No video

NDOA NA MKE WA ZINAA

  Рет қаралды 126,234

Izudin Alwy Ahmed

Izudin Alwy Ahmed

Күн бұрын

Пікірлер: 122
@muniramohamed8887
@muniramohamed8887 5 жыл бұрын
Mashaa-Allah Allah akuzidishiee elimu yenyee manufaa uziidii kutuelimisha amin
@hamismasoud8306
@hamismasoud8306 5 жыл бұрын
Huyu mtu namkubali sana aisee Allah amjalie maisha marefu yenye tija InshaAllah.
@mamawa3mamawa321
@mamawa3mamawa321 3 жыл бұрын
Amiiin Amiin
@chunaamina8719
@chunaamina8719 3 жыл бұрын
Aamn
@abdulmohamed6241
@abdulmohamed6241 Жыл бұрын
Amin
@zakiazakia4552
@zakiazakia4552 5 жыл бұрын
Nafaidika na mafundisho Alhamdullilah ALLAH anijalie moyo wakutenda mema daima
@user-dg8qe9rf9h
@user-dg8qe9rf9h 5 жыл бұрын
Baraka llah wamashaa Allah fiyka Yaa Ukhti lkariim. Allah akutakabalie duayako
@chunaamina8719
@chunaamina8719 3 жыл бұрын
Shekh izzu din mashaallah Allah akupe umri mrefu, wallah mawaidha yako yatuingia akilin, I wish ungekua kwa compen 2022 (Sheikh izzu din for president) kura yangu unayo
@user-sb6oi4ix3m
@user-sb6oi4ix3m 5 жыл бұрын
Mungu ndie hakimu! Kwasababu wengine wanaishi maisha magumu, wazazi hawana uwezo hata chembe, hususan mijikendas nibalaa tupu, unaishi na baba na mama unalala njaa unaamka asubui hakuna kitu , mavazi yenyewe ni shida hata mbele ya wazazi ni aibu ,ila Allah awasamehe wote walozaliwa nnje ya ndoa inshaAllah yaarab ☝
@asyaluay5787
@asyaluay5787 5 жыл бұрын
Walozaliwa nje ya ndoa wana makosa gani?
@fatmasaloum1821
@fatmasaloum1821 5 жыл бұрын
Walozaa nje ya ndoa usiseme walozaliwa, walozaliwa hawana makosa
@OfficialJouma
@OfficialJouma 5 жыл бұрын
asya luay hawana makosa.
@sarahlitho8331
@sarahlitho8331 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂duuh nampenda huyu shekhe jamani Allah akupe maidha marefu
@abdullathabithemed9377
@abdullathabithemed9377 5 жыл бұрын
Mnh
@mwanaishambili241
@mwanaishambili241 5 жыл бұрын
Mashaallah Allah atupe wepec na watto wetu amen
@SeifAlly-g9i
@SeifAlly-g9i Ай бұрын
Huyo anamakosa usiikurubie huyo nimzinifu Sheria inasemaje 😂
@vuaipanduhaji3681
@vuaipanduhaji3681 5 жыл бұрын
Unanichekesha sheikh na wala si mambo ya kucheka 😂😂😂 eti hakuna bahat mbaya.. swadakta sheikh
@fatmaomar2996
@fatmaomar2996 4 жыл бұрын
Hii
@baravaniboyomar4006
@baravaniboyomar4006 5 жыл бұрын
Kweli sheikh hata mate huwezi meza kibahati mbaya hahahaha
@shakilamasoud8979
@shakilamasoud8979 5 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupe kila lakher shekhe...uendelee kututoa gizani
@hafidhaadan9546
@hafidhaadan9546 5 жыл бұрын
Kwa mwenye hayuko kwa ndoa adhabu ni viboko mia moja na mwenye ako kwa ndoa adhabu yake ni kupigwa mawe.
@shammusfredy4158
@shammusfredy4158 5 жыл бұрын
Kwa hapa anakutia gizani
@rojalule9199
@rojalule9199 5 жыл бұрын
Masha Allah Allah barik ya Akhiiy kwa mafundisho mazuri
@rashidmohamed1949
@rashidmohamed1949 5 жыл бұрын
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh Shkh amefafanua vizuur
@hajiharoub8125
@hajiharoub8125 5 жыл бұрын
Hakika huyu sheikh yuko vizur sana
@saidtwahir9616
@saidtwahir9616 5 жыл бұрын
Asalam aleikum jameeil muslimeen wal muslimaat. Kuna swala nyengi twachukulia hukumu kiholela holela pasi na mazingatio. Yoyote atoae fatwa pasi na kutegemeza dalili ya Aya ama Hadithi huyo atoa rai za kichwa chake na Uislamu ni asemayo Allah na Mtume wake...Q- 33:36 Eda ya mja mzito wa mimba ya zinaa malengole ni yapi hana mume wa kurudiwa, wala eda hilo halithibitishi uja uzito wa mumewe hai au alokufa, wala huyo mwana hana urathi au mahusiano na yule mwanamume kwakua ni zinaa kwahio ni mwana wa mama kwa hadithi ya mtume! Eda hikma yake ni maagano baina ya mume na mke kuivunja ndoa kwa amani apendavyo Mola Q 2: 227-232. Aula ni eda la mja mzito Q65:4-7, kama ni eda la mjane Q2:234.
@hassankuemya3613
@hassankuemya3613 4 жыл бұрын
Shukran lkn ww na yy nyote mwaongolea jambo moja. Mungu awazidishieni nyote
@saidtwahir9616
@saidtwahir9616 4 жыл бұрын
@@hassankuemya3613 Asalam aleikum tofauti ya ufahamu ni kuwa shekhe ahalalisha ndoa ya zinaa. Ambapo Allah ameiharamisha Q- 24:3. Na isitoshe Q 24:32 Allah anaposema waozesheni ambao hawajaowa au kuolewa- amri hii yamuelekea nani kama sio mzazi??? Kwahio mpaka ilipofikia mwanao kuzini ina maana ulipuuza jukumu la uzazi kuitekeleza amri ya Allah. Ushahidi zaidi ni wakati sayyidina Omar amtakia binti yake (mjane) mume kwa kuwauliza maswahaba wenziwe wamuowe bintiye... khatimae akaolewa na Mtume S.A.W. Dhidi ya hayo al islamu nadhweef. Ikowapi tendo la ibada katika kuhalalisha zinaa??? Dini kazi yake ni kuitakasa nafsi yetu kutokamana na uchafu. Allah asema Q- 17:32, USIKARIBIE ZINAA KWANI ZINAA NI UCHAFU NA UOVU. Kitu ambacho mashekhe hawazingatii ni kuwa ndoa ni ibada kama kuswali. Msichana amezini akashika mimba imani yake hajaichafua??? Je nafsi husafishwaje kama sio kwa taubah??? Mfano mpesi wa kufahamu hii mada ni kuwa huwezi kumsujudia Mola ikiwa una najisi mwilini. Lazma ujitwaharishe ushike udhu tena ndipo uswali. Kwa kuilinganisha na ndoa ni lazma azaliwe yule mtoto kwanza, alafu aombe taubah kwa kuinajisi nafsi yake ndipo afunge ndoa kwa njia apendavyo Allah.
@zainabuhmbabazi4928
@zainabuhmbabazi4928 5 жыл бұрын
Kekekekeke mimba na nyingine ju kekekekeke 😀 😀
@khairulabdi8231
@khairulabdi8231 5 жыл бұрын
raha, eh?
@mariammdoe8045
@mariammdoe8045 5 жыл бұрын
😁😁kabisa yani azae pacha akome kabisa sheikh sio kwakunivunja mbavu huku khaaaah😁😁
@MsZeyana
@MsZeyana 5 жыл бұрын
Nakubaliana na yote ila kuweka lawama ya zina kwa binti. Wote mume na mume wamezini pamoja utamlaumu vipi msichana pekee.
@msafiriduwiya7765
@msafiriduwiya7765 5 жыл бұрын
Someni dini mbona mwizi katajwa mwanamume kwa Nini, wewe mke ungekataa kuziniwa zinaa ingefanikiwa kufanyika? Unamfanya Mungu hajui
@janetmule5927
@janetmule5927 4 жыл бұрын
Mimi siezi acha kukufuatilia nakusikiliza masomo yako
@ummygongo2003
@ummygongo2003 4 жыл бұрын
Allh akupe umri mrefu kama nambr ya vocha
@sharifgojo878
@sharifgojo878 5 жыл бұрын
fatua mbovu sana hazina mashiko
@mesalimrashid6312
@mesalimrashid6312 5 жыл бұрын
Kuepuka haya wenye kuozesha ndoa vile vile pimeni ukimwi na mimba kabla kuoana kama c mwanamwali.
@gamechanger9646
@gamechanger9646 5 жыл бұрын
Shimo la Papa😂Sheikh nakukubali sana
@jA-ox7vz
@jA-ox7vz 5 жыл бұрын
Au shimo la mamba😆😂😢
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@aliambulo2972
@aliambulo2972 5 жыл бұрын
barakallahu fika ya shekh
@saidtwahir9616
@saidtwahir9616 5 жыл бұрын
Kama ni suala kuhusu ndoa Q 24:3 , Allah asema "mume mzinifu haowi ila mke mzinifu au mshirikina, na mke mzinifu haolewi ila na mume mzinifu au mshirikina. Na kwa walio amini hayo ni haramu." Sasa tuzingatie ikiwa ALLAH asema ni haramu kwa muumini kufunga ndoa na mzinifu au mshirikina vipi twazikiuka dalili zake Mola kwa kuhalalisha aloharamisha??? Pili Q2:221- ni ONYO usiowe au kuolewa na asiye muumini...lazma awe muumini.... sisitizo sio muislamu- sisitizo ni muumini maanake alitendea kazi neno la Mungu (Quran). Kwa alio amini Allah asema Q17:32- MUSIKURUBIE ZINAA. Sisitizo ni kutokaribia sio kutenda. Je alopita kukaribia hadi akatenda zinaa Q24:2- wachapwe mboko mia kwa wasokuwa wanandoa na ikiwa ni wana ndoa Q4:15.-hukmu yao ni kifo kwa hadith ya mtume pamoja na hio aya.
@awesoaminsaid6858
@awesoaminsaid6858 5 жыл бұрын
Toa clip yake tukufahamu vizuri,,kwa maandishi hatuelewi hivo
@awesoaminsaid6858
@awesoaminsaid6858 5 жыл бұрын
By the way,,,wakitubu hao waliokosea mungu husamehe makosa yao na akawapa 2nd chance
@idrisaallysalum9447
@idrisaallysalum9447 4 жыл бұрын
Kumbe wewe "NI MJUZI zaidi" kwanini usitoe nawe ufafanuzi wa video Kama mwenzio?
@saidtwahir9616
@saidtwahir9616 4 жыл бұрын
@@awesoaminsaid6858 kaka ikiwa huna dalili ya Ayah ama hadithi ya mtume... dini haiendi kwa fatwa za kichwa chako ama maoni yako... zingatia unayoyasema kabla kupayukwa. Q 17:36. NA MUSIFWATE YALE MUSOKUWA NA UJUZI NAYO HAKIKA UTAWAJIBIKA KWA UNAYOYASIKIZA NA UYAONAYO NA YALIO MOYONI.
@saidtwahir9616
@saidtwahir9616 4 жыл бұрын
@@idrisaallysalum9447 Twalabul ilmu fareedhwatan alaa kulli muslimeen wal muslimah. Kusoma ni Faradhi kwa kila muislamu mume na mke. Malengo kunukuu ayah ni urudi ukasome uhakikishe ili nawe kesho ukoina yatendeka kimakosa uweze kutoa fatwa ilio na ushahidi wa tamko la Allah. Sio shekhe fulani kasema. Ni jukumu lako kama muislamu kusoma.
@aishaaisha1495
@aishaaisha1495 4 жыл бұрын
Assalam aleikum warrahamatulah wabarakatu jaman tunao comment tuache kutoa matus km hujickii kukoment acha tusiwatus mashekhe km amekosea bora umwambie2 nae ni binadam Ana mapungufu aliekamilika ni Allah wanapendeni wotee kwaajili ya allah
@adilihassan8455
@adilihassan8455 3 жыл бұрын
Sheikh wetu nakupenda kwa ajili ya Allah. Unasema kweli vijana wengi uenda jela na wasichana kuachwa huru,,Sasa io ni haki??
@bablasbulludozer-be3ww
@bablasbulludozer-be3ww 7 ай бұрын
Misikaribie zinaa inakuwaje umpe mimba mmezini mkiowana mnazini / mzinifu wataendelea kuzini au wazinifu fateni hukmu kwanza ipo
@aliabdalla9338
@aliabdalla9338 5 жыл бұрын
Assalaam Aleykum.. Hakuna ndoa baada ya kwisha kuzini nae huyo Binti...
@aminaabbas2840
@aminaabbas2840 4 жыл бұрын
waallahu ya alam
@khanrashidi394
@khanrashidi394 5 жыл бұрын
Sheikh allah ajaalieumli mlefu wenye manufaa
@rehemajumapili5828
@rehemajumapili5828 Жыл бұрын
Jeukiwa hauna mimba namume uliezininae yuataka kukuoa yakubaliwa
@soudalharthy8842
@soudalharthy8842 5 жыл бұрын
Hasbuna llah waniima lwakiil
@jasmininasabi495
@jasmininasabi495 5 жыл бұрын
JazaAllah kheri
@selemanmtipu6644
@selemanmtipu6644 5 жыл бұрын
Shukrani shekh
@nawawiitara7909
@nawawiitara7909 5 жыл бұрын
Sheikh Izzu Ddin Unaeleweka sana Jazaka llahu khayr
@mohamedzubery2619
@mohamedzubery2619 5 жыл бұрын
Maashaallah
@rukiamwinyihija7849
@rukiamwinyihija7849 5 жыл бұрын
Kwenye sheria za kufungisha ndoa mbona suala la kuwa na mimba halijatajwa kama ni masharti ya ndoa kuwa sahihi,? na kama aliyekupa mimba ndio muhusika anayekuoa hapo inakuaje?
@bakarikambi6452
@bakarikambi6452 5 жыл бұрын
Mashallah bi rukaiya habari ya mombasa
@rehemajumanne1411
@rehemajumanne1411 5 жыл бұрын
Rukia Mwinyihija
@abullahkabaka8774
@abullahkabaka8774 3 жыл бұрын
MASHA ALLAH ALEIK
@summerellahkab7070
@summerellahkab7070 5 жыл бұрын
Kama unamuelewa kama Mimi usiache kukoment na kulike ....Instagram @only_summerellah_tz
@fareedsseif4297
@fareedsseif4297 5 жыл бұрын
Sheikh Tatizo hapa kuna zinaa. Ambayo Allah ametuasa ndani ya Quran “Wala musiakaribie Zinaa” na hukumu ya Zinaa inajulikana ni kupigaa mawe
@iddopaka4606
@iddopaka4606 5 жыл бұрын
Mtu ambaye ameoa ama kuolewa ndio anapigwa mawe. Sheik anazungumzia msichana hajaolewa
@omarynachiwa5973
@omarynachiwa5973 4 жыл бұрын
Elewa mada iko wazi
@allymngwaya6219
@allymngwaya6219 5 жыл бұрын
Sheikh vipi kuhusu Qur'an iliyotukataza kuoa wanawake wakiwa na mimba?
@hassankuemya3613
@hassankuemya3613 4 жыл бұрын
Amejibu kwamba mimba iliyokusudiwa ni iliopatikana ndani ya ndoa.
@dirhammatatizo5901
@dirhammatatizo5901 5 жыл бұрын
Kwa iyo mwanammke uliye mtia mamba ni halali kumuowa??
@hawaabubakar2619
@hawaabubakar2619 5 жыл бұрын
Haha sheikh ati mme amuongeze juu mimba nyigine haha jazakAllah Kher kwa mawaidha from saudi Arabia
@maase2023
@maase2023 5 жыл бұрын
shehe huyu mtihani sana hivi hana fatwa zingine ambaxo zinavutia na kuhamasisha?
@khanrashidi394
@khanrashidi394 5 жыл бұрын
Wewe ndio mtihan hamfuatiliit mboni ananyingi tofaut nshizi zandoa
@abullahkabaka8774
@abullahkabaka8774 4 жыл бұрын
Kkkkkkkkk
@kijolysahaly1323
@kijolysahaly1323 4 жыл бұрын
Jamani hiimimba niyako
@husseinparco9640
@husseinparco9640 3 жыл бұрын
Hiiii nikweli wabongo wanabishaaa
@kisharitv1054
@kisharitv1054 10 ай бұрын
Je ikiwa mwanamume umemtia mimba binti kisha ukataka kumuoa akiwa ni mjamzito inaswihi.?
@amabrave_solution
@amabrave_solution 3 жыл бұрын
Amiin
@fatumaramadhanmashaallahal9966
@fatumaramadhanmashaallahal9966 5 жыл бұрын
Shehe wetu unapo sema hivyo unasababisha vijana kuzidisha zinaa tulikua tunaishi kwa nyumba yakupangisha kijana jiran mpangaji mwenzetu akaona nyumba nzima haina watu akamngojea dadangu kaenda kuonga akamvamia nakumbikiri alipinga kelele hakusaidika nakubeba mimba siku hiyo alikua hampendi yule kijana akanyamaza baada mimba ikajulikana kijana akakubali kumuoa hiyo ilisababisha na kijana makosa ni ya nani
@khairulabdi8231
@khairulabdi8231 5 жыл бұрын
Dah! pole iyo ishu ilitokea lini?
@Saidoo254
@Saidoo254 5 жыл бұрын
Sheikh, je waeza kuoa mwanamke ulimsilimisha bila idhini ya wazazi wake?
@iddyhalifa6643
@iddyhalifa6643 4 жыл бұрын
Shee mm nina swali jee kama mwanaume umemtiya mimba mwana mke na mimba ile imeingiya kwanjiya yazinaa je? Yaxwihi kufunga naye ndoa akiwa na mimba na ilemimba itakua ya harali?
@aminaziddin2611
@aminaziddin2611 4 жыл бұрын
Assalam Aleikum warahmatullahi wabaraqatu. Allah akujaalie na umri mrefu na atukutanishe kwenye pepo yako. Swali langu ni; Je inaruhusiwa kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kma vile girlfriend na boyfriend ...je inaruhusiwa?
@halimaabbas5080
@halimaabbas5080 Жыл бұрын
Haifai. Mahusiano ya boyfriend na girlfriend ni haram na mdo ilee ilokatazwa usikaribie zinaa. Kua na boyfriend au girlfriend ni kuikaribia zinaa tayar. Wa Allahu Aalam
@shaniahrachma7767
@shaniahrachma7767 5 жыл бұрын
😁😁😁
@hamisiibrahim2059
@hamisiibrahim2059 5 жыл бұрын
nice
@mussayusuph5991
@mussayusuph5991 4 жыл бұрын
Kwa hiyo huyo mwanamke anaruhusiwa kuzini?na kama akithibitisha ni mimba ya zinaa nini kifuate kati ya huyu mzinifu ni hukmu au kufungishwa ndoa!.Na swali langu LA pili nini hukmu ya mZinifu ambae hajaoa au kuolewa?na mzinifu ambae ameoa au ameolewa?
@user-sb6oi4ix3m
@user-sb6oi4ix3m 5 жыл бұрын
Je! Mtoto alozaliwa inje ya ndowa ana weza kwenda Makkah ku hijji , au Umrra?.
@afdaa946
@afdaa946 5 жыл бұрын
Sasa kwan mtoto anakosa gani cnmtu kama wengine tendo ndo lilikua baya lkn mwana nmwana
@khairulabdi8231
@khairulabdi8231 5 жыл бұрын
kwann asiende sasa?
@abuzubeyribnmuhammad7731
@abuzubeyribnmuhammad7731 5 жыл бұрын
Huyu sheikh Allah amuongoze anatoa fatwa batili
@IzudinAlwyDin
@IzudinAlwyDin 5 жыл бұрын
Ameen mola atakabali dua yako
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 4 жыл бұрын
@@IzudinAlwyDin shekhe Mimi nlimpa mimba bint ktk zinaa na nkamuoa huyo huyo bint mimba ikiwa na miezi 4 hukm ya ndoa ikoje na vip kuhusu mtoto
@danymsinga7048
@danymsinga7048 5 жыл бұрын
Haahaha
@fatmaomar2996
@fatmaomar2996 4 жыл бұрын
Hii
@hassansingano1150
@hassansingano1150 Жыл бұрын
Asalam Shekh naomba ufafanuzi wa hii aya Quran 4 : 24. Ndoa pasi na zinaa
@nurarich4945
@nurarich4945 5 жыл бұрын
Very misogynistic
@asyaluay5787
@asyaluay5787 5 жыл бұрын
Mtihani
@OfficialJouma
@OfficialJouma 5 жыл бұрын
asya luay mtihani mkubwa, Allah atuepushe na haya mambo
@ramadhanimkali6025
@ramadhanimkali6025 5 жыл бұрын
Shekh na kama mwanamke amepata mimba nje ya ndoa na alie muoa ndy yuleyule aliempatia mimba je mtt akizaliwa mtt atakua upande gn wa haramu au halali?
@mamyssmoe6706
@mamyssmoe6706 5 жыл бұрын
Wa haramu bd sheikh kwasabsbu mimba imetunga kabla ya ndowa
@othmanhajj636
@othmanhajj636 5 жыл бұрын
Inaitwa Haramu kwasababu Umetawaza kwanza Halafu ndio ukanya
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
​@@othmanhajj636 😂😂😂😂
@bwegelanyakhaido3088
@bwegelanyakhaido3088 5 жыл бұрын
sheikh apo bhana naona km umebugi kidogo...mimba ya alamu ina mwenyewe na mwenyewe ni mwanamke aliye ibeba...so anapaswa kushusha mzigo wake ndio aolewe
@ibnali5237
@ibnali5237 5 жыл бұрын
Ok, Pia mm nilikua naelwa hivo. Je uko na ushaidi wa usemayo?
@ibnali5237
@ibnali5237 5 жыл бұрын
@likoni tv 🤣🤣🤣🤣
@bilalmohamed5133
@bilalmohamed5133 5 жыл бұрын
Kwani waskiza mawaidha ukipeleka mbele...hujamskia ustadhi akisema mimba ni ya mwanamke
@makamemufadhil627
@makamemufadhil627 5 жыл бұрын
Bwegelanya khaido si amesema
@arababs
@arababs 5 жыл бұрын
Shekhe anazungumza kuhusu hadithi ya mtume inayosema usinosheleze miti ya mwenyewe. Elewa vizuri kaka. Kiswahili cha Amu chakutatiza
TALAKA YA MKE MZINIFU
17:37
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 79 М.
Ndoa ya wazinifu.HAIJUZU
16:59
uongofu
Рет қаралды 17 М.
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 20 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 46 МЛН
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 21 МЛН
MUME KUSEMA HAJAOA NA AMEOA
16:53
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 92 М.
NININI NDOA
48:06
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 44 М.
MKE KUOMBA TALAKA BILA YA SABABU
7:54
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 97 М.
VIPI UTAPATA FURAHA KATIKA NDOA YAKO
13:44
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 125 М.
MKE KAZIZAKE NI MBILI TU //SHEIKH OTHMAN MAALIM
32:34
arkas online tv
Рет қаралды 263 М.
JE YAFAA KUMROGA ANAE KUHARIBIA NYUMBA YAKO
16:34
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 148 М.
NDOA BAADA YA ZINAA
27:55
FAIDIKA NA MAWAIDHA ONLINE TV
Рет қаралды 6 М.
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 20 МЛН