Mwanzo Mwisho alichozungumza Lissu Morogoro Aprili 30, 2024

  Рет қаралды 13,140

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Пікірлер: 28
@jacksonmwakosha3655
@jacksonmwakosha3655 5 ай бұрын
Kwa maoni yangu naona itakuwa jambo jema sana. Tundu Lissu ajengewe sanamu kwa kazi nzuri ya kuitetea Tanganyika yetu. Basi Kama tutakubaliana mm nitachangia 100000
@rastheunique
@rastheunique 5 ай бұрын
Nakubali
@charlesshitobelo6870
@charlesshitobelo6870 5 ай бұрын
Ni wazo jema kabisa. Tuko pamoja tuma tu huo mchango wako.
@edwindezidery632
@edwindezidery632 5 ай бұрын
tundu lissu unaibua mambo mazito kwenye nchi hii mungu aendelee kukupa,ujasili na afya
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 5 ай бұрын
Hapo sawa. Nimekuelewa kweli kweli.
@ERNESTSuleiman
@ERNESTSuleiman 5 ай бұрын
Haya madai ya katiba niyamsingi sn,ila watanzania wengi hatuna ufahamu,hapa unatupa Elimu,Mungu akubariki na akupe nguvu uendee kutuelimisha.
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 5 ай бұрын
Sawa MH tundu Antipace lissu
@SleepyRedRose-lt2vj
@SleepyRedRose-lt2vj 5 ай бұрын
Daaha, huyu Mwamba ana madini mengi kichwani.
@MiriamAziz-z5t
@MiriamAziz-z5t 5 ай бұрын
VIVA CHADEMA....VIVA COMRADE LISSU....WATANZANIA BILA KUJALI TOFAUTI ZETU TUWAUNGE MKONO....WANAPIGANIA NJIA KUU ZA UCHUMI NA RASILIMALI ZA NCHI KUWA CHINI YA UMMA....NA SIYO KUWAPA WAGENI NA MAWAKALA WAO NA MAKUWADI WAO WA NDANI.
@mussaissa8355
@mussaissa8355 5 ай бұрын
Nakubaliana na ww tuna shinda ya mfumo ambao msingi wake ni katiba yetu , rushwa imeanzia kwenye chama cha ccm ambacho ni chama tawala , inakuwa ngumu rushwa kuisha wakati iko ndani ya chama tawala ambacho ndo kinaunda serikali
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 5 ай бұрын
Mussaisa mzimu wa Nyerere(katiba) ndio unatutafuna kupitia midomo ya warithi wake ccm...
@kenedysimon3566
@kenedysimon3566 5 ай бұрын
Hotuba hii ni nzito
@trynjunwa6057
@trynjunwa6057 5 ай бұрын
ccm daima..... ccm mbele mbele yaoooo.
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 5 ай бұрын
Sasa hivi tuko barabarani, tunaletewa abuud kuwatisha bodaboda wasiandamane watanyang'anywa Toyo walizopewa kwa mkopo kama kiziba mdomo wasidai haki zao za kudai katiba mpya!.
@gm003
@gm003 5 ай бұрын
Mzee Lissu, wakumbushe kuwa Kati ya wale waliopita bila kupingwa yupo Job Dungai, Spika aliefukuzwa pungent kama Spika kwa dhiaka kubwa, na hili lipo ktk katiba, RAIS MFALME!!
@praiseandworshiptemple9166
@praiseandworshiptemple9166 5 ай бұрын
pambana jembe letu tupo nyuma yako
@amosbuzaniye2331
@amosbuzaniye2331 5 ай бұрын
uongozi ni kubeba mizugo ya watu
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 5 ай бұрын
Hata Marekani Rais anaweza kupinga mswada au kuukubari. Hivi ndani ya chadema unaweza pitisha chochote pasina Mbowe kuruhusu?
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 5 ай бұрын
Mzimu wa Nyerere(katiba) unatutafuna kupitia midomo ya warithi wa serikali ya chama chake ccm! Huyo ndiye chanzo tumwache namnagani?! Hii ni laana ya baba zetu,nao hawapo tena, tunapigwa tu!
@jumashimba9620
@jumashimba9620 5 ай бұрын
Kuzalisha nni
@piusprospa8832
@piusprospa8832 5 ай бұрын
hasa nape haana akili kupewa uwazili imekua kila anacho zungumza nikumkingia kufua mzanzibari huyu. hivi tunajuaje kama nape sio mzanzibari kweli? huyu.
@rommelmauma8081
@rommelmauma8081 5 ай бұрын
*Punguza uzito kwa kutembea; punguza kiasi cha mlo wa siku!*
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 5 ай бұрын
Acha kudanhanya watu,acha wakafanye kazi ya kuzalisha waweze kula,hajawahi tokea kwa nchi yoyote ile ikawawwkea pesa mfukoni.
@stephenmtafya
@stephenmtafya 5 ай бұрын
Kikokotoo unakijua ww au ww sio mtumishi wa umma
@mustafaalli4698
@mustafaalli4698 5 ай бұрын
Mmh itakuwa umeandika hyo sms ukiwa wodin pale milembe sio bure.
@mbwanahasan2971
@mbwanahasan2971 5 ай бұрын
Jitu moja akili zimehamia nyuma hujitambui kabishane kwenye mipira huko
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 5 ай бұрын
Ww ni punga hujielewi,unafanya kazi huku katiba imeweka mirija ya unyonyaji utanufaika na nini
@emanuelmkama1325
@emanuelmkama1325 5 ай бұрын
Chawa ztoo😂😂
ALIYEMPIGA RISASI TUNDU LISSU ABAINIKA
37:08
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 12 М.
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 60 МЛН
龟兔赛跑:好可爱的小乌龟#short #angel #clown
01:00
Super Beauty team
Рет қаралды 38 МЛН
Lissu Amzungumzia "Mke Mzungu"
1:47
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 18 М.
Tundu Lissu Alivyoitikisa Babati Kwa Hotuba Nzito
1:16:54
The Chanzo
Рет қаралды 23 М.
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 60 МЛН