Nani alimpa utume mwijiristi aleta swali nzuri sana mambo ya nyooka ilivyo ujumbe umefika

  Рет қаралды 6,506

Salim Daawah Kenya

Salim Daawah Kenya

Күн бұрын

Пікірлер: 43
@estherwamaitha1006
@estherwamaitha1006 23 күн бұрын
Waleikum salaam warahmatullah wabarakatuh Allah subhana wataala walipe ndunia na Akhera
@isahbarasa
@isahbarasa 23 күн бұрын
Walimu wetu mapenzi mashalla ❤
@suleymanali431
@suleymanali431 23 күн бұрын
Masha Allah mwenyezi mungu awaokowe na macho ya mahasidi, wale wana toa coment kusema munawasubua wakrsto hao hawajui wamepotea na muna waita kwa njia ilio nyooka aw mna wakataza wasi tupwe jahanam, waambiye nabii nuuh aleyhi salaam aliwaita qowm yake waje wa mabudu allah kwa miaka 950, waliringa kuziba masikio walimtukuna walisema mwenda wazimu huyu walimtharau
@mishijuma5558
@mishijuma5558 23 күн бұрын
Assalaam alaikum mashekh wetu ALLAH awalipe nilikuwa nauliza vp Hali ya sheikh yusu
@hassansharif5716
@hassansharif5716 23 күн бұрын
Mansha Allah
@jamada-by3rq
@jamada-by3rq 23 күн бұрын
Asalaam Alaikum brothers and sisters I’m so delighted to be number one today Alihamudulilah ❤❤❤❤❤❤❤❤ Love and peace all over the world 🗺️
@salimdaawah123
@salimdaawah123 23 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh Masha Allah We love you for the sake of Allah
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 23 күн бұрын
Mashe mnapozungumzia mambo ya Dini msifichefiche hawa watu vichwa vyao nivigumu sana hawawezi kuchanganua mambo kama huyo kaka wakwanza ambae alikua anauriza swali lakua ulipomuambia kuhusu mbio hajaelewa vizuri afazali ungetumia neno la tendo landoa kilamtu akaelewe pia nigundua wakenya wengi wanatatizo lakuelewa kiswahili nimeona sheikh Salim unaongea mbiombio sijui kama wanakuelewa pia mifano mingi inawachanya sana bora umpatie mfano mmojatu lakini maandiko mengi kuliko mifano mingi jitahidini pia kwanye kiswahili kinyooke Sio kwaubaya Asalaam alaykum masheikh wetu tunawapenda sana
@jamada-by3rq
@jamada-by3rq 23 күн бұрын
@@salimdaawah123Thank you soooo much ❤❤❤❤❤
@HisMajesty64
@HisMajesty64 22 күн бұрын
Waaleykum salaam warahmatullahi wabarakatu. Mashallah Mabrouk. Aamin
@josemu870
@josemu870 23 күн бұрын
Allahamdhulla
@aishahazary4097
@aishahazary4097 23 күн бұрын
Waalaykum Salaam Warhamatullah Wabarakatuh
@ZakiyaAnwar-w1r
@ZakiyaAnwar-w1r 23 күн бұрын
Allah awalipe pepo firdaus wote wanaoshiriki dini ya Allah
@ZakiyaAnwar-w1r
@ZakiyaAnwar-w1r 23 күн бұрын
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh MashaAllah leo wa pili Alhamdulilah
@jasminmohamed6145
@jasminmohamed6145 2 күн бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA SAYYIDINA MUHAMMADIN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAYYIDINA MUHAMMADIN WAALI SAYYIDINA MUHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek
@mahmudmugarura2175
@mahmudmugarura2175 23 күн бұрын
Walaikum salam warhmatillah wabarakat
@JamilaJumanne-u7q
@JamilaJumanne-u7q 20 күн бұрын
Waleykm msalaaaaam !! MASHALLAH sikuiz wilbaa kaelewa😂😂 haji namaswali muandalien kanzu atakuja kuwa mwalimu mzuli sana!!
@janieali5521
@janieali5521 22 күн бұрын
MASHAALLAH MASHEHE WETU KWA KAZI BORA YA KUENEZA DINI YA HAKI. MUNGU ATAWALIPA BILA HESABU
@salimdaawah123
@salimdaawah123 22 күн бұрын
Aamiin amiin amiin sote
@abdullahijma2073
@abdullahijma2073 6 күн бұрын
Mashallah… nampenda sana huyu msomaji, very fluent.
@salimdaawah123
@salimdaawah123 4 күн бұрын
Masha Allah
@ahmednasib8465
@ahmednasib8465 23 күн бұрын
Mash'Allah ❤walimu mungu awaweke na afya
@ibrahimmussa7478
@ibrahimmussa7478 16 күн бұрын
Waaleykum Salam, mwenyezi mungu awafanyie wepesi kesho kiam peponi iwe makazi yenu kwa kujitolea na kuwaongoa waliojaaliwa na mwenyezi mungu na wengine tunawaombea dua watoke kwenye ujailia.
@salimdaawah123
@salimdaawah123 16 күн бұрын
Aamiin amiin amiin sote
@abdallahazizi999
@abdallahazizi999 23 күн бұрын
Walimu nawaombea baraka kwake Mwenyezi Mungu Nawaomba mtafsiri kwakiswahihi kwasababu Wa Congo tunakusikiliza sana
@HisMajesty64
@HisMajesty64 22 күн бұрын
Kaka sijakuelewa vizuri hapo
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 22 күн бұрын
Asalam alaikum sheikh salim alhamdulillah wakenya wanapenda kusikiliza maneno ya mungu
@salimdaawah123
@salimdaawah123 22 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh tena sana
@HisMajesty64
@HisMajesty64 22 күн бұрын
Waaleykum salaam warahmatullahi wabarakatu ayyuhal ikhwanil qiram. Allahumma Barik.
@salimdaawah123
@salimdaawah123 22 күн бұрын
Aamiin amiin amiin
@Noorein-ws8wk
@Noorein-ws8wk 22 күн бұрын
Allahu Akbar walillahi lhamd ❤
@KhamisJuma-ni1vk
@KhamisJuma-ni1vk 22 күн бұрын
Walahykum Salahm warahmatullah Wabarakatuh.. Masha allahy Sheikh Salam Na Walimu Wengine Allah Azidi Kuwanasi Ad Sikuyake Ya Mwisho Ameen ❤❤❤
@MohamedHozi-p1u
@MohamedHozi-p1u 22 күн бұрын
Mashaallah baarakallah
@MwangiMuhammad-q8r
@MwangiMuhammad-q8r 22 күн бұрын
Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabatakatuhu... kiswahili mushkilat kwa jaduong
@salimdaawah123
@salimdaawah123 22 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@ibruzah001
@ibruzah001 20 күн бұрын
ALLAHU AKBAR ♥️
@minaniyasini7834
@minaniyasini7834 22 күн бұрын
Allah awalipe kila la kheri wahadhiri
@Marim-qp8gs
@Marim-qp8gs 22 күн бұрын
Allah awalipe paka ahera yarabi
@salimdaawah123
@salimdaawah123 22 күн бұрын
Aamiin amiin amiin
@molee00
@molee00 23 күн бұрын
Huyu Onera Ouma, ni Time Waster kama yule Shadrak, ambaye ali tokomea baada ya upuuzi wake! Ni kweli, hawa WaPagani wa Antioch kama Paulo, walikuwa uzaa wa Ma Crusaders. Na hizo Ma 'Kanisa' Saba, wali establish kule katika town ya Smyrna, TURKEY, au Galatia, walipo FUKUZWA na the MAMALUK Empire, in 1483. Na Smyrna is 2500km from Jerusalem. Tabarak Allah Team
@loner_wolf
@loner_wolf 18 күн бұрын
Ouma hanaga swali ....ni huwa anakuja kubishana tu ......na kiswahili chake kibovu 😅😅😅😅
@ikhavi
@ikhavi 22 күн бұрын
Wakati wa pasaka hakuna kitu kilitengenezwa kilicho na chachu maana haikuwa ya kulevya...na andiko hilo na timotheo hakuna kuruhusu kwa ulevi😂😂😂
@ibrahimhajji6210
@ibrahimhajji6210 22 күн бұрын
Not wine church but church wine.
Uchakachuaji wa andiko washidikana magumu leo mlitoa wapi hii mwendo wenu
1:22:29
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
Mwingine asilimu mbele ya mchungaji aliyekua akitutafuta kivumbi githurai 45
1:17:47
Jatero aleta hoja zake mwingine ajiunga na haki ujumbe waendelea kufika
1:12:07
Salim Daawah Kenya TV
Рет қаралды 5 М.
Nani wameahidiwa uzima ma milele kati ya wakristo na waisilamu
1:30:13
IFAHAMU KWELI
Рет қаралды 2,4 М.
Jackson ataka kujua kanzu na kofia inamaana gani kusujudu ni aje
1:31:24
Salim Daawah Kenya TV
Рет қаралды 4,6 М.
Nyimbo ni nzuri mbona hamtaki kucheza huyu ataka kujua
1:05:00
Salim Daawah Kenya TV
Рет қаралды 6 М.
College masomo yanoga hakuna kubahatisha pole pole wanaelewa
1:35:34
Salim Daawah Kenya TV
Рет қаралды 7 М.
Dada akuja kuwaokoa wakristo walipolemewa kiwanja cha chemka sana leo ujumbe umefika
1:29:47