Wana ccm mbona hamko makini kulinda rasilimali za Tanganyika yetu. Hasa wewe mheshimiwa spika tunakutegemea. lakini unaonekana kuibeba mno serikali. Kuna hoja za msingi za akina Mpina. Bulaya. Salome makamba na mdee huzipi nafsi. Simamia vizuri taifa mama tegemeo na jicho letu watanganyika limebakia kwako.
@LeahKazeni3 ай бұрын
Mmhhhh haya tutaona mengi mwaka huu duuu hawawezi kuunga mkono wako mbali kabisaa mwanangu acha tu
@AllyNditi3 ай бұрын
Mzee mpina acha tu, CCM washapiga hela hao achana nao spika kapiga hela kibao.
@PauloMiage-m1x4 ай бұрын
Hapa kuna ukweli mbona kauliza kitu cha maana hapa kuna ukweli unaofichwa
@deoluma17064 ай бұрын
Kwani mbugan akiwepo tembo mkubwa kuliko wote hawez kufahamika? Mbona swali la spika linatia mashaka? Kwamba mwindaji hakujua kuwa kuna mamba mkubwa. Inasikitisha sna kuona viongozi wenye dhaman wakipindisha ukweli. Daah hii inch bhana!!!!
@OmarMohamed-bs2hf3 ай бұрын
Hili ni kosa tena kubwa lazima tulinde malizetu sasa kama yule ndio mamba mrefu duniani si ndokivutio kwanini muruhusu kuuwawa
@muhammednassor6902 ай бұрын
Oya hakuna ufala Tanzania kama kufuatilia siasa, utajiumiza bure, mtu bora ufanye yako tu.
@Nedjadist4 ай бұрын
Ujinga, uvivu, na kutothamini vyako, Tanzania
@adelinelyaruu30364 ай бұрын
It's very sad. How can we justify this??
@Worldunite4 ай бұрын
Viongozi wetu mtetee na kuthamini vya kwetu, penye makosa turekebishe na sio kupingana
@George-jz3jg4 ай бұрын
Kama kawaida Tanzania ni shamba la bibi
@QasammaMachibya4 ай бұрын
haaaahaaaaa, mpina uko visor,naspika changamoto kweri ipo yakutokuwa na aramaza mazao yetu
@athumanimohamedi99214 ай бұрын
😂😂 mwanangu uyo mpina
@jameshagwe30634 ай бұрын
Hakuna spika hapo a.k.a spika mbovu
@ErastoMaridadi4 ай бұрын
Huko wanakushangaa ufisadi na rushwa ndio mashujaa na huko toka haraka mpina
@MwanaIddy-oi7lb4 ай бұрын
Mwindaji jooshioiiiii😂😂
@christianlutego12884 ай бұрын
Wabunge wetu hawa , hayaa
@peterilimwa57544 ай бұрын
hb tanzania tuna spika kweli?
@mhifadhi7974 ай бұрын
Huwa nakukubali ila kwenye mnrt huna data Bora utulie