Tafsiri halusi ya msanii haipo tena😢😢, wamejiunga na wezi kuwasifu wezi wa kodi zetu😢, youth for change, youth for development of our country we don't want someone who's there for his own benefit, we want changes in our country
@Official836407 күн бұрын
Uchaguzi huoooooooo tutaona mengi mbona chezea kupelekwa Korea wee😂😂😂😂
@user-bi7gk7im4f6 күн бұрын
Tutaona rangi za aina zote😊
@ibramayno84477 күн бұрын
Vijana wa hii nnchi wengi wao ni majuha hawajui watendalo... hii ni ujinga uwanja mzima wamejazwa watoto under 18 na wasiojua hata wazazi wao yanayowakabili ktk maisha... hakika hii ni ujinga
Najiuliza ccm ikikosa madaraka tutawaona wapambe wakija chadema na kusema Tindu lissu anaupiga mwingi😂😂😂 ndio nitajua hakuna mwenye wema dunia hii
@najmathiney657 күн бұрын
Hapo ndipo tunapofeli... Nimemaliza wasanii wote ccm hhhh😂😂
@Legends_Interviews7 күн бұрын
Nandy😂❤🎉
@user-mi7cd8ch1b7 күн бұрын
Vijana wa tz tungekuwa kama vijana wa Kenya tungenderea?
@dorothmsuya16866 күн бұрын
Kwa hiyo kuuana ndio maendeleo! Jamani ombeeni amani! Vita ni vibaya!
@erestizacharia47587 күн бұрын
Mnahitaji maombi mungu awape akili.
@user-yg8yo3ul8h7 күн бұрын
Ccm chama vijana viva vijana viva mama Samia mitano Tena nani kama mama
@Juli-ep9dn7 күн бұрын
Tutaona mengi kipindi hiki 2024/25
@SalamaRama-sr2um6 күн бұрын
Nan anapenda yanayotokea Kenya ccm hoye
@user-hm4or9sf8y7 күн бұрын
Wanafunga lao wenzetu afu sis wanatupang t kwa maneno fyuuu😂
@AngelMoses-pd3bo7 күн бұрын
Kumbe nandy nae ni bint 😂😂
@kwejimisobi44917 күн бұрын
Tx dulla Subaru oyee😂😂😂
@themasimbi27 күн бұрын
Duh huuu ni msiba😭😭 vijana Wamenunuliwa bei rahis
@user-bi7gk7im4f6 күн бұрын
Kweli kbs
@lazaromwambene45166 күн бұрын
❤❤❤
@user-hc6yy8yn9i7 күн бұрын
Mmmmh ngoja ninyamaze 🤐
@erestizacharia47587 күн бұрын
Njaa mbaya Sana.
@teddygabriel56627 күн бұрын
Sasa mtu kama nandy ana njaa gan?
@rebbywealth98697 күн бұрын
Cheka tu wapumbavu sana.... silipii tena subscription ya app yao Wameona wakifanya kazi bila kujikomba hawafiki?
@HamisJuma-bh8uy7 күн бұрын
Steven kaua
@Zenny897 күн бұрын
SIKU CCM ITAKAPOKOSA MADARAKA..TUTAONA MENGI😂
@gracendumbaro51967 күн бұрын
Zenny cheka 2
@user-sv6ud9ps3j4 күн бұрын
Haitakaa itokee endelea kuota ndoto za alinacha
@user-mi7cd8ch1b7 күн бұрын
Kwakua wa tz wajinga ndio wanatumiwa wasani kushawishi wananchi iri tuzid kuibiwa hatuna misimamo kama wakenya washamba wengine wapo Korea wanacheka tu hawana uchungu na vizazi vijao?
@dizzosukariyaoSukariyao7 күн бұрын
Haha watu wamefuata burudani wasinge waleta wasaniiii ungeona