ASKOFU MWANAMAPINDUZI AIBUA MAZITO JUU YA GARI YA LISSU KUWEKWA MAKUMBUSHO "INATURUDISHA NYUMA SANA"

  Рет қаралды 9,290

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

Күн бұрын

ASKOFU MWANAMAPINDUZI AIBUA MAZITO JUU YA GARI YA LISSU KUWEKWA MAKUMBUSHO "INATURUDISHA NYUMA SANA"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Пікірлер: 36
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 3 ай бұрын
Anapendwa kweli, hata mimi nampenda. Utu wake, uaminifu wake, taaluma yake na misimamo yake. Ni jasiri hapendi rushwa. Mungu ambariki sana .
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 3 ай бұрын
UKITAKA KUMHOJI HUYU ASKOFU MWANAMAPINDUZI UJIPANGE 👏🏼👏🏼
@rogersiddy
@rogersiddy 3 ай бұрын
Kbs hayupo kizembe zembe anajiamini anajielewa sana hana hofu kbs
@essaumapunda5766
@essaumapunda5766 3 ай бұрын
Big up Mtumishi wa Mungu
@jumajukikoti8133
@jumajukikoti8133 3 ай бұрын
Mchungaji unajua sana Mungu akubariki sana
@saidiathuman-og6bc
@saidiathuman-og6bc 3 ай бұрын
Mungu awalinde woooote wanao tetea haki kwa wananchi,,,,,❤
@williammwamalanga1065
@williammwamalanga1065 3 ай бұрын
Hiyo itembezwe kila kijiji cha Tanganyika ili watanzania waione
@user-le7ek2zs4t
@user-le7ek2zs4t 3 ай бұрын
Uko sahihi baba Mungu akubariki haki haishindwi
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 3 ай бұрын
Na tutachangia mara dufu asingekuwa yeye hata swala la bandari,,wamasai kufukuzwa na aridhi ya watanganyika kupewa wageni ametuonesha anavyotenda haki hata ukipigwa sim anapokea tofauti na wale viongozi walivimba vichwa lisu oyeeeeeee
@user-sz6ht5wm2g
@user-sz6ht5wm2g 3 ай бұрын
Upo sawa mtumishi wa Mungu
@aloycemisigalo3983
@aloycemisigalo3983 3 ай бұрын
Mwanamapinduzi kiukwel huwa unajua kufafanua na kujibu maswali ya waandishi wa habar, wewe ni lulu katika nchi.
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 3 ай бұрын
Huyu lisu anafaa kuwa rais maana anasifa kwanza ni mwanasheria tofauti na wale wanabatizwa doctor huku hamna
@drsumatz7539
@drsumatz7539 3 ай бұрын
Nachangia tena
@dillonfoya
@dillonfoya 2 ай бұрын
Tulimwomba Mh. Aweke Hilo gari kwenye makumbusho si kwamba CDM hawawezi kumpa gari ila kwa mahaba makubwa ni haki tuonyeshe kuwa tunaweza nasi kumpatia gari na lile waje Watoto na wajukuu waje waone ulivyokuwa katika kufikisha Tanzania ilipo
@user-xi2mf4xh7r
@user-xi2mf4xh7r 3 ай бұрын
Ndio shida Mtumishi wa Mungu, Mungu akubariki kwa maelezo yako mazuri.
@AbhaiyaAbhaiya
@AbhaiyaAbhaiya 3 ай бұрын
Kweli kabisa
@abdallavictory6723
@abdallavictory6723 3 ай бұрын
Unaposema alikuwa anapigania Uhuru sikuelewi, au Unadhiaki Waliopigania na kudai Uhuru,
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 3 ай бұрын
Mi nimeshachanga na nitachanga Tena na tena
@laupetpet7779
@laupetpet7779 3 ай бұрын
Safi Sana kamanda
@solomoneglesias9752
@solomoneglesias9752 3 ай бұрын
Mungu wa Mbinguni tu mbele yako na azidi kuibariki kazi ya mikono yako
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 3 ай бұрын
Naombeni namba za mchango wangu 5000 jamani nipeni namba tu
@knight6757
@knight6757 3 ай бұрын
🚘
@daudimaembe3360
@daudimaembe3360 3 ай бұрын
🚗🚗🚗🚗🚗
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 3 ай бұрын
Yani wale jamaa walompiga risasi ni wapumbav sana wamemkosaje huyu lisu wangemmaliza tu tukapumzika
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 3 ай бұрын
Pumzika kama wenzako subiri muda si mrefu maana mungu anatenda..
@user-we5px7gp2r
@user-we5px7gp2r 3 ай бұрын
Anayetukana Hana hoja na kama unafurahia kumwaga damu ya nduguyo wewe ni mfuasi wa shetani na kama ni hivyo umeshaandaa makao yako na shetani ndiye mwenyeji wako.
@user-jd5ru7dr2r
@user-jd5ru7dr2r 3 ай бұрын
Mchunģaj wa mbuz
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 3 ай бұрын
Weka jina lako hapa ushikishwe adabu
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 3 ай бұрын
Na ninyi waandishi feki cjui hamna kazi zingine za kufanya? Washenzi kabisa labda nchi ya mkeo ndyo ilipita kwenye hilo bonde kwenda zako mbwa ww
@ULUMBIADAM
@ULUMBIADAM 3 ай бұрын
K Yako ya nyuma
@Nedjadist
@Nedjadist 3 ай бұрын
Watanzania kwa nini si wastaarabu, ni ukosefu wa elimu nini? Haya mambo mmeyavaa tu bilaya kuwa na masomo wala ufahamu. Umeandika matusi hapa, wajua yatadumu zaidi ya miaka 100 ijayo? Mwenyezi Mungu atakuwa anakuandikia madhambi ya matusi kwa muda wote huo! Wamtukana mtu bila sababu, jamani!
@deogratiustweve2611
@deogratiustweve2611 3 ай бұрын
Hivisisi bnadam tumeumbwaje
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 3 ай бұрын
Najaribu kukutafakari sana sababu ya kumtukana huyo mwandishi nimeshindwa kukuelewa! Ila nahisi hauko sawa kichwani! Afya yako ya akili haiko sawa! Pia yawezekana kichwani kuna kinyesi badala ya akili! Hovyoooo!
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 3 ай бұрын
Ndogoro godoro dugu moja😢
MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO
11:55
JAMBO TV
Рет қаралды 6 М.
Touching Act of Kindness Brings Hope to the Homeless #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 18 МЛН
Bend The Impossible Bar Win $1,000
00:57
Stokes Twins
Рет қаралды 42 МЛН
when you have plan B 😂
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 24 МЛН
SAKATYA LA UTEKAJI : "TUNAMTAKA RAIS ATUAMBIE NINI KINAENDELEA ......
2:22
Touching Act of Kindness Brings Hope to the Homeless #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 18 МЛН