NILIACHA UJADIDAH NI UVUNDO, Sheikh Muhammad Bachu

  Рет қаралды 36,531

AL MUBAJJAL TV

AL MUBAJJAL TV

Күн бұрын

#Gusa_SUBSCRIBE_kupata_mazur_yajayo.

Пікірлер: 173
@LuqmanAndrew-nu9rx
@LuqmanAndrew-nu9rx 6 ай бұрын
Najaribu kuwaza jinsi alivokua Mzee Nassoro Bachu alafu na jinsi huyu mwanae vitu viwili tofauti, uyu ana shida kwelii Allah atujaalie mwisho mwema kwakwel huu nao mtihan.
@hashimiddi4789
@hashimiddi4789 2 жыл бұрын
Mashallah we nimkweli hutaki chengachenga
@mchagagaspar6649
@mchagagaspar6649 Жыл бұрын
SUBIRI MTONDOGO ATAHAMIA JINAJINGINE NA ATATUSI 2 ,AIGIZA KUMBO LAH PAMBATUPU WEWE BACHU !!!
@IsmailMketo
@IsmailMketo 3 ай бұрын
Mashaallah kaka wewe
@adamrajabu231
@adamrajabu231 Жыл бұрын
ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI INSHA ALLAH
@Its_me_hanseif
@Its_me_hanseif 4 ай бұрын
Alahamdulillah waswalaatuwassalaam alaa Nabiyyina Muhammad(ﷺ),alakhy katika dua usitumie neno inshaallah nimakosa,kwani nikuwa na wasiwasi juu ya uwezo wa Allah.
@athumanimdoembazi5465
@athumanimdoembazi5465 2 жыл бұрын
Mashaalah jazakakalah kheir
@vyamunguabdulkarim4313
@vyamunguabdulkarim4313 Жыл бұрын
Wallah nazidi kubainikiwa kuwa jihadi ndio mpango mzima kwasasa alhamdulillah tunaona neema ya jihadi
@binuqaasha675
@binuqaasha675 Ай бұрын
Allahu akbar
@shadhiriissabweraboymanda7732
@shadhiriissabweraboymanda7732 25 күн бұрын
Assalamu alykum warahmatullah wabarakatuh shekh wang hapo ulijitoa au ulitolewa.maneno yako yanaonekana ni yenye kujigonga gonga saana kwann msom!!!!!!!
@hassanmahamed8744
@hassanmahamed8744 2 жыл бұрын
Wamaa ursilu alaykum hafidhuun! Faaina tadhhabuun? In huwa illa DHIKRUN lil AALAMIN........
@hamisikanyama984
@hamisikanyama984 Жыл бұрын
Nafikir muone unaumuhim wakujifunza elimul akhlaq (waman uutia hekimata faqadi uutia khayran kathira) swadaqa ALLHAH
@CalvinVenance
@CalvinVenance 5 ай бұрын
Hio ndio shida watu hawana hekma
@abubakarngao6549
@abubakarngao6549 6 ай бұрын
Wallah uwahabi utawapoteza
@malcomx2774
@malcomx2774 2 жыл бұрын
Linganieni uislamu
@ShakimTyger-vw4ly
@ShakimTyger-vw4ly 6 ай бұрын
Tatizo anasifa nyingi mno anajiona kamaliza . Alaf mbona hatuelekezi aliko hamia tumafate waumini sis tunataka kheri bwana!!
@zaidechafim2613
@zaidechafim2613 Жыл бұрын
Bado kijana kasome auna mambo soma wallah soma pepo ni ya Allah
@IbrahimSuleyman-j8n
@IbrahimSuleyman-j8n 6 ай бұрын
We umesoma
@RamadhaniAlysalafi-rv6hi
@RamadhaniAlysalafi-rv6hi 7 ай бұрын
wee enyewe jadida🎉
@Seremani-ll2yf
@Seremani-ll2yf 6 ай бұрын
❤❤❤
@abamohamed7092
@abamohamed7092 2 жыл бұрын
Hii ndio kazi kubwa waliyonayo kila kukicha kukatana mapande huyu anamdharau huyu na yule kumchukia huyu na kujiona yeye ndio bora kwa kila kitu,masheikh wachamungu waliokuwepo zamani hawakuwa kama walivyo hawa wa sasa,hawaheshimiani hata kidogo
@al-murabbi4664
@al-murabbi4664 Жыл бұрын
جميل
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 Жыл бұрын
Eti tumekwenda hicho kimsikiti kdg, Subhanallah, ujana na dawa tuwe makini
@amritwaha-kp3hu
@amritwaha-kp3hu Жыл бұрын
Kumbe unatukana mpaka masalafi wenzako
@shamsuddin4582
@shamsuddin4582 7 ай бұрын
Hiyo ni athar ya lugha ya Zanzibar wacha kukuza mambo , pengine hujui.
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 6 ай бұрын
Huyu mtoto ana sifa sana anajiona mwanazuoni dah inauma sana LAKINI acha DUNIA imfunze
@IbrahimSuleyman-j8n
@IbrahimSuleyman-j8n 6 ай бұрын
Tatizo kubwa sana
@ismailmsangule1380
@ismailmsangule1380 Жыл бұрын
Dini Afrika yote hii imesomeshwa na masufi kumbukeni tu na msifiche ukweli
@mussafrancophonetours1356
@mussafrancophonetours1356 Жыл бұрын
Mashekhe wasikuhizi hawasubiri hata kuachiswa wakijiona washakua tu walimu wao hawajuwi kuliko wao
@BuiKishkOnlineTv
@BuiKishkOnlineTv 2 жыл бұрын
Abuu Mu'aawiyah Allah AMUHIFADHI tulikuwa nae masjid Taqwah AMANI.
@zubeirelhanaf
@zubeirelhanaf Жыл бұрын
Assalam alaykum
@abdulmalicktvabdulmalicktv3750
@abdulmalicktvabdulmalicktv3750 6 ай бұрын
Kwan ujadida ndo unini
@ilhamhaji8650
@ilhamhaji8650 Жыл бұрын
Innalillahi wainna ilayhi raajiuun
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 10 ай бұрын
Vipi kumefiwa au
@amaniamokachielmorisho1007
@amaniamokachielmorisho1007 10 күн бұрын
Mnifasiriye madjadida niwatu gani? Ni company, mnifasiriye na ma twarika niwatu gani
@Abuuabdillah259
@Abuuabdillah259 6 ай бұрын
Kijana ambae hajitambui
@KassimSalim-fi1me
@KassimSalim-fi1me 25 күн бұрын
Halingani hata sent nababa yake baba yke alikuwa aalim na alifundisha Elimu kwa maslahi ya akhera huyu anatafuta umaarufu
@abuuintisaar2104
@abuuintisaar2104 2 жыл бұрын
Waaachen watarud walipo tokea
@kadoditsa3805
@kadoditsa3805 Жыл бұрын
Upuziii mtupu... hakuna Dinii hapooo
@alimakame1476
@alimakame1476 2 жыл бұрын
Maleghe inamuhangaisha huyu kijana akikuwa atatulia inshaallah
@ausatmwangi6464
@ausatmwangi6464 Жыл бұрын
😂😂😂😂Umesema kweli
@MattarOnlineTV
@MattarOnlineTV Жыл бұрын
Yani ww 😢
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 10 ай бұрын
Nyie mushaakua au bado
@SeifMassoud
@SeifMassoud 6 ай бұрын
Bachu ukiangaliwa jinsi unavoongea tu lafdhi zako unaonekana bado hujakomaa kielimu kabisa na tena uko mbali sana, kaa chini fikiria na uendelee kusoma kaka
@ShakimTyger-vw4ly
@ShakimTyger-vw4ly 6 ай бұрын
Sasa ulikoenda ni wp ambapo kna kheri kurik kwa masalaf?? Bado unamatamanio ya nafsi dogo wew.uko ktoa ma crup video ndo ulipoona panafaa??. Sifa nying tuu utayumba sana
@NaadiriTV
@NaadiriTV 3 ай бұрын
Kwel??
@HafidhiBugi
@HafidhiBugi 25 күн бұрын
alokutoa tongo alokuzidisha ujinga
@ismailmsangule1380
@ismailmsangule1380 Жыл бұрын
Zungukeni tu lakini ukweli ni uleule kuwa masheikh wa kisalafi ni watu wapya katika Uislamu wenye mpango wao maalum na mmedhihir 1992 kwenda juu
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo Жыл бұрын
Hata wakati Allah alipokuwa akitumia Mitume yake kuna watu walikuwa wakiona walioletewa wakiyaona ni watu wapya na waliyoyaleta pia huyaona ni mapya! Sasa usemalo Leo ni Sawa!maana mumezama ktk Yale waliyokuwa waliyokuwa nayo wazee wenu
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo Жыл бұрын
Na wengine hata kuambiwa ni wendawazimu na kupata pingamizi nyingi tuu!lkn suala la Maulidi hili ndilo jipya zaidi ktk Uislamu maana Mtume na Maswahaba hawalijuwi?
@abdukhan4718
@abdukhan4718 Жыл бұрын
Sasa hapa nimepata picha kumbe kibri umerisi Kwa walimu wako
@adamkali3627
@adamkali3627 Жыл бұрын
Yaan huyu shekh du kituko sana Maan kwanza hana adabu
@mohamedamiri4597
@mohamedamiri4597 Жыл бұрын
Allah akbar
@nassornassor1130
@nassornassor1130 Жыл бұрын
Naona hujasema sababu ya kuchia mana kila usemacho sababu
@allymahaba3425
@allymahaba3425 Жыл бұрын
Mtoto wa Bachu yaani hayo maneno ndio da'waa kweli mpaka uyatangaze mitandaoni? Si mngekutana huko huko? Je na wenzako wakikujibu mitandaoni?
@mtagalalahmtagalalah1018
@mtagalalahmtagalalah1018 Жыл бұрын
Jadida Ni nini ??😢😢
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 10 ай бұрын
Watu wasunna wapya
@KassimSalim-fi1me
@KassimSalim-fi1me 25 күн бұрын
We ni hizbi usiejielewa unajipendekeza kwa kina barahiyani na Dr Islam unatafuta umaarufu
@alfaqeermuhsinhassan5860
@alfaqeermuhsinhassan5860 Жыл бұрын
Ile kukimbia Tu hilo ni tatizo ...hujui kama unaradhi na shekh lako au la
@mickdadymwinyi1936
@mickdadymwinyi1936 2 жыл бұрын
Ambaye humtaji tunamjua ni Issa wa machimbo Temeke DSM
@usseneandurabe9733
@usseneandurabe9733 Жыл бұрын
Kama ni kweli dini África wamefundisha masufi basi wamefanya khiyana nyingi sana uwozo mwingi
@huseinsaidy3871
@huseinsaidy3871 2 жыл бұрын
Wagawa umma hawa
@muhsinsalim6257
@muhsinsalim6257 Жыл бұрын
Mm simsikizi sheikh yeyote coz hawaelimishi watu dini wao kugombana na kutukanana tuuuu hiyo ndio ilimu wakiyonayo
@zuberizuberi7844
@zuberizuberi7844 2 жыл бұрын
Shekh muhammad unaweza kuwa na wafuasi wengi pindi tu ukithibitisha udogo wako mbele ya mashekhe waliokuzd kwa hpa Zanzibar
@masoudsalum3816
@masoudsalum3816 2 жыл бұрын
Inamaana kumbe Zanzibar kuna masheikh kama huja kubali kama wao niwakubwa unazuiliwa wafuasi,thawabu jee akifanya kheir atalipwa bila yakuthibitisha ukubwa wa hao masheikh.
@allymahaba3425
@allymahaba3425 Жыл бұрын
Huyu mtoto wa Bachu ananitia shaka. Nahisi mgonjwa wa akili. Hivi kweli kuna haja upuuzi wake huu kuutoa mitandaoni!!! Waislam tunanufaika nini hapa?
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 10 ай бұрын
Kama hufaidiki basi huna akili
@ABUU_SAAD-ut4fd
@ABUU_SAAD-ut4fd Ай бұрын
Walikua na chuki na Abuu Muawiya. Hakua na lingana nao kielimu aliwazidi hadi kusomesha alijitahidi sana ABuu muawiya kwenye kila kona. Ila chuki na uongo walio mzushia wataenda mlipa kwa Allah..
@RashidShela-w8n
@RashidShela-w8n 5 ай бұрын
Huyu shekh mbn mawaidha yke yte yamejikita ktk ubaguzi au chuki flani kwa mashekh wenziwe kwan hawez kufundisha dini bila kudharau wengine
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 жыл бұрын
Kwisha majadidaaa
@ahmedrageahmedrage9134
@ahmedrageahmedrage9134 2 жыл бұрын
Wee hufaaai mpka siku Yaa Eid
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 10 ай бұрын
Je ww wafaaa
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 6 ай бұрын
Hadithi yako inatufunza nn zaidi ya kuwadhalilisha wenye elimu
@bakarsalimu6418
@bakarsalimu6418 6 ай бұрын
Ukimuona ntu masifa jua t hamna kitu nani akuogope
@allymahaba3425
@allymahaba3425 Жыл бұрын
Eti Hapa ndio anafanya da'waa? Usuna, Ujadida, Usalafi ndio da'waa za siku hizi, sio Uislam. Ndio mtoto wa Bachu huyo. Mwenyewe Anajiona anajua kuliko Kila mtu. Subhaanallah.
@Mr2161983
@Mr2161983 Жыл бұрын
Eti watu wa suna
@abdullahm6937
@abdullahm6937 2 жыл бұрын
Muhammad wacha Uongo Muogope Allah. Hesabu Yaumul Hesabu. Usidanganye watu msikitini
@Seremani-ll2yf
@Seremani-ll2yf 6 ай бұрын
Tupopaja shekh
@FeisalMbamba
@FeisalMbamba 6 ай бұрын
Hii nadhani ni siasa imezamishwa ndani ya dini sioni nasiha hapo
@jumajux8346
@jumajux8346 11 ай бұрын
Bado elimu kaongeze elimu kaka alafu punguza kbiri unapo fahamisha sehemu yoyote
@allyjaffar7072
@allyjaffar7072 2 жыл бұрын
UTOTO BADO UNAMSUMBUA HUYU DOGO...UKHAWAARIJ ULISHAMUATHIR KITAMBO SANA
@masoudsalum3816
@masoudsalum3816 2 жыл бұрын
Musijitakashe wenyewe Allah ndie anaemjua anaemuogopa,ila nisamehe mm simo katika mechi zenu
@allyjaffar7072
@allyjaffar7072 2 жыл бұрын
@@masoudsalum3816 nataka ufaham kuw kwanz hatupo kweny match kama unavyodai pili UACHE KUROPOKWA kam jambo hulijui kaa kimya...Allaah akurehemu
@mkude
@mkude Жыл бұрын
Hawa majadida hawana hekma kabisa, SHEIKH Uthymeen anapingana na itikadi zao
@allyjaffar7072
@allyjaffar7072 Жыл бұрын
@@mkude Ndio unaamka sio...
@mkude
@mkude Жыл бұрын
@@allyjaffar7072 kabisa akhuy ndo tunaamka,hamtengenezi Bali mnaibomoa man haj salafy. Kwa itikadi zenu mbovu
@Sahnut
@Sahnut 10 ай бұрын
Sifa ulikuwa nazo ni ulikuwa ni mjinga na bado una ujinga
@khamissalum9285
@khamissalum9285 Жыл бұрын
Weye wamwambia shekhe wake kauli yakihuni du
@halidijuma1884
@halidijuma1884 2 жыл бұрын
Kwa Hali hiyo ndio maana hata sisi tuliacha UWAHABI,,, manatumia nguvu kubwa kulikoni akili,,, Vijana wengi wengi walikimbia usalafi kwa tabia zenu,,
@matendupiterngoge8707
@matendupiterngoge8707 Жыл бұрын
Sasa hivi umenyamazishwa Sasa Kaa kimya katege samaki baharini ndugu zako tumbo Moja wako Madina wametulia wanasoma subir ukikua utajisikiliza hayo maneno yako ndio utakapokuja kujua huana adabu Wala lugha huijui
@mkude
@mkude Жыл бұрын
Nyinyi ndo adabu hamuna,watu gani nyinyi mnahaj gani nyinyi mnayoifuata hata hekma hamuna.
@afhamomar4441
@afhamomar4441 5 ай бұрын
Ww n hurafi n hizbi kubwa xn mtu km huyu hatakiwi kusikilizwa n watu wasio n elimu {Maanswar ndugu zenu n matableh n itikadi yenu ya ikhwanul muslimn} Sisi umoja bandia hatuutaki tutaendelea kuwakata mpk muifate njia ilinyooka ety mtu wa sunna ana mapungufu yake sawa endelen kuchukua ilmu kwa Mahajawra ❎
@JafariNyallu
@JafariNyallu 24 күн бұрын
mziki je, tusikilize?
@sadickmguruka
@sadickmguruka 9 ай бұрын
Haukufikia malengo yako tu ndo maaana uliuacha na ipo siku hata hapo ulipo utatoka kwasababu ya kutokufikia malengo
@FahadiHamisi-f2w
@FahadiHamisi-f2w 4 ай бұрын
Akitambua huyu
@mussamsuya8595
@mussamsuya8595 Жыл бұрын
Wew una matatizo kweli
@ausatmwangi6464
@ausatmwangi6464 Жыл бұрын
Hii ni darsa ama ni show offs 😢😢
@hassanally5678
@hassanally5678 Жыл бұрын
Nashangaa pia.
@ShakimTyger-vw4ly
@ShakimTyger-vw4ly 6 ай бұрын
Hahahaaahaha bro😂😂😂😂😂😂😂 kwel n show za kibabe broo umeongea ukwel😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hassanowgennogenno5740
@hassanowgennogenno5740 6 ай бұрын
Jadida,hizbi makhawariji mnamambo nyinyi
@ausatmwangi6464
@ausatmwangi6464 Жыл бұрын
Tupo mahakamani hapa sasa sio msikitini tena😂😂😂
@AbubakarMuqaddam-f2r
@AbubakarMuqaddam-f2r 2 ай бұрын
ما هلك من هلك إلا بحب الشهرة والكذب
@mashaurimvungi2232
@mashaurimvungi2232 5 ай бұрын
Ukichaa wako umebainishwa na said kule mombosa Sasa hivi kimya kama haupo Dunia hii huna ishu kasome
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq Ай бұрын
Upuuz wako unajidhihirisha kuwa wewee ni hizbu salafy
@matendupiterngoge8707
@matendupiterngoge8707 Жыл бұрын
Kijana unajua kuongea lakini wallahi huna Elimu
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 11 ай бұрын
Ww unayo
@bilalijuma527
@bilalijuma527 7 ай бұрын
Uyu mjinga kweli kwanz adabu yake ni0
@najaributest
@najaributest Жыл бұрын
😂😂😂😂he kwanza ncheke hata yaani mulianza kuwatukana masufi sasa mumeshageukiana wenyewe kwa wenyewe munakashifiana munadharauliana yaani bora wale waimbaji taraab wanastahiana kuliko nyie hii clip haina faida yoyote katika kuendeleza uislamu bali kuleta migawano tu upuuzi mtupu ujadida sijui nini uislamu kuuita majina yasiokuwa na maana mutakwenda kuulizwa na allah kama elimu muliyopewa munatakiwa kusemana na kuitana majina au kuelimisha watu wapuuzi wakubwa
@matendupiterngoge8707
@matendupiterngoge8707 Жыл бұрын
Kwanza niabu kwa mtu anaeijua lugha ya kiarabu kusema jadida
@khamisali9907
@khamisali9907 6 ай бұрын
Ao wanao msikiliza wote vitoto km yeye hamna hata mmoja mwenye akili yake
@musabomar661
@musabomar661 11 ай бұрын
Kjana huyu jaahil sana
@BilalMkasi
@BilalMkasi Жыл бұрын
Ww kijana nimuongo sana hakuna saalafia jadida
@salimabdallah5176
@salimabdallah5176 Жыл бұрын
Tusimame kukataza maovu
@twahaabrahman5725
@twahaabrahman5725 2 жыл бұрын
Kasoro akanyee ndooni kikasuku hiki
@rashid3562
@rashid3562 Жыл бұрын
Muongo dogo balaa
@SalimHaji-y6k
@SalimHaji-y6k 5 ай бұрын
Muhim n kusom ukisom t hakun mt atakubabaish
@SalimHaji-y6k
@SalimHaji-y6k 5 ай бұрын
Ubainif gn ndug yang umepat
@Auf-uh3jq
@Auf-uh3jq 2 жыл бұрын
Maimamu wetu bwana kazi ni hio kujifanya mwema wengine akawafanya waovu Maimamu wapenda kujiona Bora Sasa huyu ni apendae sifa Karibu atajipa kina la ulamaaa masifa
@kassimtz9567
@kassimtz9567 Жыл бұрын
Nahana lolote nimshambatu wailimu Bado Ako mtoto sana
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 10 ай бұрын
Mvheni ALLAH jina la ulamaa sio kujipa tu
@ABUUDARDAAI
@ABUUDARDAAI Жыл бұрын
Wew akh ni hizbi na uyo mafuta wako pia hizbi
@abdul-rahmanfakijuma1879
@abdul-rahmanfakijuma1879 Жыл бұрын
Hujitambui dogo mudi
@MohamednoordubaMohamednoorduba
@MohamednoordubaMohamednoorduba 6 ай бұрын
Jadida
@huseinsaidy3871
@huseinsaidy3871 2 жыл бұрын
Kweli nimeamini uislam utagawanyika makundi 72 kweli yanatokea kwa wahabi
@masoudsalum3816
@masoudsalum3816 2 жыл бұрын
Jee huyu ambae siwahabi yeye hana kundi,inawezekana kumbe hii kauli ya umma huu utagawanyika makundi 72 hayo makundi hatujayafahamu samahani lakini wewe nisheikh mm nimaamuma tu
@isaliisu3408
@isaliisu3408 Жыл бұрын
Sijapata lakujifunza bora bando langu nimsikilize shekh mselem bin Alli wewe sipati faida
@isaliisu3408
@isaliisu3408 Жыл бұрын
Yaani wewe kuchukiya kitu tu unanuna
@isaliisu3408
@isaliisu3408 Жыл бұрын
Kwani wewe nani hasa hiyo ni Darsa ya dini au ni kuzungumziya ugomvi wenu bado langu utanilipa siku ya Hesabu
@aishaarusha894
@aishaarusha894 Жыл бұрын
@@isaliisu3408 lo makasiriko tu halipi
@Zainabnoor0087-ze
@Zainabnoor0087-ze 5 ай бұрын
❤❤❤
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 жыл бұрын
Kwisga majadidaaa
ANGALIA Muhammad Bachu AKIJIBU MASWALI KITAALAMU||HUWEZI KUAMINI.
41:26
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 67 М.
Upungufu wa ilmu ya Muhammad Bachu kwenye funga ya arafa
17:48
Maawy Muhammad
Рет қаралды 50 М.
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 43 МЛН
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 62 МЛН
MAJADIDA WAVULIWA NGUO NA KATIBA
15:45
AL MUBAJJAL TV
Рет қаралды 3,9 М.
Hii Ndio Nguvu ya Mtu Mwenye Kumtegemea Allah s.w. Sheykh; Hamza Bin Mansoor
44:23
MAMBO YALIYOZUSHWA KATIKA MAZISHI SHEKHE NASSORO BACHU
56:06
Madrasatulfurqani Tv
Рет қаралды 14 М.
MBONA MNAAMRISHA MSIYOYATENDA | SHK MUHAMMAD BACHU
35:24
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 3,5 М.
MUHAMMEDI BACHU KITANZINI NA USTADH SAIDI MAMBURUI MUNAKASHA BARZANJ
1:31:53
MITIHANI KWENYE DA'AWA |SHEIKH MUHAMMAD BACHU
30:48
Al Haajar TV Kenya
Рет қаралды 2 М.
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 43 МЛН