No video

NATO Kuipa Ukraine Silaha za Ulinzi wa Anga, Zelensky Asema Misaada Haijawahi Kutosha na Haitatosha

  Рет қаралды 3,661

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Viongozi wa nchi 32 wanachama wa NATO wameanza mkutano wao jana jijini Washington Marekani, ambapo katika hotuba ya ufunguzi wa mkutano huo, Rais Joe Biden wa Marekani alisema kuwa nchi wanachama wa NATO wataipatia Ukraine mitambo mitano ya kimkakati ya ulinzi wa anga.
Biden amesema Marekani kwa kushirikiana na nchi za Ujerumani, Italia, Uholanzi na Romania wamekubaliana kuipatia Ukraine mitambo ya kisasa ya kimkakati ya ulinzi wa anga aina ya Patriot ili kuiwezesha nchi hiyo kukabiliana na mashambulizi ya anga ya majeshi ya Urusi.
Mitambo ya uliniz ya anga ya Patriot inatajwa kuwa ni yenye teknolojia ya hali ya juu ya ulinzi wa anga. Ina uwezo wa kuzuia makombora adui, mashambulizi ya ndege vita na ndege zisizo na rubani kutoka eneo la umbali mrefu.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 11
@BahatiMitanda-f1l
@BahatiMitanda-f1l Ай бұрын
Da kazi ipo
@lukafbbwebelof3874
@lukafbbwebelof3874 Ай бұрын
Ukiona Rais anasema misaada haitoshi na haitatosha, yaani a sema wao WENYEWE waje kupigana na Urusi. Yeye hawezi tena 😂😂 pole sana Ukraine utaenda kuwa History
@mfupakhamis9751
@mfupakhamis9751 Ай бұрын
Katu Marekani,NATO na washirika wao hawawezi kuishinda Urusi. Ukrein itabaki hadithi, haitakuwepo ktk ramani ya Dunia. Muda si merefu. Babeli iko wap? Ufalme wa Mungu usimame. Amin.
@aeshitoyota2499
@aeshitoyota2499 Ай бұрын
Wanazidi kuisukuma dunia kwenye vita ya tatu
@user-qh9gw2vr6k
@user-qh9gw2vr6k Ай бұрын
Mimi nipo hapa nimekaa Wacha nione uraaàaaaaaaaaaaa
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 Ай бұрын
Tatizo wakileta hiyo mifumo hata kabla haijatumika inalipuliwa na urusi
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche Ай бұрын
Ukweli nato imekwamaani, wakilinda ukreine mzima.imebaki kulinda mjikuu.
@PUTINN365
@PUTINN365 Ай бұрын
Zelennzk kuma yake hana akili atakipata anachokitafuta
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 Ай бұрын
Kwa comment yako wewe inaonyesha wazi ni TEJA na hakuna ujualo katika hii Dunia zaidi ya kuidhalilisha Lugha yenye heshima ya Kiswahili.Wewe ni pumbavu kabisa.
@mhande1219
@mhande1219 Ай бұрын
Mpuuzi huyu jamaa, kama ndivyo huvyo kwnn anzunguka kote kuomba omba?
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 12 МЛН
나랑 아빠가 아이스크림 먹을 때
00:15
진영민yeongmin
Рет қаралды 4 МЛН
wow so cute 🥰
00:20
dednahype
Рет қаралды 31 МЛН
wasabato sio wakristo
19:22
THE POWER OF CHRIST MINISTRY
Рет қаралды 7 М.
MUONE MASANJA NA MASHAMBA YAKE
6:45
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 18 М.
Bishop Jacob Wamwea guborwo mbeca ciake ciothe ni mikora
1:08:46
Ngugi wa karanja Mcee TV
Рет қаралды 17 М.
Ukrajna: ezt mondta Lavrov tanácsadója - Georg Spöttle
37:33
Hit Rádió
Рет қаралды 18 М.
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 12 МЛН