Solo hapo Mulenga,bass Abel, rhythm Gama,Sax King Enock,waimbaji Gulumo,Bichuka na Maalim Kinyasi,hiyo timu ya Taifa haijawahi na haitotokea tena nchi hii
@julithamuhale7271 Жыл бұрын
Lakini nakurudishia uamuzi wako! Asante Bichuka na sikinde kwa ngoma hii kali! Tena raha yake sikiliza mpaka mwisho yaani hizo ala,drum na gitaa ni tamu balaa!,Unabaki tu ukijitingisha tingisha huku ukikata mauno! Daah! sinkinde.... Napenda sana ngoma zenu!
@abdallamatemba7484 Жыл бұрын
Kwa kweli king Michael Enock kwenye midomo ya Bata hapo kanikumbusha enzi za utoto wangu na redio ya mbao -277
@RamadhanGube-xl2vp Жыл бұрын
Nakumbuka nilikuwa steel rolling mills mwaka 1982 kiwanda cha chuma tanga drawn wire section
@alawiymohd60035 жыл бұрын
Nyimbo hizi ukizisikia unaweza tokwa na machozi
@felixmagulu61424 жыл бұрын
Enzi hizo redio inakuwa karibu na baba tu ikiwa imenikwa na kitambaa safi kilichofumwa kwa ufundi na Mama, Hapa redio zilizokuwa zinatumika ni zile National za mbao nyuma inakuwa na picha ya mende na maandishi ya DUDU PROOF, Na redio aina ya Philips,Hakika nyimbo hizi ni kumbukumbu nzuri.
@yusufumatumbo686527 күн бұрын
The real or genuine Tanzanian musicians.
@jumamganga51363 жыл бұрын
Machozi ata siwezi kufuta yakaisha
@stephendanielmsangi60438 жыл бұрын
Mheshimiwa Eddie, this is incredible! huwa unazipata wapi? Huu wimbo unanikumbusha sana Uncle J. Nyaisangah, enzi hizo Club Rahaleo Show, mwaka 1982
@eddienassor4808 жыл бұрын
Hahahaa,Stephen burudika kaka zipo nyingi tu wewe pekua tu
@twilamtumbi26479 жыл бұрын
Yes wanamilimani park walikuwa wametimia full nondo asante Ali Jamwaka na tumba zako
@khadijasaidy68675 жыл бұрын
Twila Mtumbi Nice
@paulangoloko86422 жыл бұрын
Maneno ayo jamani😭
@abdallamatemba7484 Жыл бұрын
Kwa kweli solo gitaa aliyepiga ni mtaaalam, king Enock ndio kamaliza kila kitu, hizo sauti Sasa zinatusahaulisha hata na matatizo tuyonayo sasa
@freddymanongi8545 жыл бұрын
Hamis Juma, Muhidini, Bichuka mko poa
@mwinsadiamiri9 ай бұрын
Duh,nani anasema siku hazigandi?
@petersamwelm72792 жыл бұрын
Huu ni utunzi wa Mulenga-King spoiler akimpa kijembe Chidubule cosmas 1982 alivyohama bend
@abdallaabdulrahman8319 Жыл бұрын
Alihamia bendi gani baada ya kutoka Mliman Park?
@BarakaWaya Жыл бұрын
@@abdallaabdulrahman8319 Bendi ya Remmy Ongala
@AlexKing-yg2cc Жыл бұрын
@@abdallaabdulrahman8319Vijana jazz
@josephkitainda84192 жыл бұрын
Solo hiyo ya nyuzi 12-kombora ,Hamisi Juma alikuwa Maalim Kweli amewahi kufundisha Madras
@BarakaWaya6 ай бұрын
Solo ya Mulenga baraaa
@issaramadhani88745 жыл бұрын
Kitu Safi saaaaana zaidi ya saaaaana 1919 bado nzuri
@erickwambia265310 жыл бұрын
Hapa kikosi cha DDC Milimani Park ilikamilika Thanks Eddie for this. Chakura chakura maktaba.ukipata ngoma yoyote ya kimulimuli ni shukrani tu
@eddienassor48010 жыл бұрын
Photo album ipo hewani erick!
@AbdallahMatemba10 ай бұрын
Kwa hiyo huu wimbo na Neema wa cosmas ipi uliotoka mapena?naomba kujuta wapigaji wa solo,rhithym na bass gitaaa
@allynayomo4853 ай бұрын
Huu wimbo patapotea ulikuwa wa kwanza ,mwaka 1982,NEEMA ulitoka 1985