Mungu atabaki kuwa Mungu,ni Mungu wa baba Yetu wa Imani Ibrahim na Isaka na Yakobo na ni Mungu wetu sote ,Mungu wetu ni Mungu wa haki Mungu anabaki kuwa Mungu wa haki
@wilfredlukowo94764 ай бұрын
Kanari unaliaibisha jeshi inaonyesha wengi wanafanyiwa nani kama haya ila hawana watetezi wa kweli mshukuru sana Mungu
@mparewaujerumani4 ай бұрын
BWANA atawapigania ninyi nanyi mtanyamaza kimya. Kutoka 14:14
@edwingideon36064 ай бұрын
Yesu akufunike kwa damu yake, ikiwezekana samehe kodi uanze maisha upya. Shukuru Mungu
@neemareuben3114 ай бұрын
We mzeee samehe iyo kodiiii achia iyo kitu ww baba utaxua mengine wee tulia aaa shukuru Mungu sanaaa
@magrethmeela1544 ай бұрын
Wewe muache mzee adai vyake.
@alexmwalingo50204 ай бұрын
Mzee pole sana kwa yote kuna watu wanafanya mabaya hapa duniani kana kwamba hawatafaliki lakini wanasahau kuwa pua zao zinaangalia chini na ni lazima watafaliki tu na kuzikwa chini, jitahidi sana mzee kwenye hiyo nyumba usikae huyo canali anaweza kuja kulushia bomu hiyo nyumba ukiwa ndani na familia yako kwa sababu tayali sio mtu mzuri hata kidogo hata jeshini hafai kuwepo anaweza kugeuka na kuwa upande wa maadui, Mungu msimamie mzee huyu mpe mwongozo wa maisha yake ili asiteseke tena
@mgawerevocatus85824 ай бұрын
Hongera Sana mstaafu mwenzangu mshukuru sana Mungu Kwa jinsi alivyo kupigania. Hiyo Kodi achana nayo uza hapo Rudi Mwanza jirani na kwenu Musoma uishi Kwa Amani
@AfricaQueen4 ай бұрын
😭😭😭Hongera sana Babaangu kweli mungu amesikia kilio chako 🤲🤲
@Zaburi-4 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@AfricaQueen4 ай бұрын
@@Zaburi- kwa hiyo ni Nani aliemsaidia katika sala zake? Kama sio mungu 🤔🫵🏾
@BilalMuhammad-jt6sq4 ай бұрын
Anamaanisha uwandike kwa herufi kubwa MUNGU@@AfricaQueen
@JosephMilinga-nl4zh4 ай бұрын
@AfricaQueen alicho Manisha neno Mungu uwa linaanza na elfu kubwa
@omarymbaraj80724 ай бұрын
Wala usishukuru Serekali Mshukuru Mungu tu. Miaka 2umeteseka sana
@neemareuben3114 ай бұрын
Umepata nyumba yako sasa uza utapata hela nzuriiiii utoke hpo pashakuwa na dosariiii hutakaa kwa amani
@HanifaOman-oo4pl4 ай бұрын
Sana maana hawawatu siwaxuri.
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Hatakiwi kuhama ni kukimbia tatizo, tatizo ni kukabidhiana nalo
@verynicemonyo86712 ай бұрын
Mungu ambariki hakim aliyehukumu
@hildandumbalo58274 ай бұрын
Mkubwa ni Mungu tu ndo maana amesimama na wewe Pole sana
yanimshahara wanowopata wanajeshini.mkubwamno lakinikwatamaa narohombaya nado
@dottomarikatv7804 ай бұрын
Daa, hatari sana, cheo cha kanari kumdhulumu masikini sio vizuri
@edmundnkarangu1344 ай бұрын
Pole sana Mze ila Mungu ametenda uzidi kubarikiwa😭😭🙏
@barikimoshi44434 ай бұрын
Daaaah, binadamu ni kiumbe wa ajabu Sana. Hiyo jeuri ya kumfanyia huyo mzee yote hayo ni hiyo afya njema aliyo nayo tu baas. Tufanye hata Mh Rais hawez kumuuliza kitu au hata Cdf asimuulize halafu Mungu amuondolee afya njema awe anaishi ICU. Anaringia asicho kimiliki.
Mama Samia shikamoo Mama hongera sana nakupenda sana vijana wako wanapambana sana watu wapate haki,juzi nimeona nyumba ikivunjwa,leo mahakama imemrudishia mtu haki,mama mimi baba wa family uwezi wafurahisha watu wote, pia naomba makonda aendelee na ile ziara inchi ilichangamka mama
@user-fr7jj1bo7y4 ай бұрын
mama Samia anausikaje hapa?? Samia nchi imemshinda hakuna umeme, hakuna maji sasa hata sukari imekuwa shida maisha yanazidi kuwa magumu chini ya utawala wake
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
@@user-fr7jj1bo7yjinga sana Kila kitu Samia uchawa ni njaa mbaya sana
@ivyroses90194 ай бұрын
Baba fanya uuze ujenge mahala pengine uishi na familia yako kwa Amani... Si mahala salama kwa mazingira ya Kesi yako ilivyokua awali.
@angonzamujunangoma87752 ай бұрын
Acha Mungu aitwe Mungu
@user-qn3cf2bg4u4 ай бұрын
alihdulilah
@RenaldaZeramula4 ай бұрын
Huyo mjeshi akiri.hana kabisa
@gordondavid60634 ай бұрын
wanajeshi hawajawai kuwa na akili
@collincarlos74334 ай бұрын
Mzee ameulizwa nin kiltokea lkn anazngk tu..pole sana baba
@estakapufi75824 ай бұрын
Hao watu walikuwa walitaka kumtapeli baba wawatu nyumba wauze wagawane pesa, na sio pikipiki jamani haowatu sio watu wazuli wachukuliwe hatuwa tu ili hata kama kunawengine wanafanya ivo waache kabisa.
@user-vy2bc6xg3i4 ай бұрын
Natamani nitafute hii kesi ilipoanzia huenda nijesahau au nilipitwa maana tz yetu kila siku mapya
@GodfreyOsward4 ай бұрын
Aibu mkubwa kuangaika kudhulum maskini.
@ramadhanzenj91114 ай бұрын
Wewe umebahaisha tu mzee kuna dada aligongwa na gari akaendesha kesi akashinda ikatakiwa bima wamulipe mpaka sasa ni miaka zaidi ya kumi hajapata haki yake ameshapita ngazi karibu zote hadi kwenda Ikuru lakini wapi.
Ushaurii uzaaa apoo ihiii dunia watuuu kaamaa aoo wapooo wengi apaaa Tanzania wanatumia cheo Chao
@leonardjackson2694 ай бұрын
Watu wabaya sana daa bas tu😢😢😢
@tumainijohn4 ай бұрын
Mbota jmn i was there
@newbornhaule4 ай бұрын
Nmemkumbuka huyu Mzee Mungu ni mweza wa Yote
@laylayl51664 ай бұрын
Polesana Mzee haki ya MTU ni haki tu
@yakfizahran45364 ай бұрын
Uza nyumba mzee uhamie sehem nyengin
@user-sl1ko9me7u4 ай бұрын
AIBU NA FEDHEHA SANA KWA HUYO AFISA WA JESHI.
@petroyohana11264 ай бұрын
Acha mungu aitwe mungu mzee wangu
@ZainaKisengo4 ай бұрын
Hawa Mahakimu kesho Watakuwa kuni
@user-xk7vy4gb6g4 ай бұрын
Wale waiokucheka sura zao wataweka wapi? Leo nyumba imerudi kwa uwezo wa Mungu
@ChikuOmmary-ii2xf4 ай бұрын
Hii Dunia Jamani kweli piki piki kuuzwe nyumba hata Mimi ningelipa Hilo deni jamani Dunia tunapita maskin tunateseka
@zablonnyanda60954 ай бұрын
Duuu?? Tanzania tumefikishana hapa?? Mh! Muogopeni Mungu jamani. Hayo majumba mtayaacha tu! Kumbukeni kuna maisha baada ya haya hapa duniani? Tatizo nn nyie watu😂?!!
@yasinramadhan73154 ай бұрын
Mungu ni mmoja tu
@festohaule97164 ай бұрын
Watanganyika wengi wamekuwa wezi wahuni sana hasa wenye vyeo flani..... Haki haipotei..
Uza hapo uwamie mbali asipajue huyomjeshi kwani nimdhumati uwezijua anakupanguanini kakosanyumba. Kinachooendelea. Jinusuru rohoyako Baba
@ibrahimhodabaksh39394 ай бұрын
MAMA UNAYAONA HAYO
@valenakomba76864 ай бұрын
MUNGUNGU NII MUNGU TUU
@user-qn3cf2bg4u4 ай бұрын
tenahuyohakim nimtukatijawatu
@kelvinnjawike18084 ай бұрын
Mapoti wanajonaga ndo Miungu huku duniani
@emmylightbrian24974 ай бұрын
Sauti kama Lowassa kwa mbali 😅😅😅
@Clex-f5s4 ай бұрын
Atajwe tusambaze ujumbe awajibishwe😢
@festohaule97164 ай бұрын
Uza kwa mkubwa na kuhama ...watu wa mtaa wako sio wema kabisaaaaaaaaaaaaaa!!!!!
@vincentmushi12474 ай бұрын
Huyo kanari ni tapeli kama matapeli wengine ...aibu sana kwa taifa...watu kama hawa hawafai kuwa viongozi....angekuwepo magu Huyo ameshatumbiliwa...Pole sana mzee na hongera
@jamespetro30144 ай бұрын
Jamani hiii ninyumba ya M100 mmmmh msituchanganye bhc
@user-qn3cf2bg4u4 ай бұрын
wivutuunawasumbuwa
@ramadhanzenj91114 ай бұрын
Hii inchi ina watu wanaweza kuminya haki yako hadi ukafa bila kuipata sema tu utakutana nayo Mbinguni
@ruqaiamohammed3454 ай бұрын
Khaki ya mtu haipotei bure
@MichaelMaro-hj7yo4 ай бұрын
Aibu kwa mjeshi fek huyo s wa JWTZ
@tumainijohn4 ай бұрын
Yani we n muongo 🤣🤣🤣 vtu vingine uliuza mwenyewe tunakujua wew ulivo mkatili pia
@totonata53844 ай бұрын
Ameuza nini? Ukatili gani alonao? Ama nawe ni mmoja wapo ya watekaji na wazulumaji??
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Uanamjua?
@dorahmushi-we6ts4 ай бұрын
Waandishi wa habari hufanya kazi kubwa sana ktk jamii, ni kama Maaskari wapelelezi na watendaji
@user-yk1ug4bq7c4 ай бұрын
Achana na Mali ya watu wewe!,ukihitaji kununua Mali ya mtu acha kumzunguka zunguka
@abdallahmmary85914 ай бұрын
Huku duniania Baadh ya wanadamu hua wanahis hakuna laana au maombi ya anaedhulumiwa. Niseme TU kwayeyote ambae amedhulumiwa kama huyu bwana iaminike yakuwa Dua yake hy nibomu Kwa aliedhulumu Ukanali sio kitu chochote. Majibu nkwamba dhulma haidumu Bali kinachodumu ni hasara. .. Kwamana hiyo Jamaa ajiandae kanali itakuwa udhalili.
@gilbertshirima26844 ай бұрын
Kumbe hii nchi ina wahuni bado? Mimi nisingeweza kuvumilia miaka miwili. Sijabarikiwa na subra