NGOMA NZITO BUNGENI: MPINA ABISHANA VIKALI NA SPIKA DKT. TULIA "WALIKULA NJAMA,"

  Рет қаралды 8,739

Uhondo TV

Uhondo TV

Күн бұрын

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 23
@ElibarikiEliud
@ElibarikiEliud 4 ай бұрын
Wana ccm mbona hamko makini kulinda rasilimali za Tanganyika yetu. Hasa wewe mheshimiwa spika tunakutegemea. lakini unaonekana kuibeba mno serikali. Kuna hoja za msingi za akina Mpina. Bulaya. Salome makamba na mdee huzipi nafsi. Simamia vizuri taifa mama tegemeo na jicho letu watanganyika limebakia kwako.
@LeahKazeni
@LeahKazeni 3 ай бұрын
Mmhhhh haya tutaona mengi mwaka huu duuu hawawezi kuunga mkono wako mbali kabisaa mwanangu acha tu
@AllyNditi
@AllyNditi 3 ай бұрын
Mzee mpina acha tu, CCM washapiga hela hao achana nao spika kapiga hela kibao.
@PauloMiage-m1x
@PauloMiage-m1x 4 ай бұрын
Hapa kuna ukweli mbona kauliza kitu cha maana hapa kuna ukweli unaofichwa
@deoluma1706
@deoluma1706 4 ай бұрын
Kwani mbugan akiwepo tembo mkubwa kuliko wote hawez kufahamika? Mbona swali la spika linatia mashaka? Kwamba mwindaji hakujua kuwa kuna mamba mkubwa. Inasikitisha sna kuona viongozi wenye dhaman wakipindisha ukweli. Daah hii inch bhana!!!!
@OmarMohamed-bs2hf
@OmarMohamed-bs2hf 3 ай бұрын
Hili ni kosa tena kubwa lazima tulinde malizetu sasa kama yule ndio mamba mrefu duniani si ndokivutio kwanini muruhusu kuuwawa
@muhammednassor690
@muhammednassor690 2 ай бұрын
Oya hakuna ufala Tanzania kama kufuatilia siasa, utajiumiza bure, mtu bora ufanye yako tu.
@Nedjadist
@Nedjadist 4 ай бұрын
Ujinga, uvivu, na kutothamini vyako, Tanzania
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 4 ай бұрын
It's very sad. How can we justify this??
@Worldunite
@Worldunite 4 ай бұрын
Viongozi wetu mtetee na kuthamini vya kwetu, penye makosa turekebishe na sio kupingana
@George-jz3jg
@George-jz3jg 4 ай бұрын
Kama kawaida Tanzania ni shamba la bibi
@QasammaMachibya
@QasammaMachibya 4 ай бұрын
haaaahaaaaa, mpina uko visor,naspika changamoto kweri ipo yakutokuwa na aramaza mazao yetu
@athumanimohamedi9921
@athumanimohamedi9921 4 ай бұрын
😂😂 mwanangu uyo mpina
@jameshagwe3063
@jameshagwe3063 4 ай бұрын
Hakuna spika hapo a.k.a spika mbovu
@ErastoMaridadi
@ErastoMaridadi 4 ай бұрын
Huko wanakushangaa ufisadi na rushwa ndio mashujaa na huko toka haraka mpina
@MwanaIddy-oi7lb
@MwanaIddy-oi7lb 4 ай бұрын
Mwindaji jooshioiiiii😂😂
@christianlutego1288
@christianlutego1288 4 ай бұрын
Wabunge wetu hawa , hayaa
@peterilimwa5754
@peterilimwa5754 4 ай бұрын
hb tanzania tuna spika kweli?
@mhifadhi797
@mhifadhi797 4 ай бұрын
Huwa nakukubali ila kwenye mnrt huna data Bora utulie
@g-abbastechnology1818
@g-abbastechnology1818 4 ай бұрын
hapo unaonekana huna la maana iksifia ndo deal
@sajadyusufu5150
@sajadyusufu5150 4 ай бұрын
Nilipogeuka
@George-jz3jg
@George-jz3jg 4 ай бұрын
Tayari waziri na spika lao moja
@salummohamed2689
@salummohamed2689 4 ай бұрын
Spika huyu anahusika?
Всё пошло не по плану 😮
00:36
Miracle
Рет қаралды 1,8 МЛН
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 1,5 МЛН
WADADA PUNGUZENI KIHEREHERE MKIENDA UKWENI
4:01
Wasafi Media
Рет қаралды 3 М.
HATA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) KUNA MUDA HUWA WANAVURUGANA
3:28
Wasafi Media
Рет қаралды 1,4 М.
WAZIRI MCHENGERWA AIBUKA ATOA TANGAZO LENYE MSIMAMO MKALI
5:04
Uhondo TV
Рет қаралды 2,7 М.
Posta Yatakiwa Kuhakikisha Mifumo Yake ya Utendaji Inasomana
3:11