Poleni sana ndg zetu wazanzibar ndgu jamaa na marafiki mungu awape faraja
@mikadaudi42 жыл бұрын
Nakubari Kaka naona kaziyako vyema kabisa Mika from palm village ofece
@sweetluc26602 жыл бұрын
Tuweni pole kwa sote Mungu awape falaja kwa ndugu na famliya wote
@khatibali1952 жыл бұрын
Innalilah wainnailah rajiun
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Jifunze quran kwa hukmu kuswali kwa vitendo gusa picha yangmara 2 hapo kama hsutojl
@flova70222 жыл бұрын
Mimi ni mkristu mromanj ,Ila Kwa jitihada zako Mungu akujalie mwisho mwema unajituma Sana ..Kila kwenye platforms nakuona na hili. tangazo Mungu akuongezee Maisha ya kuishi Kwa kujali kondooo WA Mungu
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Shukran saan kak mungu akufanyie wepes katika maisha yako na akupe mwisho uliokua mwema
@ronsardgalilee94882 жыл бұрын
Dah, poleni sana. Mwaka jana mwezi October ndege nyingine ilipotea na rubani mpaka leo. Poleni sana kabisa.
@telaamtauta22272 жыл бұрын
Poleni sana mungu ajaaliye wawe waxima.jamani
@bibylicious82012 жыл бұрын
Poleni sana Flyznz na wana family zoote waliokuwa kwenye ndege
@malugukushaha67642 жыл бұрын
Kumbe zanzibar wana ndege zao??...., poleni ndg. Zetu wazanzibar,mwenyezi mungu awatie nguvu katika kipindi hichi kigumu.
@aydaawadh3882 жыл бұрын
Subhallah Subhallah
@huweiy65872 жыл бұрын
Subhana Allah
@godlivingmoshi49052 жыл бұрын
Poleni Sana wote mliopotelewa na ndugu MUNGU azidi kuwapeni nguvu katika kipindi hiki kigumu !
@alinekasinyabo49592 жыл бұрын
Oh pole sana
@rehemaothman22002 жыл бұрын
SubhanAllah
@alexlingwendu67802 жыл бұрын
Kutoka uwizi wa magari mpaka uwizi wa ndege.Rai yangu kwa serikali kwa Sasa inabidi ndege ikikodiwa. Wanaokodi wahakikiwe vizuri juu ya dhumuni la kukodi ndege Hiyo pia wahakikiwe historia za Maisha yao.
@ramsonchristopher51692 жыл бұрын
Daah,,mungu atasaidia kwa janga hilo
@aishaaisharagp93812 жыл бұрын
Innalillahi wainnailayhi rajiuun
@joycekimaro66852 жыл бұрын
Duh!!! Poleni sana
@saumuimeda51812 жыл бұрын
Subuhanallah😢
@salhaabass60632 жыл бұрын
subhana llah
@hapapetu70182 жыл бұрын
Subuhanallah
@biddii19722 жыл бұрын
Poleni san ndugu zangu
@shabanikamsawa1812 жыл бұрын
Hivi kuna uhusiano gani ndugu zetu wasomi kueleza kitu kwa lugha ya kuchanganya muwe mnachagua lugha moja basi kama English iwe English kama kiswahili iwe kiswahili sasa hao ambao hawajui lugha ya kigeni hiyo taarifa inawafikiaje
@Hawa-ed2hg2 жыл бұрын
Poreni sana
@josephguerino74162 жыл бұрын
Mungu waponye waliopotoea kwa ajali hii
@maalimkupaza89752 жыл бұрын
Subhanallah
@sabihaibrahim1432 жыл бұрын
Innaalilahi wainnaa ilayhi rajiuun
@rashidsuleiman15312 жыл бұрын
poleni fly znz
@dottohamisi98442 жыл бұрын
SubhanAllh
@ablashaffy28602 жыл бұрын
Kwa nin kupeleka ndege juu km hali ya hewa si nzur jaman?
@mohammedrashid77352 жыл бұрын
Hali ya hewa imebadilika kat kat ya safar
@munamuna74882 жыл бұрын
الله أكبر
@dinagod1732 жыл бұрын
Duuh ! Poleni sana
@tukuyufm2 жыл бұрын
Pole kwa taifa letu kwa kupoteza ndugu zetu wapendwa
@geraldtarimo25502 жыл бұрын
URUSI wameidungua?
@aishaaisharagp93812 жыл бұрын
Allah alete kheri yakeishaallah
@richardnganya23112 жыл бұрын
Wasemaji wakuu toka vyombo husika watoe taarifa kwa umma !!
@CTM.24Updates2 жыл бұрын
*TAZAMA MANYANYASO WANAYOFANYIWA RAIA WA UKRINEt* kzbin.info/www/bejne/aJvdd5eiobx7l8k
@rashidikanyama72272 жыл бұрын
Innalilahi wainnailaihi rajjighuun
@marympango92472 жыл бұрын
Daah polen jmn!!!!
@rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын
Ya Allah tuhifadhi waja wako
@alihaji95762 жыл бұрын
Allah atusaidie
@shuweynalove36222 жыл бұрын
Jaman nani alikuwa rubani....
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
😦😥🤲
@shaibujape44462 жыл бұрын
Tusisahau Dua za kupandavyombo jamani
@WillMB202 жыл бұрын
Kweli wa Afrika sisi wajinga kipindi American ilivyo vamia libya hakuna aliye ongeo wala kuiombea libya dunia ilikuwa kimya, leo russia eti ana makosa
@erickimambo45442 жыл бұрын
Kweli mnashindwa kuangalia weather forecast before kulusha ndege au ndio kafara
@albassambakili37572 жыл бұрын
unaweza angalia kilakitu na ajali ikatokea 🤔
@mwanaimaabdallah78252 жыл бұрын
Kila kitu ni Qadar
@isaliisu34082 жыл бұрын
Sasa ndege imekudishwa Komoro zazibar wangaliye hali ya hewa komoro hujuwi kuwa komoro ni nchi huru
@zalhathasaid20602 жыл бұрын
@@albassambakili3757 jibu zuri kila kitu ni kwa ajili ya Allh ndo mpngaji na mjuzi zaidi
@erickndile39202 жыл бұрын
mh mungu wangu dah
@edgarnandonde482 жыл бұрын
hii nch ya ajabu sana hivi jamani wanazengo wenzangu unakumbuka ile ndege iliyopotea huku na mpaka leo aijaonekana na rubani ajulikani alipo polisi wakasema tumetafuta juu na chini atujaipata .sasa najiuliza hivi ndege inapoteaje kama baiskel jamani hii nayo tutasikia leo tu baada ya hapo kimyaaaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Mjiangalie maana sikuhizi isiwe imetekwahiyo
@drmussa12202 жыл бұрын
DAWA KULIPWA MADENI YAKO m.kzbin.info/www/bejne/hKume6mmi9Crfqs
@johnsonjohnson33652 жыл бұрын
Jamaa huyo si azungumze kiswahili kabisa maana anatuchanganya wengine: poleni sana familia zilizopotelewa na watu
@AlimylifeAlimylife2 жыл бұрын
Kweli aongee kiswahili au kiingereza sio kuchannganya lugha (innalilah wainna illaih rajion)
@premax_official2 жыл бұрын
Kama unapenda muziki mzuri naamini utabofya link hii ili kufurahia sauti na mirindimo mwanana 👉 kzbin.info/www/bejne/sILZqaFjps2fZ7c
@abubakarharuna67122 жыл бұрын
🤔
@edmondpolar17172 жыл бұрын
Raisi wa ufaransa taari kajiunga na Ukraine bonyeza kwahii link ujue habari za urusi na Ukrainekzbin.info/www/bejne/g6HNZ6etl7aBqdE
@Bayothomusic2 жыл бұрын
Bonyeza link hii. Kisha subscribe na share video hii. kzbin.info/www/bejne/an-tnayFoq6foZY