Ndio kaka umeongea Mambo mengi Sana ya msingi watu wakizingatia lazima wafaidike
@changamkiafursa4 жыл бұрын
Kitu cha msingi ni kuweka kumbukumbu vitu vyote vya msingi ili uvifiweke kwenye matendo
@margarethmanoni9689Ай бұрын
Nashukuru sana mwanangu kwa somo zuri nilikuwa sijui kuwa kunakubadilisha jogoo maana jogoo wangu wamezaliwa hapahapa na dada,mama zao wapo hapa ngoja ninunue jogoo wengine
@hasnaahmed68773 жыл бұрын
Kaka somo zur sn hamna watalam wa ufugaj mikowan
@tululililomo47064 жыл бұрын
Kweli elimu haina mwisho kumbe kuna umuhimu wa kubadilisha majogoo nilikuwa napuuza sana mkuu hili jambo sasa nabadili mwelekeo ahsante sana
@changamkiafursa4 жыл бұрын
Nimuhimu sana, itakusaidia kupata vifaranga wasioshambuliwa kirahisi na magonjwa
@analwabwela91212 жыл бұрын
Saafi sana
@EMMANUELKIJINZA25 күн бұрын
Nataman sana elimu hii maana naona ni Moja ya kitu Cha msingi sana😊
@fredricklukosi92242 жыл бұрын
Somo zuri sana 🙏🙏🙏
@LucyKamwela-dn1hh3 ай бұрын
Asante nataman saana
@bongoplay8652 жыл бұрын
Asante sana
@gwamakamwailunga30394 жыл бұрын
Video hii imejibu maswali nilikuwa nawaza kukuuliza,hongera sana natumaini utakuwa mentor wangu siku zijazo.
@changamkiafursa4 жыл бұрын
Asante sana kwa Mrejesho wako
@omanjalan5829 ай бұрын
Asante sana brother
@user-rn2ih3vf3w11 ай бұрын
Asante ndugu Kwa ushauri
@user-io3xx2jw7f7 ай бұрын
Uko vizuri
@user-jn7pi4fl5m Жыл бұрын
Jamani nawapenda sana
@saimonchangombe788823 күн бұрын
Good
@pasliterwakungwi938510 ай бұрын
Napenda kufuga kuku Asante
@blackboy5419 Жыл бұрын
Naipenda uduma hii
@KulsumMeghjiАй бұрын
Vizuri sana 🎉
@stephanmiganigan3297 Жыл бұрын
Napenda sana kufuga kuku
@MashakHassan2 ай бұрын
Napenda kujua kua chakila cha kuku wa kisasa wakienyej ninaweza kuwap
@KuluthumuHamadaАй бұрын
Ahsant sana broo kwa elim unayo 2patia
@user-qk3xi3sm5l5 ай бұрын
Napendapenda kufuga ila changamoto ya magonjwa na mtaji wa kununua chakula
@sophymussa55628 ай бұрын
Ahsante
@twororeturimekijambere54912 жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮asanteni Kwa mafunzo yako
@alesnjeje1734 жыл бұрын
Somo zuri,
@user-xr2ze8wv5w3 ай бұрын
Uko vzr kaka
@user-yr4io7io7p5 ай бұрын
Natamani sana nijue kutunza vifaranga bila vifo
@anjelistfelix10416 ай бұрын
Nimefurahua
@harunmwazembe99804 жыл бұрын
Asanteh sana kwa ushauri mzuri,,,,, me MWANAFUNZI aisee alafu Niko mbali na home lkn nataka nifuge hao kuku,, si naweza kushare na mtu ambaye anampango wa kufuga kuku !!!!
@changamkiafursa4 жыл бұрын
Hakikisha unaShauku na ufugaji wa kuku
@maulidmtani23994 жыл бұрын
Nakukubali sana Kaká kwa elimu unayoitoa
@changamkiafursa4 жыл бұрын
Tuko pamoja
@maimunamohamed35586 ай бұрын
Nimependa mafunzo yako kaka ubarikiwe mm ndio naanza na nimejifunza Sana
@Ishengoma14 жыл бұрын
Kwa ushauri bora nawapataje. Naomba mawasiliano
@changamkiafursa4 жыл бұрын
What's app 0752209073
@mizaseif7685 Жыл бұрын
@@changamkiafursa utaratibu wa kujiunga upoje kwa sasa
@josephmasika3854 Жыл бұрын
Alhamdulillahi
@kaluluthehair440019 күн бұрын
Mim nataka kufuga kuku kienyeji
@GloriaMbunda4 ай бұрын
Ni nzur
@JustinaJwangi-oc6vc10 ай бұрын
Nimefurah San kupat elimu kutok kwen kuhusu ufugaji napenda sana kufuga, swal lang ni je ni kwel ukiwapunguzia manyoa mkian hasa kuku jike wananenepaa
Kuku wangu ametaga yai Ila liko na Ufa hilo linaweza kutotoa kifaranga
@user-nr2vw5vz2n8 ай бұрын
Huuu uongo
@theresiagratta5796 Жыл бұрын
asante naomba uniweke kwenye group la wafugaji asante mno
@unisobura96772 жыл бұрын
Ni vyakula vipi vya kuwapa kuku wanotaga
@user-pr5sl2qe4r8 ай бұрын
Mimi nnapenda sana ufigaji. Na nimepeleka D’salaam incubator , sasa naomba kupata mayai ambayo tujaribu kutotoa watoto
@neemamassame81832 жыл бұрын
Ahsante kwa maarifa na je nitapataje logo na tetra kumcha?
@mariammkono74558 ай бұрын
Naomba unisaidie je kuku wanaweza kulala banda moja na kuku
@stivinimashurubu99894 жыл бұрын
Chakula ngani tofaut na pumba
@changamkiafursa4 жыл бұрын
Layers Mash, chakula cha kuku wanaotaga
@nadhirmushi43474 жыл бұрын
Oya fanya somo lijalo tufundishe utengenezaji wa chakula cha kuku kwanzia start mpaka kuku wanapoanza kutaga bro
@changamkiafursa4 жыл бұрын
Tuko pamoja
@danielelwin17784 жыл бұрын
Naungana na Mushi, somo lijalo tufundishe kuhusu utengenezaji wa chakula cha kuku kwa njia za asili
@changamkiafursa4 жыл бұрын
Tuko pamoja
@user-hu2uy5mp1j4 ай бұрын
Kaka jambo nihalbie vyakula vyakuku ili ciselé mukiswaili
@estherkimani35124 ай бұрын
Vifaranga wa kuku ya mayai kutoka siku moja inafaa kukaa kwa stima mda mgani
@NathanielPeter-wv3wg2 ай бұрын
CHAKULA CHA KUTAGISHA NI KIPI
@nkuutufred24443 жыл бұрын
Please, can't you give us a teaching in English. So that all Africans can understand this very important information. It is very important
@shakurfaith Жыл бұрын
He doesn't have to. It's not his language! Just ask for subtitles
@catherinejanken7697 Жыл бұрын
Z xko hoopi j
@catherinejanken7697 Жыл бұрын
JIPic
@user-kv7hq5mb6m11 ай бұрын
Chakula bora hicho nikipi,
@Ishengoma14 жыл бұрын
Tunasubiria madini
@changamkiafursa4 жыл бұрын
Saa mbili kamili Asubuhi
@hadijamandemla70174 жыл бұрын
@@changamkiafursa naulizia je kuku WA 3 au 4 wanauzwa bei gani Naomba jibu lako
@estherkimani35124 ай бұрын
Nauliza jogoo moja inafaa kuwa kuku wa wangap
@atoshamkingule72584 ай бұрын
Kuku Kimu dear
@user-ft6os1tj9b3 ай бұрын
Mnapatikana wapi?
@IbrahimOmary-mw1dt Жыл бұрын
ivi kuku wanawezaj kutaja mayai meng
@AliyHamsin2 ай бұрын
Nataka namba zako ili nikuuliza nakulipia fomla
@calsonmbowe76692 жыл бұрын
unawezaje kupata majogoo ?
@saleheluvanga9929Ай бұрын
Chakula icho kinaitwaje kaka?
@user-nr2vw5vz2n8 ай бұрын
Nichakula ngani hicho
@neemapetertungu6772 жыл бұрын
nimeanza na kuku wanne na jogoo mmoja, ila wakitaga, kunakitu kinakula mayai, leo nimechungua nimeona shimo, sasa ni nyoka au panya...wananimalizia mayai nisaidie la kufanya. mabanda niliyo yayo ni kama hayo yenu.nipasafi.
@hamisishabani40095 ай бұрын
Piga lafu floor then weka malanda au majan makavu kuwa makin na mlango au matundu ambayo yanaweza pitisha wadududu
@yohanaissaya4338 Жыл бұрын
Nize na kuku ngapi
@bokasanyagali39372 жыл бұрын
Ok
@washaumfaume86028 ай бұрын
Nichakula gani chakuwapa kukuwanaotaga msaada
@user-jn7pi4fl5m Жыл бұрын
Utajuaje sasa kama wanamafua
@Irene-bz6zz Жыл бұрын
Asnte kwa somo, lakini mbona kwangu magonjwa hayakatiki? Inanikatisha tamaa
@SilasshijaMangu4 ай бұрын
Umejtaid xn
@maimunamohamed35586 ай бұрын
Ni mda gani inafaa kuwatenganisha vifaranga na mama Yao nikiwa Kenya
@alesnjeje1734 жыл бұрын
Naweza kumnyanganya vifaranga kuku alietotoa vya siku moja?
@changamkiafursa4 жыл бұрын
Ndio, utawalea kwa njia ya kubuni
@Barick26 ай бұрын
Wewe ulianza kufuga kuku wangapi
@ruthamba62934 жыл бұрын
sasa hawa KuKu unawa chakula gani? mpaka wanazaliana kwa haraka...!!
@tunsumemwajumba714910 ай бұрын
Mayai napata?
@ManyahiAlbanusi-hf2ew Жыл бұрын
Naomba niulize mi ninakuku 30 nafugia kwenye Banda mambogani naitaji nizingatie?
@user-ed8nt9xy4w20 күн бұрын
aksanti kwa siri za ufugaji wa kuku; sasa na hitaji saana video zenu ni fanye nini
@MashakHassan2 ай бұрын
Napend kufuga
@user-my7ik4hd4p4 ай бұрын
Nikwamara ya kwanza kuona vidio hii nauliza hiyo majani naona kuku wakila ni majani ipi ambao kuku Wafaa kukula ama mti wowote
@user-nl8rm4mf5i4 ай бұрын
Habar mm natk group len whatsapp ili kupat elimu
@joycemlighite92712 жыл бұрын
jamani mbona kuku wangu hawatotoi vzr
@sikujuwabackari3554 Жыл бұрын
Lakini naomba kwanza samahani , mtu akiuliza swali asijibiwe inamaanisha nini ? kama alikosea au hakukosea cha muhimu ni kumjibu
@magdalenalaban8895Ай бұрын
Jina litatokea nani
@victorsteven4013 Жыл бұрын
Chakula hicho kinaitwaje
@analwabwela91212 жыл бұрын
Unapatikana wap?
@user-nl8rm4mf5i4 ай бұрын
Habar mm natak group lenu ili nipat eliminate zaid
@joycemlighite92712 жыл бұрын
chakula cha kuku wanaotaga ni chakula gani
@scholasticamswata3548 Жыл бұрын
Chakula gani?
@christinapaul18592 жыл бұрын
Nielekez tafadhal nikiyaacha pamoja siku y kulalia nawagawanyiajeee msaada tafadhal
@DaudiMwasipaja-cv5lq10 ай бұрын
Dawa gani Nagalama Zane?
@tesmaochango48852 жыл бұрын
Kuku wa kienyeji wanakula chick starter kwa muda wa wiki ngapi
@paschalmagubo63373 жыл бұрын
Na jogoo akimpanda jike ambae ni mwanae wa kumzaa inaweza kusababisha udhaifu wa kifaranga?
@shakurfaith Жыл бұрын
Ndio
@joviangeofrey72124 жыл бұрын
Kaka nashukuru sana kwa elimu hii. Ila kaka nataka kufuga mabata mzinga. Una elimu kuhusu ilo?
@changamkiafursa4 жыл бұрын
Hakuna kichoshindika, elimu ninayo ila sina uzoefu 🤔
@joviangeofrey72124 жыл бұрын
@@changamkiafursa ok sawa
@user-jq6ug1gc8g5 ай бұрын
Nina majike 18 nitafute majogoo mangapi
@atoshamkingule72584 ай бұрын
Tafuta wawili
@jacksonntandu47714 жыл бұрын
Kaka unaacha vifaranga walelewe na mama yao ama
@changamkiafursa4 жыл бұрын
Ndio, na lazima niwafungie ili kuwalinda na wanyama hatarishi
@zamdakimaro8040 Жыл бұрын
zNIMETAXAMA VIDEO NYINGI HII NDIO NIMEEELEWA
@christinapaul18592 жыл бұрын
Naomba msaad nina kuku 6 wanatag sehem moja,siku wakianz kulalia nitumie njia gani kuwalalishia mayai ya kutotoa na inasemekana mayai yasizid siku kumi na nne?
@doramwakatwila29714 жыл бұрын
Naomba niunge no yangu ni 0628156568
@changamkiafursa4 жыл бұрын
Fata maelekezo ya video ujisajili kwenye group. Darasa litaanza tarehe 10 mwezi wa 7