Huu wimbo Dede aliimba kwa hisia Kali sana, Haya mashairi ya kubembelezea kweli, Hapa mtoto wa kike hata kama amechomoka akisikia lazima arudi, Mungu aipumzishe roho ya Mzee Dede mahala pema peponi.
@sylvesterjose32863 жыл бұрын
BIMA Lee magneto!!! Ash, nakukumbuka Sana Safi ya waimbaji wakiwa Omax bar Keko Mwanga 1984/5.
@najmasaleh92318 жыл бұрын
Ni hatari sana hii kitu ya wanamagneto tingisha sikiliza Tenzi za huyu Dede akilalamika kwa aziza mboni ya jicho lake
@salehndanda2645 жыл бұрын
vijana wa zamani walifaidi sana, kwa sababu walikuwa wanakwenda kunako tukio sisi tunasikiliza tuu, hapo bado shanwe ya harusi ya bima lee. hata kama hauna pesa unafarika sana.
@Shammy-rn3tn4 жыл бұрын
Halafu utasikia eti bongo fleva. sijui tumerogwa na nani.
@erickwambia265310 жыл бұрын
Shaaban Dede akifanya vitu vyake na wana magnet tingisha.miaka haya kamwe hatuyaoni tena.ni masikitiko makuu
@omaryswalehe12252 жыл бұрын
Diie Nassor nakuomba wimbo wa JJB hali hii mpaka lini
@whirlbirdskipper72454 жыл бұрын
Daah!asanteeeee! moto bwana moto mwanzo mwisho...hizi vitu hizi ....basi tu. Vocal combination na hiyo mikono ya magita....saluti kwenu mashujaa wa taifa letu kwenye fani hii ya burudani
@owdenmwakisambwe68997 жыл бұрын
Huu ni muziki wa hali ya juu sana sikiliza mashairi na change over 2:58 ,heshima kwako Dede na wanamuziki wote katika safu nzima,well done Eddie
@najmasaleh92314 жыл бұрын
Vocalist hapo watu hawa watatu wametenda haki Dede, Athumani Momba, Roy beshekanaku, Bass gitaa Salum urembo, solo Joseph Bathelemeo Mulenga na sax 🎷 Mafumu Bilal Mbombenga Drum zimeazibiwa na Athumani Manicho hiyo Bima ya hatari ssna km sikosei1985
@mariamabdullah4893 жыл бұрын
@@najmasaleh9231 umemsahau kamaley Patrick
@najmasaleh92313 жыл бұрын
@@mariamabdullah489 patric Kama Lee
@ughcleo77465 жыл бұрын
Solo ya Joseph Mulenga kama inaongea hivi,sax hii nadhani ni ya Ally Rashid ‘Bwana’,sax kama ipo ndani ya chungu kudadeki! Hawa watu walikuwa mafundi jamani
@brownee200072 жыл бұрын
Hapana ni super sax mafumu Bilal rip
@ابنعثمنАй бұрын
Mbona mi wimbo nausikia kama hauna key, Wenzangu mnaonaje
@mathewkilapilo583610 жыл бұрын
Ni kazi nzuri ya Shabani Dede yenye mpangilio mzuri na ni kumbukumbu ya kudumu kwa muziki wenye asilia ya Tanzania
Poleni familia na wadau wote wa muziki,atangulie kwa amani Dede
@vicenttheophil20334 жыл бұрын
Dede kama nakuona, mungu akuweke mahara pema.
@momomella98452 жыл бұрын
yaani we acha tuuuuuuu
@brownee2000710 жыл бұрын
Tingisha!!!! Super Motisha DEDE Asante sana Eddie, nilikuwa naitafuta hii muda mrefu sanaaaa...Bima na nginde were always my fav bands! Thanks cuz!
@eddienassor48010 жыл бұрын
brownee,burudika ndugu
@escaperoute66427 жыл бұрын
Brother Eddie , huyu mwanzilishi wa gita(rythm) kwenye huu wimbo ni nani huyu?.......anafanya wimbo uwe mtamu mwanzo hadi mwisho...kama unatafuna biskuti za chocolate .....hii zama kamwe haitajirudia. Daah
@lutheramani80786 жыл бұрын
Eddie Nassor Hizi za kale mbona raha jamani? Hazichuji hata siku moja
@najmasaleh92313 жыл бұрын
@@escaperoute6642 Nafikiri ni Gama huyu
@jamilambwana67812 жыл бұрын
Eddie Asante Sana nitafuti Ile ya vijana jazz ya dudumizi wakezangu
@allyfaraji2377 жыл бұрын
Rip Shaaban Dede.
@najmasaleh92318 жыл бұрын
Analolifanya mulenga ndio haki yake hapo
@marshallislands98564 жыл бұрын
Aziza!!
@hassanbugu500010 жыл бұрын
Kwa kuwa zako ziko clear vizuri tuwekee Makulata ya Bima Lee.Iliyowekwa kwengineko haiko clear na ni part one without part two.
@vicenttheophil20334 жыл бұрын
Kamchape kama namuona vile, rip
@bensonmero89192 жыл бұрын
BIMA LEE ULIKUWA 🔥 sana
@samirabakari95273 жыл бұрын
Penzi linakuwa izrail lataka kunitoa roho yangu dede. ...hakika ni mashaili ya dhahabu
@twilamtumbi26478 жыл бұрын
Aziza huyo nuru ya roho
@omaryswalehe12252 жыл бұрын
eddie Nssor
@brownee2000710 жыл бұрын
Hey Eddie, je unayo ile ya Bima Magnet Tingisha inayoitwa Asha? Maneno yake kama: Nilivyokupenda Asha kama damu yangu mwilini, mme wa mapenzi umechipua rohoni mwangu unakushwa mama na viroja vyako.... please bro
@eddienassor48010 жыл бұрын
brownee,nitapekua na nikiupata nitaurusha Mungu akipenda.
@brownee2000710 жыл бұрын
poa wangu asante sanaa
@damasmasanja59764 жыл бұрын
Dede ni kiboko ssan
@najmasaleh92318 жыл бұрын
Huyu mafumu na Ally Rashidi. Nani kati yao amefanya ubaya wa sax?
@Shammy-rn3tn4 жыл бұрын
Mafumu bilali. super sax. RIP
@NowelaRaymond-zq4ys2 ай бұрын
Jerry kama jerry Nashon
@hassanbugu500010 жыл бұрын
Safi sana!!! Tumwagie "Baba Shani" ya hawa vijana tupate uhondo zaidi.
@felixmagulu61425 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Dede, Mungu alikujalia Kipaji cha sauti ya kuimba yenye hisia kali na ufundi wa kutunga nyimbo zenye mafunzo, Utakumbukwa daima.
@erickwambia265310 жыл бұрын
Kaka Eddie utakapopata Shangu ya Harusi ya wana tingisha tuteremshie humu.thanks i advance man
@eddienassor48010 жыл бұрын
Tukijaaliwa nitai post erick
@lawrencemagonya68Ай бұрын
❤❤❤
@asnatmohamed61563 ай бұрын
🙏🙏🙏
@samirabakari95274 жыл бұрын
Muziki wenye akili
@husseinmohamed49654 жыл бұрын
Simchezo
@user-bs6ou5bm2k2 жыл бұрын
N.
@ashakijaji56623 жыл бұрын
Ppo
@erickwambia265310 жыл бұрын
Shaaban Dede akifanya vitu vyake na wana magnet tingisha.miaka haya kamwe hatuyaoni tena.ni masikitiko makuu