Nimeota Micheya mahindi yamestwi vizuri shambani yamebeba mahindi mazuri sana
@veronica-vx6fb2 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana daddy 🙏
@priscillahsirya65442 ай бұрын
Aminaa
@Frenk-f9l2 ай бұрын
Mtumishi uko sawa kabisa
@JaneChuwa-bw4ml2 ай бұрын
Shalooom baba
@NyagiciroNyagiciro2 ай бұрын
🙏
@AshuraSalumu-k7h2 ай бұрын
Mi nimeota namkimbia mtuu nipo na mume wangu mara tukatokea shamban Kisha nikaona mungu wa ndizi umeiva vizuriii njano ya kughaaa, Kisha nikaona mmewangu anamikate miwili akafungua moja na kunipa vipande Nile nikakataa Kila Kisha tukaondoka kwenda kwa gari tukapanda na kuondoka Kisha gari ikawa inapita juu ya mawe bila kuyumba inateremka km mmteremko
@AshuraSalumu-k7h2 ай бұрын
Nimeota nipo nauza mzigo wangu wa dagaa na uwa naota mara kwa mara
@linkafedha25732 ай бұрын
Jamboo Pastor asubuhi ya nimeota nilikuwa na kijana na sikuwa na mfahamu bt nimeonyeswa wanatapika sana mpaka wanatapicha mzigo mkubwa wa chakula na hapo niliona jiwa linakaa kama makaa.
@irenemwanri30232 ай бұрын
Mpendwa subscribe kwa channel hii ili Rev akiwa live unajibiwq live.You tube watakuletea notification. Mpendwa kwa hii channel tumejifunza mengi na maisha yetu yamebadilika.ninkuhani wa Mungu wa kweli na ana hofu ya Mungu. Ubarikiwe
@AshuraSalumu-k7h2 ай бұрын
Nimeota nanunua mzigo wa dagaaa nipo kisiwan
@Frenk-f9l2 ай бұрын
Nilikuwa nimeishaituma ndoto iyo na nyingi aujaniffanulia maana yk
@irenemwanri30232 ай бұрын
Please please hapa Rev hasomi ndoto qu kujibu.utkitakq majibu yako wewe subscribe akiwa live utapata notification na atajibu ndoto yako live.amewqsqidia wengi kwa kutafsiri ndoto zao na wanashuhudia maisha yao kubadilika.mimi ninayekujibu ni mmojawapo wa wanaoshuhudia ukuu wa Mungu kupitia mtumishi huyu, kuzingatiq ndoto zangu na hata mafundisho yake.