Prof KABUDI KAPIGA 4-4-2 KUMBE MAKELELE YOOTE YALE HOFU KUWA HUYU NDIO KIUNGO hatari katoka team ya MAGUFULI
@petercheyo72555 жыл бұрын
Dah hatari sana
@prospermakundi27875 жыл бұрын
Nalichukia Sana hili neno kuomba misaada,miguu mikono tunayo akili aridhi madini wanyama bahari gesi tunavyo,rasimali watu tupo.TANZANIA TUAMKE.
@athumanomary14385 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba endelea kuliongoza vyema taifa letu na raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
@goldengordian68355 жыл бұрын
Bro...my Lovely Prof. Kabudi, U deserve 2b our next Presedent after our Presedent Dr. JPM kumaliza Muda wake wa Miaka 10.
@boniphacekasagamba4655 жыл бұрын
We should need this professor Kabudi
@thieryniyonkuru10675 жыл бұрын
Nina wivu kabisa kuwa inchi yangu haina mtu wenye uzalendo kama bwana Kabudi. Ana uzalendo, Ana hoja, anagusa historia na anaunyenyekevu sijaona. God bless kabudi👌👌👌☝️💪💪💪💪
@boniphacekasagamba4655 жыл бұрын
Mungu akusimamie katika yote ayafanyayo
@asubuhiotieno24635 жыл бұрын
Kukosa skill ya tafakari night janga
@mwasoprince34595 жыл бұрын
Prof. Umenena kweli kweli,,,,si wapendi wazungu mm.
@ericklyatuu13015 жыл бұрын
Ndo wanakulisha utakufa njaa wakavuta handbrake
@muammarghadaffi35545 жыл бұрын
Huwapendi wazungu na unatumia simu iliyotengenezwa na haohao weupe kucomment ushuzi wako hapa........ So stupid
@matingo-bk12485 жыл бұрын
@@muammarghadaffi3554 hajakuambia hawapendi watu weupe fala wewe, yeye anawazungumzia wazungu simu anayotumia sio ya wazungu
Mtani wangu nakuheshimu sana, hakika upo vizuri. Mungu akujaalie.
@saidrubeya64155 жыл бұрын
Safi sana tunakukubali hao chadema wameuzwa.sasa shukuma ndani tuu wasije kulita machafuko kama libya.tunamkubali raisi wetu mwanzo mwesho.proff tunga sheria ya raisi akae miaka 7. Kwa awamo.raisi putti wa urusi wamemkubali na china mpaka akifa sisi tunashindwa nini?
@matingo-bk12485 жыл бұрын
I like this
@janeypheremmanuel98445 жыл бұрын
nampenda kabudi
@husainabdu26765 жыл бұрын
This is Tanzania 🇹🇿
@frankbangimoto34625 жыл бұрын
Prof. Kabudi ni mzalendo wa kweli. Hakika anaitendea haki nafasi aliyoaminiwa kuiongoza na mara nyingi huwa anajitahidi sana kuitumia taaluma yake haswa katika kazi yake. Mungu aendelee kukuongoza daima.
@sebastiansalamba82365 жыл бұрын
Wape sindano hao
@aidanbugufi62005 жыл бұрын
Mwanangu john mwaliko kabudi naona kazi yako iliyo tukuka
@juliankamugisha98865 жыл бұрын
Kabudi unatisha Kura yangu unayo songa prof.
@traudkamugisha80515 жыл бұрын
Prof. Kabudi yuko vizur sana huyu Baba ni mtaalamu sana anafahamu historia
@manyanyapeter46405 жыл бұрын
Mh nimekuelewa sanaaaa
@barakazakayo37985 жыл бұрын
Najiskia fahari sana inchi ninapoishi nikishuhudi viongozi kama hawa wakilitumikia taifa.
@wanderaothumani49195 жыл бұрын
Aghh Huyu Prof.kabudi is such a bold man yaani he talks like it's his last breathe yaani dahhh I wanna be him one day I will be a professor one day
@castatomatovu33625 жыл бұрын
wandera othumani I wanna be like him
@benmbwele5 жыл бұрын
I like the determination in you
@mashakalonka94075 жыл бұрын
Kiukweli huyu jamaa ni hazina ya taifa letu.Anazungumza mambo mazito ambayo twapasa kujifunza.Nashangaa hata huyo mbunge anayeomba utaratibu/mwongozo!.
@wilsonluzibila56955 жыл бұрын
Uko vizuri sana
@michaelmrosso21065 жыл бұрын
Kabud wew ni jembe baba 🔥🔥🔥
@enockosward58135 жыл бұрын
Fact of all
@fidesmassoyi91745 жыл бұрын
Nakukubali waziri wangu uko vizuri
@shaabanimasoud56865 жыл бұрын
mheshimiwa jazbar haita saidia nnchi tetea katiba mpya ulio icimamamia cheo kina kushusha sasa mheshimiwa
unaweza uciione leo athar jazba ila baada miaka kazaaa ukakumbuka
@pantaleokulaya53085 жыл бұрын
big up our next president pmk
@judyngowi3915 жыл бұрын
Kabudi upo juu
@joasitz95595 жыл бұрын
Salute Professor, proudly of my country. Piga kazi upo vizuri sana.
@yessecharles31555 жыл бұрын
Magufuli aliona hichi kichwa jman dah kweli baada ya miaka. Mitano Tanzania itakuwa nchi kubwa sana jmn
@henryndosi38005 жыл бұрын
Waambie hao vibaraka wa mabeberu
@emmapaul17665 жыл бұрын
Kweli awambie magamba wenzake wanaoenda kukopa kila kukicha.
@leinamwilongo68904 жыл бұрын
Uuu
@mashimbazephania35115 жыл бұрын
Hao chadomo watasubiri saana, na wale wanaomdanganya Tundu la choo bora wangemshauli aboleshe fani yake YA sheria siyo kuongoza tz
@athumanomary14385 жыл бұрын
Asante san baba mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
@allymkali5 жыл бұрын
Nakukubali sana prof. Kabudi
@bonifacebenny27335 жыл бұрын
I just like this bold prof... I love his love over the mama Tanzania.. naungana na wewe... my eyes always filled with tears when listerning to you prof P. KABUDI.. keep it up baba
@kelvinkimambo75345 жыл бұрын
Profesa makin sana huyu aisee anajua vitu
@tinyaanosiatha11185 жыл бұрын
Safi sana kabudi uko vizuri
@Unclerammaschannel5 жыл бұрын
Tusi pige magot kwa tamaa ya hao vijana walevi chadema
@michaelndilima62105 жыл бұрын
Kweli
@kebo21555 жыл бұрын
Kweli 💯 💯
@saimonmanyerezi71694 жыл бұрын
Asikie tundu na wenzie.
@lgffumbuka1835 жыл бұрын
Kabudi hajasema kuwa sheria nyingi za EU za ajira zinaweka mshahara mkubwa mwanaume kuliko mwanamke kwa kazi hiyo hiyo. Hatuna demokrasia ya kuiga huko, mashoga tu basi.
@jumajasjas29255 жыл бұрын
fuatilia tena alaf uje... hili suala yaonesha fika hulijui
@romeoromeo41255 жыл бұрын
@@jumajasjas2925 Mwambie mpuuzi uyo, mengi ya muhim hawaoni wanaleta hoja za kipuuzi na wala hazipo.
@exaurdkalongole11504 жыл бұрын
Prof itapebdeza saana 25 ampokee mheshimiwa magu akimakimaluza muda wake
@maulidibrahim96654 жыл бұрын
Upo vzuri professor
@dennisstafford4505 жыл бұрын
Tundu lisu listen to inteligence guy professor John Aidan Mwaluko Kabudi
@michaelndilima62105 жыл бұрын
Thanks
@Gamba1775 жыл бұрын
Kabudi mwizi kaiba hela yetu ya korosho kibaka huyu.
@saimonmanyerezi71694 жыл бұрын
@@Gamba177 hahahaaaaaaa.Pole sana
@chumizola18475 жыл бұрын
Akimaliza JPM kipindi chake, huyu Anafaa Kuwa Rais
@bernardmcabbeys96275 жыл бұрын
Chumi Zola wazt siyo wajinga aisee
@williamhonest31565 жыл бұрын
Mimi mwaka wowote ukigombea Mimi mapema naenda kupigia msitari nakupa mapema haki yako
@hoseakaponya50705 жыл бұрын
Anafaa kuwa waziri wa ulinzi na siyo urais maana anaamini yake nakubeza ya wengine, anawachukia wazungu ila anapenda hela zao.
@hoseakaponya50705 жыл бұрын
Halafu ananikera anapojaribu kuaminisha watanzania kwamba kuna vibaraka wa mabeberu bila kuthibitisha
@michaelndilima62105 жыл бұрын
Kweli namuomba mungu aliye hai ampe urais atakapo maliza muhura wake rais magufuli
@zumbeshauri81145 жыл бұрын
sijui kama kuna mwenye uwezo kama huyu mzee
@emmanuelmhina955 жыл бұрын
wapo japo wajapata nafasi
@abdallahmagera91605 жыл бұрын
Nimekuelewa mkuu wangu
@aidanbugufi62005 жыл бұрын
Siku ukingombea uraisi nitafrahi sana
@evansignas37325 жыл бұрын
Yan hata kama hupendi SIASA kwa huyu mzee utavuna HISTORIA
@mansourynawab89235 жыл бұрын
Namkubali sana Pr. Kabudi
@gracegrace30875 жыл бұрын
www.google.com/url?sa=t&source=web&rct=j&url=www.energyvoice.com/oilandgas/africa/200694/panorama-investigates-10bn-bp-energy-scandal-in-senegal/&ved=2ahUKEwjMiOS30tDiAhWeXRUIHY1MBqkQxfQBMAB6BAgJEAQ&usg=AOvVaw2c4r_eBcD2NI7skZgLpQbf angalieni vile Africa inavyoibiwa kupitia viongozi wetu
@eliankya32725 жыл бұрын
Uko vizuri mzee wetu ukiona upinzani wa tz umekusifia lazima ujiangalie mara mbilimbili kitu kizuri kwao uwaga awakipendi kabisa
@ericklyatuu13015 жыл бұрын
Vp korosho tumeuza au tumetapeliwa?
@omarykaita435 жыл бұрын
Umekuwa si tu waziri kwa serikali yetu bali pia umekuwa ni mwalimu wetu wa lugha yetu ya kiswahili
@Unclerammaschannel5 жыл бұрын
Kaa chini bunju Huna kanuni bwege kanuni chadema hovyo 🐅🐅🐅
@emiliusfrance82865 жыл бұрын
Bunju mamakooooo
@kiwangodaniel13025 жыл бұрын
Je aliyeshangiliwa Africa kusini ni Rais yupi?
@ababuumwana51025 жыл бұрын
Tanzania kwanza mengine baadae sema baba usiogope maana Taifa hili ni huru na sisi ndio wenyewe hakuna mwengine anaeweza kutuelekeza wanavyotaka wao
@alimasijuma82485 жыл бұрын
Wasomi wanazungumza mambo makubwa mazwazwa wanaomba utaratibu mwakajoka nenda ukasome
@alicksinkamba34015 жыл бұрын
Level gan ya Elimu mwaka joka?
@eddynyaki55395 жыл бұрын
Mungu azidi kukujalia afya njema mzidi kuiongoza Tanzania yetu
@maxmiliangunze89315 жыл бұрын
Mim nakujua toka kwenye maoni ya katiba ya warioba! Upo sawa balaa
@someaafrika.33793 жыл бұрын
I've come to love 💘 this man 💪
@johannesmaloda82095 жыл бұрын
kati ya vichwa vichache vyenye upeo, watalipwa na Mungu..
@abdallahmagera91605 жыл бұрын
Amina
@selemakilawa39694 жыл бұрын
Mm huwa najiuliza watu kama hawa mliwaficha wapi? Tz yetu ingekua mbali sana kongole Dr John pombe Magufuli kwa kumteua huyu ndugu mwazoni tulijua Lisu Ndio kiboko ya wanasheria kumbe yupo mwalimu wao na mtu mwenye historia kubwa ya nchi yetu Afrika na hata nchi za ugaibuni safi sana
@kimchi-914 жыл бұрын
Huyu ndo professor wa kuiga nchini tanzania,achana na wale maprofesa uchwara kama akina Lipumba.
@jislainyuda3 жыл бұрын
Muheshimiwa uwepewe uwezo mwingi na nguvu
@255LK5 жыл бұрын
DUH LEO PARAMAGAMBA AMERUSHA MABOMU KINOMA NOMA. WAPINZANI HOIII!.
@boniphacekasagamba4655 жыл бұрын
Wametepeta hawana issue
@emmanuelrobert72225 жыл бұрын
Nchi yangu nguvu ipo palepale Tuwe wazalendo
@nisilesimon67814 жыл бұрын
Hivi hao wanaomzomea huyo profesor uelewa wa mambo ni mdogo sana kwenye sheria palamagamba ni moto wa kuotea mbali
@balozidaud50925 жыл бұрын
Huyu jamaa noma, na mimi mbona sijawai mskia m bunge wa arumeru akiongea hata siku moja, Gibson tulikuchagua utuwakilishe kwa kupeleka malalamiko bungeni tupate barabara nzuri umeme na kathalika,lakini tumeambulia patupu lakini mungu yupo pamoja nasi Amin
@selemakilawa39694 жыл бұрын
Hawa ni watu waliosomeshwa na mwalimu Nyerere waje waisaidie nchi yao ndo tunaowataka watu kama hawa sio wachumia matumbo natamani hata ungekuja kugombea jimbo letu la Kalenga
@jislainyuda3 жыл бұрын
Iwe mwisho wakuburuzwa
@selemakilawa39694 жыл бұрын
Yaani ww ungekua na umri mdogo ilibidi uje kua rais mm nakuombea kwa Mungu uje uwe ata waziri mkuu ktk hii nchi
@rehemashaban68585 жыл бұрын
Baba umesema sana, hao wasio jielewa kazi kwao
@naymlip29565 жыл бұрын
Sio ukabila ila wakaguru tuko vizur kwenye maswala ya kiuongozi keep it up professor,, kudahaa
@leonardkigutu71904 жыл бұрын
Profesa Kabudi ni mzalendo was kweli....nampenda sana..ukiipenda Tanzania na rais wetu Dr J Magufuli lazima nikupende sana.
@masuseleman9785 жыл бұрын
Hii kichwa hii haito dumu na mzee jiwe..kama namuona mwaka huu hautobisha.
@kibogoyomasai48765 жыл бұрын
umejitahidi kutetea ugali wako, mzee kaa ukijua dunia ingekuwa na maprofesa km wewe sijui leo tungekuwa wapi
@msafirimwangamba52585 жыл бұрын
Tafta mwingne bas kama wwe mzee kabudi tukiwa nao wawil tu,inatosha sana kuisaidia nchi
@EK-kp2np5 жыл бұрын
Prof. Wewe ni zawadi mojawapo Mungu aloyoitunuku Tanzania, asante kwa nia yako njema kwa nchi yetu
@billgussy60995 жыл бұрын
Watanzania ni wepesi sana kusahau kama kuku wa kienyeji juzi tu huyu mtu katapeliwa na mkenya yule mnunuzi feki wa korosho. Leo anaongea PUMBA tena kwa jambo lenye athari kubwa za kiuchumi kuliko za mugabe watu wana shangilia. Elimu elimu elimu.
@leonardmaganja95355 жыл бұрын
Bill Gussy hukufunzwa maadili na mama yako, huwezi kumtukana mzalendo kama huyu hii inaonyesha unawezakuwa unamtusi hata baba yako!!
@billgussy60995 жыл бұрын
at a1 Yaan siku hizi mtu aki waambia UKWELI mna sena ni matusi. Mmeishiwa HOJA.
@rachelissacmahenge13484 жыл бұрын
I wish aje kuwa raisi 2025
@AgnesAndrea-l3kАй бұрын
Unastahili kuwa rais wa nchi
@alexjackson66084 жыл бұрын
Uko vizuri mkuu
@abuyabally50865 жыл бұрын
huyu jamaa ni muungwana sana
@michaelcheyo39035 жыл бұрын
next President
@PH-hg2vn5 жыл бұрын
Ki ukweli Professor Kabudi ni msumari wa inch 6, unafaa sana mzee wetu, Mungu akubariki sana
@rosemarymsulwa2035 жыл бұрын
Chadomo.leo ziiiiiiiii
@EK-kp2np5 жыл бұрын
Na kweli si Chedema ni CHADOMO 👅, hujakosea Rosemary Msulwa 😁😁
@charlesbarongo69225 жыл бұрын
Kazi bado tunayo!
@johnsonjulius78325 жыл бұрын
I really appreciate this man
@godfreymollel69035 жыл бұрын
Hivi huyu Pr Kabudi ndio yule yule wa Katiba mpya ya Warioba?
@Mwalusamba-tu2ix5 жыл бұрын
Hahaaaa ndio yule yule bro na mwenzie pole pole
@ngwandujoseph21555 жыл бұрын
Umetisha
@sabihimngetuka69715 жыл бұрын
Wewe kweli ni mwalimu piga msasa
@mo-tm6sr4 жыл бұрын
Chumaaaa
@edinamutakyawa68725 жыл бұрын
safi cn mzee wangu
@jacksonmollel79404 жыл бұрын
I believe you
@ernestjoseph75935 жыл бұрын
Sasa Angela Merkel, sii ni zaidi ya speaker?
@jumakatema63485 жыл бұрын
👍👍👍👍👍
@yohanabillges61315 жыл бұрын
Tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪
@bantuisolele25435 жыл бұрын
Naam
@alexjackson66084 жыл бұрын
Hivi mnaonaje wakuu tukimuachia mrs kabud agombee kiti cha urais . Kama unakubaliana na hii hoja piga like yako hapo
@omarwahab71914 жыл бұрын
I love so March prof Kabudi wallah nikikusikiliza ww napata raha sana
@jallyhill18845 жыл бұрын
Safi sana mzee minakukubali sana wewe nimsomi kupitiliza minaamini wewe ndie tanzania mh magufuli amekuweka pahalapake unapo sitahili kuepo hiyo sehem naamini mh rais anaumizwa sana nawewe hapo uliopo mana hapo ulipo hakutaka uwe hapo mana yeye alitaka uwejuu ya hapo lakini hana budi unamsaidia sana kazi unauwezo mkubwa BABA.
@subiramohd8855 жыл бұрын
Mungu Akubark sana Waziri.Akukinge na Uwadui wa wasiokupenda.ila mimi Nakuombea Duwa kwa Mungu lnsha Allah Atakulinda kwa Uwezo wake Allah
@abdallahmagera91605 жыл бұрын
Kabudi msaidie mh,rais akika MUNGU kaitendea kweli Tanzania nasema Amina