Kwa maoni yangu naona itakuwa jambo jema sana. Tundu Lissu ajengewe sanamu kwa kazi nzuri ya kuitetea Tanganyika yetu. Basi Kama tutakubaliana mm nitachangia 100000
@rastheunique5 ай бұрын
Nakubali
@charlesshitobelo68705 ай бұрын
Ni wazo jema kabisa. Tuko pamoja tuma tu huo mchango wako.
@edwindezidery6325 ай бұрын
tundu lissu unaibua mambo mazito kwenye nchi hii mungu aendelee kukupa,ujasili na afya
@davidmpiluka52245 ай бұрын
Hapo sawa. Nimekuelewa kweli kweli.
@ERNESTSuleiman5 ай бұрын
Haya madai ya katiba niyamsingi sn,ila watanzania wengi hatuna ufahamu,hapa unatupa Elimu,Mungu akubariki na akupe nguvu uendee kutuelimisha.
@Brunotarimo105 ай бұрын
Sawa MH tundu Antipace lissu
@SleepyRedRose-lt2vj5 ай бұрын
Daaha, huyu Mwamba ana madini mengi kichwani.
@MiriamAziz-z5t5 ай бұрын
VIVA CHADEMA....VIVA COMRADE LISSU....WATANZANIA BILA KUJALI TOFAUTI ZETU TUWAUNGE MKONO....WANAPIGANIA NJIA KUU ZA UCHUMI NA RASILIMALI ZA NCHI KUWA CHINI YA UMMA....NA SIYO KUWAPA WAGENI NA MAWAKALA WAO NA MAKUWADI WAO WA NDANI.
@mussaissa83555 ай бұрын
Nakubaliana na ww tuna shinda ya mfumo ambao msingi wake ni katiba yetu , rushwa imeanzia kwenye chama cha ccm ambacho ni chama tawala , inakuwa ngumu rushwa kuisha wakati iko ndani ya chama tawala ambacho ndo kinaunda serikali
@elibarikimollel71495 ай бұрын
Mussaisa mzimu wa Nyerere(katiba) ndio unatutafuna kupitia midomo ya warithi wake ccm...
@kenedysimon35665 ай бұрын
Hotuba hii ni nzito
@trynjunwa60575 ай бұрын
ccm daima..... ccm mbele mbele yaoooo.
@elibarikimollel71495 ай бұрын
Sasa hivi tuko barabarani, tunaletewa abuud kuwatisha bodaboda wasiandamane watanyang'anywa Toyo walizopewa kwa mkopo kama kiziba mdomo wasidai haki zao za kudai katiba mpya!.
@gm0035 ай бұрын
Mzee Lissu, wakumbushe kuwa Kati ya wale waliopita bila kupingwa yupo Job Dungai, Spika aliefukuzwa pungent kama Spika kwa dhiaka kubwa, na hili lipo ktk katiba, RAIS MFALME!!
@praiseandworshiptemple91665 ай бұрын
pambana jembe letu tupo nyuma yako
@amosbuzaniye23315 ай бұрын
uongozi ni kubeba mizugo ya watu
@barrynzeyimana62705 ай бұрын
Hata Marekani Rais anaweza kupinga mswada au kuukubari. Hivi ndani ya chadema unaweza pitisha chochote pasina Mbowe kuruhusu?
@elibarikimollel71495 ай бұрын
Mzimu wa Nyerere(katiba) unatutafuna kupitia midomo ya warithi wa serikali ya chama chake ccm! Huyo ndiye chanzo tumwache namnagani?! Hii ni laana ya baba zetu,nao hawapo tena, tunapigwa tu!
@jumashimba96205 ай бұрын
Kuzalisha nni
@piusprospa88325 ай бұрын
hasa nape haana akili kupewa uwazili imekua kila anacho zungumza nikumkingia kufua mzanzibari huyu. hivi tunajuaje kama nape sio mzanzibari kweli? huyu.
@rommelmauma80815 ай бұрын
*Punguza uzito kwa kutembea; punguza kiasi cha mlo wa siku!*
@joscamwoshezi29865 ай бұрын
Acha kudanhanya watu,acha wakafanye kazi ya kuzalisha waweze kula,hajawahi tokea kwa nchi yoyote ile ikawawwkea pesa mfukoni.