Mwanzo mwisho alichokizungumza Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu alipohutubia wananchi wa jiji la Dodoma baada ya kufanyika kwa maandamano ya amani.
Пікірлер: 86
@hamadirock5 ай бұрын
Lissu hii nchi anaijua aisee.Historia zote ziko kichwani
@williammwamalanga10655 ай бұрын
Ni kweli utanzania unatumika kuwaibia Watanganyika hii walaaniwe wote wanaoibia Watanganyika .....MUNGU MWENYEZI AKUBARIKI
@amosmerama36805 ай бұрын
Tunapata elimu, tunalishwa siasa safi na tunatolewa utumwani mwa CCM, tundu lisu the man!!
@nassirnassir36235 ай бұрын
Hamna kitu hapo. Wakete sera za vipi watanzania watajikomboa kiuchumi sio raisi mamabo ya Raisi anatoka Zanzibar. Kwani hayo nani hajui. Chadema wameishiwa na sera wanaanza kuhubiri Zanzibar badala ya maendeleo
@edwardmwingira70965 ай бұрын
Aksante sana Lissu kwa elimu nzuri
@paschalmagai7515 ай бұрын
Navutiwa sana na uelewa wa mambo toka kwa Tundu Lissu yani huchoki kumsikiliza...... Hawa ndio viongozi Tanzania inawahitaji.
@johannmaloda60275 ай бұрын
Jamaa anakazi ngumu sana yn ANAHATARISHA maisha yake vibaya mno😂😂.... anyway Mungu amsaidie
@innocentmleli11965 ай бұрын
Waambie ukweli
@Moneyprinter75 ай бұрын
Chaguo la Mungu kwa Tanzania 🇹🇿 timamu. Mungu akutunze
@ibrahimsalum5757Ай бұрын
Hongera
@fabianmainchanyangachika50175 ай бұрын
Nakuelewa sana Mungu akubariki sana ndugu
@ulomirabiel69805 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza shangazi anakereka na ukweli.
@leiyoolemangi51355 ай бұрын
Go ahead
@Zaikadena5 ай бұрын
Ila watanzania mcpo muelewa uyu mwamba shaurienu anafungua sana ila co kwa masilai yake mana yeye yupo vzr wanawe ni raia wa marekani na hata akiamua ajiunge na ccm anapewa cheo lkn hajataka ivo kwa sababu yenu wabongo na ukitaka kujua uyu ameletwa na mungu kuwapigania nandio mana hakuruhusu afe huyu mwamba ila kama mtampuuza kitawakuta kitu mm nipo pale
@luckiiinuswe17255 ай бұрын
Bg point
@husnakalumba25785 ай бұрын
Huyu huyu anaesaport ushoga ndo kaletwa na Mungu 😂
@Moneyprinter75 ай бұрын
Ufahamu wako ni finyu, na ujengaji wako wa hoja ni duni sana. Elimika ulipo elimishwa
@warrenmgode18375 ай бұрын
Manasheliya tundu hongela Kwa mapambano
@bakermusa90335 ай бұрын
Viongozi wote wa CCM in total akili zao hazifikii hiki kichwa
@annapeter49945 ай бұрын
😭😭😭😭Mahali walipotaka kukuua jamani
@williammwamalanga10655 ай бұрын
Tundu ni Kiongozi muhimu na imara na Mtanganyika wa kweli
@petermwashilindi22225 ай бұрын
Asante lisu ❤
@rashidomari52245 ай бұрын
Hakuna anamweza tundu lisu kwenye sheria
@abbynimel-kindy51075 ай бұрын
Amandaneni kama hamuutaki MUUNGANO hata sisi WAZANZIBAR hatuutaki😂😂😂 kwani hamjuwi😂😂😂 ... bado kukuuzeni WATANGANYIIKA wote... MAMA SAMIA MITANO TENA😂😂😂😂 Mnapiga makelele tu iyo inaitwa MUKITAKA MUSITAKE TUNAKUREMBENI TU😂😂😂😂😂😂😂😂
Guys, let's be united, let's cooperate in the next investigation, let's get a better leader and keep praying to Allah, he is the one who can do everything.
@EbenezerMagari5 ай бұрын
Duuh hiki kichwaa apanaa
@peterilimwa57545 ай бұрын
hahahaaa jnn kwa hiyo tunaongozwa na nzanzibar jmn
@charleskingimwakasagule57525 ай бұрын
Kwakweli huyu kiongozi mungu ambaliki sana anajitaidi sana kuwelimisha mbumbu za bongo lakini ngumu kuwelewa
@AmourAmour-f4c5 ай бұрын
Yani katika wayu amba hatuupendi muungano bc nisisi wazanzibar ila nyinyi wenzetu watanganyika mnaupenda kwaiyo wachamaisha yaendele maraisi wote walowepo wazanbari mawaziri wazanzibar 😅😅
@RashidMohamed-rv2hm5 ай бұрын
Ilio ungana sio Tanganyika na Zanzibar iliungana TANU na ASP
@PhilipoMwita-wc1ku5 ай бұрын
Ila lissu nikama Kuna kitu nyuma ...ushasema pale mwanza kwamba tumetembea tumechoka ....lakin upo sahihi
@DamianShirima-nh4gc5 ай бұрын
Ombaombo hii ni mpaka lining ndugu Watanzania?
@mosaidi26335 ай бұрын
Zanzibar nchi ndogo hata mchanga wa kujengea tunanunua tanganyika na Tanganyika bado ni pori tu 😂😂
@IssaJohn-kk8pb5 ай бұрын
Unanifurahisha kaka lisu maana hutishiwi nyau
@ChristmasMaheri5 ай бұрын
Ninashukuru kwa kazi njema na ngumu ya kutetea wananchi wa Tanganyika. MUNGU akupe nguvu,akusaidie na akushike kwa mkono wake wa kuume wa haki yake.(Isaya 41:10-13)
@Tanzania_ni_yetu5 ай бұрын
Tuko pamoja baba
@dominicksangu89345 ай бұрын
Love you lissu
@munongomeshili76125 ай бұрын
Kweli tundu anachokisema ni sawa ila hatuwezi tukampa urais kwani atatuletea ushoga!!
@davidmpiluka52245 ай бұрын
Indeed.
@PhilipoMwita-wc1ku5 ай бұрын
Huyu mwamba hotuba zake zinawachukiza sana ccm
@edwardmwingira70965 ай бұрын
Kumsikiliza Lissu ni darasa tosha.
@dominicksangu89345 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@gmarwapanoceanictz5 ай бұрын
siasa tena basi. toeni taarifa ccm izifanyie kazi. hatuhitaji maandamano. wala katiba mpya , itapelekea wafanya kazi kuongezewa kodi kulipia wakao vya katiba mpya. maana ni gharama sana, hamjui tuu. ombeni mabadiliko ya sheria zilizopitwa na wakati au mbovu zilizopo ndani ya katiba, na zifanyiwe mabadikliko bungeneni na sio vikao vya katiba. maana hadi kutayalisha upya katiba, hela zitetumika nyingi na kwa muda mrefu sana. walaji watakua wengi sana. hata mimi nita aply kuwa mjumbe wa katiba mpya nipate ulaji.
Kwanini sasa hamutak tuvunje mungano na sisi wazanzibar tuko tayar hatutak mungano
@lucasmartin4315 ай бұрын
Tulia....Muungano utadumu na utaendelea kudumu, kaa kwa kitulia.
@barrynzeyimana62705 ай бұрын
Hizi nchi mbili zingeungana kwakua hazijaungana.
@frankjohn87065 ай бұрын
MAGUFULI ALIPOSEMA WATANZANIA WANA AKILI ALIONGEA KITU CHA UKWELI NA ALIFIKIRIA
@AliJussa5 ай бұрын
Kati ya watu wako tayr kuvunjwa mkataba ni wazanzibar, na mumeandamana coz Magu hayupo😅 mtanganyika mwenzenu
@bonifacerobert29605 ай бұрын
Nape, tutakikumbatia CHADEMA hadi ushangae! Habari ya kupeana madaraka kiukoo yataisha Nape mtoto wa Moses. Ni Nyerere tu hakutaka upuuzi wenu wa kuandaana baba na mtoto
@IjumaaIjumaa5 ай бұрын
Kwani miungano ndo maisha ya watanzania au changamoto ya maisha ya watu siasa ni hatari sana ww ukiingia ikulu utafanya madudu mengi tu
@rashidomari52245 ай бұрын
Umekurupuka. Nenda darasani ukasome tena namna ya kumsikiliza mtu na kumuelewa kisabihi
@IjumaaIjumaa5 ай бұрын
@@rashidomari5224 tatizo uelewa miungano unawahusu wazanzibar sisi hautuhusu na kusoma ni sawa ila tz hakuna chama Cha siasa ila porojo ndo nying mfano mgawanyo wa ajira na sekta za usafirishaji mabasi yapakiliye stendi kama zamani hayo ndo maslahi ya wanch si miungano hautu husu
@dulasaid25815 ай бұрын
FATMA karume asikubabaishe anakhofia mungano kuvunjika. Analinda legacy ya family yake
@frankjohn87065 ай бұрын
MTU WA MUNGU AKIZUNGUMZA KILA KIUMBE KINAMSIKULIZA YANI HATA WASIOMPENDA WAKO MAKINI KUMSIKILIZA NA KUZINGATIA SANA NAKUTAFUTA TAFUTA NENO LA KULIITA BAYA AU TUSI ILI KUMCHAFUA AU KUMTIA HATIANI MAANA ASEMAYO MTU WA MUNGU HUUWEKA WAZI UOVU WA WAOVU NA WAOVU HUCHUKIZWA SANA
@lgf72975 ай бұрын
Anawatukana in their face
@AmourAmour-f4c5 ай бұрын
Kwanini tanganyika haina katiba?
@barrynzeyimana62705 ай бұрын
Kwenye Kodi hapo hakuna tatizo kwakua hata Marekani muswada hupitishwa na bungu lakini rais ndo Anasaini kukubari
@markjeremiah94475 ай бұрын
Hujamwelewa lisu vizuri ebu rudia kumsikikiza Tena ndugu
@barrynzeyimana62705 ай бұрын
Je, wanapewa Fidia baada ya maeneo yao kichukuliwa? Kama wanapewa, je wanapangiwa maeneo mengine ya kuishi kwa wale ambao wanapinga kuhama?
@bakarisagna5545 ай бұрын
Hauwezi mshurutisha mtu kuuza ardhi yake kwa manufaa na wageni
@lgf72975 ай бұрын
Sasa hoja zooote zimeisha sasa kaanza kuku kula mayai yake.
@lgf72975 ай бұрын
Kwa nini msimpige mawe?
@luckiiinuswe17255 ай бұрын
Apigwe nan nyie ndy sababu ya hii nchi haina mabadiliko zaidi ya wanawake
@JohnKasind5 ай бұрын
Jambo tv
@omarybakunda25545 ай бұрын
Hapa ndio mana nagundua kwann Magufuli alimkataa huyu jamaa sio mtu mzuri hata kidogo
@geraldgedi46575 ай бұрын
Wewe mjinga sana huna tofauti na mtoto mdogo.
@tanzanitetv5 ай бұрын
Usimlishe Magufuli maneno yako omary bakunda
@EmmanuelMassawe-c5g5 ай бұрын
Aise hatar sana
@rashidomari52245 ай бұрын
Uwez penda mtu anaejua sheria namna hii weye. Wakwako ni wale wanaotupumbaza kila kitu. Wanaotuambia ukweli hamuwataki. Ipo siku Mungu atajb
@KhamisiSalimu5 ай бұрын
Hatutak mungano tuachiyen zanziba yetu
@luckiiinuswe17255 ай бұрын
Asa sis Zanzibar yanini tumewabeba tu amna lolote
@albinusmkono58875 ай бұрын
Bwege umeshiba unasema tukuachie zanzibar.mmenyonya vya machogo unachekelea.!!!
@gmarwapanoceanictz5 ай бұрын
Bandari haijauzwa. imetijishwa, ili kufanya biashara zaidi. waulize wachumi, sio wanasheria maana hawajui business. na katiba hizi za nchi mbili hazifanani maana ni nchi mbili tofauti. mbona hilo tunalijua. kwa kifupi ni hivi. kuna nchi ya 1. zanzibar 2. tangajika na 3. jamhuri ya muungano. wala muungano haujavuluga sheria za zanziba wala za jamhuri na wala za tanganyika.
@sheikhaswalehsalim33925 ай бұрын
Wewe ni yako ni kuuza nchi na usha hidawa na hao ma bwana zako ,lakini ngoo huipati maisha porojo tu na kuwa fanya watu wapumbavu lakini lengo una juwa mwenyewe Samia oyeeeeee,utakufa nacho kijiwe cha moyooo😂😂😂😂😂😂😂