Ujumbe wa msingi apa ulionigusa ni neno wakati, kwamba napita sababu ya wakati na nitatoka sababu ya wakati...oooh JESUS I LOVE U SO MUCH ni wakati tu.....ubarikiwe Martha
@mwanaidikashoda58355 жыл бұрын
Nakupenda Sana dada mungu azidi kuku bariki
@sikiviabraitoni67415 жыл бұрын
Dada mungu akubaliki sana unanibalik sana
@sikiviabraitoni67415 жыл бұрын
kupitia uwimbajiwako Dada najifunza mengi kutokakwako mungu akubaliki sana
@Mzeiyaa5 жыл бұрын
@@sikiviabraitoni6741 yq TGQWV@-MTRWV bku. The
@vailethlinus86235 жыл бұрын
MARY STEPHEN hh
@nyotampenda29675 жыл бұрын
Tunakupenda ku Sena ukweli, kwangu mimi wewe ndo wa kwanza katika Gospel Martha, nyimbo zako zinagusa saana moyo wangu, almost all the songs. ❤️❤️🥰❤️🥰❤️🥰
@mbunge03754 жыл бұрын
Kama kuna mme yeyote chini ya jua ambaye anayeweza kumkwaza Martha huyu, katu hawezi kuishi na mke yeyote duniani. Martha uko vizuri kupindukia. Neema ya Mungu iwe nawe daima.
@sarahgaula22203 жыл бұрын
Usiusemew moyo
@obbymark85565 жыл бұрын
Uncle Jimmy mm nashauri kwenye interview za waimbaji wa Gospel muwe mnahoji maswali mengi ambayo watu wengi wanahitaji kujua kuhusu huyo muimbaji mfano ,amezaliwa wapi, elimu yake ,maisha yake binafsi na vitu anavofanya nje ya mziki wa injili maana Kuna mambo mengi ya kujifunza kutokana na historia zao na maisha yao binafsi msihoji maswali ambayo yapo wazi na tunajua
@susansaleh86505 жыл бұрын
Enda kwa google andika jina zao
@mnadasudy94805 жыл бұрын
obby mark nice
@machozitosha40065 жыл бұрын
Ndugu yangu mimi ni mjowao kwa wanao kupenda sana dada
@rachaeljohnaloyce73155 жыл бұрын
ni kweli
@justinenabangal13678 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤😢 ata Mimi huwa nyimbo zako hunito huzuni wakati nimezongwa na matatizo hongora Mather ubarikikwe maishani mwako
@robertchris88193 жыл бұрын
Ule wimbo wa Martha, inaitwa 'ombi langu kwa Mungu' kwa kweli uliniguza sana. Mpaka natamani nikutane naye ana kwa Ana nimpe zawadi yake. Kwa kweli mkimuona naomba mnikutanishe na yeye, Mimi niko kenya.
@aminatakasemire20493 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Marthe
@annemariba24545 жыл бұрын
I love your songs you are blessing to many souls
@evalyanga98993 жыл бұрын
Nitafte Dada hapa. 0677883082.ninashida na wewe Dada naipenda huduma ya uimbaji lakini sinanjia
@lionsonlionel21405 жыл бұрын
Dada waipaja naomba number yako ili nami niinuwe kipaji changu
@mwajumahamisi67385 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza kununua album ya huyu dada ni alipotoa album ya ombi langu kwa Mungu. Ilinitoa mahali.
@valenakomba76865 жыл бұрын
why are you talking like congolese or kenyan?
@elishalugano56793 жыл бұрын
Uyu mama arudi kwa ndoa yake kwanza ! sasa yy anasema amepata ziki nyingi sana katika maisha ala Yesu atasema nini? Yesu ndie aliye ziakiwa ww bado iyo nisehemu ya mahandiko kutimia katika maisha ya wanadamu . wewe rudi kwa mume wako ndio Mungu atafurahi juu Mungu si wamatengano rudi rudi ndio furaha yetu nasi mnatupatisha haibu sana na kufanya Jina la Yesu lizarauli na jumuhiya yo te ya wakristo mnajaa na vituko ss utahuti wako wapi na watu wa dunia? afadhali watu wa dunia watengane kuliko ss ss njo wakuwaleta pamoja juu ss ni nuru ya ulimwengu akuna kujitetea apo danganya vipofu rudi kwanza kwa ndoa yako Yesu alivumilia ww vingapi? unaezaesabu ww? mpaka ivi leo Mungu angali nakuvumilia tu na kk samee siku kwa siku kwa nini wewe uwezi vumilia mume wako na kumusamee kama gisi ukonase yy njo amekua nakutesa ama musaliti kwako sumusamee ? uwezi ona ni shetani ndiye adui za ma ndoa? si mume wako njo adui yako.
@JosephinePeter-e7z2 ай бұрын
Dad matha ninakupenda san mana nyimbo zako nzur san Zina kweli ya mung hongera dad
@julytito38915 жыл бұрын
Dada umeniliza eti ,naguswaga sana na nyimbo zako pia
@somiaal80195 жыл бұрын
More love kutoka 254
@sahaabalsahaab13735 жыл бұрын
Kweli kabisa dada kunawakati wa mungu kabisa. Ubarikiw sana dada martha
@modestatemu3991 Жыл бұрын
Kweli anakuwa anatisha jmn kweli MUNGU no kwemaa san
@IrakazaAdonai3 ай бұрын
tusikate tama🙏🙏🙏 pia mimi hio nyimbo inanigusa mpaka sasa hivi
@maryjustapeter54305 жыл бұрын
Matha Mungu azidi kkutumia kama apendavyo, tunabrkiwa sana.ushauli nalusihii usijichubue ngozi naona kama unabadrika ngozi kaa kama Mungu alivyokuumba. wwe nimzuri sana usialibu ngozi
@tabiarajabu6855 Жыл бұрын
Unawafundixhi nn vijana wanaotarajia kuoa au kuolewa?
@YussufSelemani-nl3jz9 ай бұрын
Oooh Mamy thank you very very much 🙏🙏👍👍
@andrewkitaly60035 жыл бұрын
uncle jimmy bwana yesu asifiwe naomba nikukumbushe kuwa next time utupe fursa ya kumjua mwimbaji kiundani yaan maisha yake ya awali na ya sasa namaanisha historia yake kwa kina ni hamasa kwa watu wanao pitia changamoto ambazo zina shabihiana na zake. ahsante na ubarikiwe
Monica Mbise ndiyo nyimbo zinazoinua kiroho siyo z Ndomboro ya Solo
@ndebilecharles94614 жыл бұрын
dada naitwa happy kutoka bariadi simiyu nawapenda sana nataman na mm niwe mwimbaj kama wew na mdogo wako love u so much
@johnesther53885 жыл бұрын
Mimi nikiwa huku Kenya Martha unanipa motisha sana Mungu akubariki akuzidishie nguvu uzidi kumwimbia milelee daima
@jesicahphibi69045 ай бұрын
Ukweli kabisaa wakati wa Mungu ukifika hakuna atakae pinga
@MagrethSeleman-g3l Жыл бұрын
Nakupend cn nabalikiw cn nanyimbo zak
@DorineWakhisi5 ай бұрын
Kamamu nyimbo zako sana zinaguza mioyo za wengi kabisa
@paulynekhalayi40302 жыл бұрын
Martha you always touch my heart with your songs ,,may God keep and lift you up to the next level dear💞
@childofgod11314 жыл бұрын
Martha mwaipaja napenda kazi yko saana... May God bless you
@elizabethlithabeth60614 жыл бұрын
Wakati mwingine tunatamani kukataa tamaa lakini nyimbo hizi namuona mungu
@julianacharles57205 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana nyimbo zako zinanibariki Sana
@rachelalinda70075 жыл бұрын
Yani Huduma yako dada huwa unanibariki sana Mungu azidi kukuinua nyimbo zako zote zina ujumbe unaogusa wengi.
@JanetNafula-k2kАй бұрын
Nkupnda xna Martha mwaipaja
@mchuumchu98015 жыл бұрын
Ila kwa maringo!!
@emmyngoy96864 жыл бұрын
sura ya inaonekana kweli uyasemayo
@judithmgaya77332 жыл бұрын
Ni mkenya au umeishi kenya muda mrefu!
@gracegracegrace18275 жыл бұрын
Huyu dada nampendea roho ya utulivu....una majibu ya hekima sana !! Nakupenda sana!!
@anithagilibert68085 жыл бұрын
jamani au macho yangu mbona kama vile sioni Pete kwenye kidole chake nasiyo kawaida Yake ndokashaachana na Mme wake au?
@minzajoji71964 жыл бұрын
Makubwa ss Pete ww inakuhusu nn au unaitaka uvae ww maana Pente kavaa kidole Chapili ubeya kaz 😅😅😅
@ndebilecharles94614 жыл бұрын
mnanibariki sana mwaipaja's family
@SheilaLunga11 ай бұрын
Mungu hutowa wamtumainio mbali
@BosccoMmuni-n3r Жыл бұрын
Martha.ubarikiwe.na.mungu
@nowelaraymond59862 жыл бұрын
Big up mtumishi🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@jannetijeylady29132 жыл бұрын
Nikisikiliza unantja moyo sana
@morrismkariko33734 жыл бұрын
Na Martha anacheka poa😂😂,, anyway blessings to her
@rechormalimbi96895 жыл бұрын
Nakupenda sana Martha nyimbo zako ni biblia hakika
@piushappyness2264 жыл бұрын
Nakupenda mno 😍 nashindwa niseme nini
@godfreylyimo41774 жыл бұрын
Tafuta Roho mwenyewe akupe wimbo sbb Mungu ndio anajua anataka kusema nini na watu wake..
@mengiuswege36542 жыл бұрын
Huyu dada Mungu amuweke Kwa kweli Mwanamke wa TOFAUT sana yule Mume amepoteza dhahabu aliyoishika akairusha kuulia ndege na asijuwe kuwa lile jiwe Lina THAMANI zaidi kuliko ndege yule
@modestatemu3991 Жыл бұрын
Jmn jmn matha wewe nimzuri mno
@Beatriceandeyo Жыл бұрын
Amen
@MichaelThomas-hl9pu2 жыл бұрын
Mama uko vizuri kwakweli
@KotomeIan6 ай бұрын
Martha mwaipaja nyimbo zako huwa inaguza sana Acha mungu asidi kukupenda sana....I like your songs mum.
@kacheali47775 жыл бұрын
Martha u r blzd sz , I love ur songs it's really inspiring me ,The song was released 2013 June I was facing difficulties of getting job nd final got it ,I felt gd nd this song use to encourage me .from i+971
@deogratiashaule52245 жыл бұрын
Martha you always bless my heart. May God keep you to the next level.
@neemagoodluck44015 жыл бұрын
Nakupenda Martha Mwaipaja, sante kwa faraja yako na Mungu azid kukutumia
@frankkapinga8363 жыл бұрын
Matha nakupenda unabusara
@ESPERANCEMAVE-qp8ps3 ай бұрын
Merci ma sœur unanisaidia sana tena sana.
@tendaimavhe28692 жыл бұрын
I luv you Martha....
@anithasayoni64622 жыл бұрын
Ubarikiwe mpendwa
@lovedoctorernestgoodboymov54322 жыл бұрын
Oohh my GOD this voice this voice blessed
@YussufSelemani-nl3jz9 ай бұрын
Popote nilipo nafulahikia nakusikia nyimbo zako kila muda.Mama shukulani Mungu akuwe pamoja na wewe milele na milele.Amina🙏🙏
@cuthbertzillale61362 жыл бұрын
Wewe dada mie nàkupendaga sana sana na hakuna nyimbo Yako hata Moja ambayo haipo kwenye simu yangu...yaani nilianza kukuelewa kwenye nikitafakari jinsi Mungu yaani Sasa hivi tena hizi nyimbo ni Kwa neema ndo nyimbo niliyoweka kwenye muito wasimu yangu...Mungu akubariki sana
@fadhilikibanti34025 жыл бұрын
Hii ndiyo mifano halisi ya kuimba Yesu ni mzuri
@neemaelius48785 жыл бұрын
Pole sana Martha Mwaipaja maana history yako sawa na yangu ya kufiliwa na baba yangu nikiwa na miaka mitano. Songa mbele kwa kazi ya Mungu
@saitotisaitoti67345 жыл бұрын
Martha ni kweli umeachana na mumeo?
@PHILLIMONTEMBO-ks6ln Жыл бұрын
Pore sana
@naftarnjile55702 жыл бұрын
maths namkubali
@Lydia-p6w Жыл бұрын
Mungu atakusaidia
@aaronkingjr81172 жыл бұрын
MUNGU ni wa ajabu
@aroundtheworld41733 жыл бұрын
Rudi kwa mumeo,
@leaplay62923 жыл бұрын
nataka namba ya sim
@estermalembwamalembwa19366 ай бұрын
Martha mwaipaja ubarikiwe kwa nyimbo nzuri natamani kuimba nawewe asahsante
@RehemaKahindo6 ай бұрын
Namkubali
@SamweliKubwa4 ай бұрын
Samweli
@ElizaBenjamin9 ай бұрын
Nakupenda Matha na nyimbo Zako zote unanitia Moyo kwa wakati ninaoupitia niMungu ktk maisha yangu
@YohanaYoha-e3q9 ай бұрын
N mtoto wake
@muujizakasiwa45344 жыл бұрын
Ila uache kuvaa vimini!
@miriammmasy36574 жыл бұрын
Ajavaa za kujidhalilisha bado
@millicentayangokunting37284 жыл бұрын
Kabisa
@lidiammbone61263 жыл бұрын
Kweli watu hutoka mbali Sana jipe Raha mwenyewe ubarikiwe mtumishi wa mungu
@lovedoctorernestgoodboymov54322 жыл бұрын
Ombilangu kwabwana. I really like this voice. Am here in BRAZIL. But wen II'I be back in the country I will have to meet you Martha . I will try" I really like your carange songs be blessed
@magretngowi832 жыл бұрын
Nampenda sna
@bernaldfedrick72754 жыл бұрын
Huyo mtumishi wa mungu yuko vizuri saana, anapointi nzuri saana,MTU amabye sijamuelewa katika maelezo yake ni Lazaro Baraka
@marypeter90015 жыл бұрын
Kweli Mungu anakutumia Martha Yani Mimi mbali na kuimba hata ukiongea mi unanibariki Sana Mungu akuinue mtumishi
@abigailm24843 жыл бұрын
Beautiful African woman. Looks like Winnie Mandela
Ubarikiwe sana dada matha kwa kupitia wewe na mm napata matumaini ,Kama Mungu alikukuka naaamin na mm sikumoja atanikumbuka.
@patiencenganaki7831 Жыл бұрын
Vraiment que Dieu
@philininomhenzi3965 жыл бұрын
Mungu awe nawe daima Dada Martha nyimbo zako czichoki kila mara
@junefother78904 жыл бұрын
Oooooh kweli ilanakupenda nyimbozako nazipenda sana i'm from Burundi hatanawarundi wanapendanyimbozako
@jacquelinembanda5 жыл бұрын
Mungu ni mwema kwa kila jambo🙏🏽🙏🏽
@josephatondieki10714 жыл бұрын
Hata wkt wa majaribu Mungu hupo na Mungu huyu anataka kkuonyesha kitu Fulani kwa maisha yako, mtegemehe Mungu mwenye hapadiriki .
@WalesElias Жыл бұрын
Marthe
@Oman-z7j9 ай бұрын
Martha mungu akubarki sana nyimbo zako nizur sana
@saitotisaitoti67345 жыл бұрын
Martha kwanini unajichubua? Sasa wakati ulikuwaga na weusi mzuri?
@happygw69305 жыл бұрын
Hajichubui mafuta unaweza pakaa na mwili unatakata wanaojichubua huwa wana rangi zaidi moja yeye ana amani moyoni kwa Yesu ukiwepo lazima upendeze
@josephinemecky92785 жыл бұрын
Hajichubui ametulia tu anang'aa na Yesu ndani yake
@saitotisaitoti67345 жыл бұрын
@@happygw6930 angalia vidole vyake.Ukijichubua vidole huwa vinaumbua.na martha hakuwa hivi.mbona Upendo Nkone alikiri kuwa alijichubua na sasa ameacha.
@saitotisaitoti67345 жыл бұрын
@@josephinemecky9278 thubutuuu muangalie vidole.huo ni mkorogo.mwenzake Upendo Nkone alikiri kuwa anajichubua kweli.tunaojua mikorogo hapo hutudanganyi
@millicentayangokunting37284 жыл бұрын
@@saitotisaitoti6734 amejichubuwa
@marietajohn29135 жыл бұрын
nakupenda sana martha mungu azidi kukubariki dada
@juliakayesi85894 жыл бұрын
Dada nyimbo zako mbili za nifundishe kunyamaza najaribu la mtu sio kwamba ametanda dhambi ulitia moyo nikiwa katika dhiki katika ndoa yangu.mimi nimuimbaji was injili na ninatarijia Mungu kuniinua from Kenya..I believe one day I will meet you and mum Christina shusho.i wish nifanye wimbo Moja nawe