Bonyeza link hii kujiunga kwenye channel ya Telegram ya SnS - t.me/+uYTdRVvi...
Пікірлер: 197
@RaibebeBebe4 сағат бұрын
Kumbe analazimisha watu wamsapoti ujinga
@vincentcharles43853 сағат бұрын
Message sent and well received.
@Sarah-e1o9k4 сағат бұрын
BENJAMIN MILELKOWSKY FROM POLAND anawaka ni nini wakati bila weast huwezi kitu
@anny199882 сағат бұрын
Kiboko ya Macron ni Ibrahim Traore wa Burkina Faso 😂😂😂😂. Ukitaka Macron achanganyikiwe taja hilo jina😂😂😂
@hatibumohamedi34714 сағат бұрын
Free palestine
@choggysly35413 сағат бұрын
Aibu kwako netanyahu
@jumamussantuiche4 сағат бұрын
Netanyau chizi.walipa kodi wa ufrasa wamegoma wanashinda njaa kwajili ya msaada.usilazimishe kusaidiwa. Hii tarifa tumeipata kiusahihi kwenye vyanzo vya habali vingine.
@Brunotarimo103 сағат бұрын
Netanyahu analasimisha urafiki
@Williamstozzo2 сағат бұрын
Hizo siraha hawapewi Bure 😂😂😂😂 wananunua kijana
@paulvimbamvula95082 сағат бұрын
So chizi na hujuwi historia ya Israel...nilikuwa Israel juzi hapa wa Israel wanakabiliana na undamaged kutoka kwa wa Arab wachi ugaidi kwakoongoza na Iran...maandaki mpakani mengi
@martinisadru98992 сағат бұрын
@@paulvimbamvula9508Uliku Israel jimbo gani?
@godcompeter9844Сағат бұрын
Kitu Hujui ni kwamba Macron Amejichimbia Shimolake mwenyewe
@maniamba.tz_4 сағат бұрын
😂😂😂 Kimeumana
@HakizimanaJeandieu-dy7cx3 сағат бұрын
Mungu anawaliti na bado
@yassinmohamed82413 сағат бұрын
Kimeanza kunuka Inshallah Mtaangamia wote wauwaji
@yussufhaji33353 сағат бұрын
Amiiin
@salimfaraj55093 сағат бұрын
Allahuma Amin
@SarhaSaidСағат бұрын
Biidhinllah inshaallah
@salumabdallah29904 сағат бұрын
Mbona huwa kila siku anaomba msaaada kwa marekani tupeni silaha tumalize kazi huwa anamaaanisha nini?
@salimfaraj55093 сағат бұрын
Na silaha anapewa lkn kazi hamalizi😅😅😅
@emanueltobias34204 сағат бұрын
Haya yana visho tu ipo siku
@RICHARDWAUSA-ep4xeСағат бұрын
Stop war , seeking a peace ✌️
@ramadhanmkandas57332 сағат бұрын
Mungu akutosheleza na Shari zako
@aftapat53654 сағат бұрын
huu kujisemesha tuu
@l.marley_25424 сағат бұрын
😂😂😂😂😂 pambana na hali yako sasa 😂😂 mwanakuyakanyaga mwanakuligeti😂😂😂😂😂
@HassanRamadhanPashua4 сағат бұрын
Wote wanafiki
@amanmalima94024 минут бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@salehkhalfan73454 сағат бұрын
Macron anakua anaongea hovyo km Kocha wa Club ya ....
@hamoudcreator63434 сағат бұрын
Washenzi wote Hawa, hamna lolote.. Huyu Jamaa akiongea naona kama Pumbu linaongea...😮
@abduljuma78073 сағат бұрын
Iran usirudi nyumba washa choka wauwaji wamaskini wagaza na nchi nyingine duniani msiwapumzishe wamesha zoea kuuwa ndio wale wakijiita Taifa teule
@SalumMohamed-ph4yn4 сағат бұрын
Kumbe wanasafirishiwa silaha?
@KhamisShekifu3 сағат бұрын
Inamana nyinyi mlikuwa hajui? Hujawahi kuskia akiitaka Marekani wamuongezee silaha? Sio mara moja wala mara mbili sasa jiulize ikiwa Israel ninchi yennye nguvu na ndio nchi yenye technology kubwa Diniani mbona wanaomba msaada kutoka Marekanu Ufaransa Uingereza nanchi nyingi tu zaulaya?.
@MuniraShughuli-kc7vj3 сағат бұрын
Huyo yatayauuu paka😂😂
@vincentcharles43852 сағат бұрын
Unamchukia hata jina lake hulijui😂😂
@shuzashadyproduction8438Сағат бұрын
😀😀😁
@Aziz-p6s3 сағат бұрын
Ile iziraili tuliokua tunaambiwaga zamani ndo hii au ni ingine Kumbe wanapewaga silaha za msaada😂
@SarhaSaidСағат бұрын
😂😂😂
@yusafbayu70163 сағат бұрын
Bibi sio mzima ana taka dunia nzima impe silaha SI tumesema Israel haina nguvu Ina tumiwa kama Ukraine kuomba omba
@hopemwalemwale21004 сағат бұрын
much love BIBI ❤
@AFRICA_D669Сағат бұрын
Leo nimechelewa kwa habar nzuri, Sky mnachelewesha habar bhn
@mancholotrasco83502 сағат бұрын
Huyu paka auwawe tu Bora afe ili dunia ikae na usawa
@juliusmagunila63083 сағат бұрын
Ujue hawa wahuni wasipoungwa mkono wiki tu wanapotea katika uso wa dunia sema kunamaslahi ya watu hapo
@MikelSitoe3 сағат бұрын
Huyu nzee Ana onekana kama Hana shukran, 😂😂😂😂😂
@hanspop6961Сағат бұрын
Kibaraka yeyeote ni Kama Nyumba ndogo hairidhiki
@yarmfayce1672 сағат бұрын
Hongera sana #FREDRICK_BUNDALA/SKY Kwa utangazaji wako na mpangilio wako wa habari zako uko vizuri sana. Ni kwa Jinsi unavyotafsiri neno kwa neno kutoka lugha moja kuja lugha nyingine, Jinsi unavyopangilia taarifa zako na uwasilishaji wako, Na kwa Jinsi unavyopatia utamkwaji wa majina ya Watu au ya Sehemu, na ule Ufasaha wako wa Maneno/Lafudhi/Kimatamshi ya Kiingereza na hata ya Kiswahili. Kiukweli unatufurahisha na inatupendeza sana sisi wafuatiliaji wako wa #SNS. HONGERA TENA, HONGERA SANA #SKY. #SNS Mko Vizuri Sana.
@SimuliziNaSauti2 сағат бұрын
Tunashukuru sana kusikia hivyo
@Saletz-j8qСағат бұрын
Bundala nimeweka bando kwaajili ya GPS naona kimyaa kulikoni
@Saletz-j8qСағат бұрын
@@SimuliziNaSauti bandala GPS leo vipo
@Njiwamichael-km1dm8et9x4 сағат бұрын
Lebanoni nj koloni la ufaransa
@AbuuRamadhani-o7k3 сағат бұрын
Nyetanyahu kawa kama zelensk na mzaramo wakutoa michambo
@JacobMakwilo-u6e4 сағат бұрын
Itashinda kwa..au bila msaada wa...alikuwa anamaana kubwa sana netanyahu maana yake ni kwamba MUNGU atawashindia bila wao
@MohamedAhmada-ie7ke2 сағат бұрын
Labda Mungu marekani 😂😂😂
@martinisadru9899Сағат бұрын
@@MohamedAhmada-ie7kemwisho utafika! Tutajua MUNGU wa Israel! Au Allah wa Iran.
@NelsonJackson-z7rСағат бұрын
Mungu yupo pembeni netanyahu bali yeye yupo na shetani .
@noelswai2660Сағат бұрын
Watu hawajui kuwa dunia nzima itaiacha Israel pekee yake na itashinda 🥲😅 🇮🇱✅
@HusseinSaguti-sj9nhСағат бұрын
Mungu wenu anakula na kunya Ndio maana maadhimisho ya ushoga kila mwaka kidunia yanafanyka israel Naww uende
@GhalibAlsulaimani3 сағат бұрын
Huyu kichaa tayari kimemjaa akili yake ipo miguuni
@saleemsuleiman22202 сағат бұрын
TUKISEMA ISRAEL SI LOLOTE BILA MISAADA KUTOKA KWA MASHOGA MNAKATAA ONA SASA😂😂😂😂
@Muzammil99p4 сағат бұрын
😂😂😂😂 ana force support what a shame Wapi wale wanaoshabikia holly land 😂😂😂😂😂 Jama hana nguvu kama si USA
@BarakaKusalula2 сағат бұрын
Hata Hamas, Hezbollah na wengine wanasaidiwa na Iran siyo kwa nguvu zao
@asslammachano14832 сағат бұрын
Basi kumbe Iran yyni kidume anasaport wat wengn, ni saw tu kumuit Israel mlala hoi hafany kit pasipo kusapotiwa
@Majambo_Duniani_Tv2 сағат бұрын
Kama urusi yenyewe inasaidiwa na china na korea unashangaa nini kwa taifa dogo kama israel kuomba msaada wakati ikipigana na mataifa ma4 kwa wakat mmoja...
@asslammachano14832 сағат бұрын
@@Majambo_Duniani_Tv Israel mpak sas haijapigan na taif hata moja, inapigan na vikund tu vya wanamgambo, na hivyo vikund ndio vinaungwa mkono na Iran km vile marekn anavyoiung mkono Israel. Ukij ktk kes y Russia, Puttin hawezeshw na hayo mataif kupigan vita, anajiamulia yy km yy kupign vita pasipo kuwezeshw na taif lolt tfaut na israel mnaosem taif la mung ambao hwafany jamb pasipo na kupangiwa na kupew vitu na huyo mung wao Marekn. Sjui umeelewa kiongz
@issacklyandala7023Сағат бұрын
Nimefurahi kusikia India itamuunga mkono Israel kwenye vita hii
@MussaKulanga4 сағат бұрын
Huyu jamaa bila kupewa silaha mwezi mmoja tu hawezi kusurvive kabisa nchi yke ni ndogo sana haiwezi kabisa anachangiwa kila kitu
@salimfaraj55093 сағат бұрын
Mwezi mbali sana wiki tu hatoboi
@MylaJoel-h2p3 сағат бұрын
Ndio unajidanganya ivyooo jiulize kwanini marekani na washirika wake hawana nguvu kubwa ya kumzuia akili kukichwa mtu wangu 😂😂😂😂😂😂
@vincentcharles43852 сағат бұрын
Kumbe shule ni muhimu.
@issacklyandala7023Сағат бұрын
Israel ni habari nyingine,watoto wamungu Hawa, acha waarabu wajichanganye wataanza kutia huruma acha tuone
@martinemifuko71Сағат бұрын
Ukubwa wa pua haimanishi kutoa makamazi mengi
@razakiissa91273 сағат бұрын
huyu jamaa wamemchekea mpaka sas hvi anawapanda kichwani hawajui kam Netanyau chizi😂😂😂
@ImanSaid-q4i4 сағат бұрын
Taifa la mungu linalazimisha msaada kwa watu ههههههههه😂
@abuuaisha61103 сағат бұрын
Mungu amewakataa😂😂😂😂😂
@mohdhilaly79002 сағат бұрын
Mungu angetumia hata kimbunga kulinda Israel kama kweli taifa la mungu
@YamunguMatamya2 сағат бұрын
Acheni uchokozi
@juma-z2n2 сағат бұрын
Taarifa mzr lkn mnachelewa kuzitoa
@abuukamanda.s.mkenga66873 сағат бұрын
Nch za kistaarab au nch za upinde mashoga
@swahilibrotherhood3 сағат бұрын
😂 sema huyu mwamba sio binadamu wa kawaida
@MaulidAbdullah-nw9wu4 сағат бұрын
Hainashida endeleeni kuwapa silaha wanaume wa gaza wameshawatoajasho mpaka mnaanza kujichomoa mmoja baada ya mwingine mpaka mtafilisika nabado
@humphreymwihambi43304 сағат бұрын
Wanaume wamepigwa mpaka eneo lote limebaki vifusi tu
@kassimrajabu78053 сағат бұрын
@@humphreymwihambi4330vita ni mikakati,Israel ishashindwa vita hiyo,time will tel
@lakasid38603 сағат бұрын
@@kassimrajabu7805 imeshindwa kivipi mwarabu wa Buza?
@kassimrajabu78053 сағат бұрын
@@lakasid3860 imeweza je?? Muisrael wakwa Mparange,hujaona mvua ya Makombora juzi...mashoga wenzio wanahaha uko...nenda kawasaidie...wanaficha ukweli kuwa wemetandikwa kisawasawa😂😂😂😂
@MikelSitoe3 сағат бұрын
@@humphreymwihambi4330wee una akili kweli israel kashinda wapi? kubomowa majumba ya Raia huwo ni Ushindi? 😂😂😂😂😂😂😂
@jumakhamis2263 сағат бұрын
Huyo jamaa ni shoga mkubwa hafu nishetani. Bila msaada angenyolewa mavuzii yotee
@issazalala49073 сағат бұрын
Yani uyu nyau na washilika wake wote dole lakati kila siku mnaua watu kwa faida gani mnayo ipata pumbavu zenu
@uwezawamungumkuu.amaniafrika4 сағат бұрын
Hao waliyo anzisha vita wanapewa silaha na wanasaidiwa lakini Israel mbawazia. Mungu mkuu yupo atawapigania Taifa hilo na ardhi takatifu. Amen.
@kassimrajabu78054 сағат бұрын
Ukapimwe mkojo chizi ww
@Xuxu-f7j3 сағат бұрын
We huna akili wala marinda kama wale waliolaaniwa kina farao wenzako mashoga wenzako israel
@Aziz-p6s3 сағат бұрын
Hauko sawa kiakili
@MokiwaKaskaz2 сағат бұрын
Hawa si mayahudi tunao wajua, hawa ni mazayuni kutoka ulaya na American. Ndio maana hawana hofu ya Mungu hata chembe, wanavamia miji ya watu na kufanya uharibifu mkubwa. Wanateketeza kila kiumbe kilicho hai, kiongozi wao mkubwa sio Yesu ni shetani.
@SarhaSaidСағат бұрын
😂😂@@kassimrajabu7805
@emmanuelShayo-dk6vf2 сағат бұрын
Na leo wamechezea Mzigo wameuliwa Magaidi 440 kwenye kambi yao Beirut..
@kassimrajabu78054 сағат бұрын
NetaPaka anahaha
@salimfaraj55092 сағат бұрын
Hao wote sio wa kuwaamini hata siku moja. Hata akikwambia habari ya mchana usimuamini toka nje utazame jua limetoka
@mohdhilaly79002 сағат бұрын
Nyatanyau Wanajeshi wake ndio watammaliza maana solution ipo yeye analeta kiburi ajue kama wanajeshi wake pia wanakufa na jamaa zao inawauma
@yarmfayce1672 сағат бұрын
KiUwazi kabisa, Maoni yangu kwa taarifa hii! Kikundi au Vikundi vyovyote vile vyenye itikadi kali iwe ni za kidini/kikabila au zile za kibaguzi wa rangi, ubaguzi wa kikanda au ule wa kivyama katika siasa na misimamo mikali. Vyote hivyo havitakiwi kupewa nafasi duniani, wala taifa lolote linalowasapoti pia halitakiwi kupewa nafasi. Hivyo nasapoti vikundi hivyo kuvunjwa vunjwa visiwepo au hata kudhoofishwa visiwe na nguvu kubwa ikiwa vitakuwepo.
@hasanimkamba83773 сағат бұрын
pale taifa la mungu linapo tia huruma lipewe silaha liuwe watoto wasio nahatia
@SarhaSaidСағат бұрын
Yanii
@hidayahidaya-vd3ze40 минут бұрын
Miye huyu kila siku Naomba duwa lowe angalau tupate Amani ya duniya shenzii paka
Kumbe shule ni muhimu,sijui kwanini niliishia darasa la 5.😊
@musaabbinumeir77183 сағат бұрын
mchongoo uwooo wameupangaa tuh😂
@salimfaraj55093 сағат бұрын
Shetani mkubwa we netapaka masikio kama popo. Usijidanganye marekani na nchi za magharib wakikuacha siku moja tu umekwisha pumbav zako
@KhamisChaz-td4nz38 минут бұрын
Kama una nguvu na unajiamini unaomba msaada wa nini sasa lzrael wanajua huu ndo mwanzo wa mwisho wao wanatumia nguvu kupinga maandiko kwenye kuruan ALLAH Anasema hazidishi chochote yaani madhwalimu(wauwaji) hawatapata faida ila hasara na maangamizi Israel+marekani+UK +ujerumani+ufaransa watapata hasara KWA dhulma wanazofanya ni suala la muda tu ALLAH hana haraka na alivoviumba
@MichaelKavavila2 сағат бұрын
Ufarasa kasahau.....hiyo nchi ingekua ya kiislamu lkn Kuna mwamba mmoja Toka uturuki mwenye asili ya kiyahudi ndo aliipambania ikafika HAPO na kuwa ya kikristo.
@othmandigaga1191Сағат бұрын
Dhulma haijawahi kuwa na mwisho mzuri, kama hata Godfathers wameanza kumtupa, ni dalili njema za kuanguka kwa utawala wa kizayuni
@AnnaroseSway34 минут бұрын
Mungu hutangaza mwisho tangu mwanzo, Israel ameshashinda
@Hemedabdallah-kb4xdСағат бұрын
Damu za watu zimeanza kumlilia ameanza kutapatap
@mohdhilaly79002 сағат бұрын
Mtu ukitaka kuangamia hata uambiwe nn humsikilizi mtu namuona nyatanyau akielekea kuangamia maana mpaka kaka zake American na ufarasa wanamuonya bali hawasikii
@johnsebastian-bx6qn2 сағат бұрын
Israel itashinda zaidi ya kushinda Mungu ibariki 🇮🇱
@thelaoban62362 сағат бұрын
Huyu Mbwa atakufa kifo kibaya sana kelb waheed
@Saletz-j8qСағат бұрын
Oy ww bundala kwani GPS akuna juma pili ya leo nauuliza
@SabihaibrahimRajabuСағат бұрын
Silaha zimewaishia na mateka hawanao
@AliMuraya4 сағат бұрын
kumbe ni myonge .anategemea inchi za magharibi wamsapoti
@omondiowino78752 сағат бұрын
Hivi unaelewa maana ya embargo...?
@saleemsuleiman22202 сағат бұрын
@@omondiowino7875 wewe kichwa maji tukikwambiaga Israel anategemea misaada kutoka Marekani unakataa naona leo umepata ukweli na kichwa yako ngumu kuelewa 😂😂😂😂😂😂
@omondiowino78752 сағат бұрын
@@saleemsuleiman2220 hivi unajua maana ya embargo..?macron anataka Israel isiruhusiwe kununua silaha Kwa mataifa ambayo ni Alies wake...sasa hivi unaelewa hiyo inamaana gani..? vita Israel anapigana mwenyewe ila vifaa vya kutengeneza silaha ananunua...na ndomaana Netanyahu amemuambia kuwa Israel haimuitaji MTU yeyote kumuambia chakufanya na amemuambia hata kama akiwekewa vikwazo za kununua silaha na vifaa vya kutengeneza silaha kutoka kwao bado atashinda Tu...kama Israel ingekuwa inawategemea au kama Israel ingekuwa inasaidiwa Kwa vita basi Netanyahu angenyenyekea
@MichaelKavavila2 сағат бұрын
Kwa Sasa hatuwezi muelewa netenyahu....ila kiukweli Iran ikipata nguvu na uungwaji mono ...itaanzisha vikundi vingi vyenye msimamo mkali.maana dini inatumika Sasa kisiasa kutaka kuwa na Dola ya kiislamu yenye nguvu duniani.wenye macho wanaona mbali.
@hilarymtepa98113 сағат бұрын
Mtoto umleavyo.
@MohammedBwanga2 сағат бұрын
Ata bado hao ndio israeli km hawajui hawafadhikiki babu zao walimjibu mungu yakuwa walichoka kushushiwa chakula itakuwa hao mavi ya paka?
@WadySaidi4 сағат бұрын
Uyo awezi kuishinda iyo vitaa hata afanye vyovyote kama ana nguvu ajitegemee mwenyew mpumbavu metanyau
@lusajomwaipopo504218 минут бұрын
Hakuna taifa lisilo na washirika ktk vita
@WadySaidi10 минут бұрын
Sio taifa teule ajitegeme sasa
@caashamacalini38872 сағат бұрын
Mshenzi Tu huyu anataka asaidiwe kuuwa watu alafu anajitapa huku watu hela tax inapelekwa huko anawazimu na itafika mwisho aachiwe mwenyewe amelikoliga sasa alinywe wamfanye Ka Ukraine labda marekani vichwa vya wandazimu ndio wamsaidie maana viongozi wa marejan wabashida na utundio wa akili
@thelonewolf44293 сағат бұрын
Shetwani netanyahu atakufa kibaya naua watu ovyo ambao hawana hatia hata Mungu apendi.
@benardmakori40123 сағат бұрын
Wewe ndio utakufa Kwanza,Alaa!wewe siyo mungu😂
@thelonewolf44293 сағат бұрын
@@benardmakori4012 ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga . Stop being bias dude , you’ve been brainwashed and you don’t want to know the real truth. It’s so sad surely
@omarcarlos45952 сағат бұрын
Kibri chako ndio anguko lako soon
@SabihaibrahimRajabuСағат бұрын
Umekwisha weee babu wa motoni mdogo wa farao
@Bahati4748 минут бұрын
Kuna minitu inawaita Hawa mbwa eti ni simba 😂😂 Simba gani wanategemea msaada?
@florencemeza6540Сағат бұрын
Rais anatapatapa kiboko yake Rais wa burkindafaso
@H2025-y8g2 сағат бұрын
Sasa km anauwezoe kwann anaomba msaada😂 Muoga huyuuu😅
@lusajomwaipopo504219 минут бұрын
Hakuna taifa linalosumama peke yake ktk vita hilo halipo
@omanmct135Сағат бұрын
Aduwi mkubwa sana uyu
@Atmospherec32 сағат бұрын
Kuna msaada unatakiwa ukreine wa nguvu, ulaya inaona vita vipya mashariki yakati utazorotesha msaada kwa ukraine ambapo utaipa ushindi Urusi kirahisi, wakisema mzozo uishe kwa majadiliano wakubaliane kwa vita vyote. Hivi vita vya mashariki yakati vinafaida kubwa sana ya ushindi kwa Urusi, na Urusi ataendelea kuwasapoti Iran mshirika wake ili kama magharibi wanavyo sappot ukraine, Iran aliisaidia Urusi kwa kamikaze na silaha nyingine ni ngumu sana kumuona Iran akipambana pasipo na wao kutoa msaada wa silaha, WW3 is near. Waafrika tusioweza kutengeneza hata chupi zetu tuu tukaepembeni
@hamzafishten9560Сағат бұрын
Free Palestine
@Njiwamichael-km1dm8et9x4 сағат бұрын
Ufaransa ndo inawazamini ezbolla mda sana watu tukisema mnabisha sasa mmeanza kujua
@MohamedAhmada-ie7ke2 сағат бұрын
😂😂😂😂kwani kusaidiwa lazima si apambane na hali yake
@hajjiomary23832 сағат бұрын
Netanyau jambazi km majambazi wengine wangefanya akamatwe ndo apate akili na record ipo akumbuke bossinia jamaa alikamatwa akiwa kikongwe we muache abwate tu
@sameerbaksh98Сағат бұрын
Tatizo Netanyahu huwez vita unaua raia kama unaweza ingie ground upigane ufate sheria za kivita kama unaweza fanya operation kama unaweza kupigana sasa unaua watoto na wanawake
@florencemeza6540Сағат бұрын
Makamanda walouawa mpaka Rais hujawaona?
@zebedayokatamaduni967659 минут бұрын
Hajui chochote 😂 Kamanda wa Hezbollah Hamas 😅 hajui kama wamesha uawawa
@Patrick-w1j3 сағат бұрын
Israel itashinda bila msaada wa huyo chizi Macron
@mohdhilaly79002 сағат бұрын
Sasa kitu gani kinamfanya nyatanyau apandishe mori wa kimasai
@omanmct135Сағат бұрын
🐷🐷🐷🤮🤮🤮🤮🤮😡😡😡
@omondiowino78752 сағат бұрын
Macron Yeye angojee dozi yake kutoka Kwa Putin.. huwezi laani Israel na ufaulu...kitakachoikuta Ufaransa kutoka Kwa Putin haijawai tokea...nway Israel itashinda vita wakubali wakatae
@asslammachano14832 сағат бұрын
Ukishamalz kujifariji katafte soda ushushie 😁😁 ukiona haitosh nend Israel kamhubirie yesu wako 🤣🤣 uwaone ndug zako waseng watakavyokufanyia ya mtoto kautaka 🤣🤣🤣
@omondiowino78752 сағат бұрын
@@asslammachano1483 wakati nchi za kiislamu zinachapwa na wayahudi mnakuja Kwa Wakristo kutafuta huruma yetu Kwa kutuambia jinsi wayahudi wanavyotuchukia wakati nyinyi waislamu huwa mnatuona kama maadui zenu ... Wakristo tutabaki na wayahudi na hatuitaji upendo wao kwetu ...sababu twazijua wenyewe...wewe endelea kutukana maana hiyo ndo njia yenu waislamu yakuingia nayo huko peponi jinsi mlivyofunzwa na yule jamaa lenu Muhammed...
@JonathanNelson-l8h4 сағат бұрын
Huyo mpuuzi tu mbona hasitishi siraha huko Ukraine 😢
@salumabdallah29904 сағат бұрын
Kwenye mshono mumepigwa taifa la kishetani linaenda kupotea mungu huwa hapenzi uzalim anapenda haki shetan anapenda uzalim
@salimfaraj55092 сағат бұрын
Hao wote sio wa kuwaamini hata siku moja. Hata akikwambia habari ya mchana usimuamini toka nje utazame jua limetoka
@MohamedAhmada-ie7ke2 сағат бұрын
Si mnasema taifa la Mungu lina nguvu wana silaza za kutosha tena ya nini walazimishe msaada
@JonathanNelson-l8h2 сағат бұрын
@@salumabdallah2990 kuwapoteza hao watu ni kazi sana😢
@christinewomanoffaith54792 сағат бұрын
Mcron huna lolote,Bukinafaso huko rais Ibrahim traole anakutoa jasho baada ya kukata mirija ya upigaji na kuwafukuza nchini kwao! Anakunyoosja kila jaribuo la kutaka kumuua limeshindikana ndo utaiweza Israel wewe! Yaani bila uwepo wako Mungu atawasaidia
@sylvestermhojaaron96594 сағат бұрын
MUNGU IBARIKI ISRAEL MILELE DAIMA
@cdeegwau5513 сағат бұрын
Dua za mashogaaa
@abuuaisha61103 сағат бұрын
Hiyo dua mungu hataikubali, wewe unaona mungu anapenda dhuluma?
@MohamedAhmada-ie7ke2 сағат бұрын
Kama Mungu marekani kweli ata ipambania ila Mungu alie umba hii dunia hawez kuwapa ushindi madhalimu anatuonesha tu ukatiwi wao tuwajue ila kwenye ushindi hapana
@jumakhamis2263 сағат бұрын
Huyo jamaa ni shoga mkubwa hafu nishetani. Bila msaada angenyolewa mavuzii yotee