No video

NAMNA YA KUPATA WAZO ZURI LA BIASHARA - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 9,553

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 18
@MathiusGamba-mq1sw
@MathiusGamba-mq1sw 8 ай бұрын
It's a blessing to listen to you my Mentor
@user-bj4vy1wn4t
@user-bj4vy1wn4t 8 ай бұрын
Thank you so much brother, mungu akubariki najifunza mengi sana kutoka kwako
@KingKala-ik8oh
@KingKala-ik8oh 6 ай бұрын
nashukuru maana nikiwa Sina mud kabla ya yote lazima nikufatilie na Kila napo kufatilia napata wazo Zur na hamasa ya kupambana zaidi
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 8 ай бұрын
Asante sana ndugu,nazidi kuimarika kwa masomo yako yenye mguso na haswaa yananinoa kwaajili ya malengo yangu 2024. Ijapokuwa 2024 haijaanza najiona kama nimeshatimiza 50% ya malengo kwa hamasa za pachiko zako nyingi za mwezi huu. Bila kusahau ile ya uongozi uliyofanya na Bakwata nayo ni kama ile hazina iliyositirika katika shamba. pamoja Sana mkuu.
@joelnanauka
@joelnanauka 8 ай бұрын
Nashukuru sana kwa mrejesho, tuendelee kujifunza🙏🏼
@Mwinamila-3
@Mwinamila-3 7 ай бұрын
Asante kwa kufungua akili yangu
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 8 ай бұрын
Najifunza mimi 😢😢Ahsante sana kaka Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 8 ай бұрын
Karibu sana, tuendelee kujifunza🙏🏼
@masilastahona7010
@masilastahona7010 8 ай бұрын
Yaani umenisaidia kung'arisha uso Mungu akuweke tu kwakweli🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 8 ай бұрын
Ameen Ameen🙏🏼
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 8 ай бұрын
Nina mshukuru mungu kwaajili yako sasa na mimi nimesha kuwa mwalimu mtaani kwangu namaeneo mbali mbali Barikiwa sana mkuu
@aminaothman2136
@aminaothman2136 8 ай бұрын
Shukran nimeanza kukufatilia tangu nilipokua form six 2018 mpka sasa nashkur kwa elimu yako
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 8 ай бұрын
Ahsante sana
@Dauson-tc3dm
@Dauson-tc3dm 8 ай бұрын
Ahsante kwa Mafunzo hayo. Naomba ushauri Mimi ni mlinzi lakini sipendi hii kazi hata kidogo.lakini nina mpango wa kwenda veta kujifunza hata short course,lakini pia upande mwingine najifikilia hii hela ya kusoma kwann nisianzishe biashara hata ya nguo za mitumba nikajiajiri.Nishauri nifanyeje!!
@SaidMkashari
@SaidMkashari 8 ай бұрын
Ushauri wangu angalia wazo ambalo nitakupa Furaha zaidi wakati unalifikiria zaid
@Holyghostpower.
@Holyghostpower. 7 ай бұрын
Ushauri Wang make saving first usiwai kuacha kazi hio Kwanza kupitia hio inakupa mtaji,Tulia Kwanza weka Akiba then baada ya mda tafuta sehem nzr ya kuwekeza
@user-pw9bz8wr1o
@user-pw9bz8wr1o 7 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 8 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka
EPUKA MAKOSA HAYA KWENYE SAFARI YA MAISHA YAKO  - JOEL NANAUKA
10:22
TAMBUA MAJIRA MUHIMU KWENYE MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA
10:18
Joel Nanauka
Рет қаралды 4,8 М.
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 19 МЛН
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 28 МЛН
Jinsi ya Kupata Wazo Zuri ya Biashara
15:09
Online Profits
Рет қаралды 1,4 М.
LIFE WISDOM : VITA YA MAPENZI  - JOEL NANAUKA
14:48
Joel Nanauka
Рет қаралды 17 М.
NAMNA YA KUIMARISHA BIASHARA YAKO  - JOEL NANAUKA
12:10
Joel Nanauka
Рет қаралды 8 М.
KANUNI 4 ZA MAFANIKIO - JOEL NANAUKA
7:26
Joel Nanauka
Рет қаралды 42 М.
MBINU 6 ZA KUHARAKISHA MAFANIKIO YAKO | Victor Mwambene.
15:33
Victor Mwambene
Рет қаралды 8 М.
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
Joel Nanauka
Рет қаралды 188 М.
TENGENEZA MAISHA UNAYOYATAKA - JOEL NANAUKA
16:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 119 М.