Najaribu kuwaza jinsi alivokua Mzee Nassoro Bachu alafu na jinsi huyu mwanae vitu viwili tofauti, uyu ana shida kwelii Allah atujaalie mwisho mwema kwakwel huu nao mtihan.
Alahamdulillah waswalaatuwassalaam alaa Nabiyyina Muhammad(ﷺ),alakhy katika dua usitumie neno inshaallah nimakosa,kwani nikuwa na wasiwasi juu ya uwezo wa Allah.
@athumanimdoembazi54652 жыл бұрын
Mashaalah jazakakalah kheir
@vyamunguabdulkarim4313 Жыл бұрын
Wallah nazidi kubainikiwa kuwa jihadi ndio mpango mzima kwasasa alhamdulillah tunaona neema ya jihadi
@binuqaasha675Ай бұрын
Allahu akbar
@shadhiriissabweraboymanda773225 күн бұрын
Assalamu alykum warahmatullah wabarakatuh shekh wang hapo ulijitoa au ulitolewa.maneno yako yanaonekana ni yenye kujigonga gonga saana kwann msom!!!!!!!
@hassanmahamed87442 жыл бұрын
Wamaa ursilu alaykum hafidhuun! Faaina tadhhabuun? In huwa illa DHIKRUN lil AALAMIN........
Bado kijana kasome auna mambo soma wallah soma pepo ni ya Allah
@IbrahimSuleyman-j8n6 ай бұрын
We umesoma
@RamadhaniAlysalafi-rv6hi7 ай бұрын
wee enyewe jadida🎉
@Seremani-ll2yf6 ай бұрын
❤❤❤
@abamohamed70922 жыл бұрын
Hii ndio kazi kubwa waliyonayo kila kukicha kukatana mapande huyu anamdharau huyu na yule kumchukia huyu na kujiona yeye ndio bora kwa kila kitu,masheikh wachamungu waliokuwepo zamani hawakuwa kama walivyo hawa wa sasa,hawaheshimiani hata kidogo
@al-murabbi4664 Жыл бұрын
جميل
@ameirzapy1318 Жыл бұрын
Eti tumekwenda hicho kimsikiti kdg, Subhanallah, ujana na dawa tuwe makini
@amritwaha-kp3hu Жыл бұрын
Kumbe unatukana mpaka masalafi wenzako
@shamsuddin45827 ай бұрын
Hiyo ni athar ya lugha ya Zanzibar wacha kukuza mambo , pengine hujui.
@ahmadsayyeed79106 ай бұрын
Huyu mtoto ana sifa sana anajiona mwanazuoni dah inauma sana LAKINI acha DUNIA imfunze
@IbrahimSuleyman-j8n6 ай бұрын
Tatizo kubwa sana
@ismailmsangule1380 Жыл бұрын
Dini Afrika yote hii imesomeshwa na masufi kumbukeni tu na msifiche ukweli
@mussafrancophonetours1356 Жыл бұрын
Mashekhe wasikuhizi hawasubiri hata kuachiswa wakijiona washakua tu walimu wao hawajuwi kuliko wao
@BuiKishkOnlineTv2 жыл бұрын
Abuu Mu'aawiyah Allah AMUHIFADHI tulikuwa nae masjid Taqwah AMANI.
@zubeirelhanaf Жыл бұрын
Assalam alaykum
@abdulmalicktvabdulmalicktv37506 ай бұрын
Kwan ujadida ndo unini
@ilhamhaji8650 Жыл бұрын
Innalillahi wainna ilayhi raajiuun
@abbaspaziaog218810 ай бұрын
Vipi kumefiwa au
@amaniamokachielmorisho100710 күн бұрын
Mnifasiriye madjadida niwatu gani? Ni company, mnifasiriye na ma twarika niwatu gani
@Abuuabdillah2596 ай бұрын
Kijana ambae hajitambui
@KassimSalim-fi1me25 күн бұрын
Halingani hata sent nababa yake baba yke alikuwa aalim na alifundisha Elimu kwa maslahi ya akhera huyu anatafuta umaarufu
Bachu ukiangaliwa jinsi unavoongea tu lafdhi zako unaonekana bado hujakomaa kielimu kabisa na tena uko mbali sana, kaa chini fikiria na uendelee kusoma kaka
@ShakimTyger-vw4ly6 ай бұрын
Sasa ulikoenda ni wp ambapo kna kheri kurik kwa masalaf?? Bado unamatamanio ya nafsi dogo wew.uko ktoa ma crup video ndo ulipoona panafaa??. Sifa nying tuu utayumba sana
@NaadiriTV3 ай бұрын
Kwel??
@HafidhiBugi25 күн бұрын
alokutoa tongo alokuzidisha ujinga
@ismailmsangule1380 Жыл бұрын
Zungukeni tu lakini ukweli ni uleule kuwa masheikh wa kisalafi ni watu wapya katika Uislamu wenye mpango wao maalum na mmedhihir 1992 kwenda juu
@AliSalim-yu4mo Жыл бұрын
Hata wakati Allah alipokuwa akitumia Mitume yake kuna watu walikuwa wakiona walioletewa wakiyaona ni watu wapya na waliyoyaleta pia huyaona ni mapya! Sasa usemalo Leo ni Sawa!maana mumezama ktk Yale waliyokuwa waliyokuwa nayo wazee wenu
@AliSalim-yu4mo Жыл бұрын
Na wengine hata kuambiwa ni wendawazimu na kupata pingamizi nyingi tuu!lkn suala la Maulidi hili ndilo jipya zaidi ktk Uislamu maana Mtume na Maswahaba hawalijuwi?
@abdukhan4718 Жыл бұрын
Sasa hapa nimepata picha kumbe kibri umerisi Kwa walimu wako
@adamkali3627 Жыл бұрын
Yaan huyu shekh du kituko sana Maan kwanza hana adabu
@mohamedamiri4597 Жыл бұрын
Allah akbar
@nassornassor1130 Жыл бұрын
Naona hujasema sababu ya kuchia mana kila usemacho sababu
@allymahaba3425 Жыл бұрын
Mtoto wa Bachu yaani hayo maneno ndio da'waa kweli mpaka uyatangaze mitandaoni? Si mngekutana huko huko? Je na wenzako wakikujibu mitandaoni?
@mtagalalahmtagalalah1018 Жыл бұрын
Jadida Ni nini ??😢😢
@abbaspaziaog218810 ай бұрын
Watu wasunna wapya
@KassimSalim-fi1me25 күн бұрын
We ni hizbi usiejielewa unajipendekeza kwa kina barahiyani na Dr Islam unatafuta umaarufu
@alfaqeermuhsinhassan5860 Жыл бұрын
Ile kukimbia Tu hilo ni tatizo ...hujui kama unaradhi na shekh lako au la
@mickdadymwinyi19362 жыл бұрын
Ambaye humtaji tunamjua ni Issa wa machimbo Temeke DSM
@usseneandurabe9733 Жыл бұрын
Kama ni kweli dini África wamefundisha masufi basi wamefanya khiyana nyingi sana uwozo mwingi
@huseinsaidy38712 жыл бұрын
Wagawa umma hawa
@muhsinsalim6257 Жыл бұрын
Mm simsikizi sheikh yeyote coz hawaelimishi watu dini wao kugombana na kutukanana tuuuu hiyo ndio ilimu wakiyonayo
@zuberizuberi78442 жыл бұрын
Shekh muhammad unaweza kuwa na wafuasi wengi pindi tu ukithibitisha udogo wako mbele ya mashekhe waliokuzd kwa hpa Zanzibar
@masoudsalum38162 жыл бұрын
Inamaana kumbe Zanzibar kuna masheikh kama huja kubali kama wao niwakubwa unazuiliwa wafuasi,thawabu jee akifanya kheir atalipwa bila yakuthibitisha ukubwa wa hao masheikh.
@allymahaba3425 Жыл бұрын
Huyu mtoto wa Bachu ananitia shaka. Nahisi mgonjwa wa akili. Hivi kweli kuna haja upuuzi wake huu kuutoa mitandaoni!!! Waislam tunanufaika nini hapa?
@abbaspaziaog218810 ай бұрын
Kama hufaidiki basi huna akili
@ABUU_SAAD-ut4fdАй бұрын
Walikua na chuki na Abuu Muawiya. Hakua na lingana nao kielimu aliwazidi hadi kusomesha alijitahidi sana ABuu muawiya kwenye kila kona. Ila chuki na uongo walio mzushia wataenda mlipa kwa Allah..
@RashidShela-w8n5 ай бұрын
Huyu shekh mbn mawaidha yke yte yamejikita ktk ubaguzi au chuki flani kwa mashekh wenziwe kwan hawez kufundisha dini bila kudharau wengine
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Kwisha majadidaaa
@ahmedrageahmedrage91342 жыл бұрын
Wee hufaaai mpka siku Yaa Eid
@abbaspaziaog218810 ай бұрын
Je ww wafaaa
@ahmadsayyeed79106 ай бұрын
Hadithi yako inatufunza nn zaidi ya kuwadhalilisha wenye elimu
@bakarsalimu64186 ай бұрын
Ukimuona ntu masifa jua t hamna kitu nani akuogope
@allymahaba3425 Жыл бұрын
Eti Hapa ndio anafanya da'waa? Usuna, Ujadida, Usalafi ndio da'waa za siku hizi, sio Uislam. Ndio mtoto wa Bachu huyo. Mwenyewe Anajiona anajua kuliko Kila mtu. Subhaanallah.
@Mr2161983 Жыл бұрын
Eti watu wa suna
@abdullahm69372 жыл бұрын
Muhammad wacha Uongo Muogope Allah. Hesabu Yaumul Hesabu. Usidanganye watu msikitini
@Seremani-ll2yf6 ай бұрын
Tupopaja shekh
@FeisalMbamba6 ай бұрын
Hii nadhani ni siasa imezamishwa ndani ya dini sioni nasiha hapo
@jumajux834611 ай бұрын
Bado elimu kaongeze elimu kaka alafu punguza kbiri unapo fahamisha sehemu yoyote
@allyjaffar70722 жыл бұрын
UTOTO BADO UNAMSUMBUA HUYU DOGO...UKHAWAARIJ ULISHAMUATHIR KITAMBO SANA
@masoudsalum38162 жыл бұрын
Musijitakashe wenyewe Allah ndie anaemjua anaemuogopa,ila nisamehe mm simo katika mechi zenu
@allyjaffar70722 жыл бұрын
@@masoudsalum3816 nataka ufaham kuw kwanz hatupo kweny match kama unavyodai pili UACHE KUROPOKWA kam jambo hulijui kaa kimya...Allaah akurehemu
@mkude Жыл бұрын
Hawa majadida hawana hekma kabisa, SHEIKH Uthymeen anapingana na itikadi zao
@allyjaffar7072 Жыл бұрын
@@mkude Ndio unaamka sio...
@mkude Жыл бұрын
@@allyjaffar7072 kabisa akhuy ndo tunaamka,hamtengenezi Bali mnaibomoa man haj salafy. Kwa itikadi zenu mbovu
@Sahnut10 ай бұрын
Sifa ulikuwa nazo ni ulikuwa ni mjinga na bado una ujinga
@khamissalum9285 Жыл бұрын
Weye wamwambia shekhe wake kauli yakihuni du
@halidijuma18842 жыл бұрын
Kwa Hali hiyo ndio maana hata sisi tuliacha UWAHABI,,, manatumia nguvu kubwa kulikoni akili,,, Vijana wengi wengi walikimbia usalafi kwa tabia zenu,,
@matendupiterngoge8707 Жыл бұрын
Sasa hivi umenyamazishwa Sasa Kaa kimya katege samaki baharini ndugu zako tumbo Moja wako Madina wametulia wanasoma subir ukikua utajisikiliza hayo maneno yako ndio utakapokuja kujua huana adabu Wala lugha huijui
Ww n hurafi n hizbi kubwa xn mtu km huyu hatakiwi kusikilizwa n watu wasio n elimu {Maanswar ndugu zenu n matableh n itikadi yenu ya ikhwanul muslimn} Sisi umoja bandia hatuutaki tutaendelea kuwakata mpk muifate njia ilinyooka ety mtu wa sunna ana mapungufu yake sawa endelen kuchukua ilmu kwa Mahajawra ❎
@JafariNyallu24 күн бұрын
mziki je, tusikilize?
@sadickmguruka9 ай бұрын
Haukufikia malengo yako tu ndo maaana uliuacha na ipo siku hata hapo ulipo utatoka kwasababu ya kutokufikia malengo
@FahadiHamisi-f2w4 ай бұрын
Akitambua huyu
@mussamsuya8595 Жыл бұрын
Wew una matatizo kweli
@ausatmwangi6464 Жыл бұрын
Hii ni darsa ama ni show offs 😢😢
@hassanally5678 Жыл бұрын
Nashangaa pia.
@ShakimTyger-vw4ly6 ай бұрын
Hahahaaahaha bro😂😂😂😂😂😂😂 kwel n show za kibabe broo umeongea ukwel😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hassanowgennogenno57406 ай бұрын
Jadida,hizbi makhawariji mnamambo nyinyi
@ausatmwangi6464 Жыл бұрын
Tupo mahakamani hapa sasa sio msikitini tena😂😂😂
@AbubakarMuqaddam-f2r2 ай бұрын
ما هلك من هلك إلا بحب الشهرة والكذب
@mashaurimvungi22325 ай бұрын
Ukichaa wako umebainishwa na said kule mombosa Sasa hivi kimya kama haupo Dunia hii huna ishu kasome
@HassanHamad-rf9tqАй бұрын
Upuuz wako unajidhihirisha kuwa wewee ni hizbu salafy
@matendupiterngoge8707 Жыл бұрын
Kijana unajua kuongea lakini wallahi huna Elimu
@abbaspaziaog218811 ай бұрын
Ww unayo
@bilalijuma5277 ай бұрын
Uyu mjinga kweli kwanz adabu yake ni0
@najaributest Жыл бұрын
😂😂😂😂he kwanza ncheke hata yaani mulianza kuwatukana masufi sasa mumeshageukiana wenyewe kwa wenyewe munakashifiana munadharauliana yaani bora wale waimbaji taraab wanastahiana kuliko nyie hii clip haina faida yoyote katika kuendeleza uislamu bali kuleta migawano tu upuuzi mtupu ujadida sijui nini uislamu kuuita majina yasiokuwa na maana mutakwenda kuulizwa na allah kama elimu muliyopewa munatakiwa kusemana na kuitana majina au kuelimisha watu wapuuzi wakubwa
@matendupiterngoge8707 Жыл бұрын
Kwanza niabu kwa mtu anaeijua lugha ya kiarabu kusema jadida
@khamisali99076 ай бұрын
Ao wanao msikiliza wote vitoto km yeye hamna hata mmoja mwenye akili yake
@musabomar66111 ай бұрын
Kjana huyu jaahil sana
@BilalMkasi Жыл бұрын
Ww kijana nimuongo sana hakuna saalafia jadida
@salimabdallah5176 Жыл бұрын
Tusimame kukataza maovu
@twahaabrahman57252 жыл бұрын
Kasoro akanyee ndooni kikasuku hiki
@rashid3562 Жыл бұрын
Muongo dogo balaa
@SalimHaji-y6k5 ай бұрын
Muhim n kusom ukisom t hakun mt atakubabaish
@SalimHaji-y6k5 ай бұрын
Ubainif gn ndug yang umepat
@Auf-uh3jq2 жыл бұрын
Maimamu wetu bwana kazi ni hio kujifanya mwema wengine akawafanya waovu Maimamu wapenda kujiona Bora Sasa huyu ni apendae sifa Karibu atajipa kina la ulamaaa masifa
@kassimtz9567 Жыл бұрын
Nahana lolote nimshambatu wailimu Bado Ako mtoto sana
@abbaspaziaog218810 ай бұрын
Mvheni ALLAH jina la ulamaa sio kujipa tu
@ABUUDARDAAI Жыл бұрын
Wew akh ni hizbi na uyo mafuta wako pia hizbi
@abdul-rahmanfakijuma1879 Жыл бұрын
Hujitambui dogo mudi
@MohamednoordubaMohamednoorduba6 ай бұрын
Jadida
@huseinsaidy38712 жыл бұрын
Kweli nimeamini uislam utagawanyika makundi 72 kweli yanatokea kwa wahabi
@masoudsalum38162 жыл бұрын
Jee huyu ambae siwahabi yeye hana kundi,inawezekana kumbe hii kauli ya umma huu utagawanyika makundi 72 hayo makundi hatujayafahamu samahani lakini wewe nisheikh mm nimaamuma tu
@isaliisu3408 Жыл бұрын
Sijapata lakujifunza bora bando langu nimsikilize shekh mselem bin Alli wewe sipati faida
@isaliisu3408 Жыл бұрын
Yaani wewe kuchukiya kitu tu unanuna
@isaliisu3408 Жыл бұрын
Kwani wewe nani hasa hiyo ni Darsa ya dini au ni kuzungumziya ugomvi wenu bado langu utanilipa siku ya Hesabu