Hapa haya mataifa ya magharibi tayari wameingiwa na hofu kubwa sana baada ya usaidizi wao Kwa Ukraine kushindwa hivyo wanatafuta sababu ya kuhalalisha vita ya tatu ya Dunia .lakini tayari umoja wa mshikamano urusi Toka Kwa mataifa rafiki nao umewatisha sana
@DismasMaturine2 ай бұрын
Vifaa hivyo vikishindwa kumlinda zelensky pia itakuwa Historia
@DismasMaturine2 ай бұрын
Wanamteketeza, misaada imemsaidia nini licha ya vifo
@abubakarimsere2 ай бұрын
NATO wanachochea vita ya Tatu ya Dunia Urusi haiwezi kushindwa vita kizembe kama wanavyofikiria hata hiyo taarifa ya Biden ni uongo na uchochezi😢😢😢