Huu ni ujumbe ambao sisi wakristo wengi hatutaki kuskia ,hususan waimbaji wa injili na wahubiri .....maana injili ya kweli ni upanga na moto ulao. Pascal Mungu azidi kukuinua ,akupe maarifa zaidi na neema inayotosha.
@Qwang66 ай бұрын
😂😂😂😂😂sawa mtumishi
@JuniorSimbeye6 ай бұрын
Na injiri ya kwer iubiliwe Nimependa san ujumbe huu Mungu akujalie vipawa zaid❤❤❤
@user-zi5ck7ot5t6 ай бұрын
Amen Amen ..Amen...nimebarikiwa sana ....Endelea kusema kweli Na Mungu wa mbinguni akulinde mtumishi...namkubali Yesu aliye ndani yako.
@NatashapraizzyPraizzy-p7u21 күн бұрын
😢Barikwa sana mtumishi kwa nyimbo zako.
@imanimwanuke61036 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu mtumish wa mungu
@fradynicholous25796 ай бұрын
Amen iyo ndio injiri ya Yesu kristo aloyotuagiza. Kusema kwel
@ShukraniMtweve-jc3cb6 ай бұрын
Ubarikiwee mtumishi watu wanaamin mafuta kuliko kum wamini mungu wa kweli lazma ukweli usemwe watu wapone Mana mungu alisema tupendane uonapo mwenzio anangamia lazma umsaidie
@andrewnyenza6 ай бұрын
Waachieni watu wamwabudu Mungu wa kweli💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
@masaulihassan27406 ай бұрын
I'm muslim pure, but pascal cassian I'm listening his song every day,the fact artist to me
@hclever77315 ай бұрын
Kulikuw na haja ya kusem I'm Muslim
@nasrathyusuph39645 ай бұрын
im muslim too but this guy is just so good
@user-dr3zw3iw5t6 ай бұрын
Ungu akubariki sana ulichokiimba ni kweri na Amina kabisa Mungu akulinde kassian
@nolascosanga23016 ай бұрын
Safi sana be blessed tumechoka kuona watu wanafugwa ufahamu kwajili ya kutafuta miujiza
@jericonzogolo1496 ай бұрын
Mnaombishia mtumishi passical cassian mtajua siku ua mwisho Yesu akirud
@djchiccotzofficialdjorigin12806 ай бұрын
NICE SONG UKWELIIIIIII
@user-dr3nf1fy1w6 ай бұрын
Hakuna binadamu aliyekamilika ila Mungu anawajua waliowake tangu kuumbwa kwa msingi wa dunia
@user-yd4vy7le3h6 ай бұрын
hii nyimbo imenibariki sana baba kemea zambi kwa nguvu usichoke hata watakuchukia watakupiga vita usichoke mungu atakulipa
@user-ii1qk9xn9z6 ай бұрын
Waachie wana wa Mungu, siku zimefika Yesu anarudi. Manabii wote wa uongo waachie watu waabudu Mungu kwa roho na kweli sio mwilini. Wanahubiri injili ya mwilini, matendo ya mwilini na watu nao bado wanaoona na kusikia lkn macho yao yamepofushwa na kupenda vya ulimwengu huu. Ubarikiwe sana mtumishi 🙏🙏
@leonidasbzzojoyhatung31186 ай бұрын
Nyimbo za pascal Cassian zinaujumbe mzito .nami zimenifundisha neno la Mungu kabisa.🙏🙏🙏
@user-ii1qk9xn9z6 ай бұрын
@@leonidasbzzojoyhatung3118 sana yaani
@abelmbata376 ай бұрын
Huyo Mungu wa kweli yuko wapi? Hao watumishi wa kweli wako wapi mbona hamuwataji? Ukimwambia mtu aondoke lakini humuonyeshi kwa kwenda hiyo iko sawa? Wapo waliokuwa wavuta bangi je warudi kuvuta?
@user-ii1qk9xn9z6 ай бұрын
@@abelmbata37 Ai jameni wewe mbona wakaa msumbufu kiasi hii! Wauliza Mungu wa kweli yuko wapi? Aliyefanya uamke leo ni Yeye na pumzi unayotumia ni Yeye... Mungu yupo aliyetuokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake; pia watumishi wapo.... wanaohubiri kweli ya kristo na sio kuuza mafuta. Kristo hakufa kwa ajili ya mahitaji tu kila siku... mahali unahubiriwa kuacha dhambi na toba fuata hiyo madhabau.
@user-ii1qk9xn9z6 ай бұрын
@@abelmbata37 Kuna Mungu mmoja tu wa kweli, jina lake Yehova. Zaburi 83: 18. Yeye ni Roho; hatuwezi kumuona. Anatupenda, naye anataka tumpende. Anataka tuwapende watu wengine pia. Yeye aliye juu zaidi, muumba wa vitu vyote
@godfreymanyilizu57896 ай бұрын
Siku hizi Hadi kwaya Zina kiki duu noma sana.😅😅😅
@REHEMACONERIOCOSTANCE6 ай бұрын
Njaa tu haliyonanyo anatafuta umaalufu kwa nguvu, huyo Mwamposa unae mjaji yupo kimya pole sana ndugu yangu wewe ungekuwq umekamilika ungemuacha mkeo na kumuimbia nyimbo nikweli wewe una hofu ya Mungu wewe
@user-ku3vb9ph3x5 ай бұрын
upo sahii
@millyarapta69336 ай бұрын
This man was in freemason sometime back, for him to mention those servants he has reasons.lets be wise. He has a good message to the church of Jesus Christ.Naomba tumsikize.
@willykaule66156 ай бұрын
I wish i saw when he was getting his deliverance from freemason. Who delivered him?
@HappyMwaigwisya6 ай бұрын
Yes he has reasons. Good reasons. May Jesus protect him more
@Qwang66 ай бұрын
The problem is he fight direct with the people who are in the same family to show some weakness which he thinks they have, you can't create a good picture to others who worship the God through him. He must tell the truth to the people who have not yet accept the presence of God at all , that is his duty and responsibilities not to insult them infront of mass why dont he sent message to them directly personaly without others!!! dont you see that bro
@user-py9qh7sz6s2 ай бұрын
Fact
@piusmodest96636 ай бұрын
bro God bless you yaani kile unafanya ni kikubwa sana kwa Jina la YESU watu wapokee
@furahag30986 ай бұрын
Eeeh mungu Linda mtumishi wako aendelee kufungua macho wote ili tujue ukweli ambao hatujaskia kwa makanisa 🙏🙏🙏
@kasangagregory57476 ай бұрын
Anao waimbaga wako kimya tu wanaendelea na kazi. Lazima tukubali tu Mungu anaweza akafanya vitu kwa ukubwa na kushangaza. Ila wengi tunaingia kwenye mtego wa kufikiri ni shetani. Mungu atusaidie sana
@feddymwanga546227 күн бұрын
Tuhubirieni neno, hao manabii na mitume twaache na Mungu wao
@ckevents35936 ай бұрын
Mungu akubariki kwa kulijua hilo na kuliweka wazi. ukwe lazima usemwe. Nabii ni mmoja tu tulie nae. Na sio vinginevyo
@matildamushi17416 ай бұрын
Pole Sana hujui unachokiimba nakuonea huruma.
@user-kv7iq4gh3i6 ай бұрын
Nipo nimekaa nasoma comment nani wingine anasoma comment 😂😂😂 maana naona mechi Kali sana mwaposa FC Vs Nabii
@zaitunmwaktawa69716 ай бұрын
Mimi
@user-ku3vb9ph3x5 ай бұрын
mimi
@gabrielkyando26322 ай бұрын
God bless you pascal,, kwenye waimbajii hapo ni hatar hasa kwa waimbajii wanawake kuwaacha waume zao imekuw to much
@paulsimon98716 ай бұрын
Mtumishi Paschal Cassian umekosea pakubwa sana kujiwekelea kwenye msalaba hakika tubia hiyo dhambi n
@user-nj4nn5ig1w6 ай бұрын
Ameni hawataki kusoma neno nabado watakanyaga vingi tu, Watu wangu wanapotea kwakukosa maarifa,
@panduafricangiant49026 ай бұрын
Vita ya uchumi ngumu sana😂😂😂
@MargrethMlokaАй бұрын
Sema sana usinyamaze
@user-dz7yc1xh1v6 ай бұрын
Heeeeeeei watumishi mmefikia huko kutungiana nyimbo uwiiiiii yesu rudiiii
@justinmande42386 ай бұрын
Mungu hakusaidie kumjua zaidi ya hapo lipo fikia akufunguwe zaidi mtumishi
@franksarwatt90846 ай бұрын
Amelaaniwa mtu yule angikwaye msalabani Yesu Kristo anatosha wewe unafanyaje sasa
@BarakaMajogoro-mm3ug25 күн бұрын
Mungu akulinde ktk vita uliyo nayo
@SilviaRafael-mc5ki6 ай бұрын
Yan wewe kila mtu ana dhambi kwahiyo wewe ndo mtakatifu peke yako bas hongera
@user-di9re6cb6p6 ай бұрын
God bless u, wakuabudiwa ni Mungu pekeee
@epifaniamilinga28486 ай бұрын
Ufunuo ni wa Siku moja.Nashangaa sanaa..Sijamsikia Mwaposa anataja damu ya Yesu.Nabii mkuu ni Yesi tu.sema watu wapone
@LucyKapinga-fg4dk6 ай бұрын
Hakika haswaa
@user-vb7tu5zs9d6 ай бұрын
Ndugu yangu tumwachie mungu afanye kazi sake ss sio mahakimu Hakuna mkamilifu chini ya jua kila mtu anamapungufu yake hata ww poa hujakamilika
@user-vg9ou8zo4z5 ай бұрын
MUNGU anatumia binadamu kufikisha ujumbe wake,, muimbaji haja hukumu ila amefikisha ujumbe,, najua mpaka kufikia kuimba hivyo amefanya research through maandiko matakatifu so ana uhakika na anachoimba.
@mtzhalisi22326 ай бұрын
Mtwanga maji kwenye kinu.. shetani uliyetumwa na mungu kuja kuwajaribu Imani ya wakristu
@AlexSindima6 ай бұрын
Iv wewe ni nabii mzee au acha mdomo wewe ni mungu mungu ndo anajua haki Kama umekosa nyimbo za kuimba nyamaza ata mpumbavu akinyamaza huhesabiwa hekima
@alphonceshayo17266 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu. Jitafakari na ujitathmini. Siku ukiamka huko ulipo utakuwa umechelewa na utajuta. If you won't change; Your days are numbered man of God. The almighty God will erase you permanently Himself!
@samirsultan85486 ай бұрын
Amn ukwel wowote,kwann uwataje watumishi wa Mungu
@user-cg5cz8md2t6 ай бұрын
❤❤ amen... Bibilia inasema umepewa bure toa bure. Ukweli uyu mtume ni mpigaji anauza adi udongoo duuuh. Watu tunaangamia kwa kukosa maarifa BWANA MUNGU WA MAJESHI NYOSHA MAPITO YETU. Mana niia tunazopita tunaona ni sahihi lakn ni njia za mauti. Ongoza hatua zetu Bwana
@abednegomadege6 ай бұрын
Amen
@isakanayingo10036 ай бұрын
Mhuu usilolijua eti anauza udongo wap kakuuzia
@mwamatengejay6 ай бұрын
Hawe wa kweli au wa uongo tunachojua injili Ina hubiriwa Mungu ndo atakaye muhukumu
@user-zb5tg7cl2t6 ай бұрын
isome vizur bibilia itakusaidia na utajua kweli
@brightbillgates63516 ай бұрын
Unamtaka BONIFACE MWAMPOSA mfatilie upone usipotaka acha nenda Makanisa ni mengi sana Iman yako ndio itakayo kuponya.... Acha kusema watumishi wa mungu we mtumikie mungu wako unaemuamin kupitia mchungaj yoyote hapa duniani I LOVE YOU MWAMPOSA
@jaspertheonest6 ай бұрын
turudi kwenye biblia kuponya maisha yetu ndio ujumbe hapo ,mafuta na chumvi ni ushirikina ,Yesu anajitosheleza ,
@KaseMwaliyoyo-mb3wp6 ай бұрын
Amen mungu akubariki mtumishi
@EsterShirima-vr7cv6 ай бұрын
Sijaelewa kikubwa imani sister tukiwa na imani tunaponywa
@user-samweli6 ай бұрын
Pascal naomba usome ujumbe wangu ivi kwann nyimbo zako zote una ponda watumishi wa mungu ila wewe umesahau kama ulikua frimasoni nahatujui kama kweli umetoka huko
@deniswills92416 ай бұрын
Sijui ndio mahubiri yenyewe au lah??!!!!😂
@GenovevarKavikule-it2wc6 ай бұрын
Namim nashindwa kuelewa nyimbo zake zote nikuponda watumishi tu akiona mtu kamfanyia jambo zuri anamwimbia kumsifia sasa nashindwa kuelewa katumwa na Mungu au na freemason
Aisee barikiwa mwana wa MUNGU ujumbe huu unachoma sana maana umeimba ukiwa rohoni sana umevuviwa na nguvu ya MUNGU barikiwa sana
@dorotheabadili45266 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi, Unachosema ni kweli kabisa Hakuna nabii kwa hiki kizazi nabii wa mwisho ni yohana mbatizaji tangu hapo tunaishi katika ukamilifu wa nyakati gal 4;4 Mafuta kwa sasa ni Holy spirit, uliona wapi Roho anakanyangwa,Roho Mtakatifu yupo ndani ya mtu si nje, Mungu atusaidie kuyaelewa maandiko kwa kweli
@WilliamMandwanga2 ай бұрын
Mtumishi kweli jumbe zako.zinafunuo wa RoHo MTAkATiFU
@emakulathjmkhai37366 ай бұрын
Cha msingi ni kuhubiri Neno la Mungu, kila mtu na achague njia ya kuiendea
@deniswills92416 ай бұрын
Safi
@meniusjaphet82436 ай бұрын
Uko sawa ila kwakuwa saiz macho Yao yametiwa Giza hawatakuelewa ila watakuja kuelewa muda muda utakuwa umewaishia ubarikiwe sana mtumishi pascal
@AnordyNyoka2 ай бұрын
Amina
@givenessdavid37436 ай бұрын
Kiki zimefika kwenye Nyimbo za Injili
@djchiccotzofficialdjorigin12806 ай бұрын
WAAMBIEEE UKWELIIIIIIII
@siphaholelaholela69566 ай бұрын
Haisaidii kitu kwendaaaa
@innocenteliyaofficial76456 ай бұрын
Mungu akulinde mtumishi wa Bwana
@BrendaShiriswa-lo5wx6 ай бұрын
Ukweli mujungaji mungu akubariki hii wembo naisikiyanga kila siku ukweli kabiza from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪and i love you song🎉🎉🎉🎉🎉
@EliaminiJoshua6 ай бұрын
Enyi watu watu wa Mungu fungukeni,hao manabii wengi wapo kwaajil ya utapeli...somen neno la Mungu fungukeni.....mtakanyagishwa mafuta mpka mkome
@JOMBA1116 ай бұрын
Eleza mwinjilisti uwe na moyo usichoke, unatumia moyo na tunaokufuatilia,
@JoshuaJerryS6 ай бұрын
I feel the anointing 🙏
@mutabazijoseph-mo6ww6 ай бұрын
Kweri kabisa upo sahihi
@christiangabrieli85275 ай бұрын
Yaan skujua vizur kumbe unawaimba. Watumishi pole sanaaaaa
@joycefaida65486 ай бұрын
Mungu akubariki Sanaa🙏,,,Mungu azidi kukupa ujasiri na Maisha marefu,,,wote tunajua ukwel
@GaudeIgonzela-pv2vk6 ай бұрын
Jamniiii hata wewe hauelewi kama ni nabii wa kweli maana hapo upo tu kama kutafuta kiki bac kama na wewe kweli ni mtumishi wa MUNGU ujewafata private ukawaambia sasa kukaa mnatuchanganya huku mtandaoni hatuelewi nan ndio wa kweli na mtumishi wa MUNGU huwajioshi kwa kutumia watu bali yeye mungu humtambulisha kwamba ndio kwamba huyu ni wake sasa wewe mwenyewe hueleweki
@user-tz4ik4wi2p6 ай бұрын
GOD PROTECT YOU SO MUCH MY BROTHER WE LOVE YOU SO MUCH
@MartinMangi-gi2dp6 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa kusema kweli wapinge wakubali ila kweli utaishi milele, nimekubalikuwa bwana anainua watu ambao wanamukilisha katka roho nakwel kwa ajili ya kanisa lake
@cecymwasija80616 ай бұрын
Axnt kwa ujumbe
@user-ss8ym3ut3s6 ай бұрын
Tuachie mwamposa wetu umekosa chakuimba acha kutafuta kiki broo Tena acha usihukumu usije ukahukumiwa kama unasoma Bibilia kweli
@clasclass5 ай бұрын
Ebu mfuatililie mtume Meshack usikie ana vofunza neno,achaneni na hao kina mwamposa ni jehanamu wanawapeleka tu
@clasclass5 ай бұрын
Ebu mfuatililie mtume Meshack usikie ana vofunza neno,achaneni na hao kina mwamposa ni jehanamu wanawapeleka tu
@eliasbonda98022 ай бұрын
Tuoneshe alipohukum! Inamaana mtu akis3ma ukweli anakua amehukum?
@Theneptune7633 күн бұрын
NI VYEMA KABLA YA MTU KUZUNGUMZA AMA KUHUKUMU JAMBO AFIKIRIE SANA NA AKUWE ANAFAHAMU NENO VIZURI .Hivi wewe hujui huduma nitofauti ???? kwani unaisoma bibilia gani jameni ??? ama atahujui unachosoma ?? Mtume meshack ana jukumu na huduma yake amabyo bwana amempa pia vile vile Pascal Cassian mungu kuna huduma yake maalum amempea >>>>>sasa yeye anacho kisema hapa ni huduma yake sio ya meshack .Mungu akusaidei na akupe hekima na neema ya kuelewa kazi ya mungu ,.Bwana amumbariki mtumishi wake Pascal Cassian
@rashidmatata43865 ай бұрын
hatumjui mtumishi wa kweli anaye tuhubiria neno la Mungu wanakondoo wenzangu wengi wao ni waganganyifu 2 soln ni kuwana na imani yako mwenyew kwa kufanya mema uliyo amuliwa na bwana @Mungu wetu
@johnsonlweyemam79446 ай бұрын
CASIAN anatafuta kiki kwa hao watumishi wa Mungu ...nafikir walio karibu nae wanampotosha hajui atendalo...Huduma ya mafuta na maji ipo Ki Biblia ,.Manabii waliwapaka mafuta wagonjwa nao wakapona...yesu alipomwambia yule kipofu kanawe KTK mto mara 7 nawe utapona ..wazee walipaka mafuta wagonjwa nao wakapona .CASINN ACHA KUPOTOSHA JAMII
@user-fc6qc8np5n5 ай бұрын
Lakn ilikua ni bure sio hela
@PenieDaniel4 ай бұрын
Kweli kabisa @@user-fc6qc8np5n
@davidmagesa67736 ай бұрын
Wewe kasian unawivu sana maisha Yana kuchapa mtu akifanikiwa kidogo maneno Yana anza punguza mdomo
@magrethmbuma30456 ай бұрын
Hasira za njaa😢
@user-py9qh7sz6s2 ай бұрын
Mungu akutoe gizan
@Moviany316 ай бұрын
Kutokuamin unachofanya sio zambi ila achen kupigana majungu huwezi kubadili iman za hao watu au wewe umepewa uwezo wa kuona nyoyo zao
@Jesuslovesus106706 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi,, very true 💯💯
@user-cq2os8we1n6 ай бұрын
Nguvu ya Yesu iko inatenda kazi sema wakichukia watapoatu bado kitambo kidogo Yesu anakuja
@langatkennedy39476 ай бұрын
Barikiwa Paschal cassian
@pendorobert35526 ай бұрын
😭😭😭nyimbo mpk imeniliza watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa mungu akubariki kaka damu ya yesu ikukinge na vita vyote na nira mbaya kwako
@JerusaMkuyu-pw1zo3 ай бұрын
Huyu baba nampenda sana 😆😅😅
@stephenonyiso21246 ай бұрын
Kosa ulilofanya nikujiweka msalabani lakini ujumbe uko sawa ❤ twataka nyimbo kama hizi sio kushusha nyavu kila mwaka Nyimbo zinazotukumbusha kutubu dhambi
@isacklameck56476 ай бұрын
Hakuna kosa kwasababu huo ni ubunifu, na kumbuka kuwa zamani za wagalatia waliokuwa wanasurubiwa ni waharifu yaani watenda maovu so usiseme kakosea kujiweka msalabani, kwani wakati Yesu anasurubiwa hakukuwa na wengine waliosurubiwa??
@Shad-nd6lh6 ай бұрын
Asante San kwa ujumbe wako huu mtumishi wapo watu watakao ukataa huu ujumbe lakn wameusikia mwenye sikio na asikie, nayeyote anae beza huu ujumbe naye nimoja Kati ya hao manabii hongera San bro
@marobaraka6 ай бұрын
Safi ujumbe mzuri
@user-gp4zx3yc7e3 ай бұрын
The song is real encouraging,,,
@JonesKapipo-fx8vh6 ай бұрын
Sasa we ndio uwaubilie watu injili ya kweli sio kudili na ao watu,acha wivu fanya yako mungu na wewe atakuinua,nyimbo yenyewee mbaya
@deniswills92416 ай бұрын
Huo ndio ukweli aache kudili na watu,yeye akazane atuonyeshe Mungu wa kweli ili watu wafate
@Pendopasilika6 ай бұрын
Hivi Kuna nyimbo gani ya paschal iliyo mbaya nyimbo zote Zina uvuvio wa Roho mtakatifu wasemaje we kuwa nyimbo mbaya nyimbo nyimbo zake Zina uwamsho sema ninyi mmefungwa na shetani ndio maana hamuelewi
@JonesKapipo-fx8vh6 ай бұрын
Acha ushabiki wa kijinga ww,
@Deboraclementgm6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@pianaEzra3 ай бұрын
Mungu aendelee kukutunza mtu wa mungu uendelee kutufunulia
@zejophluma5 ай бұрын
Barikiwa sana kwa kufungua fahamu za wengi japo imani huonekana kuwa ujinga kwa asiye amini
@mesiatv62256 ай бұрын
Hoooo mtumishi siri zilizofichwa machoni pa mwanadamu anae weza kuzifichua mungu kwahiyo yote saw ila bwana wa majeshi anjua ameeeeen
@SukaDmGuy6 ай бұрын
Big up sana bro umetisha sana wimbo umeeleweka na injili imetangazwa
@hoseamligula80926 ай бұрын
Dah huyu jamaa anaimba ukweli 💯
@user-sk9zr4bn2k6 ай бұрын
Alicho kiimba na kukisema nikwel, tena ile kweli iliyo kweli ujumbe huoo sio nguvu yake kuuweka wazi bali kwa nguvu ya mungu ilioko ndani yake imemfanya aseme kweli na ukweli unaumaaaa🎉🎉🎉❤❤❤
@MajumbaMajumbamajumba6 ай бұрын
Usiukumu ukaja ukumiwa
@MajumbaMajumbamajumba6 ай бұрын
Iyo nikiki nyibo sanauza
@MajumbaMajumbamajumba6 ай бұрын
Kama una mungu wakweli homba uduma ya uongo ivunjike
@user-ee9ye3qt6l5 ай бұрын
God bless you my brother 🙏🙏🇰🇪🇰🇪, that's true
@eliassoingei20466 ай бұрын
Huo nguvu unaotumia kupambana na wanadamu waliochagua njia zao ni vzr ukatumia kumtangaza Yesu na kusema ukweli.
@EzekielMsigwa6 ай бұрын
Kama ivi au
@deniswills92416 ай бұрын
Kabisaaa manake anatumiaa nguvu kubwa kuchambua watu badala atuonyeshe huyo Mungu wake wa kweli
@martinclassic75956 ай бұрын
Acha afikishe ujumbe uwezi kumpangia pia kwa vile na wew umeamuwa kuja ku comment hapa nibora ukaenda kwengine
@frankdanford82456 ай бұрын
Kwani anachofanya kina ubaya gani kazi ya mtumishi wa MUNGU ni kumtangaza Mungu kuwarejesha watu kwa Muumba wao na kuwaonya/kuonya pale inapobidi so hiyo nayo ni kazi ya Mungu.
@user-kx5ov9wv4q6 ай бұрын
Hiyo pia ni njia mojawapo ya kumtangaza Yesu,, mahubiri sio lazima usimame majukwaani na kupaza sauti hata uimbaji ni Mahubiri tena yanafikisha ujumbe kwa haraka zaidi.
@anethjoseph45426 ай бұрын
Mnatuchanganya hatujui nani kweli , hivi mnakwama wapi kuwafata live wafateni waambieni ukweli , Tanzania ni huru , sisi wasikilizaji mnatuvuruga na mtafanya tuwaone wote ni waongo , au mnaogopana, Mungu nifunge kinywa Ugali unatumbua sana wa Tz waliotuletea hawa Mungu na Miungu wao wamerelax huko Mabarani kwao huku ndiyo tunazozana Uwii
@zillytash6936 ай бұрын
Upatapo nafasi ongeza juhud kusoma biblia utajua ukweli
@machendetv6 ай бұрын
Mungu akupe nguvu ndugu yangu kwa haya ambayo unayahuburi
@Mwanawanoah2 ай бұрын
❤❤❤ penda sana pascal
@siphaholelaholela69566 ай бұрын
Ndicho kinachokutesa wivu hilo kundi la kweli kwendaaa
@monicamtotomwema98453 ай бұрын
Injili ya kweli Huwa haiendi na WAKATI...neno litasimama ila mambo yote yatapita
@JustinaMambo-bs4fh6 ай бұрын
Amen 🙏 love from Zambia
@veronicamsophe50004 ай бұрын
Mungu naomba tusaidie kupata kufunuliwa Mach ya rohoni maana ilitabiria watakuja manabii wa uongo saa umefika na wakati umefika Mungu tusaidiee
@jacobkibena7625 ай бұрын
Ooh yaliyonenwaa Yaliyoosemwa na manabii yanatimia Yaliyonenwaa hayoo yanatimia. Watu wangu Waangamiaa! Kwa kukosa maarifa Kwa kukosa maarifa! Wamezigeukiaaa njia zao mbaya, Kwa kutaka mafanikio ya haraka. Adui shetanii amewatekaa Aduii shetanii ameteka fahamu zaoo 😢😢 Naishia hapo.