MZEE ALIYEDHULUMIWA NYUMBA YA MILIONI 100 NA MWANAJESHI ASHINDA KESI APEWA NYUMBA “ALINITEKA”

  Рет қаралды 23,265

Millard Ayo

Millard Ayo

4 ай бұрын

Пікірлер: 84
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 4 ай бұрын
Mungu atabaki kuwa Mungu,ni Mungu wa baba Yetu wa Imani Ibrahim na Isaka na Yakobo na ni Mungu wetu sote ,Mungu wetu ni Mungu wa haki Mungu anabaki kuwa Mungu wa haki
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 4 ай бұрын
Kanari unaliaibisha jeshi inaonyesha wengi wanafanyiwa nani kama haya ila hawana watetezi wa kweli mshukuru sana Mungu
@mparewaujerumani
@mparewaujerumani 4 ай бұрын
BWANA atawapigania ninyi nanyi mtanyamaza kimya. Kutoka 14:14
@edwingideon3606
@edwingideon3606 4 ай бұрын
Yesu akufunike kwa damu yake, ikiwezekana samehe kodi uanze maisha upya. Shukuru Mungu
@neemareuben311
@neemareuben311 4 ай бұрын
We mzeee samehe iyo kodiiii achia iyo kitu ww baba utaxua mengine wee tulia aaa shukuru Mungu sanaaa
@magrethmeela154
@magrethmeela154 4 ай бұрын
Wewe muache mzee adai vyake.
@alexmwalingo5020
@alexmwalingo5020 4 ай бұрын
Mzee pole sana kwa yote kuna watu wanafanya mabaya hapa duniani kana kwamba hawatafaliki lakini wanasahau kuwa pua zao zinaangalia chini na ni lazima watafaliki tu na kuzikwa chini, jitahidi sana mzee kwenye hiyo nyumba usikae huyo canali anaweza kuja kulushia bomu hiyo nyumba ukiwa ndani na familia yako kwa sababu tayali sio mtu mzuri hata kidogo hata jeshini hafai kuwepo anaweza kugeuka na kuwa upande wa maadui, Mungu msimamie mzee huyu mpe mwongozo wa maisha yake ili asiteseke tena
@mgawerevocatus8582
@mgawerevocatus8582 4 ай бұрын
Hongera Sana mstaafu mwenzangu mshukuru sana Mungu Kwa jinsi alivyo kupigania. Hiyo Kodi achana nayo uza hapo Rudi Mwanza jirani na kwenu Musoma uishi Kwa Amani
@AfricaQueen
@AfricaQueen 4 ай бұрын
😭😭😭Hongera sana Babaangu kweli mungu amesikia kilio chako 🤲🤲
@Zaburi-
@Zaburi- 4 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@AfricaQueen
@AfricaQueen 4 ай бұрын
@@Zaburi- kwa hiyo ni Nani aliemsaidia katika sala zake? Kama sio mungu 🤔🫵🏾
@BilalMuhammad-jt6sq
@BilalMuhammad-jt6sq 4 ай бұрын
Anamaanisha uwandike kwa herufi kubwa MUNGU​@@AfricaQueen
@JosephMilinga-nl4zh
@JosephMilinga-nl4zh 4 ай бұрын
@AfricaQueen alicho Manisha neno Mungu uwa linaanza na elfu kubwa
@omarymbaraj8072
@omarymbaraj8072 4 ай бұрын
Wala usishukuru Serekali Mshukuru Mungu tu. Miaka 2umeteseka sana
@neemareuben311
@neemareuben311 4 ай бұрын
Umepata nyumba yako sasa uza utapata hela nzuriiiii utoke hpo pashakuwa na dosariiii hutakaa kwa amani
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 ай бұрын
Sana maana hawawatu siwaxuri.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Hatakiwi kuhama ni kukimbia tatizo, tatizo ni kukabidhiana nalo
@verynicemonyo8671
@verynicemonyo8671 2 ай бұрын
Mungu ambariki hakim aliyehukumu
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 4 ай бұрын
Mkubwa ni Mungu tu ndo maana amesimama na wewe Pole sana
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 ай бұрын
Allhamdulillah.kwakupata hakiyako
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u 4 ай бұрын
asantenisana wanashariya kwakuwasaidiya wanyo gewalokuzomeys sasaaibutu rohombayailikuwainawasumbuwa
@user-yv7xg4em4s
@user-yv7xg4em4s 4 ай бұрын
Uza nyumba baba kajenge pahali pa kukupa utulivu
@neemareuben311
@neemareuben311 4 ай бұрын
Umeonaeeee
@tato8979
@tato8979 4 ай бұрын
Pole sana baba yangu 😢😢
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u 4 ай бұрын
yanimshahara wanowopata wanajeshini.mkubwamno lakinikwatamaa narohombaya nado
@dottomarikatv780
@dottomarikatv780 4 ай бұрын
Daa, hatari sana, cheo cha kanari kumdhulumu masikini sio vizuri
@edmundnkarangu134
@edmundnkarangu134 4 ай бұрын
Pole sana Mze ila Mungu ametenda uzidi kubarikiwa😭😭🙏
@barikimoshi4443
@barikimoshi4443 4 ай бұрын
Daaaah, binadamu ni kiumbe wa ajabu Sana. Hiyo jeuri ya kumfanyia huyo mzee yote hayo ni hiyo afya njema aliyo nayo tu baas. Tufanye hata Mh Rais hawez kumuuliza kitu au hata Cdf asimuulize halafu Mungu amuondolee afya njema awe anaishi ICU. Anaringia asicho kimiliki.
@jemadarimimi1642
@jemadarimimi1642 4 ай бұрын
pole sana ,haya ndio maisha ya maskini
@tibakabanda6583
@tibakabanda6583 4 ай бұрын
Millard Ayo! Mbona hakutueleza kilitokea Nini! Umeshindwa kumuongoza tukamuelewa.
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u 4 ай бұрын
kunawatuwanalaanahuyomwanajeshi nishetanisana
@verynicemonyo8671
@verynicemonyo8671 2 ай бұрын
Mungu yuko nawe baba
@faharikhamisi3091
@faharikhamisi3091 4 ай бұрын
Mama Samia shikamoo Mama hongera sana nakupenda sana vijana wako wanapambana sana watu wapate haki,juzi nimeona nyumba ikivunjwa,leo mahakama imemrudishia mtu haki,mama mimi baba wa family uwezi wafurahisha watu wote, pia naomba makonda aendelee na ile ziara inchi ilichangamka mama
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y 4 ай бұрын
mama Samia anausikaje hapa?? Samia nchi imemshinda hakuna umeme, hakuna maji sasa hata sukari imekuwa shida maisha yanazidi kuwa magumu chini ya utawala wake
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
​@@user-fr7jj1bo7yjinga sana Kila kitu Samia uchawa ni njaa mbaya sana
@ivyroses9019
@ivyroses9019 4 ай бұрын
Baba fanya uuze ujenge mahala pengine uishi na familia yako kwa Amani... Si mahala salama kwa mazingira ya Kesi yako ilivyokua awali.
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 2 ай бұрын
Acha Mungu aitwe Mungu
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u 4 ай бұрын
alihdulilah
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 4 ай бұрын
Huyo mjeshi akiri.hana kabisa
@gordondavid6063
@gordondavid6063 4 ай бұрын
wanajeshi hawajawai kuwa na akili
@collincarlos7433
@collincarlos7433 4 ай бұрын
Mzee ameulizwa nin kiltokea lkn anazngk tu..pole sana baba
@estakapufi7582
@estakapufi7582 4 ай бұрын
Hao watu walikuwa walitaka kumtapeli baba wawatu nyumba wauze wagawane pesa, na sio pikipiki jamani haowatu sio watu wazuli wachukuliwe hatuwa tu ili hata kama kunawengine wanafanya ivo waache kabisa.
@user-vy2bc6xg3i
@user-vy2bc6xg3i 4 ай бұрын
Natamani nitafute hii kesi ilipoanzia huenda nijesahau au nilipitwa maana tz yetu kila siku mapya
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 4 ай бұрын
Aibu mkubwa kuangaika kudhulum maskini.
@ramadhanzenj9111
@ramadhanzenj9111 4 ай бұрын
Wewe umebahaisha tu mzee kuna dada aligongwa na gari akaendesha kesi akashinda ikatakiwa bima wamulipe mpaka sasa ni miaka zaidi ya kumi hajapata haki yake ameshapita ngazi karibu zote hadi kwenda Ikuru lakini wapi.
@Serenawilson11
@Serenawilson11 4 ай бұрын
Daah sad 😢
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u 4 ай бұрын
anamdhurummtu alojihagaikiya akayenafamiliyayake laanamkubwa
@user-rf7ni6tr2o
@user-rf7ni6tr2o 4 ай бұрын
Ushaurii uzaaa apoo ihiii dunia watuuu kaamaa aoo wapooo wengi apaaa Tanzania wanatumia cheo Chao
@leonardjackson269
@leonardjackson269 4 ай бұрын
Watu wabaya sana daa bas tu😢😢😢
@tumainijohn
@tumainijohn 4 ай бұрын
Mbota jmn i was there
@newbornhaule
@newbornhaule 4 ай бұрын
Nmemkumbuka huyu Mzee Mungu ni mweza wa Yote
@laylayl5166
@laylayl5166 4 ай бұрын
Polesana Mzee haki ya MTU ni haki tu
@yakfizahran4536
@yakfizahran4536 4 ай бұрын
Uza nyumba mzee uhamie sehem nyengin
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 4 ай бұрын
AIBU NA FEDHEHA SANA KWA HUYO AFISA WA JESHI.
@petroyohana1126
@petroyohana1126 4 ай бұрын
Acha mungu aitwe mungu mzee wangu
@ZainaKisengo
@ZainaKisengo 4 ай бұрын
Hawa Mahakimu kesho Watakuwa kuni
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 4 ай бұрын
Wale waiokucheka sura zao wataweka wapi? Leo nyumba imerudi kwa uwezo wa Mungu
@ChikuOmmary-ii2xf
@ChikuOmmary-ii2xf 4 ай бұрын
Hii Dunia Jamani kweli piki piki kuuzwe nyumba hata Mimi ningelipa Hilo deni jamani Dunia tunapita maskin tunateseka
@zablonnyanda6095
@zablonnyanda6095 4 ай бұрын
Duuu?? Tanzania tumefikishana hapa?? Mh! Muogopeni Mungu jamani. Hayo majumba mtayaacha tu! Kumbukeni kuna maisha baada ya haya hapa duniani? Tatizo nn nyie watu😂?!!
@yasinramadhan7315
@yasinramadhan7315 4 ай бұрын
Mungu ni mmoja tu
@festohaule9716
@festohaule9716 4 ай бұрын
Watanganyika wengi wamekuwa wezi wahuni sana hasa wenye vyeo flani..... Haki haipotei..
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u 4 ай бұрын
sotetumefurahkwakuwonaumepata.hakiyako babawasijekukuuwatu
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 ай бұрын
Uza hapo uwamie mbali asipajue huyomjeshi kwani nimdhumati uwezijua anakupanguanini kakosanyumba. Kinachooendelea. Jinusuru rohoyako Baba
@ibrahimhodabaksh3939
@ibrahimhodabaksh3939 4 ай бұрын
MAMA UNAYAONA HAYO
@valenakomba7686
@valenakomba7686 4 ай бұрын
MUNGUNGU NII MUNGU TUU
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u 4 ай бұрын
tenahuyohakim nimtukatijawatu
@kelvinnjawike1808
@kelvinnjawike1808 4 ай бұрын
Mapoti wanajonaga ndo Miungu huku duniani
@emmylightbrian2497
@emmylightbrian2497 4 ай бұрын
Sauti kama Lowassa kwa mbali 😅😅😅
@Clex-f5s
@Clex-f5s 4 ай бұрын
Atajwe tusambaze ujumbe awajibishwe😢
@festohaule9716
@festohaule9716 4 ай бұрын
Uza kwa mkubwa na kuhama ...watu wa mtaa wako sio wema kabisaaaaaaaaaaaaaa!!!!!
@vincentmushi1247
@vincentmushi1247 4 ай бұрын
Huyo kanari ni tapeli kama matapeli wengine ...aibu sana kwa taifa...watu kama hawa hawafai kuwa viongozi....angekuwepo magu Huyo ameshatumbiliwa...Pole sana mzee na hongera
@jamespetro3014
@jamespetro3014 4 ай бұрын
Jamani hiii ninyumba ya M100 mmmmh msituchanganye bhc
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u 4 ай бұрын
wivutuunawasumbuwa
@ramadhanzenj9111
@ramadhanzenj9111 4 ай бұрын
Hii inchi ina watu wanaweza kuminya haki yako hadi ukafa bila kuipata sema tu utakutana nayo Mbinguni
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 ай бұрын
Khaki ya mtu haipotei bure
@MichaelMaro-hj7yo
@MichaelMaro-hj7yo 4 ай бұрын
Aibu kwa mjeshi fek huyo s wa JWTZ
@tumainijohn
@tumainijohn 4 ай бұрын
Yani we n muongo 🤣🤣🤣 vtu vingine uliuza mwenyewe tunakujua wew ulivo mkatili pia
@totonata5384
@totonata5384 4 ай бұрын
Ameuza nini? Ukatili gani alonao? Ama nawe ni mmoja wapo ya watekaji na wazulumaji??
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Uanamjua?
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 4 ай бұрын
Waandishi wa habari hufanya kazi kubwa sana ktk jamii, ni kama Maaskari wapelelezi na watendaji
@user-yk1ug4bq7c
@user-yk1ug4bq7c 4 ай бұрын
Achana na Mali ya watu wewe!,ukihitaji kununua Mali ya mtu acha kumzunguka zunguka
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 4 ай бұрын
Huku duniania Baadh ya wanadamu hua wanahis hakuna laana au maombi ya anaedhulumiwa. Niseme TU kwayeyote ambae amedhulumiwa kama huyu bwana iaminike yakuwa Dua yake hy nibomu Kwa aliedhulumu Ukanali sio kitu chochote. Majibu nkwamba dhulma haidumu Bali kinachodumu ni hasara. .. Kwamana hiyo Jamaa ajiandae kanali itakuwa udhalili.
@gilbertshirima2684
@gilbertshirima2684 4 ай бұрын
Kumbe hii nchi ina wahuni bado? Mimi nisingeweza kuvumilia miaka miwili. Sijabarikiwa na subra
@valenakomba7686
@valenakomba7686 4 ай бұрын
MUNGUNGU NII MUNGU TUU
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 66 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 36 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 8 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН