Mziki wa dansi zilipendwa -Jela ya mapenzi

  Рет қаралды 129,472

Eddie Nassor

Eddie Nassor

Күн бұрын

Пікірлер: 108
@herrymcharo9757
@herrymcharo9757 5 жыл бұрын
Namba 1 kwenye kumi bora ya RTD ya kwa miezi kadhaa 1973
@dennismadiwa9440
@dennismadiwa9440 5 күн бұрын
My father and mother used to listen to this song.may their souls rest easy in heaven.
@barazamatibila8412
@barazamatibila8412 5 ай бұрын
Nakumbuka mamangu mpendwa Anyili Naswa 1973 nikiwa mdogosana Radio kenya KBC tukienda kutafuta pombe Changaa ilitukauze maisha yalikua taabu lakini Mungu nimeema sasa mamangu hayuko namimi sasa ninapesa kama njugu sioni wakusaidia lakini tukifika mbinguni Mungu atajibu maswali yangu. Mimi sasa ni Pastor Baraza Matibila muhubiri naishi washington dc America ajabu sana 🙏
@abbasmungia6107
@abbasmungia6107 3 жыл бұрын
Duh asante sana kwa wimbo huu , nakumbuka nikiwa mdogo miaka ya 80 tukiwa tunasikiliza sana kwenye santuri na player, RIP Shamba Ramadhani
@raphaelgathuru8935
@raphaelgathuru8935 7 жыл бұрын
Huu Wimbo wanikumbusha mwaka 1973, wakati tukiishi huko kijijini Ibulamansi, Wilaya ya Mpanda, miaka hizo tukiwa wadogo. Mimi ni Raphael Kihoria naishi Marekani,(USA).
@joelwiliams278
@joelwiliams278 4 жыл бұрын
Nipo kashaulili mpanda, naisikiliza
@mohamedmohamud3639
@mohamedmohamud3639 6 жыл бұрын
i think this was between 1970-1973 tanzania oyee respect from canada
@kitengesuleiman3454
@kitengesuleiman3454 4 жыл бұрын
Ni kweli kaka
@Georgemzuzuri-jz2ry
@Georgemzuzuri-jz2ry Жыл бұрын
Napenda kitu Kama hiki mwafrica .
@bingwason
@bingwason 8 жыл бұрын
Tanzania imejaliwa kuwa na wapiga gitaa hodari sana. Huyu anayekung'uta solo hapa ni Wema Abdallah.
@eddienassor480
@eddienassor480 8 жыл бұрын
Unajua kaka wapiga solo wengine mimi nilikuwa hata sijui majina yao! nakubaliana na wewe kabisa.Huyu alielikung'uta hili si mchezo!!
@leonardkipondya4216
@leonardkipondya4216 6 жыл бұрын
Walikuwepo pia kina Rashid Hanzuruni na kina Maiko Enoki
@herculesthepower1544
@herculesthepower1544 5 жыл бұрын
Siyo wa sasa hivi wao ni computer tuu
@herculesthepower1544
@herculesthepower1544 5 жыл бұрын
Bongo flavor tengenezeni huu wimbo kuifanya wa kileo mtasaajabu itakavyo hit.
@admirabisikiduduye1516
@admirabisikiduduye1516 5 жыл бұрын
Bila ubishi,alishirikiana na kijana mwingine kutoka kigoma akipiga rhythm shamba ramadhani
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 5 жыл бұрын
Those who are thumb down must be nuts, do not understand the value of this music!
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 5 жыл бұрын
Kabisaaaaaaaa.
@mohamedmohamud3639
@mohamedmohamud3639 4 жыл бұрын
I think Donald Trump on the dislike oyee
@Babylon_Must_Fall
@Babylon_Must_Fall 2 жыл бұрын
I used to hear this song from my father. R.I.P Anselm! He used to sing it when he’s off from work 😭
@jacksonmidala7293
@jacksonmidala7293 7 жыл бұрын
Vigelegele, Rosa, Jela ya Mapenzi , Sadaka na Wenzangu nawauliza nyimbo hizi zimenikumbusha Enzo sold Western Jazz ikitoa ushindani mkubwa kwenye taenia ya muziki, hususan gala Car. RIP Shamba Ramadhan na Wenzangu Abdalla
@herculesthepower1544
@herculesthepower1544 5 жыл бұрын
Ilikuwa moja ya wimbo niliotokea kuupenda sana wkt huo hadi sasa. Old is gold.
@msakuzikondo536
@msakuzikondo536 2 жыл бұрын
Mwimbo wa marehemu baba yangu mzee Kitwana Kondo.Mungu amrwhemu baba yangu
@phedrickmanangwa1725
@phedrickmanangwa1725 8 жыл бұрын
Naomba unitafutie wimbo wa Ewe mpenzi wangu pokea hizi salaam, huenda tukarudiana hapo badaae, usife moyo
@ahmedissa7882
@ahmedissa7882 4 жыл бұрын
Hizi ndio the best song
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 5 жыл бұрын
Dah! Natamani ningeweza kubadilisha mshale wa saa na kurudisha siku hizo. Waliozaliwa na kukua nyakati hizo walifurahia mengi. Wengi wa wanamziki hawa wameishatangulia mbele ya haki. Raha ya milele uwape Ee Bwana, na mwanga wa milele uwaangazie. Wapumzike kwa amani. Amina. Nimefurahi sana kupata mziki huu. Nimeutafuta kwa muda mrefu sana. Unanikumbusha miaka ya 80 ukichezwa kwenye RTD nyakati hizo nikiwa kule Bukoba mkoani Kagera. Ya kale ni dhahabu! Sote tuliousikia na kuupenda sasa tumeishakuwa wahenga!
@nyangehassan902
@nyangehassan902 Жыл бұрын
Wazee wetu walikuwa wanafurahia fresh air with full really music
@henrychaula1174
@henrychaula1174 8 жыл бұрын
nilikuwa nasikiliza muziki huu nikiwa mdogo kule kijijini Swebo - wilaya ya Rungwe, miaka ya 70. baba alikuwa na redio aina ya PHILIPS 1BAND. zilikuwa siku nzuri sana.
@abellabv
@abellabv 4 жыл бұрын
Kaka umenikumbusha advert ya Philips..."Philips, ndiyo yenyewe; sauti safi, sauti kubwa."😊
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 10 жыл бұрын
stunning music...reminds me those beautiful days
@khalifasaid7695
@khalifasaid7695 4 жыл бұрын
Hawa ni Western Jazz band katika miondoko yao ya Saboso walivuma sana katika anga ya muziki miaka ya 70
@aroldcharles7753
@aroldcharles7753 10 жыл бұрын
In remembrance of my loving father..nimezijua hizi nyimbo nikiwa mdogo sana...! watu wazima kazini..sio kazi ndogo!!!
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Mungu amlaze mahala pema peponi
@AnthonyKisondella
@AnthonyKisondella 10 жыл бұрын
Eddie, unaniliza! wimbo huu unanikumbusha nilipokuwa mdogo mama yangu, RIP alipenda sana kuuimba jioni. kwa hiyo unanikumbusha kuwa mama yangu kweli sinaye
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Pole sana Anthony.Mungu ampe makazi bora peponi
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 5 жыл бұрын
Pole sana Anthony. Apumzike kwa amani mama.
@joelwiliams278
@joelwiliams278 4 жыл бұрын
Pole sana
@hassanbugu5000
@hassanbugu5000 10 жыл бұрын
Hakika umefanya kazi ya ziada ndugu Eddie kwa kuutundika uhondo huu kama nilivyokuomba.Shukran saana!!
@tilugulilwa
@tilugulilwa 4 жыл бұрын
Kumbukumbu nzuri sana hii, nakumbuka udogoni
@machupaseleman1574
@machupaseleman1574 9 жыл бұрын
Tukiwa wadogo na Dada yangu husna pale magomeni mapipa a lipenda sana imba huu mwimbo
@abbasmungia6107
@abbasmungia6107 3 жыл бұрын
Album ya mwaka 1973 "wanaiona saboso" nostalgic, zamani hairudi tena
@jamessuwi5980
@jamessuwi5980 6 жыл бұрын
Huu wimbo nakumbuka kuna kaka yangu nilishawahi kukuta anausikiliza na kuimba kwa hisia sana ile miaka ya mwanzoni mwanzo wa 80s, mimi nilikuwa natoka shule Lugalo primary Enzi hinzo, nimekuja kukumbuka kuwa alikuwa katendwa na demu wake mmoja mitaa ya mwenge maana Enzi hizo mademu walikuwa bidhaa adimu sana.
@victormkongewa5229
@victormkongewa5229 7 жыл бұрын
Namkumbuka sana mama angu Salome mkhande na daktari john mkongewa nalia jamani Rest In Peace
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 8 жыл бұрын
asante sana uncle Nguzo umenikumbusha mbali sana,yaani jamani enzi za radio band mbili ,RTD.kipindi hicho nafikiri nilkuwa na umri wa miaka 10 hivi kama sikosei,basi ukitunwa sukari dukani kwa mwarabu,ukisubiri kupimiwa sukari wakati mwingine utasikia mdundo huu,na vijana wa enzi hizo pia nao wakiuimba,yaani ni raha mtindo mmoja.natamani nyakati zirudi ili tuendelee kuzisikia hizi nyimbo tena.Mariam Fritsi Switzerland.12.03.17.
@claudibrain1153
@claudibrain1153 10 жыл бұрын
du mzee hii imenikumbusha mbali sana mitaa ya magomeni mapipa..thanx..
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Hahahahaa,haya burudika kaka!
@omarimtunguja5540
@omarimtunguja5540 Жыл бұрын
Nawakubali mpaka Leo enzi hizo Si mchezo
@bingwason
@bingwason 6 жыл бұрын
Hilo gitaa la solo baada ya kumalizika wimbo huu nadhani lilikuwa la moto kama pasi. Si kwa kupigwa huku aisee!
@aloycetemba8652
@aloycetemba8652 3 жыл бұрын
Umenichekesha sanaa....Dah
@SophiaAlly-ih2ss
@SophiaAlly-ih2ss 3 ай бұрын
Nimevheka nami pia
@asrams
@asrams 10 жыл бұрын
kuna mzee mmoja mtaani kwetu alikua akitoka ulevini ndo wimbo wake
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Alikuwa anaanguka?
@asrams
@asrams 10 жыл бұрын
Eddie Nassor hahaha yap,
@ngaizaanatory1819
@ngaizaanatory1819 3 жыл бұрын
Old is Gold.
@mohamedmasanga9134
@mohamedmasanga9134 5 жыл бұрын
Hongera zamani nitakukumbuka Sana najua huwezi kurudi
@hindisaidi5097
@hindisaidi5097 4 жыл бұрын
Kuna wimbo pia "mwezenu kupenda kwangu "
@markmakowa6154
@markmakowa6154 2 жыл бұрын
Very nostalgic and meaningful indeed! sensational & Nyce to hear .
@enockrajab672
@enockrajab672 4 жыл бұрын
I enjoy very much
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 5 жыл бұрын
Nakumbuka miaka ya 72 nikiwa msingi nilizoea kuusikia wimbo huu RTD ila hata sikujua mapenzi ni nini.ila leo ndio najua maana ya huu wimbo.
@deodatusmvambe7891
@deodatusmvambe7891 5 жыл бұрын
Kwa kweli najisikia huzuni, wimbo unanirudisha nyumba nilikuwa Mdogo nasoma mzimuni PR sch, DSM, marehemu baba yangu aliupenda na nilikuwa namsikia akiuimba, ooo baba ulale salama pamoja na mama, amina
@gilbertmasaki2965
@gilbertmasaki2965 4 жыл бұрын
Wakati huo nilikuwa dalaza la nne. Kipindi cha jioni njema RTD
@abdullahnassiralharthi2981
@abdullahnassiralharthi2981 10 жыл бұрын
Mr. Nassor, it is me again. Nitafurahi sana ikiwezekana kupatikana mwimbo wa huyu ndugu yetu marehem Wema Abdallah unao itwa Muhidina wangu kukupenda sana nimejichongea na ambapo hiyo ndio kawaida...
@simonmagambo2209
@simonmagambo2209 Жыл бұрын
Mwaka 1
@selemtambo2771
@selemtambo2771 6 жыл бұрын
Wakati huo mabo yalikua moto sana radio 277 aliinunua mama sh.350. C mchezo hapo
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 5 жыл бұрын
Saaaaaaaaafi kabisa. Yaani sijui kama nyakati hizo zitarudi.
@paulangoloko8642
@paulangoloko8642 2 жыл бұрын
Kitu kimenikosha yaani huu mzik we acha tu
@twilamtumbi2647
@twilamtumbi2647 9 жыл бұрын
Inaonesha wakati huo Dsm ilikuwa na watu Elfu 9 tu, kabla sasa ilivyovamiwa na vurugu, walikula raha wazee zetu, kazi nzuri
@gabrielmzomkunda9487
@gabrielmzomkunda9487 6 жыл бұрын
Twila Mtumbi .. mbaguzi wee hahahaha
@mariamabdullah489
@mariamabdullah489 4 жыл бұрын
@@gabrielmzomkunda9487 ubaguzi upo papi kaka, Mtumbi kaongea wazo lake
@ibrahimaboker9086
@ibrahimaboker9086 8 жыл бұрын
ukitaka raha sikiliza vigelegele. Rosa.utasikia utamu wa solo na rythm
@abdallahissashekhan4310
@abdallahissashekhan4310 6 жыл бұрын
Kwangu ni nilioucheza mwaka 68 wakati huo Western wako Sikukuu street opposite na Cosmopolitan f.c
@abelmkinga8012
@abelmkinga8012 Жыл бұрын
Nakumbuka rungwe
@sautiafricatv2924
@sautiafricatv2924 7 жыл бұрын
aaaha hakika yakale dhahabu jela ya mapenzi
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 4 жыл бұрын
Wwaaaww enzii..
@latifahsalum3479
@latifahsalum3479 7 жыл бұрын
nice song
@duncanmulwa5050
@duncanmulwa5050 7 жыл бұрын
silikua goma poa sanaaa
@gemmstore
@gemmstore 4 жыл бұрын
Jela ya mapenzi
@josephkyuzakitundu2116
@josephkyuzakitundu2116 7 жыл бұрын
Unanikumbusha miaka ya 70 nikisoma sekondari ya Mazengo Dodoma
@elamodelamusica1
@elamodelamusica1 Жыл бұрын
BN
@richardmaziku9935
@richardmaziku9935 6 жыл бұрын
Huu mziki unanikumbusha mwaka 1980 nikiwa huko nyumbani kahama shinyanga
@abdlaabadala322
@abdlaabadala322 6 жыл бұрын
naomba nitafutie wimbo wamikidadi nagombile likwata uja jazz band zilipendwa
@lucasmororo2949
@lucasmororo2949 6 жыл бұрын
Enzi hizo acha tu huu mziki umenikumbusha mbali saana solo inamtoa nyoka pangoni
@deombeleka1905
@deombeleka1905 10 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sana
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Usilie tu Deo :)
@nafisarashidhassan8474
@nafisarashidhassan8474 7 жыл бұрын
Jela ya mapenzi ulitisha sana
@nohujoho4570
@nohujoho4570 7 жыл бұрын
nakubuka kijijini kwetu songa batini muheza tanga
@saleemalshuk8147
@saleemalshuk8147 6 жыл бұрын
Wapi zamani enzi hizo imebaki ni kuwaombeya waliyo tutanguliya mbele ya haki upendo maisha yalikuwa rahisi hakuna vita vya udangayifu kama hivi wakati huu wimbo huu unanikumbisha mchana mwema saa12 nikitoka praimary school mwlimu wangu mwakibete mjini sumbawanga sokoni
@siriliusbertram1673
@siriliusbertram1673 8 жыл бұрын
Blandina na Anna Antoni
@daudmabulamashenene1854
@daudmabulamashenene1854 6 жыл бұрын
ilikuwa pata shika enzi hizo!!
@innocentmtui3595
@innocentmtui3595 8 жыл бұрын
atari
@siriliusbertram1673
@siriliusbertram1673 8 жыл бұрын
Dada Magdalena unao? Please!
@lameckhenrymayolo7369
@lameckhenrymayolo7369 6 жыл бұрын
Siyo Tbr jazz, bali walikuwa ni wana wa magharibi au ukipenda kimombo ni western jazz.
@saadamagige8632
@saadamagige8632 6 жыл бұрын
Naweza kupata wapi studio ya nyimbo zote hizi za Zamani ZILIPENDWA namkumbuka baba yangu Kipenzi ameshatangulia mbele ya haki kila Jumapili nadhani alikuwa anakumbuka enzi zake msaada STUDIO
@lameckhenrymayolo7369
@lameckhenrymayolo7369 6 жыл бұрын
Well done Wema Abdalah, Hamis Tosha, Shamba Ramadhan na wengineo mlioifanya kazi hii.
@abdullahnassiralharthi2981
@abdullahnassiralharthi2981 10 жыл бұрын
Na huu ulivuma wakati wake.
@nganambwepallangyo9979
@nganambwepallangyo9979 5 жыл бұрын
Hakuna kugombana kisa hii kitu
@saadmazen4528
@saadmazen4528 10 жыл бұрын
kama sikosei hawa ni Tabora Jazz?
@MightyLumber
@MightyLumber 10 жыл бұрын
Hawa ni Saboso a.k.a. Western Jazz
@asiabakari9350
@asiabakari9350 7 жыл бұрын
inanikumbusha wakati nachunga ngombe na redio 1bendi nikiwa kondoa
@saidikiruta9271
@saidikiruta9271 6 жыл бұрын
no western jazz
@saidikiruta9271
@saidikiruta9271 6 жыл бұрын
hawa ni western jazz 1973
@saidikiruta9271
@saidikiruta9271 6 жыл бұрын
Saad Mazen western jazx hawa
@ezzymoneylambert4261
@ezzymoneylambert4261 9 жыл бұрын
Eddy we na ajali ya aminani wa oss
@remykabenga4933
@remykabenga4933 5 жыл бұрын
Wimbo huu unanitekenya kabisa nakumbuka Tabora jazz na western na super volcano zili kua na upinzani mkubwa.
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 5 жыл бұрын
@@remykabenga4933 Yaani we acha tu. Hizo ndo zilikuwa nyakati za mziki wenyewe wa Kiafrika!
@remykabenga4933
@remykabenga4933 4 жыл бұрын
@@gosbertrwezahura3645 ukowapi mimi niko Buja
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 4 жыл бұрын
@@remykabenga4933 Asante sana ndugu. Mimi niko Bukoba.
@remykabenga4933
@remykabenga4933 4 жыл бұрын
@@gosbertrwezahura3645 Bukoba napaona Karagwe mpakani panaitwa mulongo kikagati ngambo yamulongo Uganda Rugasha gihinda kiaka nakungineko nipe no zako.
Mziki wa dansi zilipendwa-Zahir Ali na Kimulimuli- Kitu mapenzi
6:38
Jela ya mapenzi, bendi Western Jazz
15:04
bantu tanzania
Рет қаралды 2 М.
When my son wants to eat KFC #shorts #trending
00:46
BANKII
Рет қаралды 27 МЛН
Cute dog Won Squid Game 😱💸 #dog # funny #cartoon
00:33
Wooffey
Рет қаралды 21 МЛН
упс #aminkavitaminka #aminokka
00:12
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2,2 МЛН
SHE CAME BACK LIKE NOTHING HAPPENED! 🤣 #shorts
00:21
Joe Albanese
Рет қаралды 19 МЛН
Super Rainbow - Milima Ya Kwetu
7:11
Power Nguzo
Рет қаралды 369 М.
ELIMU YA MJINGA-BANZA STONE
8:29
HABARI JAMII TANZANIA
Рет қаралды 825 М.
Mziki wa dansi- zilipendwa- UDA -Tulizaliwa wote kijiji kimoja
6:29
DUNIA UWANJA WA FUJO  MARIJANI new)
7:43
ZILIPENDWAMUSIC
Рет қаралды 173 М.
Uda Jazz Band - Kaishi Salama Suzana
6:54
Power Nguzo
Рет қаралды 406 М.
WIFI ZANGU VJB
9:31
DMTV
Рет қаралды 512 М.
Vijana Jazz - Usicheze Na Bahari No  2
10:57
Power Nguzo
Рет қаралды 88 М.
Mbaraka Mwinshehe & Morogoro Jazz Band - EXPO 70
9:30
mawenzi
Рет қаралды 438 М.
When my son wants to eat KFC #shorts #trending
00:46
BANKII
Рет қаралды 27 МЛН