Super Rainbow - Milima Ya Kwetu

  Рет қаралды 363,484

Power Nguzo

Power Nguzo

Күн бұрын

Пікірлер: 153
@julithamuhale7271
@julithamuhale7271 4 жыл бұрын
Super Rainbow Mwenyezi Mungu awabariki popote mlipo! Kila naposikiliza huu wimbo mnaukosha moyo wangu,kwani wakati narudi home huwa nautazama mlima Hanang!
@kafirsantana8631
@kafirsantana8631 5 ай бұрын
"Alikuwa kama Helicopter, ndege isiyochagua mahali pa kutua " Daah... Eddie alitambaa sana humu aisee.😢
@makinibwika1427
@makinibwika1427 3 жыл бұрын
Dah!! Kali kweli. Those were the days when music was really music. Muziki unamwagika wenyewe waaaahh
@abuuchondo9762
@abuuchondo9762 8 жыл бұрын
kuna nyimbo ukisikiliza lazima machozi yakutoke! daah rest in eternal peace eddy sheggy
@yesesalambwe9420
@yesesalambwe9420 26 күн бұрын
Moral of the story: Be mindful of signs of times and seasons! Don't ignore them
@anoldmrosso6680
@anoldmrosso6680 4 жыл бұрын
Hakika hizi tungo ni dhahabu kwa kizazi hiki cha sasa Nakumbuka mbaaaali sana!!!!!
@danielmbalakami7877
@danielmbalakami7877 8 жыл бұрын
Wimbo unanikumbusha mbali sana.namkumbuka Eddy Shegi na Nana Njige katika chorus.mungu awalaze pema peponi Eddy na Nana.
@davidfabian5625
@davidfabian5625 5 жыл бұрын
jaman nakumbuka maisha ya baba yangu wakati yuko hai alikuwa anapenda sana jaman yakale dhahabu
@hajialy9905
@hajialy9905 7 жыл бұрын
inakumbusha mwaka 1985. tunatoka dom kuelekea tanga kupitia dar kwa basi la corretco wakati huo. basi aina ya leyland albion.tulilala magomeni mapipa kwa rafiki yake baba na huo wimbo ndo ulikuwa habari ya jiji wakati huo.kweli nyimbo zinavuta hisia sana.
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 7 жыл бұрын
Haji Aly Corretco ndio ilikuwa basi pekee ya kutupeleka Huko Tanga Handeni tukipandikia kamata baadae kkoo mtaa mafia jengo la kona mafia na msimbazi enzi azirudi
@siyaminja9003
@siyaminja9003 5 жыл бұрын
nyimbo au music na matukio ndio yanaweza kukukumbusha nyakati ulizopitia
@pudencianamlewa6486
@pudencianamlewa6486 3 жыл бұрын
Yaani hizi nyimbo zinaishi kutokana na ujumbe uliopo kwakweli
@patriciamaganga3891
@patriciamaganga3891 3 жыл бұрын
Nana Njige ulikuwa mbele yangu kwa mwaka mmoja Forodhani Secondary School, pumzika kwa amani Amen
@kafirsantana8631
@kafirsantana8631 5 ай бұрын
Ilikuwa mwaka gani?
@patriciamaganga3891
@patriciamaganga3891 5 ай бұрын
@@kafirsantana8631 1979
@henrychaula1174
@henrychaula1174 2 жыл бұрын
Nani yuko namimi leo 14/4/2022 kusikiliza wimbo wenye mafundisho makubwa ya kuwa makini katika maisha
@hamisijuma962
@hamisijuma962 8 жыл бұрын
Huu wimbo wa milima ya kwetu unanikumbusha mbali sana
@MrKhaunya
@MrKhaunya 2 жыл бұрын
kaweka sukari kwenye mboga Jamani!
@fabianjerome7194
@fabianjerome7194 7 жыл бұрын
Kwa kweli waliutendea haki muziki
@amonijustini119
@amonijustini119 6 жыл бұрын
Daa! Wimbo umenikumbusha Eddy Sheggy Kwa kweli ya kale no dhahabu!!
@allyulaya5666
@allyulaya5666 6 жыл бұрын
wenye mziki wao washaondoka dah
@consesalyimo7261
@consesalyimo7261 Жыл бұрын
Ndiyo miziki ya zilipendwa heshima kibao
@costamasuba1099
@costamasuba1099 5 жыл бұрын
Super super rainbow,wami bar Mwananyamala, drummer boy, it waa 1984, eddy na emmamokelo,
@mtwaandasoni7675
@mtwaandasoni7675 8 жыл бұрын
Nyimbo za zamani zina mafunzo sana
@mussaakida2968
@mussaakida2968 4 жыл бұрын
Nataman gari isifike upesi....Daaahh
@King_of_Spare
@King_of_Spare 9 жыл бұрын
mama mdogo alinichukua kijijini na kumuahidi mambo mengi dada yake, la kwanza atanisomesha na mm nitajua maisha ya badae tulipofika mjini mamaa, tulipofika mjini mamaaa kanigeuzia kibao hakuna cha shule wala dalasa siku zenda mbio nateseka
@edwinchapa98
@edwinchapa98 5 жыл бұрын
Ninaomba jina la uhu wimbo uliouandika nautafutaa sana
@arnoldbagambisa7545
@arnoldbagambisa7545 Жыл бұрын
Sauti ya Eddy Sheggy kama inatoka kwenye kinanda vile!
@samuelmwaipopo1302
@samuelmwaipopo1302 3 жыл бұрын
Huyo vocalist alikuwa ni standard za SGR kabisa. Vocal range yake hatari. Mgosi Eddy Sheggy. Rest in eternal peace. Nilikuwa naukumbuka wimbo lakini nilikuwa sijui jina la huu wimbo.
@beatriceshadrack9995
@beatriceshadrack9995 7 жыл бұрын
Daaaaaaaaaaah nakumbuka sana Marehem babaangu Mr Shadrack, MUNGU amrehem, Ameeeen !! muziki ni furaha pia ni kilio, muziki unaumiza
@mussaally2722
@mussaally2722 7 жыл бұрын
kweli mziki unaumiza sana
@beatriceshadrack9995
@beatriceshadrack9995 7 жыл бұрын
Mussa Ally we acha tu
@jacksonzebedee4668
@jacksonzebedee4668 6 жыл бұрын
Pia unaponya, Beaty !
@sangomamourice8680
@sangomamourice8680 4 жыл бұрын
Hakika zamani raha music ndio njia pekee unanirudisha Home maisha ya ughaibuni mabaya mno
@peteraugustine8220
@peteraugustine8220 9 жыл бұрын
The song reminds me when i was in primary school, my late young mother when quarreling with her husband, he always played that kind of songs on his cassete player, also he liked another song by Eddy sheggy that sings; "Alianza kuweka chumvi kwenye chai,. nilikua na wageni wakatoka bila kuaga"
@johnmasungansolezi576
@johnmasungansolezi576 6 жыл бұрын
Hueleweki unaongea nini, unaposema another song, wakati maneno unayoyaandika ndio yapo katika wimbo huu, and who do you refer to, your mother or your father? Maana naona he zimekuwa nyingi
@hamadmunisi265
@hamadmunisi265 5 жыл бұрын
Hakika nyimbo za zamani zilikuwa na mafunzo,, na tutawakumbuka wapendwa wetu waliotangulia mbele za haki.
@ericernest845
@ericernest845 5 жыл бұрын
Kiinglish shida mazee
@TamuzaKale
@TamuzaKale 4 жыл бұрын
@@johnmasungansolezi576 Kamwelezea mama yake mdogo. Akigombana na mumewe, mume huweka muziki huu na mwingine wa Eddy Sheggy. It's not the mother who liked the song. He only refers to his mother because he has no relationship with the husband of his young mother.
@kombakomba7922
@kombakomba7922 3 жыл бұрын
@@johnmasungansolezi576 both father & mother 😂😂😂 kaeleweka.
@athumanwaziri4293
@athumanwaziri4293 5 жыл бұрын
Da!! hii nyimbo inanikumbusha mama yangu mzazi ambae alitoweka nyumbani pale Kilosa kisangata estate mwaka 1984 kwenda Handeni kwenda kumuona mama yake mzazi alikuwa ni mgonjwa lkn mpaka leo hakuoneka na tena alikokua anaenda hakufika
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 4 жыл бұрын
Athuman Waziri pole sana mgosi Gamba kauya kaya
@marymkwizu3800
@marymkwizu3800 4 жыл бұрын
Pole sana, jitahidi kusahau
@patriciamaganga3891
@patriciamaganga3891 3 жыл бұрын
Pole sana
@hassanmachano6827
@hassanmachano6827 2 жыл бұрын
Pole sana kaka mana ni mtihani kwako Allah akufanyie wepesi muombee tu dua kila unapomkumbuka
@esaumodolo966
@esaumodolo966 2 жыл бұрын
Pole sana
@raskenneth1981
@raskenneth1981 5 ай бұрын
Nilikuwa na wageni wakatoka bila kuagaa!🙃🙃🙃
@MrKatabaro
@MrKatabaro 6 жыл бұрын
RTD kipindi hicho. TBCturudishe huko maana ni kuzuri sana. Najua nyie mna hazina kubwa sana ya muziki. WAawezesheni wanamuziki wa sasa kuimba muziki bora kaa ya kale hasa matumizi ya vifaa vya muziki.
@augustinosemkuruto6604
@augustinosemkuruto6604 9 жыл бұрын
Good memories! when I was Primary school we this song to answer in Kiswahili literature!
@amanimohameddagila3704
@amanimohameddagila3704 8 жыл бұрын
R. I. P My soul brother Fast Mover!
@abdallahmbena4334
@abdallahmbena4334 5 жыл бұрын
Hivi huyo dada aliimba na eddy bado yupo hai? Nyimbo inatuliza kwa kukumbuka udogoni mwetu enzi za shule msingi unaenda na kurudi home SAA sita kula halafu unarudi tena SAA nane shule jua kali unasikiliza nyimbo hizi kwa mbaali huko mtaani daah
@joshualazaro1641
@joshualazaro1641 11 ай бұрын
Kila nikisikia hii sauti nakumbuka picha kama hiyo, unausikia huu wimbo RTD.
@kafirsantana8631
@kafirsantana8631 5 ай бұрын
Huyu Dada nahisi anaitwa Nana Njige, niliwahi kusikia alikuwa na mahusiano na Eddy Sheggy.... Miaka 7 iliyopita alikuwa bado yupo, ila sijui kwa sasa.
@abouayman8713
@abouayman8713 4 ай бұрын
Rip nana njige
@augustinosemkuruto6604
@augustinosemkuruto6604 9 жыл бұрын
Good Memories! When I was in Primary School , we use this song to answer Swahili literature!
@julianpeter7165
@julianpeter7165 7 жыл бұрын
daah nakumbuka zamani nikiwa kasulu na baba yangu alikuwa OCD miaka ya 92 daah maisha safari ndefu
@paulnyello5036
@paulnyello5036 7 жыл бұрын
Rest in peace eddy
@abdulmahamud5855
@abdulmahamud5855 7 жыл бұрын
AUGUSTINO SEMKURUTO zitapendwa daima
@allyrnassor9500
@allyrnassor9500 6 жыл бұрын
Abdul Mahamud d
@iddachikando9304
@iddachikando9304 4 жыл бұрын
Duh yani nakumbuka kulikuwa nakongamano na kulikuwa na bendi nyingi hilo kongamano lilifanyika uwanja wa ufi shekilango watoto wa shekilango mpoo
@ericernest845
@ericernest845 5 жыл бұрын
Helicopter ndege isio chagua pa kutua saw. Things make sense
@annambwilo5101
@annambwilo5101 4 жыл бұрын
Saana
@rademm8924
@rademm8924 2 жыл бұрын
Duu jamaa alitisha sana hapo
@GobsonNjagi
@GobsonNjagi Ай бұрын
If you listen to the arrangement of instruments and vocals of this song , you will side with me this was vijana jazz minus manet chiriku, just listen to "wivu" by vijana jazz compare and contrast❤
@athanusmutua3210
@athanusmutua3210 Жыл бұрын
Hiki kikundi sijawai kisikia hata Ni wa sehemu Tanzania
@derickmac6400
@derickmac6400 5 жыл бұрын
Nov,2019 bado nasikiliza ...classic song
@wilsoncharles2069
@wilsoncharles2069 4 ай бұрын
Haya mambo yapo kweli. Miaka kadhaa baadae Profesa J akatoa wimbo NIKUSAIDIEJE ukiwa na maudhui hayo hayo
@francissweya6821
@francissweya6821 5 жыл бұрын
uhenga huu we acha tu!
@husseinomary4466
@husseinomary4466 5 жыл бұрын
Huu wimbo Kama unauweka kwenye thamani ya pesa unanunulia bombadia tatu thamani yake
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 4 жыл бұрын
Hussein Omary 💊💊💊💊💉💉💉💉🤣🤣🤣👍🏻👍🏻👍🏻
@dafrozaabeli8234
@dafrozaabeli8234 4 жыл бұрын
Shanga yaja ndima
@julithamuhale7271
@julithamuhale7271 Жыл бұрын
Haswa
@saidmabanga388
@saidmabanga388 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@kibindachangila6708
@kibindachangila6708 8 жыл бұрын
hivi vitu tunasikiliza watu makini tu.
@elvisog4110
@elvisog4110 5 жыл бұрын
Kibinda Changila mbaraka jogoo la shamba
@floteakweka5480
@floteakweka5480 4 жыл бұрын
Kwa wakati mkini
@annambwilo5101
@annambwilo5101 4 жыл бұрын
Kabisa
@ramadhanisebogwe9011
@ramadhanisebogwe9011 3 жыл бұрын
Sanaa ndugu yangu
@anoldmrosso6680
@anoldmrosso6680 2 жыл бұрын
Safi sana hizi ndizo sauti za dhahabu
@MrKhaunya
@MrKhaunya 3 жыл бұрын
sauti safi sana mziku mtamu
@edwardchacha5128
@edwardchacha5128 4 жыл бұрын
Alikuwa na sauti nyororo na ya pekee sana.
@johnchoma2522
@johnchoma2522 7 жыл бұрын
Old is gold big up Nguzo
@ednaednamillanzinia2826
@ednaednamillanzinia2826 2 жыл бұрын
Yawning Yaani hizi ndio nyimbo wala azichuji tuko chekechea mpaka tunakua watu wazima ni tamu tuu.
@nyenzenyenze4677
@nyenzenyenze4677 4 жыл бұрын
Dah..maisha yanabadilika..siku hzi mtu akiachwa anasema kwao hajaua..
@julithamuhale7271
@julithamuhale7271 Жыл бұрын
Ndiyo maana yake!
@pakacha70
@pakacha70 3 жыл бұрын
Dah ama kweli huyu jamaa alikuwa na sauti ni mchezo
@bahatynassor5431
@bahatynassor5431 4 жыл бұрын
Nyimbo zinaujumbe mzito sana
@jmkwanzatv5363
@jmkwanzatv5363 6 жыл бұрын
Uwezi hamini hapa edy anampiga dongo ndugu yake Christian shegy walitoka wawili kutoka band flani sasa wanatoka kwenye iyo band kurudi kwenye band yao ya zamani ndugu yake akachomoa kurudi ndio edy anasema tulitoka wawili narudi Peke yangu
@ericernest845
@ericernest845 5 жыл бұрын
VP babu mambo zako
@fredylucas2484
@fredylucas2484 4 жыл бұрын
Huu uongo mkubwa haujawahi kutokea. Ingekua vizuri ukatueleza band gani anayoizungumza
@kafirsantana8631
@kafirsantana8631 5 ай бұрын
Umenifanya niurudie wimbo mara mbili mbili ili kuoanisha na ulichokiandika.
@amonijustini119
@amonijustini119 6 жыл бұрын
Ama kweli Tabia Mwanjelwa alikjwa sauti ya kipaji kweli kweli.
@fredylucas2484
@fredylucas2484 4 жыл бұрын
Tabia Mwanjelwa anaingiaje kwenye huu wimbo? Ama unamfananisha na Nana Njige?
@patriciamaganga3891
@patriciamaganga3891 3 жыл бұрын
Nana Njige huyo
@paulmwanyanje5275
@paulmwanyanje5275 7 жыл бұрын
Nakumbuka kipindi cha "club rahaleo show". Kila wiki ungejua vibao vipya.
@jacquelinecharles9963
@jacquelinecharles9963 4 жыл бұрын
Dah..And I used to think wapo mitaani..kumbe ilikuwa ni studio.
@mudymnandi3050
@mudymnandi3050 6 жыл бұрын
Namkumbuka sana kaka angu Mrimi Mnandi, R i p bro
@raskenneth1981
@raskenneth1981 5 ай бұрын
Mrimi Mnandi aliekuwa Mwalimu pale Jitegemee High School miaka ya 90's?kama ndie yeye RIP namkumbuka sana kwa ucheshi wake.
@lameckmwangonda4040
@lameckmwangonda4040 2 жыл бұрын
Eddy sheggy atakumbukwa sana
@TamuzaKale
@TamuzaKale 8 жыл бұрын
RIP Emma Mkello na Eddy Sheggy..
@Ambagaye
@Ambagaye 3 жыл бұрын
That is what I call music music. Even with Poor instruments, it has rich impact.
@spiyerharoun1670
@spiyerharoun1670 8 жыл бұрын
NAKUMBUKA MBALI SANA ENZI HIZO HIKI KITUKO KILIMKUTA KAKA YANGU MKUBWA VIATU ALIWEKA KWENYE FRIJI WAKATI MGENI HAPO MWANANYAMALA
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 7 жыл бұрын
spiyer haroun Ahaaaa ndio Dunia hilivo
@kassimurajabu1590
@kassimurajabu1590 7 жыл бұрын
jamani wahenga tunakumbuka mbali sana
@issaabdil5123
@issaabdil5123 7 жыл бұрын
namkumbuka marehemu babayetu mungu amrehemu
@abdullkilawi5504
@abdullkilawi5504 8 жыл бұрын
Milima ya kwetu Lushoto
@Kumbukwa83
@Kumbukwa83 5 жыл бұрын
Hahahaaa Ushoto bana
@abdallahorait6345
@abdallahorait6345 Жыл бұрын
Nawe shegg sauti yako haizeeki
@bashiruhabibukanju5345
@bashiruhabibukanju5345 6 жыл бұрын
nmemkumbuka mama yangu
@silvesterthingano5143
@silvesterthingano5143 3 жыл бұрын
Old is gold
@azizishelukindo8102
@azizishelukindo8102 4 жыл бұрын
Nikweli jaman huu muziki nimtam san
@janetwandeharris3934
@janetwandeharris3934 7 жыл бұрын
Huyu siyo Tabia ni Emma huyu ndo mpenzi wa Eddy Shegi toka Kenya walirudi TZ p1
@jumasalum4389
@jumasalum4389 5 жыл бұрын
Janet Wande Harris Emma mkolla
@christophermbunda2172
@christophermbunda2172 5 жыл бұрын
bonge la wimbo
@makamedume2106
@makamedume2106 Жыл бұрын
Supar rembow
@focuspaul5431
@focuspaul5431 2 жыл бұрын
Good music
@rajabmtila9370
@rajabmtila9370 3 жыл бұрын
Daaaaaaahhhh..... RIP
@beatriceeyembe6838
@beatriceeyembe6838 3 жыл бұрын
Walisemaaaaaaa😇😇😇😇👍👍👍👍👍👍👍👍
@twahamtumbi6527
@twahamtumbi6527 7 жыл бұрын
Eddy pumzika
@richardjohn7942
@richardjohn7942 3 жыл бұрын
Zina hisia kali
@bismassshilla2025
@bismassshilla2025 7 жыл бұрын
hizi ndo nyimbo
@salehomary538
@salehomary538 6 жыл бұрын
Hapo nilikuwa nisikia najua mchana mwema
@zaitunisalum5977
@zaitunisalum5977 3 жыл бұрын
Kwa kweli wamepiga
@pricembaru497
@pricembaru497 4 жыл бұрын
Good educative music.
@salmamohamedy9203
@salmamohamedy9203 4 жыл бұрын
zilipendwa zina raha jamani
@Hauleshabby
@Hauleshabby 8 жыл бұрын
niceee eddy sheggy
@idrisanassoro4986
@idrisanassoro4986 6 жыл бұрын
Nyimbo zina image kwenye jamii,kweli enzi hazitorudi,nakumbuka miaka ya 1986 tukitoka shamban na wazaz kisha tunachuma mlenda ili mama akipike rule naugal huku tukiwa tumekaa nje chini ya mti na baba na redio band 3 ya mbao
@janimohamed2938
@janimohamed2938 5 жыл бұрын
Rahma Shani
@anto_0758
@anto_0758 6 жыл бұрын
Svemi
@spiyerharoun1670
@spiyerharoun1670 7 жыл бұрын
JAMANI KUNA NYIMBO NYINGINE ILIIMBWA NA JENNIFA NDESILE NAKUMBUKA KIBWAGIZO KISEMACHO MWISHO WAKE NIKIFOO MWISHO WAKE NI KIFO. KAMA KUNA YEYOTE ANAUKUMBUKA ANAWEZA KUNISAIDIA NIENDELEE KUBURUDIKA
@michaelmatoo1147
@michaelmatoo1147 6 жыл бұрын
Huu wimbo unanikumbusha mtoto wa mamangu mkubwa marehemu Grace alikua anaimba akifua na akipika KBC ikiitwa VOK..ndio ilikua inashika mbaya enzi za MW(medium wave)..radio ikipiga unaeza sema ni part ya beat.
@henrymwatwinza5824
@henrymwatwinza5824 5 жыл бұрын
Wimbo huo unaitwa Maisha ni safari ndefu wa DDC kama sikosei.
@kassimsaidi1600
@kassimsaidi1600 6 жыл бұрын
Dar jazz
@davidfabian5625
@davidfabian5625 6 жыл бұрын
yakale zahabu jaman
@spiyerharoun1670
@spiyerharoun1670 7 жыл бұрын
ENZI HIZO KWA KWELI ILIKUWA RAHA
@Kiburudisho
@Kiburudisho 8 жыл бұрын
Nautafuta wimbo huu bila ya mafanikio sehemu ya wimbo huo inasema SUPU UMETIA NAZI
@reubenmsuya7162
@reubenmsuya7162 7 жыл бұрын
Hizi ndio zilipendwa hazichuji.
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 7 жыл бұрын
Huyo ni bichuka na bendi ni sikinde wimbo supu ukitia nazi
@alhajjuma7343
@alhajjuma7343 6 жыл бұрын
Sik8nde
@sangomamoricee6533
@sangomamoricee6533 5 жыл бұрын
ngoja tupooze machungu yetu
@Kumbukwa83
@Kumbukwa83 5 жыл бұрын
Muruaaa
@King_of_Spare
@King_of_Spare 9 жыл бұрын
mama mdogo alinichukua kijijini na kumuahidi mambo mengi dada yake, la kwanza atanisomesha na mm nitajua maisha ya badae tulipofika mjini mamaa, tulipofika mjini mamaaa kanigeuzia kibao hakuna cha shule wala dalasa siku zenda mbio nateseka
@munirabaraka8351
@munirabaraka8351 6 жыл бұрын
, mm,..
@King_of_Spare
@King_of_Spare 9 жыл бұрын
mama mdogo alinichukua kijijini na kumuahidi mambo mengi dada yake, la kwanza atanisomesha na mm,nitajua maisha ya badae tulipofika mjini mamaa, tulipofika mjini mamaaa kanigeuzia kibao hakuna cha shule wala dalasa siku zenda mbio nateseka
@edwinchapa98
@edwinchapa98 5 жыл бұрын
@Ramadhani Chanzira inaitwaje uho wimbo nautafuta sana
Vijana Jazz - Thereza
11:00
Power Nguzo
Рет қаралды 353 М.
Orchestra Maquis Original - Niweve Pekee
7:00
dinkotom
Рет қаралды 375 М.
the balloon deflated while it was flying #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 32 МЛН
Will A Basketball Boat Hold My Weight?
00:30
MrBeast
Рет қаралды 118 МЛН
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 2,9 МЛН
Mziki wa dansi zilipendwa -Super rainbow- Milima ya kwetu
7:04
Eddie Nassor
Рет қаралды 14 М.
Penzi Halina Umaarufu (feat. Vijana Jazz Band)
7:35
Bongo Records - Topic
Рет қаралды 8 М.
Juwata Jazz Band - Msafiri Kakiri
6:50
Power Nguzo
Рет қаралды 354 М.
ELIMU YA MJINGA-BANZA STONE
8:29
HABARI JAMII TANZANIA
Рет қаралды 675 М.
Sauti Ya Mnyonge
8:36
Remmy Ongala - Topic
Рет қаралды 25 М.
Mziki wa dansi zilipendwa -kimurimuri Zahir Ali-Photo album
7:48
Eddie Nassor
Рет қаралды 278 М.
DDC Mlimani Park Orchestra ~ Majirani Huzima Radio
7:08
groovemonzter
Рет қаралды 609 М.
Massu
9:07
Franco Luambo - Topic
Рет қаралды 570 М.
Orchestre Maquis Original - Wakati Nilikuwa Mdogo
6:21
Power Nguzo
Рет қаралды 730 М.
Uda Jazz Band - Kaishi Salama Suzana
6:54
Power Nguzo
Рет қаралды 398 М.