Dhanzo upo vizuri ase unavyojua ku praud vitu sasa
@jafariramadhani32643 жыл бұрын
Hiyo nyekundu na nyeusi ndio nn
@rajabumwenda97584 жыл бұрын
nawakubal wanangu hao
@JourneyBook4 жыл бұрын
Maisha ya ma celeb bana 😅😅 haya riziki mafungu 7 alhamdulillah lake limeshafika.wengin kulen kwa macho tu mkisubir fungu lenu
@alenpeterlenibarbayduleni13074 жыл бұрын
Mwandishi wewe acha unafki
@taimuba5294 жыл бұрын
Kama sio milioni 4 😄😄😄😄
@oxyrio12244 жыл бұрын
Million 4 hizo kenya
@husseinngozi15404 жыл бұрын
Mtangazaji mshamba kama hajawahi ona magari anasifia mpka Rim’s za gari 😂😂😂😂crown za million Tisa hizo zinamchanganya 😂😂😂hiyo prado Landcruiser ya 120 inamchanganya kishenzi mpka bampa anasifia never seen😂😂😂
@fisjaykitamuliko11834 жыл бұрын
😂😂😂😂
@Mrdigital.4 жыл бұрын
Unayo crown??
@thomasponera60184 жыл бұрын
Mjomba unadhani ni mchezo kumiliki hiyo ndiga . Acha umbugila wewe kiinua mgongo Cha mfanyakazi serikalini kwa miaka yake yote kwenye utumish anaweza asilambe hiyo milioni Mia , wewe unachukulia poa mtu kununua gari la milioni zaidi ya Mia halafu kijana mdogo nahisi hata wewe mzee
@mjukuutvonline83734 жыл бұрын
Kweli Kabisaaa mshamba jamaaaa
@fidelicedgar9174 жыл бұрын
Fala ww nunua n ww yako
@simbarajabu41574 жыл бұрын
Rich mavoko wapi, napita tu jamani
@ilynpayne74914 жыл бұрын
Hatar sana hizo gari balaa
@yussufmohd52814 жыл бұрын
Utabak hvy hvy Utakufa Atabaskeli y Urith huna
@nondombilizi66244 жыл бұрын
Pinga kazi kijana
@omerakenyancomedian49314 жыл бұрын
Omera Kenyan comedian amefurahii iko poa
@petersynto86344 жыл бұрын
Nimeamini ukitaka maisha mazuri ni WCB
@chiefkaitaba.m.94664 жыл бұрын
Mziki unahela siyo masihara
@abdallahali9374 жыл бұрын
Wenye wivu wajinyonge muko wapi wafwasi wote wa mbosso khan tumtetee mwenzetu👍👍👍👇👇👇🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@philimonmassenga57644 жыл бұрын
Pesaaaa tu
@azizone41394 жыл бұрын
Studio kwa mokko kama chooni
@ramadhaniabdi95304 жыл бұрын
Sema mwana badilisha hyo nguo yako ya juu
@juliankuka24964 жыл бұрын
media personality wa tz mna udaku kibao....njooni kenya huu upuzi hatuna..
@amanipeace60074 жыл бұрын
Huu upuuzi ndo umefanya mnatufatilia lkn m sijui blog yeyote ya kenya
@juliankuka24964 жыл бұрын
amani Peace tulia basi acha moto
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
Bongo bhana hiyo gari kuna brother wangu kanunua gari kama hii kaagiza japani milioni 75 mpaka inakuja bongo
@godblessnassary77854 жыл бұрын
Kwahiyo
@albertkadyanji97224 жыл бұрын
Acha ushamba wewe inategemea ya mwaka gani Kaka uyo bro wako kapewa liskrepa la mwaka 90 uko inategemea Nini japo kwa Prado hiyo haifiki mili 4 nikwenye mia na 50 uko it's depend na year of manufacturer ile V8 ya Diamond Platnumz ndio inagonga mil 300 au 400
@@donnsaitaa350 hebu rudia kusoma hiyo message yako harafu uniambie hapo ulimanisha nini mana hata cjakuelewa
@ovn-sportswear49834 жыл бұрын
Mbona usemi kama y tanasha kwamimi mkemya naona iyo ndo ile aliyokuwa anatumia tanasha maana hata kwenye interview aliyo fanya tanasha juzi aliulizwa vp kuusu zawadi ya gari ulilopewa na diamond yeye akasema kwamba gari yenyewe kaiacha
@hamzamoshi82754 жыл бұрын
Angalia show ya mbele tofauti nayatannasha acha kuwa mvivu wa ubongo wewe
@hadijalukas59594 жыл бұрын
haki ya mungu wabongo siyo watu wazuri kajifanya kanunuwa hamna rorote hii ndo yenyewe gari la tanasha akajambie mbele
@hadijalukas59594 жыл бұрын
@@hamzamoshi8275 tatizo siyo show ya mbele nshu hapo ni kweli gari hilo ni la tanasha, hapo kilichofanyika ni marekebisho yamefanyika tu kwenye hiyo gari wakwende huko
@donnsaitaa3504 жыл бұрын
@@hadijalukas5959 naicee aujaa angaliaa vizur izzo ghal tazama ya tanashaa na mbosso cyoo mnalopokaa tooo wazembee nyieee
@donnsaitaa3504 жыл бұрын
@@hadijalukas5959 em tajaaa ww malekebishooo ghan af ziangaliee vizur izoo ghar zuna fanana
@Djaiicool20124 жыл бұрын
Hapa kenya hio ni ya mbochi anaendea shopping. 🚶🚶🚶🚶🚶
@nancynziku26024 жыл бұрын
Acha roho mbaya kama mtu kanunua kitu lazima watu wamsifie
@Djaiicool20124 жыл бұрын
@@nancynziku2602 😃😃🏃🏃 sawa mrembo.
@albertkadyanji97224 жыл бұрын
Janaume zima unaongea uchoko Sasa apa umesikia Kenya acha uchoko wewe
@balkisidaniel49694 жыл бұрын
Wamefukuza mke na gari wameshagawa !!!!
@mbarakhassan5734 жыл бұрын
Diamond kampiga chini tanasha, sasa Mali ya tanasha ameridhi mbosso...mbosso amekua mwari wa diamond sasa
@albertkadyanji97224 жыл бұрын
Acheni ushamba nyie hizo gari mbili tofauti kabisa japo zote ni prado ya tanasha ipo kwa Mondi na plate namba zake tofauti kabisa
@alenialex69414 жыл бұрын
DTD izo namba zina kama miaka miwili tusidanganyane
@katojunior75064 жыл бұрын
Miaka 2?? DS yenyew haina miaka 2
@mjukuutvonline83734 жыл бұрын
ALENI ALEX Brother wewe ndo huelewi kabisaaa chochote
@mjukuutvonline83734 жыл бұрын
kato Junior True
@albertkadyanji97224 жыл бұрын
Wewe alen Alex kaa kimya hujui kitu kuhusu magari unaonekana kabisa ungekuwa unamiliki au ushawai hata kumiliki basi usingekuwa unaongea pumba
@LLYKEJONNESS4 жыл бұрын
Ni ile ile ya Tanasha wamebadilisha tu number.. WCB... Hatuwaamini hata mara 1sikuhizi 😄😄if you know you know 👊🏾
@chiefkaitaba.m.94664 жыл бұрын
Umaskin wako usiupeleke kwa wengine, tafta picha ya gari la Tanasha ndo ujue kutofautisha
@LLYKEJONNESS4 жыл бұрын
@@chiefkaitaba.m.9466 ushindwe katika jina la Jesu wewe ndio maskin... Tofwakwa!!
@christinealwis85664 жыл бұрын
U r thinking like me aki
@ndegejr42184 жыл бұрын
Hazifanani wewe
@LLYKEJONNESS4 жыл бұрын
@@christinealwis8566 Yap meanwhile the Tz will start insulting but it's da truth