Barikiwa sana kwa kufungua fahamu za wengi japo imani huonekana kuwa ujinga kwa asiye amini
@mesiatv6225
@mesiatv6225 6 ай бұрын
Hoooo mtumishi siri zilizofichwa machoni pa mwanadamu anae weza kuzifichua mungu kwahiyo yote saw ila bwana wa majeshi anjua ameeeeen
@SukaDmGuy
@SukaDmGuy 6 ай бұрын
Big up sana bro umetisha sana wimbo umeeleweka na injili imetangazwa
@hoseamligula8092
@hoseamligula8092 6 ай бұрын
Dah huyu jamaa anaimba ukweli 💯
@user-sk9zr4bn2k
@user-sk9zr4bn2k 6 ай бұрын
Alicho kiimba na kukisema nikwel, tena ile kweli iliyo kweli ujumbe huoo sio nguvu yake kuuweka wazi bali kwa nguvu ya mungu ilioko ndani yake imemfanya aseme kweli na ukweli unaumaaaa🎉🎉🎉❤❤❤
@MajumbaMajumbamajumba
@MajumbaMajumbamajumba 6 ай бұрын
Usiukumu ukaja ukumiwa
@MajumbaMajumbamajumba
@MajumbaMajumbamajumba 6 ай бұрын
Iyo nikiki nyibo sanauza
@MajumbaMajumbamajumba
@MajumbaMajumbamajumba 6 ай бұрын
Kama una mungu wakweli homba uduma ya uongo ivunjike
@user-ee9ye3qt6l
@user-ee9ye3qt6l 5 ай бұрын
God bless you my brother 🙏🙏🇰🇪🇰🇪, that's true
@eliassoingei2046
@eliassoingei2046 6 ай бұрын
Huo nguvu unaotumia kupambana na wanadamu waliochagua njia zao ni vzr ukatumia kumtangaza Yesu na kusema ukweli.
@EzekielMsigwa
@EzekielMsigwa 6 ай бұрын
Kama ivi au
@deniswills9241
@deniswills9241 6 ай бұрын
Kabisaaa manake anatumiaa nguvu kubwa kuchambua watu badala atuonyeshe huyo Mungu wake wa kweli
@martinclassic7595
@martinclassic7595 6 ай бұрын
Acha afikishe ujumbe uwezi kumpangia pia kwa vile na wew umeamuwa kuja ku comment hapa nibora ukaenda kwengine
@frankdanford8245
@frankdanford8245 6 ай бұрын
Kwani anachofanya kina ubaya gani kazi ya mtumishi wa MUNGU ni kumtangaza Mungu kuwarejesha watu kwa Muumba wao na kuwaonya/kuonya pale inapobidi so hiyo nayo ni kazi ya Mungu.
@user-kx5ov9wv4q
@user-kx5ov9wv4q 6 ай бұрын
Hiyo pia ni njia mojawapo ya kumtangaza Yesu,, mahubiri sio lazima usimame majukwaani na kupaza sauti hata uimbaji ni Mahubiri tena yanafikisha ujumbe kwa haraka zaidi.
@anethjoseph4542
@anethjoseph4542 6 ай бұрын
Mnatuchanganya hatujui nani kweli , hivi mnakwama wapi kuwafata live wafateni waambieni ukweli , Tanzania ni huru , sisi wasikilizaji mnatuvuruga na mtafanya tuwaone wote ni waongo , au mnaogopana, Mungu nifunge kinywa Ugali unatumbua sana wa Tz waliotuletea hawa Mungu na Miungu wao wamerelax huko Mabarani kwao huku ndiyo tunazozana Uwii
@zillytash693
@zillytash693 6 ай бұрын
Upatapo nafasi ongeza juhud kusoma biblia utajua ukweli
@machendetv
@machendetv 6 ай бұрын
Mungu akupe nguvu ndugu yangu kwa haya ambayo unayahuburi
@Mwanawanoah
@Mwanawanoah 2 ай бұрын
❤❤❤ penda sana pascal
@siphaholelaholela6956
@siphaholelaholela6956 6 ай бұрын
Ndicho kinachokutesa wivu hilo kundi la kweli kwendaaa
@monicamtotomwema9845
@monicamtotomwema9845 3 ай бұрын
Injili ya kweli Huwa haiendi na WAKATI...neno litasimama ila mambo yote yatapita
@JustinaMambo-bs4fh
@JustinaMambo-bs4fh 6 ай бұрын
Amen 🙏 love from Zambia
@veronicamsophe5000
@veronicamsophe5000 4 ай бұрын
Mungu naomba tusaidie kupata kufunuliwa Mach ya rohoni maana ilitabiria watakuja manabii wa uongo saa umefika na wakati umefika Mungu tusaidiee
@jacobkibena762
@jacobkibena762 5 ай бұрын
Ooh yaliyonenwaa Yaliyoosemwa na manabii yanatimia Yaliyonenwaa hayoo yanatimia. Watu wangu Waangamiaa! Kwa kukosa maarifa Kwa kukosa maarifa! Wamezigeukiaaa njia zao mbaya, Kwa kutaka mafanikio ya haraka. Adui shetanii amewatekaa Aduii shetanii ameteka fahamu zaoo 😢😢 Naishia hapo.
@christopherkarisa
@christopherkarisa 5 күн бұрын
Bony mwaitege God bless you for your love
Israel Mbonyi - Nina Siri
11:11
Israel Mbonyi
Рет қаралды 55 МЛН
Israel Mbonyi - Nitaamini
12:58
Israel Mbonyi
Рет қаралды 23 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 11 МЛН
小宇宙竟然尿裤子!#小丑#家庭#搞笑
00:26
家庭搞笑日记
Рет қаралды 10 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 58 МЛН
Can A Seed Grow In Your Nose? 🤔
00:33
Zack D. Films
Рет қаралды 24 МЛН
Bony Mwaitege - MWALIMU (Official Music Video)
6:34
Bony Mwaitege Official
Рет қаралды 62 М.
WANA MWIMBIA. SHETANI PASCHAL CASSIAN VIDEO. MUSC
7:54
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 599 М.
UVUMILIVU UMEMSHINDA CASIAN KAMFATA RAISI SAMIA KIBOKO YAWACHAWI MWAMPOSA  EV PASCHAL
1:01:02
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 36 М.
MAOMBI YANGU Bella Kombo cover YAFIKE KWAKO AND HIYO DAMU, DAMU TAKATIFU WORSHIP BY DANYBLESS
25:33
UNIONDOLEE MAJIVUNO [Rose Muhando cover] WATU WOTE TUBUNI TUACHE DHAMBI By Minister Danybless
23:01
HEAVEN SOUND ONLINE TV KENYA[MinisterDANYBLESS]
Рет қаралды 732 М.
CASSIAN AMKEMEA MATHA NAKAJALA KUWA KUWA UCHI EV PASCHAL CASSIAN
1:03:45
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 13 М.
WA ACHIENI WATU VIDEO OFFICIALY PASCHAL CASSIAN
11:53
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 354 М.
SABABU  ZA KUACHA KUHUBRI INJILI  EV PASCHAL CASSIAN AONGEA
34:48
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 14 М.
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 11 МЛН