NAIBU WAZIRI KIHENZILE: HAKUNA SEKTA ILIYOELEKEZEWA FEDHA NYINGI KAMA SEKTA YA UCHUKUZI
Пікірлер: 6
@omarybakunda2554Ай бұрын
Sawa iishe haraka tufanye kazi.
@honestmahongo3443Ай бұрын
Za kwake?
@Nick16697Ай бұрын
Eti kila mkiomba pesa anatoa..!!! 😅😅😅 Kwan n zake?
@zawadix9574Ай бұрын
Ujinga sana hili jamaa ana ongea kama raisi ana tu saidia hizo ni hela ya wa tanzanian!!! Ana ongea kama chawa Kila saa mama hivi mama hivi
@nicolausminja689Ай бұрын
Hizo ni kodi zetu sio pesa zake. Wananchi ndio wamempa ajira.Ni wajibu tuliompa atekeleze.shukurani za nini hapo Sasa?Mtu kiongea hivyo ni mnafiki au Hajitambui.inakera sana.
@bakarijumakupaza4351Ай бұрын
Wabunge watakuja kuulizwa mmefanya nini?? Maana kila kitu ni Rais tu.