Mziki wa dansi zilipendwa- Bantu group- Vicky

  Рет қаралды 98,217

Eddie Nassor

Eddie Nassor

Күн бұрын

Пікірлер: 55
@shukurumalewa3115
@shukurumalewa3115 5 жыл бұрын
Huu wimbo siuchoki kuusikiliza moja kati ya nyimbo zangu Bora kabisa hapa Tanzania
@ahamadarashid8797
@ahamadarashid8797 Жыл бұрын
Wakati huo RTD .. WAKATI MUZIKI UNGALI MUZIKI..
@esir-vc3si
@esir-vc3si Жыл бұрын
Napousikilza huu wimbo namkumbuka marehem baba yang alkua anaupenda sana
@mcabby5037
@mcabby5037 Жыл бұрын
Penzi ni shahada ya pili katika maisha ❤
@hassanmchonjo5917
@hassanmchonjo5917 2 жыл бұрын
Mwimbo bora mtunzi bora
@lupakisyomsese8210
@lupakisyomsese8210 4 жыл бұрын
Hatakama nimechoka nikuonapo huwa na nguvu lilee penzi letu.
@lazaropilla3887
@lazaropilla3887 Жыл бұрын
nyimbo nzuri na zenye hisia,mimi nazipenda sana nyimbo kama hizi.
@asharidhiwani5640
@asharidhiwani5640 5 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana naomba kaka tuwekee nyimbo shegi mwisho wamwezi unambo naupenda sana
@ogetoj6245
@ogetoj6245 Жыл бұрын
Penzi ni kama mirindiko ya kinyonga , sawa na malimwengi ya fikira nzuri. Nani atayabisha? Dr. Ogeto International
@saadmazen4528
@saadmazen4528 10 жыл бұрын
Hapa ni Hamza Kalala alipotoka Vijana jazz na kuunda kundi hili la Bantu group. Wimbo huu una mapigo yaliyofanana na wimbo uitwao Chiapo alioutunga Hamza akiwa na Vijana Jazz. aante sana Eddy Nassoro
@Sufa07
@Sufa07 9 жыл бұрын
kabisa Saad Mazen, hivi Stella ni na vijana au Bantu Ngoma? Eddie anatisha na hii collection what a memory!
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 4 жыл бұрын
Sufa07 ni ya vijana hiyo
@mbungembunge9865
@mbungembunge9865 Ай бұрын
Stella vijana jazz​@@Sufa07
@mwalimujames2345
@mwalimujames2345 3 жыл бұрын
Huu wimbo ukiusikiliza unaweza kufikiri umetungwa jana
@johnmassami6213
@johnmassami6213 2 жыл бұрын
Komandoo Hamza Kalala ktk ubora wake. Vya kale ni shahabu. Naomba wimbo uitwao Suluhisho la mapenzi uliopigwa na DDC Mlimani Park.
@mansamussa9071
@mansamussa9071 Жыл бұрын
Kuna wimbo wa msondo unaimbwa hivi "tahadhari eweeh mwanguu usijione ni hodari utakujaaa tesekaa eweeh mwanguu sikiaaa" sijui jina la wimbo naomba utanitajie km unaufaham
@paulangoloko8642
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Maneno ayo ya kweli saana kea enzi zile enzi izi vibwagizo tupu
@VitalisMkali-tl4zt
@VitalisMkali-tl4zt 2 ай бұрын
Fantastic song
@mwanarajab5863
@mwanarajab5863 2 жыл бұрын
Nyimbo za zamani zilikuwa zinaeleweka
@ramadhanmasenga8730
@ramadhanmasenga8730 6 жыл бұрын
Nyimbo tamu sana hii. Ubarikiwe mkuu
@sangomamourice3539
@sangomamourice3539 Жыл бұрын
Komandoo kalala kwenye gitaaa zitoo
@paulangoloko8642
@paulangoloko8642 Жыл бұрын
Ya kale dhahabu
@ahamadarashid8797
@ahamadarashid8797 Жыл бұрын
Kwanza kuzaliwa, pili mapenzi tatu ni kifo...
@gervasshepi6351
@gervasshepi6351 2 жыл бұрын
Wimbo bora kabisa
@zainabkihange8520
@zainabkihange8520 3 жыл бұрын
asante kwa wimbo mzuri. naomba uweke wimbo wa "watoto wamekuja juu"
@brownbethuely4934
@brownbethuely4934 Жыл бұрын
Wimbo huu nakumbuka mbali Sana!!!
@allynayomo485
@allynayomo485 6 жыл бұрын
Kama kuna anayeikumbuka kikosi kamili cha bantu group wana kasimbagu
@twilamtumbi2647
@twilamtumbi2647 8 жыл бұрын
baba jeni nr 2 eddie tafadhali
@rajabululanga1114
@rajabululanga1114 2 жыл бұрын
Baba jeni
@saidimwanja9159
@saidimwanja9159 Жыл бұрын
Nakumbuka enzi hizo Mabibo external(Mandela road)
@edondaki
@edondaki 10 жыл бұрын
Umetisha kaka kwa kutushikisha nyimbo za kweli
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Hahaa,ahsante ndugu.Burudika
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 7 жыл бұрын
+Eddie Nassor uncle mimi ni mpenzi sana wa hizi old songs,kwani hunikumbusha maisha yetu halisi ya kipindi kile,kwani tulizoea kuzisikia RTD,na nyimbo zilikuwa zina maadili,tena zina ujumbe makhsusi,na pia zilikuwa zinafunza,ndio maana zinanipa kumbukumbu sana.sasa Uncle naomba wimbo wa Tabora Jazz band uitwao ....Halima barua yako ulionitumia nimeipata.....naupenda sana sana mara ya mwisho kuusikia nafikiri ni mwaka 1974 ila sina uhakika sana,nitafurahi sana ukipatikana.naitwa Mariam Fritsi,nipo uswis.12.03.17.
@yusuphbuyobe8583
@yusuphbuyobe8583 Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@christinakimaro4788
@christinakimaro4788 Жыл бұрын
♥️
@hamisikaisi461
@hamisikaisi461 3 жыл бұрын
Kwakweli comandoo kalala hana mpinzani kwa solo tanzania...
@saidimwanja9159
@saidimwanja9159 Жыл бұрын
Hii staili yaķe ilipigwa na Mabera inaitwa kente Kwa Tanzania waliiweza watatu tu Mabera,Komandoo na marehem Kasheba
@jumbeomary1949
@jumbeomary1949 5 жыл бұрын
Issaya mrithi wangu wa baadae umeimbwa na ddc mlimani park muimbaji kiongozi alikuwaw hussein jumbe.
@MrLevis3
@MrLevis3 10 жыл бұрын
Kaka habari za siku, upo ndugu yangu, umekaa kimya sana. Mimi naburudika na hizi nyimbo. Ukiweza turushie ule wimbo unaitwa "Isaya mrithi wangu" sikumbuki uliimbwa na nani. Pamoja sana kaka.
@eddienassor480
@eddienassor480 9 жыл бұрын
Levis Gamba Levis,nilienda kuvuna kaka.Tege sikio tu ndugu!
@jmkwanzatv5363
@jmkwanzatv5363 6 жыл бұрын
Naweka sawa hapa commandoo hamza kalala alipotoka vijana jazz hakwenda kuanzisha bantu group bali alinda kuanzisha uda jazz band wana bayankata na uyu ndio aliyemlea mwijuma muumini na hapo sauti ya mwijuma hipo.
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 3 жыл бұрын
Hamza kalala ndio ametoka vijana kwenda kuanzisha UDA jazz? Sijakuelewa hapa kalala katoka vijana au Ushirika ndio amekwenda kuanzisha Wanabantu Stars group
@fundisayore866
@fundisayore866 Жыл бұрын
Sahihisho, Hamza Kalala alivyoondoka Vijana ndiyo alienda kuanzisha Washirika na kina Eddy Sheggy. Baadaye akatoka na kuanzisha bendi ya Bantu Group. UDA ilikuwepo miaka mingi kabla ya hapo.
@hamisiyr9567
@hamisiyr9567 10 жыл бұрын
Kaka kama inawezekana kupata siwema ya juwata jazz nitashukuru sana
@eddienassor480
@eddienassor480 9 жыл бұрын
Hamisi YR Hamisi,nitaurusha hewani kaka tukijaaliwa
@danielkalua1258
@danielkalua1258 8 жыл бұрын
kulikuwa na wimbo wa bantu group unaitwa baba jane
@seifsaid8202
@seifsaid8202 9 жыл бұрын
hivi babu edi unapatikana wapi nakutaka face to face
@eddienassor480
@eddienassor480 9 жыл бұрын
Seif Said Hahahaa ni inbox Seif
@adellaadam7401
@adellaadam7401 Жыл бұрын
Naweza pata cd au flash yenye hizi collection za zilipendwa
@maimunachuma437
@maimunachuma437 5 ай бұрын
Raha tupu
@hajiabeid4304
@hajiabeid4304 10 жыл бұрын
Kaka habari, hivi kuna ngoma moja ya MK Group inaitwa Kitendawili, naomba posti yake kaka
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Acha niuchungulie ndugu,Nikiuona nitaurusha
@brownee20007
@brownee20007 10 жыл бұрын
Mambo vipi Eddie? Mbona umekuwa kimya, hujadownload kitambo. Vipi uko poa?
@eddienassor480
@eddienassor480 9 жыл бұрын
brownee20007 browneeeeee,nilisafiri kaka.Sasa nipo hivyo tege sikio:)
@brownee20007
@brownee20007 9 жыл бұрын
Welcome back Cuz! my ears wide open!!!!
Mziki wa dansi zilipendwa- Marquiz- Wanasema mrudie- Kamanyola
8:32
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 31 МЛН
DID A VAMPIRE BECOME A DOG FOR A HUMAN? 😳😳😳
00:56
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 262 #shorts
00:20
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 59 МЛН
UKHT:AISHA AJA NA SHAIRI LA MOYO
3:10
ABOU MEDIA
Рет қаралды 14 М.
Mziki wa dansi zilipendwa -kimurimuri Zahir Ali-Photo album
7:48
Eddie Nassor
Рет қаралды 277 М.
Mziki wa dansi zilipendwa- Bantu group- Nyambura
15:21
Eddie Nassor
Рет қаралды 10 М.
Tunda Special- Mwinjuma Muumini
9:01
Onyango Jackson
Рет қаралды 1,6 МЛН
Mziki wa dansi zilipendwa- JJB- Priscilla
7:26
Eddie Nassor
Рет қаралды 72 М.
Lipua Lipua - Nsayi
10:43
Darubini2
Рет қаралды 931 М.
Shakaza Eddy Sheggy na Bantu Group
6:53
ZAMANI KWETU
Рет қаралды 5 М.
HAMZA KALALA -NGONDOIGWE (Hayo maneno yako uliyataka mwenyewe...)
8:00
Juwata Jazz Band - Msafiri Kakiri
6:50
Power Nguzo
Рет қаралды 353 М.
Mziki wa dansi zilipendwa- Vijana jazz- Stella
7:00
Eddie Nassor
Рет қаралды 80 М.
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 31 МЛН