Kumbe mashabiki wa hizi nyimbo tuko wengi, Hongereni sana, mashabiki wenzangu pale Popote mlipo.
@josiahmuthemba1155 жыл бұрын
Mimi ni Mkenya na hua niko Mombasa Mtwapa. Hizi nyimbo nasipenda sanaaa na nilikua na sizikiza kwenye RTD Tanzania : vipindi mchana mwema, pole kwa kazi, usiku mwema, mambo mkwito mkwito, bendi zetu naaa kwa jumla nilikua shabiki wa radio tanzania dar es salaam. Siku hizi ati ni tbc ambayo hiko chini chini chini as compared to this RTD. KBC the same hatuna haya nayo hila VOK. Siku hizi mambo si mambo na nimekubali watu hawapendweswi na kizuri but hile baya baya ndio bora. Pole wakati mzuri kaharibiwa tukabaki na hovyo.
@jessicaesthermakungu16932 жыл бұрын
Miziki taamu miziki ya zama
@masanjaelisha1691 Жыл бұрын
Hiki ni kitu, Katika vitu ambavyo huwa Mimi vinanikonga sana, Moyo wangu
@julithamuhale72713 жыл бұрын
Tulipokubaliana kwa hiari tulikuwa wawili!
@allyahmed46579 жыл бұрын
Thanks again Eddie, huyu jamaa mkongo Skassy alidata sana kwa huyu dada Christina Moshi alikua anaishi Kimara baruti ile wanajiandaa kufunga pingu za maisha ,dada wa watu akaugua akafariki dunia ,,ilisikitisha sana..Hawa ndekule makazi yao yalikua Safari resort Kimara kwa mzee Hugo Kisima..nakumbuka kimara baruti enzi hizo ni balaa...Dar ilikua inawaka kama bahari ya moto....old is gold!!!.
@eddienassor4809 жыл бұрын
Ally Ahmed Kaka wewe ni mwenyeji wa maeneo yale??
@allyahmed46579 жыл бұрын
ndio..original wa shinyanga mjini hapo.
@eddienassor4809 жыл бұрын
Umeishi mwaka gani pale kaka?
@kaisarimbisso61467 жыл бұрын
Ally Ahmed Sawa sawa bro. Nilikuwa ninaipenda sana ndekule, enzi za akina gurumo, bitchuka, makunguru, king melou. Jumapili kadhaa ndani ya silent inn mwenge
@dicksonmkokota49663 жыл бұрын
Du hongera zenu wahenga
@juliusmukoji5078 Жыл бұрын
Jamani nani anaweza kuweka Judy ya Ndekule, ilitungwa na Ali Makurungu.
@ramadhanimadoweka64588 жыл бұрын
Enzi za nyimbo hizi RTD (Sasa TBC Taifa) kulikuwa na vibindi vya Jambo (asubuhi) Mchana Mwema na jioni njema. ukivikosa vipindi hivyo ulikuwa kama umekosa dhahabu fulani. ilikuwa na itaendelea kuwa burudani tosha.
@linusleon70187 жыл бұрын
Nakumbuka mwaka 1986 nasikiliza wimbo huu kwenye redio ya mkulima ya baba
@khalidmakumulo82947 жыл бұрын
Christina moshi daaah!!@ nawamiss sana Ndekule.
@clementhiddi14864 жыл бұрын
2020 still hits the dancefloor
@flowila8210 жыл бұрын
Kama nakumbuka vizuri Sax mwenyewe Kimeza, Ndekule ngoma moja ya kizaramo na mzee Gurumo
@mawazochanya20816 жыл бұрын
Magitaa, saxaphone, drums, tumba na waimbaji ooooh mama mia...utamu mtupu.Hakika hii ilikuwa ni collection ya wanamuziki mahiri sana.
@antontemba32766 жыл бұрын
Skas kasambula,Fresh Jumbe,Bitchuka na wengine ndani ya ndekule acha kabisa hiyio
@mzuvendi8 жыл бұрын
Wote tupo ughaibuni since 41 yrs! mkuu Eddie unatupa raha asante nipo nchi za ghuba!
@yusufhemed15336 жыл бұрын
Cool moods upo nchi gani ghuba broo. Mimi nipo DxB UAE
@ghh30664 жыл бұрын
Ki ukwelj Mimi ni mpenzi sana wa nyimbo hizi,nyingi nilikua nikizisikiliza wakati Nikiwa mdogo basi nakumbuka mbali sana
@shufaakonti73082 жыл бұрын
Uwiii machozi r. I. P my mom
@edwardqorro52372 жыл бұрын
Dah, it also reminds me of my late mother......alikuwa anazijua sana hizi nyimbo. Nilikuwa nikimsikia akiziimba, ndivyo nami nilivyokuja kuzipenda. Endelea kupumzika kwenye usingizi wa Amani mama yangu.
@ceciliareddy76702 жыл бұрын
Kimeza....kwenye saxophone...kimeza abdallah
@hurrysanga716010 жыл бұрын
Eddy big up sana, unatukumbusha mbali sana, plz tupia na zile nyimbo za mk group mfano; kibela acha chuki, jua la asubuhi nk
this was the music,still is golden,the music we listened to while growing up.
@antontemba32766 жыл бұрын
waliosema Old is Gold hawajakosea
@alloysokoth22517 жыл бұрын
Old is Gold when I was in Lower school
@davidmwamutsi11372 жыл бұрын
Muziki huu ni ukumbusho Kwa utoto ujana wangu nakumbuka watangazaji kama SARAH DUMBA. FLORIAN KAIZA.DUNSTAN TIDI MUHANDO hakika RTD ilisikika vyema hapo kwetu na redio yeti ya Phillips.Asante Kwa mtandao@64
@TheBigyosef10 жыл бұрын
Brother Eddie your a star once again asante asante this is what we call MUZIKI That time Tanzania Music was on top no Congolese music i think vocal is Rip Badu,kabeya ,skassy kasambula.Mzee Ngurumo.,Hassani Bitchuka haaaaaa asante give us the name of some musician NDEKULE NDEKULE NDEKULE THE ORIGINAL Sax i think is late Twahiri or Malou or kanku kelly
@eddienassor48010 жыл бұрын
Sina hakika kaka ila inawezekana akawa Twahiri maana kwa hakika mimi namkubali
@heriissagombera516810 жыл бұрын
Saxfone Abdallah Kimeza
@MightyLumber10 жыл бұрын
Vocals: Mtunzi wa wimbo Skassy Kasambula, Hassan Bitchuka, Kabeya Badu R.I.P., Vicky.....Ndekule walikuja juu sana kipindi hiki ila walikuwa na wapinzani wengi mno kwani muziki kipindi hiki ulikuwa juu sana na wataalam walikuwa wengi mno. Hivi kwa nini hizi redio zetu zinabeza sana mziki wa kupaste? Huu ndiyo muziki bwana.
@najmasaleh92318 жыл бұрын
TheBigyosef , kazi nzuri ya Kimeza
@samsonjoram63329 ай бұрын
Wueeeee kumbukumbu teeeeeeele ❤
@AnthonyKisondella10 жыл бұрын
Twahiri Ally Mohamed - RIP ndiye anayetafuna muwa (saxphone) - huyu bwana kama nilivyokwisha dokeza awali mimi nilimkubali saana, alikuwa na upigaji wa saxphone wa kulalamika saana. Upigaji wake ni very unique
@najmasaleh92316 жыл бұрын
Anthony Kisondella mkuu kwenye wimbo huu huyu ni kimeza ndio anakimwaga saxphone
@galagotours124 жыл бұрын
Hahaha hahaha jamaa kaisanifu sana saxophone unaweza omba asimalize.
@jacksonzebedee4668 Жыл бұрын
Huyo alikuwa sio Twahiri ni Abdallah Kimeza (Ablalah)
@jacksonzebedee4668 Жыл бұрын
Huyo ni Ablalah (Abdallah) Kimeza, sio Twahiri Mohammed!!
@Sufa0710 жыл бұрын
Ngosha bass gitaa, Makunguru rythm...silent inn enzi hizo
@eddienassor48010 жыл бұрын
Naam Sufa.Enzi hizo ndugu yangu!
@najmasaleh92316 жыл бұрын
Sufa07 Ni kweri usimsahau kimeza na huo mdomo wa bata ni hatari sana
@othumanlorenzo2603 жыл бұрын
@@najmasaleh9231 dada najma mjuzi haswaa
@GabrielMboya-k2n4 ай бұрын
Hongera kwao
@MwajumaNzoa Жыл бұрын
Ndekule we thank you
@kombokombo67469 жыл бұрын
yanini kunywa mapombe ili kuondoa mawazo? jamani tujiliwaze kwa nyimbo kama hizi
@allyahmed46579 жыл бұрын
Dublin IRE....karibu sana ndg yangu Eddie.
@najmasaleh92318 жыл бұрын
Ally Ahmed Dullar Allan yupo hapo Dabrin?
@najmasaleh92318 жыл бұрын
Ally Ahmed je wewe ni ndugu na Abdul Ahmedi? Wa hapo Dablini?
@asiabakari93506 жыл бұрын
kimeza alikua bwana wangu
@emuthree9 ай бұрын
Mwanzoni nilijua aliyeimba ni Bichuka,...au
@masanjaelisha16912 жыл бұрын
Hizi nyimbo, ninapokuwa niko sehemu nimetulia, nazisikiliza hadi huwa nasahau km. Mimi ni fukara, hiyo ndiyo miziki, achana na kelele za siku hizi, eti kizazi kipya.
@zonko04885 жыл бұрын
OSS ya Ndekule ilikuwa na wanamuziki wa Kikongo walioachwa pale na Kasheba na wale wa Kitanzania kama Twahir Sax. Kwenye wimbo huu Sax inapigwa na Kimeza maana naona wanamwita humu. Nataka kujua Twahir aliondoka baada ya uongozi wa Kasheba kwisha?? Marehemu Gurumo aliwahi sema walipoingia wanamuziki wa Kikongo aliowakuta walikuwa na figisu kidogo wakiona kama wanamuziki wa Kitanzania wasingeweza kupiga nao lakini baada walikubali na kutulia na matokeo yake walifanya kazi nzuri kama hii Christina Moshi na nyingine. Nani anajua kama Twahir Sax alitoka OSS baada ya Mzee Gurumo kupewa bendi na Hugo. Natanguliza shukurani.
@najmasaleh92313 жыл бұрын
Mzee wa nyuzi Dazeni kafanya kazi na Twahiri kabla ajatimkia marquiz
@josephsawe44266 жыл бұрын
Ngosha kwenye Bass guitar... Dah... Ni shida
@alloysokoth22517 жыл бұрын
this all about RTD Mchana Mwema
@brownee2000710 жыл бұрын
ndeku ndekule!!Thanks
@eddienassor48010 жыл бұрын
Karibu tena
@kassimmbelwa60119 жыл бұрын
ah tanzania reginal wakati huo bab jumanne.kimeza kasambula nawengine wengi
@MwajumaNzoa Жыл бұрын
❤❤😂🎉sifhia
@linusleon70187 жыл бұрын
Aliitwa jemedari wa sauti.skass kasambula
@zadiaissa37094 жыл бұрын
Enzi za safari Resot
@brownee200072 жыл бұрын
Kimeza kwenye sax
@danielwadegu684410 жыл бұрын
Wow!
@mosses91346 жыл бұрын
Kaka unatukosha vitu adimu hivi
@mhinageorge59593 жыл бұрын
Ok
@StamiliSelemani-ng6xj Жыл бұрын
A
@twilamtumbi26479 жыл бұрын
Ahmed samahani kdg km nitakuwa nimevuka mipaka, lkn hii story uliyotoa umekuja Dar 1990 alafu na hizi story za akina hugo kimara baruti mhhhhh
@adambolingo80977 жыл бұрын
Twila Mtumbi huyo muongo coz hugo kisima mwaka huo alishakuwa muhenga, hamjui hugo