KANUNI 4 ZA MAFANIKIO - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 43,767

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

Пікірлер: 116
@kurthummapande
@kurthummapande 7 ай бұрын
Mungu akubariki na akulipe mema kwa kutuongoza na kutuzindua
@AMONAKYOO
@AMONAKYOO 8 ай бұрын
[LAW OF BELIEF] bado sijaifanyia kazi vizury
@nouryan0016
@nouryan0016 7 ай бұрын
Namshukuru mungu nimefanikiwa🎉🎉
@Mwinamila-3
@Mwinamila-3 9 ай бұрын
MUNGU akupe maisha marefi my bro
@charlesoputi7101
@charlesoputi7101 Жыл бұрын
Watching for the 3rd time be blessed brother @kenya
@MbarakaMasharubu
@MbarakaMasharubu 8 ай бұрын
Sina neno zaidi ya majuto kutokukufaamu mapema kk balikiwa
@anethmajura
@anethmajura Жыл бұрын
Kaka unaniponya sana mungu akupe afya njemaaa na miaka mingi zaid uendlee kuniimarisha🙏
@KMatrix628
@KMatrix628 Күн бұрын
Stay blessed my motivational speaker of all time
@YnnocentNikundana-cq7np
@YnnocentNikundana-cq7np Жыл бұрын
Nimeelewa kweli Mimi nipo Dubai ushauli wako nawupend
@mushicat1288
@mushicat1288 Жыл бұрын
Duh!unanijenga sana.Mungu akupe mafunio zaidi.
@MoreenSimkonda
@MoreenSimkonda 6 ай бұрын
Natamani kujua kama naweza kusoma vitabu vyako mtandaoni na navipataje🙏
@ramadhanalmashamza3458
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Unachoamini kwa hisia kinakuja kuwa uhalisia asante sana kaka ubarikiwe
@JosephinaMahenge
@JosephinaMahenge 3 ай бұрын
KAKA JOEL WE GENIOUS SANA, UNAJUA KUTUPA MADINI 🎉🎉🎉
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 5 ай бұрын
Asante coach wetu.... mungu azidi kukubariki 🙏
@jescadeogratias5292
@jescadeogratias5292 Жыл бұрын
Mungu azidishe baraka kwako na kizazi chako chore.Unatujenga wengi,unatuinua wengi
@mlingijames1917
@mlingijames1917 10 ай бұрын
Amen
@samwelihale7232
@samwelihale7232 Жыл бұрын
Kaka unatujenga sana nataman kupata kitabu mm ni baba huruma sina kitu laki akija ndugu au rafiki anashda natoa hata akiba yangu nisaidie kuepuka hili
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Angalia video yangu inayosema jinsi ya kujenga nidhamu ya kutoa Fedha
@farajazungu7732
@farajazungu7732 Жыл бұрын
@@joelnanauka nahitaji kitabu chako...nakipataje
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 Жыл бұрын
😅😅😅😅kwakweli ila kuna video alipost mimi pia imenisaidia yani akija mtu analia shida naweza infia deni ili nimsaidie ila tokea niangalie hio video nimejifunza kitu na km sina bac changaiki na km ipo kwenye mipango yangu bac c hangaiki na shida ambayo sikuitarajia tena ya mtu
@Deusmpili
@Deusmpili Жыл бұрын
Najifunza sana joe asante ubarikiwe Nipo karagwe kagera naomba unitumie kitabu chako money formula
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 Жыл бұрын
powerful speech nivizuri kuji nenea maneno mazuri ili yatokee ayoayo Asante kwa mafundisho
@AfiSoul103
@AfiSoul103 Жыл бұрын
Za asubuhi... Whatever we believe it's comes true in our life's.. kila la kheri Joel...🤗
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ahsante sanaa
@FrankMwalah
@FrankMwalah 4 ай бұрын
God bless you Mrs joel
@cleverofficial8708
@cleverofficial8708 Жыл бұрын
Cjui kw nn nmchelewa kukufam ila kw huu muda mchache nilioanza kkufatilia naanz kuon changes🙏
@godzidendera3027
@godzidendera3027 Жыл бұрын
Asanteeeh kwakutupa chalupa cha ubongo
@Siemawn
@Siemawn Жыл бұрын
it's all about the power of subconscious mind 💪👏
@NusraJuma
@NusraJuma 5 ай бұрын
asante sana kwa somo zuri Mwalimu Joel nanauka. ila mbona law of imagination na law of correspondence kama zinafanana hivi kwa mujibu wa ulivyoeleza?
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 Жыл бұрын
Unachokisema niukweli ,asante sanakwamafunzo yako mughuakupe ghuvu nanauka,uzidi kutufunza
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen Nashukuru sana
@ZindunaAthuman-zn1fz
@ZindunaAthuman-zn1fz Жыл бұрын
Akili kubwa sana kaka unanijenga sana
@muhsinsalum8009
@muhsinsalum8009 Жыл бұрын
Kaka nimekukubali saana, nakumbuka niliwahi kuwambia marafiki zangu nilikua nikisoma nao masomo yetu ya dini nikowa Zanzibar, niliamini saana kua nitaenda OMAN kusomea huko. Na ukweli nilienda. Kwasasa ninandoto naowaza nakuiamini naomba Mungu anifanikishe niifikie in shaa Allah.
@LusanaJohn
@LusanaJohn 2 ай бұрын
Naomba usimame na mm ndugu yangu unisaidie nimepamba sana rakini sipigi hatua kwa haraka ninavyo tarajia
@antonymnapaaaantonymnapaa7939
@antonymnapaaaantonymnapaa7939 Жыл бұрын
Shukurani sana itoshe tu kusema hivyo! Maana nashindwa hata nieleze jinsi gani unavyo nitia nguvu🙏
@tumainferisian8761
@tumainferisian8761 Жыл бұрын
Shukran sana kaka ushaur wako n mzuri sana tuki mtanguliza Mungu thanks
@raheemkassim2324
@raheemkassim2324 Жыл бұрын
Brother Joel me kun vitu vinanichanganya Sanaa niwez kukutafut unisaidie
@mwamvitamyombo4466
@mwamvitamyombo4466 Жыл бұрын
Asante kwa mafundisho yako
@MOTecnology
@MOTecnology Жыл бұрын
Ahsante sana Joel A. Nanauka, Me nimejifunza kanuni ya Law of Belief.. Nashukuru Sana ALLAH akulipe kheri.
@dereckndasalama1002
@dereckndasalama1002 Жыл бұрын
Hey Joel nanauka is a christian avoid saying Allah
@SaimonKazimoto-xt1zo
@SaimonKazimoto-xt1zo Жыл бұрын
Sahihi Kaka unatusaidia Sana ndugu
@augustinepaul9692
@augustinepaul9692 Жыл бұрын
Imagination yangu ni kubwa sana na speed ya kufikia iyo ndoto ni ndogo hii hali inakua inaniletea stress
@alexmarwa941
@alexmarwa941 Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana brother unatusaidia xn kubadilisha fikra zetu
@timothykengere2535
@timothykengere2535 Жыл бұрын
Shukurani 📚📚📚📖📚
@Rovanert
@Rovanert Жыл бұрын
Thanks 😊 ❤
@hashimumchalo7613
@hashimumchalo7613 Жыл бұрын
Kwa kweli mm umenisaidia mambo mengi sana ila hii ya Leo imeingia Tena kwenye malengo yangu natamani kukununua gari fulani na ninaliona sana kiongozi kaxi nxuri sana nitakutafuta mana mm nimeanzia chini sana
@ashaidd2912
@ashaidd2912 Жыл бұрын
Mungu akuweke Sana Mimi nimeweka akili Kwa mwanangu abadilike na mungu amesaidia Niko vzr mungu ni mwema na mambo yanaenda
@HeriethSylvester
@HeriethSylvester Жыл бұрын
Ahsante sana kaka
@sundaymariba360
@sundaymariba360 Жыл бұрын
Brother Asante Kwa somo nzuri
@winfridaadam7951
@winfridaadam7951 3 ай бұрын
AHSANTE SANA KAKA JOEL MUNGU AKUBARIKI
@AfredaLupogo
@AfredaLupogo 10 ай бұрын
Kaka axante kwa mafunzo naamn xaxa ntafanikiw xana
@samnation8303
@samnation8303 Жыл бұрын
Unanipatia elimu sana kaka i apreciate you joel
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Thank you so much
@macmax3152
@macmax3152 Жыл бұрын
Heshima yako kaka wewe ni jiniaz na doctor
@sendamachenge6311
@sendamachenge6311 Жыл бұрын
Kweli ww ni Tanzania One, Una maono makubwa sana ndugu
@bushambalvenasbushambal-ot3eh
@bushambalvenasbushambal-ot3eh Жыл бұрын
kaka ubarikiwe Sana
@charliekavugho1849
@charliekavugho1849 Жыл бұрын
Jambo Kakangu ,mungu hakubari sana unanisaidiya sana .
@JanuarySikuku
@JanuarySikuku 11 ай бұрын
Nakukubali kaka
@kevincrown4554
@kevincrown4554 Жыл бұрын
bro bless sana naimani nitanijenga kwenye maisha yangu
@hamisikambona-wp1oz
@hamisikambona-wp1oz Жыл бұрын
My Mentor ,Najifunza Vingi Sana Kupitia Wewe Kaka Mkubwa Kupitia Hiyo "LAW OF BELIEF" Nimefanya Vitu Vingi Sana Na Vimekuwa.
@lebahatikeiya8666
@lebahatikeiya8666 Жыл бұрын
Be blessed bro
@danielmlwafu4380
@danielmlwafu4380 Жыл бұрын
Asante Nanauka
@boscobalame8018
@boscobalame8018 Жыл бұрын
Mungu Akubarik Kwel Hii Ni shule isiyo hitaji karamu ya wino😂
@mwamvitamyombo4466
@mwamvitamyombo4466 Жыл бұрын
Asante Joel Nanauka kwa mafundisho yako
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ahsante sana kwa kufuatilia
@westside6470
@westside6470 Жыл бұрын
bom bom mano
@tongwe
@tongwe Жыл бұрын
Asante sana kaka
@ismailmkumbanya5981
@ismailmkumbanya5981 Жыл бұрын
Kk upo vzr
@yoshuasaiba4652
@yoshuasaiba4652 Жыл бұрын
Get it well🙌
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Awesome Ubarikiwe sana
@Rivadetalentboy
@Rivadetalentboy Жыл бұрын
Tupo pamoja,,,
@annamallya8756
@annamallya8756 Жыл бұрын
Ahsante sana 🙏🙏
@tumainferisian8761
@tumainferisian8761 Жыл бұрын
Thanks
@edommdende4309
@edommdende4309 Жыл бұрын
You bless me more kaka joel
@emanueleugen9463
@emanueleugen9463 Жыл бұрын
Law of corespondance this is the problem in my life
@kainibachungege3430
@kainibachungege3430 Жыл бұрын
Kaka Jo Ukweli Ni kwamba Inasaidia Sana Watanzania na Walimwengu kwa Ujumla. Tunajivunia Sana Kwa Namba unavyo tuaa Maarifa haha Muhimu.
@rogathennana473
@rogathennana473 Жыл бұрын
Postivity
@rubbenmacha7254
@rubbenmacha7254 Жыл бұрын
Mm na amini katka mafanikio makubwa
@Udindigwa
@Udindigwa Жыл бұрын
AMINA
@abdulmakongwa3856
@abdulmakongwa3856 Жыл бұрын
Kaka m nakushukuru Sana aisee Kwa maana ya kwamba maranyingi unanijenga kimsingi Sana.. hata ivo tafadhl sana naomba yako ya whatssap tuweze kuwasiliana.
@feisalhamza1589
@feisalhamza1589 Жыл бұрын
Thanks brother kakuni ya tatu inanisumbua sana Low of correspondence
@feisalhamza1589
@feisalhamza1589 Жыл бұрын
Kanuni ya tatu brother
@gibsonmnun887
@gibsonmnun887 11 ай бұрын
Nimegundua kosa lang., Law no.1&2 niko vizuri ila kwenye law no.3&4 watu wa karib yang wananirudisha nyuma sana kwa kunipa negatives. Sasa ntaamin ktk mm nisiwasikize
@lilianwilfred3271
@lilianwilfred3271 Жыл бұрын
Thank you Joel
@omarymyula
@omarymyula Жыл бұрын
Nimekuku Bali kak
@Rivadetalentboy
@Rivadetalentboy Жыл бұрын
Im violin player🎻 unani encourage Sana 🙏🙏🙏
@cutting_timeless_barbersho1701
@cutting_timeless_barbersho1701 Жыл бұрын
Kanuni ya tatu iyo
@mrishobhaya8965
@mrishobhaya8965 Жыл бұрын
Noel unamaliza kila siku MB zangu za thamani ya elfu Tano. Lakini baada ya muda furani nikapata milioni Tano ajabu kabisa na sichoki kukusikiliza maana unateka sana sehemu ya ubongo wangu
@kolokokoloko9276
@kolokokoloko9276 Жыл бұрын
Safi sana Nanauka
@frankjonh-tz2qq
@frankjonh-tz2qq Жыл бұрын
Nipo songea nashida na kitabu naomb nitumie namba yako tuwasiliane kaka
@iddyrashid7132
@iddyrashid7132 Жыл бұрын
Bro sina mengi ya kusema mungu akulinde uzidi kutuelimisha
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen Ameen nashukuru sana
@Patricia800
@Patricia800 Жыл бұрын
❤❤
@ufahamuzaidi2343
@ufahamuzaidi2343 Жыл бұрын
Great
@KelvinMjuni-ob2pv
@KelvinMjuni-ob2pv Жыл бұрын
Mawasiliano yako ni muimu ili kujifunza zaidi
@paulkihenzeva754
@paulkihenzeva754 Жыл бұрын
Ndiyo maana Kila ninapohisi kuteleza Huwa nakimbilia video zako chap kurudisha maarifa .
@MOTecnology
@MOTecnology Жыл бұрын
Now Naanza Kusikiliza Kwa Umakini Ili Nijifunze Kitu Kutoka Kwa Joel A. Nanauka
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Karibu sana
@MOTecnology
@MOTecnology Жыл бұрын
Shukran.
@bensonbarnaba1431
@bensonbarnaba1431 Жыл бұрын
Asante , je nawezaje kupata mafundisho yako wasap?
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Tuma Hii meseji Watsapp 0756-094875
@jacquellinepaulmatiku8645
@jacquellinepaulmatiku8645 9 ай бұрын
this background voice is an obstacle
@davidkihiga3531
@davidkihiga3531 Жыл бұрын
Ni kitabu gani naweza kukipata nankunipatia kwa maelezo yake.kwa.kirefu
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
0762 31 21 71 tuwasiliane
@ibrahmabdallah5148
@ibrahmabdallah5148 Жыл бұрын
Ivi kuna uwezekano wa kupata no yako I mean group WhatsApp ?
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
0756 094 875
@jeniphersanga2306
@jeniphersanga2306 Жыл бұрын
Kanuni ya law of belief jmn mimi mda mwingi akili yang imekaa kuwaza na kuamin kushindwa sijui shid Nn naomba unisaidie mwalm ktk hili nataman hali hii initoke
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Endelea kuangalia hizi video utaishinda hiyo hali.
@jeniphersanga2306
@jeniphersanga2306 Жыл бұрын
Asante sana my mentor🙏🙏
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Asante sana
@asternjulius890
@asternjulius890 Жыл бұрын
Aiseh niliweka imagination ya kununua crown athletes ndo nikaanza kuziona nyingi kila sku
@mossesezekiel7862
@mossesezekiel7862 Жыл бұрын
👆👍👏👏👏
@kelvinmwakatobe2174
@kelvinmwakatobe2174 Жыл бұрын
Nanauka wewe ni Maana halisi na picha ya mtu alienufaika na elimu aliyoipata. Me tips zako naziiishi maana ni positive Tips
@joelnanauka
@joelnanauka Жыл бұрын
Shukrani sana Kelvin
@mayungasaid5394
@mayungasaid5394 Жыл бұрын
Low of correspondence
@gracesizya
@gracesizya Жыл бұрын
Kaka ubarikiwe sana
JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ILI UINGIZE KIPATO ZAIDI - JOEL NANAUKA
1:11:12
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
How to whistle ?? 😱😱
00:31
Tibo InShape
Рет қаралды 14 МЛН
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,4 МЛН
EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA
9:19
Joel Nanauka
Рет қаралды 105 М.
VITU VINAVYOUA UWEZO WAKO/JOEL NANAUKA
7:08
Godly voice family
Рет қаралды 14 М.
Tabia za Mafanikio | Ushauri kutoka matajiri wa dunia
7:39
Elimika Tz
Рет қаралды 56 М.
Kanuni Moja Muhimu Itakayokupa Mafanikio Kwenye Maisha.
8:08
Hamasika Tv
Рет қаралды 175 М.
LIFE WISDOM : AINA 6 ZA UTAJIRI - JOEL NANAUKA
18:01
Joel Nanauka
Рет қаралды 16 М.
BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI
12:39
Kelvin Kibenje
Рет қаралды 65 М.
Siri (8) za Kufanikiwa Kiuchumi Na Reginald Mengi
11:32
Pesa360
Рет қаралды 76 М.
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47