Katie Kazi Kazi ipende kz yako kaka mi nakuelewa sana daah
@ElasijonasiHamisiАй бұрын
Mim binafsi unaukosha moyo wangu nikisikiliza ngoma za kisukuma hongereni kwa nyimbo nzuri wasukuma wote mama neema pande za Geita magogo
@novatusluguga33975 ай бұрын
Ubunifu bora kiwango cha rami Sio poa
@johnchitemo30123 күн бұрын
Binafsi wimbo huu pekee ndio naupenda pekee
@deogratiasmasumbuko71522 жыл бұрын
Kazi nzuri endelea kupiga kazi
@lukapius26972 жыл бұрын
Me naipend sana nyimbo hiz nipo pemba zanzbr naziptaga kupitia DJ zombi huw tunazipata kupitia yy dah hongera sana msanii ntemi omabala karibu sana
@SegesoMatondoАй бұрын
Nipo hapa dar s Nakuelewa xana ndugu yang
@MartinCosmas-u1k19 күн бұрын
Ngosha mwenzangu piga kazi nko dodoma mjini lkn nasklza siogopi lugha
@floradoto72232 жыл бұрын
Kaji nsoga mungu agutongele wendelee uguduyeja
@GraceJulius-ok2zc3 ай бұрын
Unaimba vzr sana ww kaka bac
@EnkyalFelick-ys8mq8 күн бұрын
Ngoma kali sanaaa 🙏🙏🙏🙏🙏
@CarlosTovela-in5rh2 ай бұрын
VIVA A TANZANIA!...
@SegesoMatondoАй бұрын
Napenda xana ngoma za Asili
@ElasijonasiHamisiАй бұрын
Siku ukija Geita ufike na mtaani kwetu magogo upige shoo yakutosha ukianza na ngoma hio ya harusi ya kisima na heppi
@paschalmkwavi1983 ай бұрын
Msani wangu pendwa wa nyimbo za asili, Mwenyezi Mungu akutunze sana wewe jamaa unajua kuimba. tolecheyekele ba mayo, tolecheyekele ba bhabha tolecheyekele lya mwana ndooo👏👏
@PeruzirobartngaluPeruzirobatАй бұрын
Napenda nyimbo zako kaka
@bujingifilbert4472 жыл бұрын
Daaa ww ni konki🌷
@GushiKalunde2 ай бұрын
Hatami nakuelewa Sana huyu nugu wise
@anthonymawela586 Жыл бұрын
Aisee mwana kang'wa Na kubali Kazi zako Sana kaza ndgu yangu japo mim Ni mfpa nymbo zako nazpenda sana
@patricklyeta64202 жыл бұрын
Ubunifu wa hali ya Viwango vya Justin bieber
@ngwanakangwa2 жыл бұрын
Mawasiliano: btmafricagroup@gmail.com
@mwajumaomari479 Жыл бұрын
Upo vizur nyanda ndododo nyanda omageha
@sidashindaitv98442 жыл бұрын
Nakubali saana hiyo voic ya chameleon
@abedysteven49302 жыл бұрын
Ingawa sielewi lugha ila nyimbo nmeielewa!
@erickangelo50782 жыл бұрын
Kaka uko vizuri mno hakuna mfano wako wengine wanajaribu hata kuigiliza majina km ntemi oma gulya, komaa tunakukubali bro
@thelionchannelfullupdatene402Ай бұрын
Ngoma kalii🎉
@NestoryBujiku3 ай бұрын
Ng'wanakang'wa ukulaga bhabha gishaghe ushushu na bakuluye Dida nu Mbigili.
@juliusbaruti8617 Жыл бұрын
Mwamba uko 🔥🔥Sana🙌
@PeruzirobartngaluPeruzirobatАй бұрын
Mwanaxamaka alipendeza xana
@frolamazimba4652 жыл бұрын
Huu wimbo naupenda kweli ila sielewi
@mkorofitzchannel44472 жыл бұрын
Respect san Pia Mpe hi san Ng'witulo
@neemadegeleki7225 Жыл бұрын
Huu wimbo naupenda sana
@petermagile53012 жыл бұрын
Nakubali bro nimeipenda san 🙏🙏🙏🙏🙏
@nhingolubinza40062 жыл бұрын
Kazi nzuri saaana ntemi , mwambie na kisima aendelee kushusha vitu nawakubali saaaana nyie 2
@javenmoses8972 жыл бұрын
Waooo Kaz nzur Mungu azid kukusaidia ufikie ndoto zako nyimbo nzur sichoki kuiskiliza
@nehemiakarebu28862 жыл бұрын
Kazi nzuti sana Kisima. Congraturation bro
@kakokotv97342 жыл бұрын
Saana kaka chapa kaz chapo siyo msukuma but huwa nakukubali saana❤❤❤❤❤
@M_Studio32 жыл бұрын
Nice broo
@ShinjeBenard11 ай бұрын
Chamilion wa kisukuma
@zacharianicodemas1842 жыл бұрын
Mtwara 1 nakupata ngosha nyanda ndododoooo
@annadotto24292 жыл бұрын
Safi sana nyanda ndododoo, Kisima na Happy wakapendane daima 🙏🙏
@rooneybulemela56902 жыл бұрын
Pamoja Sana
@lazarodaudi16892 жыл бұрын
💥💥💥💥💥🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿 huu wimbo haujawahi kunichoka maskioni, napenda kuuskiliza Kila siku
@lazarodaudi16892 жыл бұрын
Maneno yako Ng'wana kang'wa Huwa n mazuri sana yenye kujenga kwenye Ndoa natamani siku Moja nifanye hata maazimisho ya Ndoa yangu kwa kutimiza miaka kadhaa halafu nikuite unitungie wimbo mzuri kama huu, kiukweli huu wimbo naupenda naweza usikiliza masaa sita bila kubadili unajirudia tu 😂😂 mpk watu wananishangaaga
@paskalwilliam314 Жыл бұрын
Dogo hongera ngomo inatisha kaza mungu azidi kuku zidishia
@jevalineouma3906 ай бұрын
I love your songs ntemi kip going bro❤❤❤❤
@LeonardShohola Жыл бұрын
Hongera sana
@johnshimuda8331 Жыл бұрын
Usukuma ndio fahari yangu"" nyimbo kali sanaa hata wasio elewa kilugha wanausikiliza na wana enjoy congratulation love song
@simonimchani32535 ай бұрын
Happiness amenuna kama alikua hataki kuolewa 🤣🤣🤣🤣
@winfridamalembeka-ik5qw3 ай бұрын
Yooooh nlidhani nimemuona peke Yangu..😂😂
@jozzymarco94652 жыл бұрын
Nakubal brother nyimbo nzur
@mipawa93692 жыл бұрын
Bg up san ntemi omabala, nimefurah kusikia umenikumbusha saut ya bes yafanana na ya jose chamilione umetisha sana
@maji_media2 жыл бұрын
Kazi imekuwa bora sana hii
@jamesmbuyuntvtzshijacom.52682 жыл бұрын
Respect bro that is true nic song for aller sukumas songs
@enockmatondo1822 жыл бұрын
Hapa umeua kiongoz nimekukubali
@salehesalehe11392 жыл бұрын
Kazi nzuuriii Kaka 💪💪
@ShijaMchenya-f8u4 ай бұрын
Nimeipe hiyo
@pascalanthony18752 жыл бұрын
Kipaji chako nilikiona mapema tu uliponitungia chorus nikiwa darasa la saba Busungo shule yamsingi. Hongera brother Mungu akubariki ufike mbali zaidi
@ngwanakangwa2 жыл бұрын
Duuh!! Unakumbukumbu sana🙌
@HorizonLtd-ty7ep4 ай бұрын
So mumesoma shule moja?
@rachelrenatus86682 жыл бұрын
Proud to be sukuma Safi Sanaa wee ni konki
@LovelyTz2 жыл бұрын
My love noma sana asee daah nakupenda sana
@emmanueldaudkatinda70962 жыл бұрын
Sanatuuu
@EvaZumala-p7c Жыл бұрын
❤ this song nice Even me In my perty🎉 u'll sings ok ntem ❤️🙏
@estaraberd1245 Жыл бұрын
Kamilion pt2😂😂"good song💞💞
@millardtz64932 жыл бұрын
Ntemi Wew ni wa moto 🔥 sana Nimekubali sana Lyrics 100% Beat 100% 🙌🙌🌎
@masutzofficial8393 Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤
@FanuelFrank Жыл бұрын
Mkaliii
@cosmasrobert20562 жыл бұрын
saf sana Bro ngoma nzr
@leonardpaul8982 жыл бұрын
Is the 🔥 mungu aendelee kukulinda upate cku nyingi zaid za kuburudisha watu Amen
@joxestv35772 жыл бұрын
Much respect Kaka🙏👊
@NyandaGeorge Жыл бұрын
Big up brother❤❤❤
@abuumikazo28152 жыл бұрын
Daaaaah jamaaa anajua
@officialpaulmabula83462 жыл бұрын
Kwasasa kiwango chako chamusic wanatakiwa wajipangesana kukukuta uko juuu
@HorizonLtd-ty7ep4 ай бұрын
Kaka napenda sana hii nyimbo Imejaa ufundi na ubunifu wa hali ya juu duh! Pambana sana
@PatrickMwendesha-tr9dy Жыл бұрын
Sitalizika kama ntaacha kukuita wewe nimfalume kwelikweli wa nyinbo za asili ya kisukima,
@abtalimkali23182 жыл бұрын
Nakuelewa sana nyanda ndododo
@Bhudodi2 жыл бұрын
Salute 💯💯💯🖖
@kakolaonlinetv72722 жыл бұрын
Hujawahi kuferi tem was mabala🖕🖕👏👏👏
@user-uk2wc3hd9t Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@Radiumflexx2 жыл бұрын
Good track
@mageleonlinetv1474 Жыл бұрын
Ooooh 🤭🤭🤭
@japhetdaud36792 жыл бұрын
Najivunia sana kuwa msukuma
@jamesmbuyuntvtzshijacom.52682 жыл бұрын
Respect bro that is nice song 4 aller sukumas songs big up 4 u
@jEANBOSCOMBONIMPA-fu5ni9 ай бұрын
Niko na mwujukuu wangu anaitwa HAPPINESS SIYO UWOO APANA NDIYO NIMESEMA YAKUWA ANAKAA KINAMA MJINI BUJA
@yelivideoproduction9599 Жыл бұрын
Ntemi omabala hongera Sanaa limbo lyawiza Sanaa ele
@RajabuMabomba2 ай бұрын
Asante kwa nyimbo nzur nimeipend nip dar
@samaboy25922 жыл бұрын
Nzuri sana
@softmedia63342 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@jEANBOSCOMBONIMPA-fu5ni9 ай бұрын
Happening madame Wawa Happiness is not madame kisima,is mine from Kinama Bujumbura BURUNDI No 52 ... Tanks....KISIMA,KWA NINI NAKUPENDA NA WEWE HAUNIJIBIE,NAPENDA MUSIQUES YAKO YOTE !!!! SIJUWI KISUKUMA,ILA NAPENDA WA SUKUMA MIMI NI MUCIGA MUNYANKOLE,NIBAKUNDA MUNONGA RYUWENU RUHANGA YEHOVA ABASHEMERERE MUNONGA !OMABALA MUSIQUE YENU,IMEPENDWA !!!??
@sabinaonline65752 жыл бұрын
Hodiiii nimeletwa na sns
@sesapaulo87982 жыл бұрын
ongera kabisa bosi wangu wanguvu
@jescajulius80232 жыл бұрын
Kazi ni kubwa.
@ngoshaog12552 жыл бұрын
Tupe raha Ntem Omabala
@Johnbida7559 Жыл бұрын
You are the best song traditional singer ever, the best rythm, beat melody and almost everything Congratulations 👏brother ntemi omabala 🙏🙏
Ng'wana ka'ngwa nakupenda bulee maana unaimbaga vizuli adi rahaa na ambao hawajui kisukuma wanapensda kisikiliza mfano jirani yangu anapenda kuweka afu namufanunulia ongera kwako