Allah amuhifadhi abulfadhil wallah ameitangaza haq kwa kinywa chake sisi walimwengu tunashuhudia hilo,,habar za habari za etii (taaluma vs taalumu) hatuwez kum-beza kwa hilo,kwetu inatosha kumuona anasema haq na anafundisha dini na anaifuata sunna Wallah qassim n mtu wa kher na elimu hake sio ya kubezwa kabisa Namuomba Allah amuhifadhi yeye na familia na wanafunzi wke Allah awape mwisho ulio mwema
@IbraFareedАй бұрын
Usilalamike 😂
@mnubisaidi7 күн бұрын
آمين
@AmmuSalha6 ай бұрын
Allah amuhifadhi sheik wetu na amkinge na hasadi za waja
@athuminamkwizu15879 ай бұрын
Subhanallah Allah amuhifadhi sheikh wetu qassim mafuta wewe mwenyenye umesema faailu walmafuli umekosea ila kiuhalisia humuwez huyo sheikh watu wanaishia kukucheka tu unajidhalilisha mwenyewe
@saba-gv3mj8 ай бұрын
Ki vipi na umemsikia mwenye kasim mafuta hana ilimu ni matusi tu hilo lijuwe na mtume s a w alisema mwisho wadunia mkweli yuwaonekana mrongo na mrongo kama kasim mafuta yuwaonekana mkweli
@Swalahudini19 күн бұрын
Huo niushabiki sasa waisilamu tusome tusifate mumbo kama fish anafo fata mzoga
@BakariJuma-oc5ql17 күн бұрын
Allah awaifadhi mashekh zetu wote wakisalafi kwani maadui ni wengi mno
@KhatibBahorera5 ай бұрын
mashekhe iyo siyo dini muogepene Allah amjengi bali mnaharibu siyo dini hiyo wallahi
@HidayaWasia8 ай бұрын
Allahul mustaan Allah atuongoze kuijua haqq na baatwil tuiepuke Alkamaalu lillah
@salimakida954 ай бұрын
Mashalwah, Mafuta amkosoa mpaka salim barihyan, Asante shekh Mafuta kaumbuka
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm3 ай бұрын
Hapa haumbuki mafutaa wanaumbuka waislam wot e ikiwa sote Ili kufahamu jamb lazima tusomeshwe tena twasomeshwa lugha isiyokuwa yetu na lazima tu tuelew huu wote ni unafik njia sahihi ya kumkosoa mwislam mwenzio sio hiyo ya kuwekan kweny mitandao
@ramadhanjuma92389 ай бұрын
Assalaam alleykum warahamatullah wabarakatu,sasa mmekuwa kaz kukosoana tu,mngetambua kunamaeneo hayana hata msikiti,nashauri tumie mda wenu kueneza din,mm ninslim kwa hili sijapenda,kama hajui kwann utoe aibu ipo siku utakosea na make hujakamilika,make wew nimwadam mche Allah
@saba-gv3mj8 ай бұрын
Huyu kasim mafuta kazi yake kupotosha na kutusi watu huyu kijana amfundisha bila matusi
لا يفصل بين فاعل والمفعول. Na ww pia umekosea apo hujui lugha.
@arrawaahiyahtv98009 ай бұрын
Sahihi alitakiwa asemeje kama hivi amekosea?
@HajiHaji-r6n9 ай бұрын
Msikilize wau iyo inaatwifia wapi
@abdulkhaliqmuhammed4569 ай бұрын
Ww inaonyesha unajua sana lugha Toa clip na ww ujibu sio una comment tu Toa clip na umradd sio unasema tu msikilize wau iyo inaatifiwa wap huyo ulomwambia una uhakika mambo hayo anayajua?
@Modyb5 ай бұрын
Zama hizi mutakalimiim wengi na huyu ni miongoni mwao. Kuteleza kiligha sioni kama ni makosa ya kufanyia radd. Allah amhifadhi Sh. Qassim Mafuta.
@IbnUmmar8 ай бұрын
Shekh wajifunza kusoma 😢😢😢😢 kama mtoto wa madrasa
@samirrubeya23799 ай бұрын
Nyinyi hodari wa lugha mnajiona. Semeni qalallahu wa qala rrasul saw. Wapoteshaji.
@machoshop87618 ай бұрын
Uyu mwalimu ana ilmu kunzidi sheikh qasim mafuta
@MB-yq3ty7 ай бұрын
Kivipi
@twahamuhoro16562 ай бұрын
Salafi na wanasunna someni hizi fani za LUGHA mnanyanyasika sana mlipuuza nahau na swalfa chukueni hizi fani
@abdallahmmary85919 ай бұрын
Subhannallah tumefika sehemu dini imekuwa mwatafuta kulipwa na Tube nasio dini bali ukweli kuwa vijijini hakuna miskiti wala walimu mnakaa mijini na Kuboresha hitima plus maulidi .
@khalidabas2528 ай бұрын
Mh hatari, watoto wa kishki wamekuwa wengi. Pole sana ndugu yangu watu hawanufaiki na unachokifanya bora somesha darsa watu wanufaike
@maulidimuhani3 ай бұрын
anachofanya mafuta TU kutukana wenzake 😅ndo watu wananufaika sio,
@eliaihoo779 ай бұрын
Ila wewe inaonekana ni mwanafunzi mzuri wa kassim mafuta. Inaonekana wamfuatilia ssaana. Na ikiwa kwenye lugha ni hayo tuu uliyoyaona katika mengi uliyosikiliza, basi jua kuwa hiyo kosa 1% na kupatia 99%. Hapo ndio ulipokosea tuu wewe mwenye chuki zako. Halafu waumia roho sana kwa kuwa umepuuzwa kwa kitambo kirefu saaaaaaaana. Kiufupi umepuuzwa na umepuuzwa na umepuuzwa. Pole sana muislamu mwenzetu.
@snyanzigemzigabha8 ай бұрын
Mimi sikasiriki kwa hivo unavo sema kwa sababu hata mimi ninasema kwaio ikiwa mimi sipendi kusemwa basi inabidi niache kwanza mimi kuwasema wengine lakini maadam mimi nakusema wewe basi ujue hilo mimi halinikasirish ispokuwa tu ntasisitiza adabu na heshma Al muhim nihivo wala hujakosea kusema mimi namsikia kasm mafuta nikweri mimi nampenda na pia namsikiliza kwa sa babu yeye ni ndugu yngu ktk imani na hlitafutika hilo mpaka pale moja wetu atakapo ritadi Kasim mafuta anamapungufu yake kama binadam wengine ktk dini na dunia Lakn chaa ajabu maungufu yake watu waliyanyamazia sasa akajuwa kuwa watakuwa wanamuogopa au labda hawana elim mwenye elim ni yeye kwa kule kunyamaziwa Kumbe watu walijuwa kunafaida gani mapungufu ya muislam mwenzetu kuyaweka hadharani Sasa wanamjibu kama alivo fanya kwa wengine cha ajabu mnaumia msiumie ikiwa mwawafanyia hivo wengine ikiwa hamtaki hivo basi nanyinyi msiwaseme watu ila kama mta wasema watu na nyie mtasemwa Kiukweri mimi sijaona adabu mlio nayo au suna mlio nayo au busala mlio nayo nakama mtasema mtume alikuwa kama nuinyi basi kwa hakika mnamzulia na wala asinge mpata yeyeote wakumfata ntakupa mfano ikiwa mtume kwatabia zaje alipendwa mpaka na makafili akaitw mkweri na muaminifu watu wakasilim kwa tabia zake nzur tazama wakati wanaweka jiwe jeusi wana gombananani aweke hajuwakataa pamoja ba ukafiri wao mpaka wakasilim sasaniambieni nyinyi mlio kama mtume yupi mlio msilimisha jwa tabia zenu hamna adabu kwa wazee hamna adabu kwa mashekh hamna huruma kwa wadogo allah atuongoze samahani ingawa najuwa sijatumia rugha ya matusi wala ya udhalilishaji ila nataka tusigombane tyuuu
@masoudmohammed42589 ай бұрын
Mcheni Allah . Sheikh Qassim mafuta ni Sheikh ambae kabobea katika kila fani na analingania daawa ya mtume . Allah amuhifadhi Sheikh wetu Abul Fadhil Qassim mafuta na ammpe umbri mrefu azidi kutunufaisha
@hilalkhalfan14529 ай бұрын
Hhhhhhh, MPAKA FANI YA UJINGA KABOBEA SANA, Hhhhhhhhhhhh
@musakibwana45969 ай бұрын
Awe na fani zote lakini akikosa fani ya heshima hana maana
@hafidhseif16869 ай бұрын
Sasa Mtu Hamjui Mpaka Fail Na Maf Ulu Ukasema Kabobea Kwenye Fani Gani? Mtu Mweupe Mnoo ila Kwakuwa Nyie Mawahabi Ni weupe Zaidi Basi Mwamuona Ndio Shheheee
@hilalkhalfan14529 ай бұрын
@@hafidhseif1686 👍SAFI SANA. MAWAAHABI VILAZAAAA. WAFU KWA WAFU
@abuurayaan39029 ай бұрын
@@hilalkhalfan1452 Maana ujinga kwako Elimu
@nadhifamohammed77499 ай бұрын
Allah akupeni maelewano baina yenu
@AshaMwamedi4 ай бұрын
Allah amhifadhi shekh Qasim Mafuta no sheikh wetu mbora kabisa na Kwa saawa Tanzania hii Hana mfano tafuta wengine wa kuwakosoa au jikosoe mwenyewe huna elimu we ya kumfundisha Bali wewe unatakiwa ukakae usome kwake unarudia Tu alipo teleza kidogo ASA hilo si kosa la kuteleza yeyote aweza kosea .Allah akuifadh shekhe Qassim Mafuta
@rashidseif29504 ай бұрын
Kwaio kakosea kweli Bin Mafuta?
@azizaj7763 ай бұрын
Molo Mtukufu amjalie mafuta aungue motoni na mafuta yake MWENYEWE - AMEEN 🤲🤲🤲
@tellackyabdul93129 ай бұрын
Daah yaani nlivoona hiki kichwa cha habariii nkajua kuna jambo la maaana kumbe upuuuziiii tu.....
@abdulkhaliqmuhammed4569 ай бұрын
Hata watu walipoona hii comment yako walijua ni maneno ya maana kumbe maneno ya upuuzi tu😂
@BinSwaleh9 ай бұрын
Hebu tamka tena jina sheikh Abdulwahaab
@i_gabbykisalo42809 ай бұрын
Masha'Allah tunaendelea kusubiria muendelezo wakumkosowa huyo dajjal wakisalafi.. masheikh msichoki kuwakosowa Mawahabi maana walishakufurisha waislamu sana. Allah awape umri mrefu wenye faida kwa jamii nzima yakiislamu amiin
@ر.ج.ب9 ай бұрын
Mche Allah mbona unakuwa huna hekma kijana
@i_gabbykisalo42809 ай бұрын
@@ر.ج.ب hiyo ni hekma ila kwa nyinyi Mawahabi ndo sio hekma. Insha'allah karibuni mtaiona haki na njia ya kweli
@ashrafuomaribakari71019 ай бұрын
Hebu jikague unaswali swala tano? Nina wasiwasi na w
@i_gabbykisalo42809 ай бұрын
@@ashrafuomaribakari7101 Lazima uwe na wasiwasi maana nyinyi Mawahabi hamna mnachokijuwa zaidi ya kutowa watu kwenye uislamu na kutukana. Allah awaongoze amiin
@hamadimussa21199 ай бұрын
Unatafuta umaarufu wala huna jipya, hata angeongea kidigo inawezekana angekosea japo ni lugha yake, je kiarabu alichojifunza kuna ajabu akikosea,tuachie Shekh wetu Wallaah tunampenda tunamuelewa na hii da'awa inakuwa maa shaa Allaah
@AhmedMohamedMadaiMadai8 ай бұрын
Anavokosowa wenzake j mnaon Raha na kujifny ana elimu mpuuzi tu Leo muach apatikane
@AhmedMohamedMadaiMadai8 ай бұрын
Anavokosowa wenzake j mnaon Raha na kujifny ana elimu mpuuzi tu Leo muach apatikane
@AhmedMohamedMadaiMadai8 ай бұрын
Anavokosowa wenzake j mnaon Raha na kujifny ana elimu mpuuzi tu Leo muach apatikane
@AhmedMohamedMadaiMadai8 ай бұрын
Wacha ujinga akikosoa wenzke je mwehu anaon Raha muache akosolewe hajui kitu akasome
@abdallahmoussa6149 ай бұрын
Nakuskiliza kutoka Cape Town lakini kama unataka eti kumdhalilisha kwakumkosowa Sheikh Qassim Mafuta Allah amuhifadh hakuna litakalo kusaidia kwasababu kukosea nikawaida na yye sio wakwanza kukosea hate wewe hapo kiarabu sio lugha yake nakukosea lazima utakosea .kwakumalizia tunapata faida nyiiiiingi saana kupitia Sheikh Qassim Mafuta
@mybabyarchive21049 ай бұрын
Lugha hajimui halaf anachukua kitabu cha sheikh na kukikosoa bila ya kuuliza wajuzi wakitabu hicho
@abuuammar49249 ай бұрын
Utoto mtupu
@abuuammar49249 ай бұрын
Sasa kwa utoto huu ndio unataka akujibu
@saidsobongo9129 ай бұрын
Ndugu Abdullah mie nipo Durban
@abumuhammadmbwana39649 ай бұрын
Unachokisema ni sahihi ila ninachokuomba uwe na insaaf kwani huyu Mafuta ndiye mwenye tabia ya kuwakosoa wenzie pindi wanapokosea, alimkosoa Mohammed Iddi ktk kosa la kilugha wakati anajua wazi kua Abuu Iddi alipitiwa na ubinadamu tu lkn si kwamba hajui lugha. Hivyo nikuombe ndugu yangu uanze na huyu Mafuta kwanza kumkanya kwani yeye ndiye chanzo cha hizi vurugu.
@mubaarakmuhammad82999 ай бұрын
Kumbe lugha hajui minikajua hajui dini tuachie shkh wetu
@abdulkhaliqmuhammed4569 ай бұрын
Kwan kashikwa 😂
@RajabuAbubakar8 ай бұрын
wew mwenyew haujitabu
@allykisuda45689 ай бұрын
Ustadhi tunaomba short clips za hivo vibwagizo
@IbnUmmar8 ай бұрын
Subhana llah huyu shekh mbona anafanya mambo ya kitoto au ndo anataka umaurufu kwa nguvu
@SalehSonda-bz3hl3 ай бұрын
Hakuna shek wa kikhurafi anaeweza kumrudi shekh kassim bin mafuta Allah amuhifadhi
@sleemhamoud43942 ай бұрын
Kassimu mafuta walitukanana na wanafunzi wenziwe hadi kuitana mayahudi na wazee w liwati vp hapo
@AlfarooqMuma-c3x3 ай бұрын
Shkh qasimu mafuta ni mjididi tz &kenya
@abuuaiman95759 ай бұрын
Unaesoma kwenye kitabu na anasoma alichohifadh nan ni rahis kukosea Asome uarabun na kukaa huko kwa miaka asijue faaila wal maf uula unachosema kua na in swafu allah hamjanyui mwenye kujikweza in taabih
@mussamsuya85959 ай бұрын
Huwezi kufanikiwa chichote wew kakae utulie
@hassan_pacha_og9 ай бұрын
بسم الله الرحمن الرحيم Ndugu zangu katika imani ningependa kusema kwamba hivi tunavyofanya havileti picha nzuri, sisi ni binadamu si wakamilifu ukamilifu ni wa Allah pekee, kama Sheikh kakosea muite faragha muelimishane والله الموافق
@mahadhikawia36109 ай бұрын
Alitakiwa akosoe yaliomo katika kitabu anachokifundisha ( hapa ni uthulu 3 ) au madda zake za kupinga bida'a katika Dini .Lakini kuteleza katika matamshi ilhali somo limeeleweka hakuna tija hapo.
@OmarShela-p2z9 ай бұрын
Mbona Muhammad Bachoo akitukana maulamaa humwambii km awaite na awaelekeze? Anatukama maulamaa na wala hana elim
@wakatikaisi67439 ай бұрын
Anafundishwa Mana yake arudiii darasaniii....sio kukosoaa mashekh Yee mwenyew elimu hanaaaa
@OmarShela-p2z9 ай бұрын
@@wakatikaisi6743.... Hio ndio tabia ya Muhammad Bachoo kukisoa masheikh ilhali yeye mbu mbu mbu
@ABUUAhmad9 ай бұрын
Si tatizo ni kweli kakosea muhimu wewe jibu hoja zake alizomradi shekh lako
@Saaid-yv6bg9 ай бұрын
TUNAKUSIKILIZA TUKIWA SOUTH AFRICA CAPE TOWN MAASHAALLAH huku south africa Sisi ni twarika damu.
@Saaid-yv6bg9 ай бұрын
Shukran Al hajj upepo..
@iddijumaali71929 ай бұрын
Kua mtu wa SUNNA na sio twariqa
@bagalucha9 ай бұрын
Bismillah Rahman Rahim Haya mengi anayosimulia huyu msimulizi hayana ukweli,kwanza hakuna mfuasi au dhehebu linaloitwa wahabi,alikuwapo huyu ulamaa akiitwa Muhammad Ibn Abdulwahab,katika nchi ya Saudi Arabia,kuna historia yake aliyoiacha ya kupigania jihadi ya kuiondosha shirki,ambayo ilishaanza kushamiri baina ya karne ya 17/18,watu walikuwa tayari wakifanya ibada kishirikini za kuabudu mizimu ya miti na mapango,katika sehemu mbali mbali za Saudia,mtume Muhammad alilipinga na aliliondoa hilo,watu walianza kurudia mila za kutambika na kadhalika,kwa kweli Muhammad Ibn Abdulwahab hakulipenda hilo,na alipigana na wapinzani wengi katika kuliondoa jambo hilo,kuna historia ya uwongo ambayo ilitungwa katika vitabu vya kishia na kighurafi/kisufi,zinazoipotosha historia halısı,haswa baada ya tawala zilizokiwepo wakati huo, kushindwa na Muhammad Ib Abdulwahab kushinda,vita hivi dhidi ya makundi yaliyounga mkono ushirikina huu,vita hivyo havikusita hapo,hata baada ya yeye kufa viliendelea,kwa mfano Makka na Madina zilizokuwa zipo chini ya utawala uliojinasibu wa kisharifu/kissufi/kighurafi kwa wakati huo,uliachia upotofu mkubwa katika msikiti mtukufu wa Makka,uliacha Uislamu ugawike kimadhehebu,kinyume na mafundisho ya mtume Sallallahu alayh wasalam,kwa mfano sala za jamaa zilizozunguka katika Kaaba ya msikiti mtukufu Makka ,zikifanyika kimadhehebu,kwa wakati mmoja iliweza kufanyika jamaa nne kuzunguka Kaaba,kwa alama za mistari iliyogawa makundi tofauti ya kimadhehebu kwa kupishana wakati wa sala za jamaa,na kuongozwa na maimamu tofauti kwa kufuata madhehebu,kulikuwa makamun shafi,maliki,hambali,Hanafi na kadhalika,mtume Muhammad aliuacha uislamu mmoja,muislamu ni ndugu wa muislamu,huu ulikuwa udhaifu mkubwa na upotofu,utengano uliosababishwa na nasaba za kimadhebu,na hili ni moja ya jambo lilipingwa na wafuasi wakeMuhammad Ibn Abdulwahab ndio likapelekea wengi kumuunga mkono na kuuondosha utawala uliokuwepo,ama kwenye kupingana lazima kuwepo na vita,wewe msimulizi unapendelea msikiti mtakatifu urudi katika hali ile iliyokuwepo ya mgawanyiko wa kimadhehebu iliyokuweko kabla,ya sala za jamaa za kimadhehebu,kukimu kwa sala tano tofauti katika Kaaba moja,na kuufanya uislamu uwe na makundi ya kimadhehebu,historia hii ya wapotoshaji wa kishia/ kissufi mapote yenye kulingania upotofu,hivyo kweli watu walizunguke Kaaba na kucheza ngoma za kasida na maulidi katika msikiti huu mtukufu?,hili alilifunza mtume??,utukufu wa Allah upo wapi kwa hili???,sasa hilo ndilo wanalopigania wapotoshaji wa kisufi,watu wa bidaa nzuri,ikiwa dini aliikamilisha mtume Muhammad salallahu alayh wasalaam,kwa kujua madhara yatakayokuja kutokea ikiwa mtaingiza mambo mapya,ambayo mengi yao ndiyo njia inayompa shetani iblisi,njia ya kuipotosha dini ya Allah,kuna dalili za huyu msimulizi kutumika kueneza uwongo,kutumika na kueneza propaganda za kishia,Sufi tariqiyah nakadhalika dhidi ya Uislamu ulioachwa na mtume Muhammad Sallallahu alayh wasalam,kama hili la kuyazunguka makaburi na kutaja majina ya wanazuoni kwa nia ya kujikurubisha kwa Allah,Allah hana mshirika katika kuombwa,kuabudiwa,hili halikuwepo,wala si katika mafunzo ya mtume,hata lisisitizwe vipi,huu ni upotofu,ambapo mtume hakuliamrisha hili. KWA WALE WAABUDU MAKABURI Suratuz Zumar 3: "Na wale wanaowafanya wenginewe kuwa ni walinzi, husema; sisi hatuwaabudu hawa, bali tunafanya hivi ili wapate kutuweka karibu na Allaah. Hakika Allaah atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. Hakika Allaah hamwongoi alie muongo kafiri. Sutatu Yunus 17-19: "Nao, badala ya Allah, huabudu wasiowadhuru wala hawawanufaishi, na husema; hawa ndio waombezi wetu kwa Allaah. Sema uwaambie; je! Mnamwambia Allaah asiyoyajua ya Mbinguni na ardhini!? Subhanahu wa Taa'la! Ametakasika na ametukuka na hao wanao mshirikisha naye. 18 Mtume Swallallaahu alayhi wasallam aliomba dua kwa kusema: "Ewe Allaah, usijaalie kaburi langu kuwa ni pahala pa ibaada. Namuomba Allaah awalaani watu wanaoyafanya makaburi ya mitume/viongozi wao kuwa ni pahala pa ibaada." [Musnad imaam Ahmad (12/314)] Kama kweli unaipenda haki ifuate haki,achana kufuata na misimamo ya kishia,kisuffi/kighurafi,ambayo imeingiza ibada nyingi kwa hawaa zao,katika dini ya Allah,ambayo tayari mtume Muhammad Sallallahu alayh alishaikamilisha,Masufi wanaona wanaimarisha,kumbe wanayazidisha mambo katika dini yanayoharibu,lolote lile utakaloliingiza katika ibada za dini ya Allah ambalo halikuthubutu kwenye Quran ujumbe wa Allah na sunna za mtume/mjumbe wake wa mwisho Halikubaliki
@abubakarhussein21869 ай бұрын
@@iddijumaali7192elewa kwanza usikariri
@mustaphakawanda41389 ай бұрын
Poleni kw upotevu wenu
@allytwalibjr.64319 ай бұрын
Bila shaka mwamtambua shekhe qaasim n nn kwa upande wa nahwi namaanisha muelewe yy n bina damu
@ahmadaliabbad18189 ай бұрын
Dunia hii hakuna mkamilifu ndugu yangu mche mungu wako na walimwengu kwa jumla . والله أعلم على ما نقول وكيل
@NasmaFaraji4 ай бұрын
Wewe umeferi
@banihashim53479 ай бұрын
MIMI SI MTU WA TWARIQA ILA NIMEFURAHI QASSIM MAFUTA KUKOSOLEWA MAANA KAZIDI SANA KUJIONA MJUZI WA LUGHA NA MENGINEYO MENGI
Na ww ALLAAH Akuongoze kwa sababu shida hujaiona 😂
@abunauthar53849 ай бұрын
Allah atuongoze wote kwenye haki
@KASSIMFUNDSIMU9 ай бұрын
Shekh unacheza na mtandao ujulikane hahahahaaa
@allykisuda45689 ай бұрын
Huyu MAFUTA aje maarif tunamtaka mdahalo wa uso kwa uso
@MohammedShehe-x8p6 ай бұрын
Umaarufu kazi
@AbuuSiiriin9 ай бұрын
Mumekosa hamna pakukimbilia hayo ni maneno ya mkosaji
@mohdkhatib2233 ай бұрын
Haji Upapa tafuta elimu kwanza kabla ya kutafuta umaarufu. Acha ubaradhuli
@rajabungatanda6309 ай бұрын
Munakwenda wapi nyinyi munaojiita mashekhe Mbona wapotofu sana? Muda mwingi munatumia kushambuliana ktk mitandao nyinyi kwa nyinyi Kuliko kutangaza dini kwa hekima "na subra "
@eidallyeidally50939 ай бұрын
Tatizo mnaloga sanaaaa
@abuabdirahman1149 ай бұрын
Mbona unasoma kama watoto wa chekechea??
@BinSwaleh9 ай бұрын
Sheikh Upepo
@allylassuh49479 ай бұрын
Shukran habeeb msichoke kuwasomesha mawahabi mpk viziwi wasikie nakutambua kwamba hawa watu ni wachache wa elimu
@mussanjimbwi19894 ай бұрын
Wewe huoni huyo sheikh anaangalia kwenye kitabu hapo?
@allymbarouk53629 ай бұрын
Mm huwa napenda ile mijadala ya kielimu baina ya sheikh Mazinge anavyo wagaragaza wakristo na kusilimu Sio hii
@aminaYusuf-e7x9 ай бұрын
kwako ndomtihani wew na qassim mafuta wew bado chalii mdogooo sana
@rashadali61609 ай бұрын
Sheikh haji assalam alaykum, iyo heading ya video hujafnya sawa inakejeli.....lengo sio kuaibishana na unaweza kusema kwamba wao pia wanatumia lgh ya kejeli iyo sio hoja kielmu na Dini....unapoandika heading jitahidi isiwe na kejeli ndani yk
@wakatikaisi67439 ай бұрын
Waoo Kwan hawatumii kejeliii
@rashadali61609 ай бұрын
@@wakatikaisi6743 inamana wao wakitumia kejeli na nynyi pia mtumie sio ...hii ni dini mzee sio upuuzi.....kama wfny hvy tufuteni namna ya kuwarekebisha lkn sio na nyny kjb au kutumia kejeli pia
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm3 ай бұрын
Upuuz mtupu na akili huna ungekuwa na akili usijifanya kuwa na akil wakati kichwan ni patupu na lazima ujue kuwa lugha ya kiarabu sis tunajifunza hii ni lugha ya waarabu kwahyo sis tunasoma na kukosea kupo mpumbavu wew
@SalehSonda-bz3hl3 ай бұрын
Silaha kubwa y'a makhurafi nahau,eti wanasomeshwa nahau zaidi y'a miaka 9,hawajui tawhid,wanaabudu makaburi,
@aliabdullahi92009 ай бұрын
Mashaalah ❤️ ❤️
@TwahirBurhan2 ай бұрын
HUNA ELIMU YA KUJIBIZANA NA SHKH KASSIM MBALI NA KUTAFUTA UMAARUFU TU NA SIFA
@abdallahmoussa6149 ай бұрын
Nilizani utaleta hoja zamsingi et unakosowana lugha wemwenyewe kiswahili unaweza kukosea tuache mbali kiarabu. Allah azidi kumuhifadh Sheikh wetu mpendwa Qassim Abul Fadwl na azidi kuitetea haqi na alhamndulilah watu tumeshaelewa mengi na dawa salafiya inazidi kuenea Africa ya mashariki na ulimwenguni pote
@shabanihassani71159 ай бұрын
Ni mjinga na mpuuzi mmoja cjapatapa kuona juha kama huyu
@AbuuSumayyah9 ай бұрын
Si Juha tu bali mpumbavu asokuwa na Adabu kabisa na Elimu.
@AbuuSumayyah9 ай бұрын
أين الثرى وأين الثريا
@Kekulebenzene9 ай бұрын
Yaani mtu akurekebishe makosa ya kiakida na kisheria uje kumkosoa kisa amekosea kugha Yeah tunakubali ni makosa ya kilugha lakini haki imefika na ndio jambo la msingi Kukosea kusoma ni tatizo ila kukosea maana na kuipotosha ni tatizo kubwa zaidi WATU wa bidaa wanashindwa hoja wanakomalia lugha Mtihani Kweli
@abdulkhaliqmuhammed4569 ай бұрын
Angekuwa msufi kakosolewa kuhusu lugha na comment zenu zingekuwa za kushambulia ila ....
@abuuhhashim9 ай бұрын
Ulikua nimtu unaeheshimazako. Leo unajihumza katika mambo yasio kuhus. Bas hiv sasa wew ndio waonekana mtu asiejielewa. Ww wadhani unavojitutumua uposawa yote. Sis twakuskiliza. Hakuna alie salmika nahayo. Fanya jambo litakalo kusaidia mbele ya molawako.
@othmanmasoud16729 ай бұрын
Huyo sio kama hajui kusoma sema matamshi ya ulimi wake sio mazuri acheni ujinga mashekhe wa kiislaam
Umesoma lakini akili ya kufikisha ujumbe kwa anayekosea hujui
@AbuuheythamSaid8 ай бұрын
Usitafute Kiki kupitia sheikh
@AbuuSiiriin9 ай бұрын
Huyu mwendaazimu huyu mwenyewe anakop na kupest
@MohamedAhmed-yi1yf9 ай бұрын
Watu wa bida mkikosolewa na sheikh kassim mafuta mwalaumu uwahabi Kassim
@ramadhanmbwana57189 ай бұрын
KUTELEZA KATIKA LUGHA NIJAMBO LA KAWAIDA TUU HATA KIPINDI ANABISHANA NA MUHAMMAD IDI SHEKH ALISHALISEMA HILO KATIKA MAELEZO YAKE HATA WEWE TUKIKUKAGUA UNAMAKOSA MENGI
@bakariomari93049 ай бұрын
Asante shehe pitia Kila clp uke Kwan anajiona anaelimu
@omaryhussein4052 ай бұрын
Mashekh kuchambana sahivi nyie si mumuogope allah jamn mbona mnaharibu jamii jmn
@suleimanmasudi38519 ай бұрын
Hahhahaaaaa kumbe Leo mmemkubali sheikh Muhammad IBN abdulwahab, Alhamdullilah taaratibu mtaifaham daawah salafiyah, Allah akuhifadhi sheikh wetu Abulfadhil kassim mafuta kaasim
@saidishalako4 ай бұрын
Yaani tumua che ili tukacheze Ngoma, Hilo haliwezekeni
@mustaphakawanda41389 ай бұрын
Hatushangai masufi ndio kawaida yenu huwa munajikuta wajuaji kushinda hata mashekh walio zaliwa kwnye miji yao huko saudia nahuku wakijizhughulisha na din mpka mwxho wapumzi zao allah awaongoze.
@aliabdulla53959 ай бұрын
Makosa ya kilugha hata ww huwezi kuepukana nayo, wanakosea Waarabu wenye iyo lugha.. lkn kukosea lugha si kukosea Manhaj. Unaweza ukajua lugha na ukawa ktk manhaj ya upotofu.
@shabansaid23239 ай бұрын
Manhaj ndio nini. Usikosee kama shekhe wako mafuta
@aliabdulla53959 ай бұрын
@@shabansaid2323 Mana inaonesha ww mwenyewe mjinga unapotea ndugu
@shabansaid23239 ай бұрын
@@aliabdulla5395 sasa hili ndio tatizo lenu masalaf sasa matusi yanini? Kama hujui sema sijui
Shekh wangu, hilo la kukosea ki lugha ni jambo la kawaida na hilo haliondoi kua alichokisema ni kweli, nawez kukutajia waarabu waliokosea kwa kutamka lugha yao, vile vile hata kwa kiswahili watu tunakosea na ndio maana shuleni kuna tunafundishwa lugha na ilihali tumezaliwa waswahili, hujitambui sema
@abubakarhussein21869 ай бұрын
Kama kukosea ni kawaida umwambie mafuta wanapokosea watu watwariqa akae kimyaaa mafuta alimvaaa abuu idi kwenye makosa ya kilugha ingekuwa kawaida mafuta asingemkosoa
@topfreelancer51519 ай бұрын
@abubakarhussein2 Sisi wanafunzi mtu akikosolewa kuhusu lugha halitusumbui Sana, hata Abu IDD tunajua kateleza alikumbushwa tu. Ishu za msingi aluzoradiwa sio lugha. Mahali pa mzozo sio lugha. Msitafute vichaka vya kujificha. 186
@abubakarhussein21869 ай бұрын
@@topfreelancer5151 awap acha uongo mafuta alitaka atumie mwanya wa makosa ya kilugha ya abuu idd ili kukwepe pahala pa mzozo sasa alipoona nayye kuna makosa yakilugha kayafanya akawa mpole lakin ndio ada ya mawahabi kutumia makosa yakilugha kutaka kumporomosha mtu daraja yake aonekane hajui kitu. Na ndio maaana na nyinyi mkikosea makosa yakilugha nasisi tunatumia uslub ambao mnaoutumia kwetu lengo muache hiy tabia yakuwadharau wenzenu kisa makosa yakilugha. Wewe mtazame tuu kassim mafuta abuu idd alipomwambia mm nafungua milango mtoto wakishamsia telezaa alipokuja kujibu mafuta anasema mm nafunga milango alikuwa ana lengo lakuanzisha mada ya kusoma hajui mara kiarabu kibayaa yani ili akutoe kweny mada kiufupi mawahabi ni watu wababaishaji na wapotoshaji tu hawasikilizwi
@abdulkhaliqmuhammed4569 ай бұрын
Comment reeeefu kukosea kweli kupo mwambie na mafuta kuwa kukosea kupooo😂
@RashidHassan-qi6ll3 ай бұрын
Hilo nikosa la ukimi umeteleza nawala sio kosa la jahil(hajui) hapana nikosa la kibinadamu husimbandikizie Shubha zako wew unajua lugha kumliko yeye sh.kasim mafuta?
@محصنالكتامي9 ай бұрын
mwenzako amehifadhi wewe kazi kukodoa macho tu.
@SHAMSULMAARIFKONDOA9 ай бұрын
Ww nifala tu kwan aliehafidhi makosa na anaetizama naakasoma sahihi niyup mwenye elim
@samonline6483 ай бұрын
Wewe hujielewi. Umekosa hoja hakika mfa maji huishia kutapatapa.
@محصنالكتامي9 ай бұрын
wewe mwenyewe waangalia Kwa umakini kwenye kitabu wanakosea waarabu sembuse mimi na wewe. au huwasikilizi waarabu.
@adamkilembwe.9 ай бұрын
Lugha ni tatizo kwa mawahabi wote
@IdighamuMashombo9 ай бұрын
Tuna shukuru mungu huyu kasimu hana ilimuyoyote ilakutukana mashehe
@AbuuSiiriin9 ай бұрын
Akili huna
@AbuuSiiriin9 ай бұрын
Kwa kipimo hiki!!?
@abuuammar49249 ай бұрын
Alaf mmejazana ktk grp la duruus zake telegram
@rodgersmartin73369 ай бұрын
Kama huna lakusemaaa kaaa kimia shekh. Unaelimu kushinda hao ww.. taratibu kijanaa
@khadijaaliy92638 ай бұрын
Badala ya kujadiliana vpi mtaikoa jamii tufanye vp tupate dola ya kiislam ati unamkosoa sheikh kassim nyinyi mmemsoma Mtume (saw) naona hawa mashehe wetu kukosoana2 ndo wameona ndio dini
@abdul-rahmanfakijuma18799 ай бұрын
Maa shaa ALLWAH
@seiftara6479 ай бұрын
Uislamu umekuwa waajabu badala ya kubishana na makafiri mnaghitilafiana wenyewe kwa wenyewe its shame kwa nyote wallahi
@IssaSimbilla-hw9ev8 ай бұрын
Hahaa eti anafundisha huku unakodoa macho chini uliza shekh alikua na kitab
@masoudmohammed42589 ай бұрын
Na kukosea ibara kidogo ya kiarabu haimanishi kuwa hajuwi . Mtu ulimi huteleza wakati mwengine
@musakibwana45969 ай бұрын
Jeuri/kiburi ndo vinavyo mponza
@Abuusaad-uy5cx9 ай бұрын
Kuteleza kwa ulimi si hivi...amekosea ibara nyingi sana..
@KombHaji-dr5pd9 ай бұрын
yamanisha hajui quran kiabu hadithi ikiwakiarab huji itakuwaje
@sama-_83689 ай бұрын
Kukosea na KUTO KUJUA ni vitu viwili Hajakosea bali HAJUI
@abubakarymaulidy56819 ай бұрын
Kama unaamni kuna kuteleza kwnn ujinadi kuwa unajua kufanya riseachi ya ilimu upumbavu mtupu maklele kama mbwa
@BinSwaleh9 ай бұрын
Kwani Sheikh Mafuta alikuwa anafundisha lugha
@abdulkhaliqmuhammed4569 ай бұрын
Mpigie umuulize
@rajabungatanda6309 ай бұрын
Mimi sipendi kuona munashindana ktk mitandao watu wa dini moja
@JalalaNdossa9992229 ай бұрын
Jamaa kumbe kichwa mchunga - kupoteza watu watu kumbe elimu mtihani
@abuushakiraddausiy86669 ай бұрын
Hakuna khuraafiii kata mmoja anaeweza kumfundisha mafuta....huyu taahira ana bwabwatuu hapa
@abdulkhaliqmuhammed4569 ай бұрын
Ww mwenyewe unatakiwa kufundishwa kiswahili kama hapo ulipooandika "hakuna khuraafii KATA Mmoja, sasa kata sijui ulikuwa unamaanisha nn