Miaka michache ijayo, Zanzibar itakuwa nyumbani kwa jengo la biashara refu lenye thamani ya dola bilioni 1.3, gazeti la The Citizen limeandika Jumatano hii
Пікірлер: 156
@mwatumsaidi51042 жыл бұрын
Angalau nasie tuwe na majengo mungu ibariki zanzibar yetu ishallah
Ni Zanzibar kwetu au Zanzibar nyengine asnt mwinyi asnt mama samia mungu awape afya njema sio rahic hivi vitu
@kreamagdfsa16972 жыл бұрын
Amin
@ahmedmussa82312 жыл бұрын
Mwinyi aongezewe ulinzi jamani
@hafidhothman45882 жыл бұрын
Hahahaaa
@zikirination67692 жыл бұрын
Sio wa mkuranga Tena😄 dah Kuna watu wanafki Sana hii dunia
@peterirungu29042 жыл бұрын
Kenya namba mmoja
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Inshaallh iwe kali
@amourflamini79632 жыл бұрын
Sijawahi fika uko zanzibar nasikia kuzuri atarii😄💯👍
@mohamnedsalum21502 жыл бұрын
Wlcm
@murattywamuratty97782 жыл бұрын
Hakuna uzuri wowote sie tunokaa tunapajua barabara ovyoo kabisaa
@shamsahaji62022 жыл бұрын
@@murattywamuratty9778 itakua huna maisha tu ila mtu kidog alichonacho hushukuru ikiwa unakosa kuona neema zilizoko zenji basi pole acha tuenjoy mbona kuziri tu..hebu tembea basi around zenji ..zenji kuzuri banaaa tena sanaaaa
@jumamohamed31682 жыл бұрын
@@shamsahaji6202 Ni kweli Zanzibar sio pazuri kama mnavyosikia kwenye vyombo vya habari ,ukifika na kuona mandhari yake sio pazuri hata mji wake hauna mvuto yaani hakupendezi .
@tamimtours69342 жыл бұрын
""Safi Sanaa"
@hakimalen7122 жыл бұрын
Mola a tujalie lshallaha
@ramadhaniamour48342 жыл бұрын
Yakheee darajani,magomeni,nungwi,bumbwini,kizimkazi,unguja ukuu,fumba,bububu,paje,mahonda Kwa nyanya,michezani,mwanakwerekwe, tujuane kidogo wazaziberi wenzangu😂😂😂😂
Hapa wakenya wanaumia sana yani maana tayari wamenyang'anywa taji 👑 juu ya wapi lipo ghorofa refu kuliko in East Africa.
@khamismaulid68392 жыл бұрын
Aah wapi tunaumia na nini na ni ndugu sie
@kassimomar75892 жыл бұрын
Sasa ni zmu ya Zanzibar
@jumambarouk2 жыл бұрын
Home sweet home 💘
@maryamseif7662 жыл бұрын
Wajengewe wenye nyumba mbovu mji mkongwe
@babamiracle92212 жыл бұрын
Wow good 🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪
@sidrasidra86162 жыл бұрын
🔥🔥🔥👌
@SA-xj8hc2 жыл бұрын
“Build and they will come “
@mosaidi26332 жыл бұрын
Miaka 15 Tanganyika walishindwa towa Kibali hadi Mwamba Husein Mwinyi ndio wameruhusu
@justinecleophas29502 жыл бұрын
Fool peleka ujinga wako mbali
@moussaalast49502 жыл бұрын
kidogo kidogo mpaka watatuwachiya hadi nchi yetu,,maana wale waliokuwa chinja, uwa, hatotowi nchi wanamalizika tena...(wote wapo chini ya ardhi uko)😖😖😖
@zikirination67692 жыл бұрын
Ulivyo kilaza sasa na unasahau kuwa kweny kampeni mlikuwa mnamkataa kuwa ni mtanganyika mzaramo wa mkuranga hah Leo hii mnajisahaulisha ubaguz wenu ndomaan mnastack hah
@welcometoeat1652 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mudybaaroo45402 жыл бұрын
Tupo juuuuu sanaaaaaa🤣🤣🤣🤣
@zenaal-baalawy19532 жыл бұрын
👍
@ramlajuma15982 жыл бұрын
Tozo kama tozo 🙌🙌🙌🙌
@roycerolls96412 жыл бұрын
Zimehusikaje hapo
@salimusalim36102 жыл бұрын
Mchawi wa mchana wenzako wanafanya uchawi usiku
@tamimtours69342 жыл бұрын
Hujambo Wee Ramla?🇩🇪
@safiaabubakar11202 жыл бұрын
Zanzibar ni njema atakae aje mwinyi voice
@kesslytravelzanzibar55672 жыл бұрын
Angalau muungano ufanyanye kazi maana dah atar
@FadhilikadegheFadhili999-og2vz Жыл бұрын
Itakua poa sana
@mussaabobakar75372 жыл бұрын
Nan mwengine hatona linajengwa mpk tutakufa mirad ya zenj tunaijua vzr badar tu kule gulion watu wameishia kuchukua mshaga mpk leo hawajarud
@fettyabiola13892 жыл бұрын
Inawezekana kwa vile serikali lao jicho
@hassanhajj68042 жыл бұрын
Basi haya
@amosmahona4332 жыл бұрын
Jamaa anajua kutangaza Hadi raha
@gangmore90912 жыл бұрын
Wapo wawekezaji wengi walikua wanataka kuwekeza zanzibar but tanganyika kuitawala zanzibar hawajakubali kutia saini kwenye miradi ila kwenye ugumu kuna wepesi one free zanzibar
@justinecleophas29502 жыл бұрын
Foool....who care about what you wana construct....stop your ignorance at once
@gangmore90912 жыл бұрын
@@justinecleophas2950 you know what???
@jamesmwita29952 жыл бұрын
Mwenzangu yamekuwa hayo,, kwanini usisubili lijengwe kwanza likisha kamilika ndo uanze kuraumu hivyo
@gangmore90912 жыл бұрын
@@jamesmwita2995 🤣🤣🤣 walokataa kutia sain yanafaida kuliko hilo tanganyika washazowea lawama kutoka zanzibar
@nevestjunior6192 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 mnatutia nuksi tuuu
@kreamagdfsa16972 жыл бұрын
ZANZIBARINO nyente problema bravo
@unclepwechnov13812 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆 Umepigia ugoko.
@eddechriss26642 жыл бұрын
Britam tower ndio jengo refu zaidi ukanda wa EA na wala sio GTC
@carlosford43842 жыл бұрын
Ndyo.kitu pekee kimebakiwa na viongozi wetu Hawa wasiojijua
@ebrahimosman54772 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@amourflamini79632 жыл бұрын
Hii zanzibar ninchi yautalii muekezaji yeyote hatokataa kukeza pale
@sabrinasab29102 жыл бұрын
Nyumban ni nyumban
@kreamagdfsa16972 жыл бұрын
Japo kichakani
@scenepoint63172 жыл бұрын
Sns kweli kweli
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
@zanzibarspice86862 жыл бұрын
Bora Tumgejengewa viwanda Tupate ajira tuweze kutumia Pesa na Familia zetu tuzalishe Pesa Kwa wingi za kigeni ili Nchi iwe na pesa nyngi.....Amerika Imekuwa nchi ya kwanza kuwa na uchumi mkubwa sbb ya Viwanda.... Tuna mall imetushinda hilo itakuaje
@shamsahaji62022 жыл бұрын
Mall ni yenu wenyewe.. ilo jengo la wawekezaji watu washajipanga so usitegemee kuwashinda .
@sharkbinaally33812 жыл бұрын
Kwahiyo itakuwa hospital dawa zipo zote
@micamathew25952 жыл бұрын
Ni Tanzania.
@salehkhamis86532 жыл бұрын
tunasubir vitendo hatutaki porojo lako maneno mengi kama mpiga debe
@pendomarco89282 жыл бұрын
Pesa za tozo izo ata za kwangu zimechangia
@mussammanga77912 жыл бұрын
Watu hawana shida ya pesa zako. Izo zao mnazichukuwa nyinyi au uwongo? Ingalikuwa sio husda jamaa walikuwa washapiga hatua kubwa wala wasingalifikiwa kwa nchi za hapa Africa Mashariki na Kati.
@jambo37512 жыл бұрын
Kwahiyo huyo billionea muwekezaji wa kifaransa ndio anatumia hizo pesa zenu za tozo? Au ulifikiri jengo la serikali? Kabla hujaandika utumbo wako ujue kwanza kinachoendelea...Au ndio nyinyi msiopenda kusikia chochote kuhusu maendeleo kwa upande wa Zanzibar? Bahati nzuri Zanzibar inajengwa na watu binafsi sio serikali na mfano mzuri ni mji wa FUMBA na yatakuja mambo mengi tu ya kimaendeleo.
@biddii19722 жыл бұрын
😂😂😂😂zamu ya Zanzibar sasa ngoja tuongezewe makato 😂😂😂lazima tuombe poo😂😂😂😂😂
@kacherosimba57622 жыл бұрын
Maneno tu hana lolote🤣🤣
@maisarirajab48462 жыл бұрын
Hamna lolote stori tu ndo zenu mkiahashiba
@khadijambuya7942 жыл бұрын
Wow
@chagogegereka28892 жыл бұрын
Dalili za kiama hizo
@chagogegereka28892 жыл бұрын
@@CapybaraStories-f7w kwenye vitabu imeandikwa utakapo fika wakati nchi zinazo itwa maskini zikaanza kujengewa majengo marefu kabisi basi hizo pia nidalili za kiama
@shamsahaji62022 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@maryamaliy85092 жыл бұрын
ndio na ndo kisiwa kitakacho zama kwa ufisadi
@silakizee27812 жыл бұрын
Nyinyi wapumbavu mkiachiwa kakiswa kenu mtatosha mnavyo zaliana Kama panya kwani mnazani sisi watanganyika mungano tuna utaka kila mtu aludi kwao tuvunje mungano sisi wenyewe atupendiiiiiii mungano hauna faida yoyote kwetu tujimwage
@aproxaprox2 жыл бұрын
Tulieni sindano iingie vzr mukijitingisha sindano itakatika! povu lote hilo la nn? yani mara hii wabongo mumepatikan kwel mnaongozw na mzanzibar halaf Demu sasa😅😅 sasa cjui nani mpumbav apo!!??? 😆😆😀😅
@silakizee27812 жыл бұрын
Mbona nyinyi anawaongoza mdengeleko wa rufiji mnalitambua hiro bumbavu kila kinacho kinahusu uongozi mahamuzi yanatoka dodoma wabala tunatumia akili nyingi kuwatawala kenge nyie
@silakizee27812 жыл бұрын
Ile Kama picha nyuma Kuna watu wanao litawala taifa kubwa Kama Tanganyika najivunia kuwa mtanganyika milere
@fatmasalima38472 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏💯
@andrewmsalali43952 жыл бұрын
MKimaliza hilo ongezeni tena tozo za ada zashule kwenye umeme ili tujenge jengo la pili kwa urefu duniani...Tanzani mpya
@jambo37512 жыл бұрын
Ni private project hiyo hauhisiani kabisa na tozo zenu watanganyika.
@Mastermind254912 жыл бұрын
Billion 1.3 au trillion 1.3!?
@SimuliziNaSauti2 жыл бұрын
$1.3b
@nassoralawi27222 жыл бұрын
nahisi anazan n tsh ni usd
@mudighurayra2 жыл бұрын
@@nassoralawi2722 😀😀😀ndio alivo dhani
@deborahdeogratius44472 жыл бұрын
@@SimuliziNaSauti mm mwenyew nilizani tsh.. Nkasema bei ya rollysroyce ya mondi
@holimpohvd57962 жыл бұрын
uwongo uwongo kkkkkk😀😀😀
@mudighurayra2 жыл бұрын
Muongo ww
@holimpohvd57962 жыл бұрын
@@mudighurayra una sema nini wewe ume ona wap
@sabrinasab29102 жыл бұрын
Ata hujielew wew uongo nn
@holimpohvd57962 жыл бұрын
@@sabrinasab2910 wewe ume ona wapi
@holimpohvd57962 жыл бұрын
@@mudighurayra wewe ume ona wapi
@holimpohvd57962 жыл бұрын
não verdade brada vc ta a mentir son.
@babaluxe86262 жыл бұрын
Xhitombo xa n'gwakwa
@barakabahati66002 жыл бұрын
Mji mkuu wa Zanzibar ni gani?
@moussaalast49502 жыл бұрын
ukiwa popote ndani ya dunia hii.. wewe tumia neno hili(ZANZIBAR) basi utaletwa hata na colombian mpaka hapa🤐🤐🤐🤐🤐🤐
@fahmiwaummy42932 жыл бұрын
Stone town au mji mkongwe
@zikirination67692 жыл бұрын
😄mjin kati darajan
@jumamohamed31682 жыл бұрын
Hakuna mji mkuu Zanzibar wapo wapo tu wao hawana mbele wala nyuma ,hawajui kushoto wala kulia .
@moussaalast49502 жыл бұрын
@@jumamohamed3168 poeple need good life not good town...🤐🤐🤐🤐
@modestwenceslaus92 жыл бұрын
Safi sana, naiona Zanzibar Kama Singapore ya Africa, Ee mwenyezi Mungu wajaalie maono ya mbali kimaendeleo viongozi wote SMZ.
@mzenj722 жыл бұрын
kwanza tungejengewa kituo cha maana cha daladala hapa mjini, sio mbali na darajani, ili kila mtu atambue usafiri wake unapatikana wapi. huo mjengo sijui utamsaidia nini mwananchi wa kawaida. wekeni mbele mambo ya msingi kwanza.
@shamsahaji62022 жыл бұрын
@@mzenj72 huo mjengo hauhusiani na serekali kabisaaa...maana hawa uo ..si ndo unaona usafiri pia tabu??basi huo ujenzi ni just kupendezesha nch tu na kwa atakaekuwa na uwezo.. haujengwi kuwafaidisha wananchi elewa hilo.
@mzenj722 жыл бұрын
@@shamsahaji6202 yeah. Huo ndio ukweli. Wananchi hawatendewi haki na waliowachagua.
@julianaharrison43562 жыл бұрын
Wakimaliza Zanzibar mama Samia tunaomba utujengee na Arusha gorofa refu no 1 Africa mama nakuaminia utajenga
@kreamagdfsa16972 жыл бұрын
Inshaa allah
@aishaaisharagp93812 жыл бұрын
Choyo hicho mlichonacho wenzetu watanganyika dhidi ya wazanzibari nyinyi mmefanyiwa mangapi mmejengewa mpaka barabara zajuu kwajuu mbonacv hatujatia kidomo jamani acheni vijicho
@julianaharrison43562 жыл бұрын
@@aishaaisharagp9381 sijaamanisha hivyo mpenzi barabara za juu zimejengwa kaja na Zanzibar nikasema akimaliza Zanzibar ajenge na Arusha gorofa refu no 1 Africa akimaliza Arusha anarudi na Zanzibar ni kwa zamu tu
@jambo37512 жыл бұрын
Kwani hilo anajenga MAMA SAMIA? Hilo linajengwa na muwekezaji billionea wa kifaransa halijengwi na serikali wala hawatoi hata senti moja yao hapo.
@shamsahaji62022 жыл бұрын
Ni vizuri inshaallah ..lkn hilo jengo haliusiani na serekali yetu hainaga uwezo huo...hayo ni mambo ya uekezaji tu.ila tunapenda tz yetu ipendeze kwa kila unapotembea tuombe kheri tu.
@janetlamb90182 жыл бұрын
Hela zetu zinapelekwa zanzibar 😭😭😭😭 JPM baba tunaibiwa
@kreamagdfsa16972 жыл бұрын
Unaushahidi?
@abdulrahimayub29842 жыл бұрын
Acha ufala ww, una uhakika ww na unachokisema.
@mussamati79942 жыл бұрын
Nyinyi mnapesakama zanzibar au mmezoea kuinyonya zanzibar ili mle
Ndugu yangu mtanganyika acha ujinga au ujui kila sa 12 jioni inakuja ndege kuchukua pesa zanzibar na kuleta tanganyika yan kitu kinatuima sana wazanzibar kama icho yan tanganyika mnajenga kupitia pesa zetu wazanzibar lkn me naomba bola muungano ukavunjila ili tujue katika izi nchi 2 ipi itakua kimaendeleo sisi wazanzibar tumekubali tuvunje muungano tufe na njaa lkn mbn tanganyika amntaki andamaneni muvunje mungano pesa zenu zinakika zanzibar kama kweli mna uchungu na tanganyila yenu apo ndo pakipambana mungano mkauvunja watanganyika amkeni kila sku mnalala ty ebu tuvunjeni muungano basi