Huu wimbo siuchoki kuusikiliza moja kati ya nyimbo zangu Bora kabisa hapa Tanzania
@ahamadarashid8797 Жыл бұрын
Wakati huo RTD .. WAKATI MUZIKI UNGALI MUZIKI..
@esir-vc3si Жыл бұрын
Napousikilza huu wimbo namkumbuka marehem baba yang alkua anaupenda sana
@mcabby5037 Жыл бұрын
Penzi ni shahada ya pili katika maisha ❤
@hassanmchonjo59172 жыл бұрын
Mwimbo bora mtunzi bora
@lupakisyomsese82104 жыл бұрын
Hatakama nimechoka nikuonapo huwa na nguvu lilee penzi letu.
@lazaropilla3887 Жыл бұрын
nyimbo nzuri na zenye hisia,mimi nazipenda sana nyimbo kama hizi.
@asharidhiwani56405 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana naomba kaka tuwekee nyimbo shegi mwisho wamwezi unambo naupenda sana
@ogetoj6245 Жыл бұрын
Penzi ni kama mirindiko ya kinyonga , sawa na malimwengi ya fikira nzuri. Nani atayabisha? Dr. Ogeto International
@saadmazen452810 жыл бұрын
Hapa ni Hamza Kalala alipotoka Vijana jazz na kuunda kundi hili la Bantu group. Wimbo huu una mapigo yaliyofanana na wimbo uitwao Chiapo alioutunga Hamza akiwa na Vijana Jazz. aante sana Eddy Nassoro
@Sufa079 жыл бұрын
kabisa Saad Mazen, hivi Stella ni na vijana au Bantu Ngoma? Eddie anatisha na hii collection what a memory!
@najmasaleh92314 жыл бұрын
Sufa07 ni ya vijana hiyo
@mbungembunge9865Ай бұрын
Stella vijana jazz@@Sufa07
@mwalimujames23453 жыл бұрын
Huu wimbo ukiusikiliza unaweza kufikiri umetungwa jana
@johnmassami62132 жыл бұрын
Komandoo Hamza Kalala ktk ubora wake. Vya kale ni shahabu. Naomba wimbo uitwao Suluhisho la mapenzi uliopigwa na DDC Mlimani Park.
@mansamussa9071 Жыл бұрын
Kuna wimbo wa msondo unaimbwa hivi "tahadhari eweeh mwanguu usijione ni hodari utakujaaa tesekaa eweeh mwanguu sikiaaa" sijui jina la wimbo naomba utanitajie km unaufaham
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Maneno ayo ya kweli saana kea enzi zile enzi izi vibwagizo tupu
@VitalisMkali-tl4zt2 ай бұрын
Fantastic song
@mwanarajab58632 жыл бұрын
Nyimbo za zamani zilikuwa zinaeleweka
@ramadhanmasenga87306 жыл бұрын
Nyimbo tamu sana hii. Ubarikiwe mkuu
@sangomamourice3539 Жыл бұрын
Komandoo kalala kwenye gitaaa zitoo
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Ya kale dhahabu
@ahamadarashid8797 Жыл бұрын
Kwanza kuzaliwa, pili mapenzi tatu ni kifo...
@gervasshepi63512 жыл бұрын
Wimbo bora kabisa
@zainabkihange85203 жыл бұрын
asante kwa wimbo mzuri. naomba uweke wimbo wa "watoto wamekuja juu"
@brownbethuely4934 Жыл бұрын
Wimbo huu nakumbuka mbali Sana!!!
@allynayomo4856 жыл бұрын
Kama kuna anayeikumbuka kikosi kamili cha bantu group wana kasimbagu
@twilamtumbi26478 жыл бұрын
baba jeni nr 2 eddie tafadhali
@rajabululanga11142 жыл бұрын
Baba jeni
@saidimwanja9159 Жыл бұрын
Nakumbuka enzi hizo Mabibo external(Mandela road)
@edondaki10 жыл бұрын
Umetisha kaka kwa kutushikisha nyimbo za kweli
@eddienassor48010 жыл бұрын
Hahaa,ahsante ndugu.Burudika
@mariamfritsi97617 жыл бұрын
+Eddie Nassor uncle mimi ni mpenzi sana wa hizi old songs,kwani hunikumbusha maisha yetu halisi ya kipindi kile,kwani tulizoea kuzisikia RTD,na nyimbo zilikuwa zina maadili,tena zina ujumbe makhsusi,na pia zilikuwa zinafunza,ndio maana zinanipa kumbukumbu sana.sasa Uncle naomba wimbo wa Tabora Jazz band uitwao ....Halima barua yako ulionitumia nimeipata.....naupenda sana sana mara ya mwisho kuusikia nafikiri ni mwaka 1974 ila sina uhakika sana,nitafurahi sana ukipatikana.naitwa Mariam Fritsi,nipo uswis.12.03.17.
@yusuphbuyobe8583 Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@christinakimaro4788 Жыл бұрын
♥️
@hamisikaisi4613 жыл бұрын
Kwakweli comandoo kalala hana mpinzani kwa solo tanzania...
@saidimwanja9159 Жыл бұрын
Hii staili yaķe ilipigwa na Mabera inaitwa kente Kwa Tanzania waliiweza watatu tu Mabera,Komandoo na marehem Kasheba
@jumbeomary19495 жыл бұрын
Issaya mrithi wangu wa baadae umeimbwa na ddc mlimani park muimbaji kiongozi alikuwaw hussein jumbe.
@MrLevis310 жыл бұрын
Kaka habari za siku, upo ndugu yangu, umekaa kimya sana. Mimi naburudika na hizi nyimbo. Ukiweza turushie ule wimbo unaitwa "Isaya mrithi wangu" sikumbuki uliimbwa na nani. Pamoja sana kaka.
@eddienassor4809 жыл бұрын
Levis Gamba Levis,nilienda kuvuna kaka.Tege sikio tu ndugu!
@jmkwanzatv53636 жыл бұрын
Naweka sawa hapa commandoo hamza kalala alipotoka vijana jazz hakwenda kuanzisha bantu group bali alinda kuanzisha uda jazz band wana bayankata na uyu ndio aliyemlea mwijuma muumini na hapo sauti ya mwijuma hipo.
@najmasaleh92313 жыл бұрын
Hamza kalala ndio ametoka vijana kwenda kuanzisha UDA jazz? Sijakuelewa hapa kalala katoka vijana au Ushirika ndio amekwenda kuanzisha Wanabantu Stars group
@fundisayore866 Жыл бұрын
Sahihisho, Hamza Kalala alivyoondoka Vijana ndiyo alienda kuanzisha Washirika na kina Eddy Sheggy. Baadaye akatoka na kuanzisha bendi ya Bantu Group. UDA ilikuwepo miaka mingi kabla ya hapo.
@hamisiyr956710 жыл бұрын
Kaka kama inawezekana kupata siwema ya juwata jazz nitashukuru sana
@eddienassor4809 жыл бұрын
Hamisi YR Hamisi,nitaurusha hewani kaka tukijaaliwa
@danielkalua12588 жыл бұрын
kulikuwa na wimbo wa bantu group unaitwa baba jane
@seifsaid82029 жыл бұрын
hivi babu edi unapatikana wapi nakutaka face to face
@eddienassor4809 жыл бұрын
Seif Said Hahahaa ni inbox Seif
@adellaadam7401 Жыл бұрын
Naweza pata cd au flash yenye hizi collection za zilipendwa
@maimunachuma4375 ай бұрын
Raha tupu
@hajiabeid430410 жыл бұрын
Kaka habari, hivi kuna ngoma moja ya MK Group inaitwa Kitendawili, naomba posti yake kaka
@eddienassor48010 жыл бұрын
Acha niuchungulie ndugu,Nikiuona nitaurusha
@brownee2000710 жыл бұрын
Mambo vipi Eddie? Mbona umekuwa kimya, hujadownload kitambo. Vipi uko poa?
@eddienassor4809 жыл бұрын
brownee20007 browneeeeee,nilisafiri kaka.Sasa nipo hivyo tege sikio:)