Hizi simulizi huwa ni nzuri zinasisimua, zinahuzunisha ila kikubwa ZINAFUNDISHA... bravoo kaka mtangazaji
@salimzephania17944 жыл бұрын
Mm mwenyewe nimepitia maisha hayo nime panda mara mbili mili yangu ya kwanza nilingia Madagascar n reunion mili yangu ya pili nili kwenda hd spain kisiwa kinaitwa Bilbao kuna watu wuesi wengi 2 mm kipindi sikutarajia km nitakuta watu weusi ndio mr kwanza kujuwa km n kuna wa Spain weusi ila kutembea unajuwa mengi 2 baada ya hapo nilirudi nyumbani nikaamuwa kwenda sauz ndio nilikaa miaka kumi n mbili ila km bado rizk yako n bado yani nilitumia md wangu sana nilivyo kuwa kijana kutafuta ili nije nikomboe family yangu ila sikufanikiwa ila mungu ndio mtowaji bd sijakata tamaa ya maisha sahii nimetulia napanga maisha yangu upya
@shamimuomary8313 жыл бұрын
daah namkumbuka kaka angu aliwkua south Africa alikaa miaka 5 then alizamia ili aend Australia lakin alifia njian😭😭😭mpk leo bad tunakukumbuk maan hta mwili wake aukurud Tz 😭😭😭mungu akupe kauri thabith mda mwingine tunaona kma ndoto labd ipo siku utarud rip my kaka😭😭
@myself41284 жыл бұрын
Kinachotumaliza waafrika ni Extended families....tunahangaika sana wanaume sababu ya kulisha mijitu isiyo na shukurani..... Wanaume tumepewa LABELS oor utasikia ndio uanaume...mara mwanaume umeumbwa kuteseka...n.kndio maana tunahangaika tu ovvyoo...tutulie nyumbani tuee wajasiriamali tuu .nimegundua maisha yetu mengi tunamaliza tunahangaika tuuu siku unatulia ushazeeka na utajiri hujaupata
@khaijakadija20822 жыл бұрын
Ni kweli
@AllenSalewa5 ай бұрын
FACT
@badbeats56374 жыл бұрын
Jamaa anatakiwa atolewe movie. Real man.
@eunicebukokhe68053 жыл бұрын
Ni siku za mwisho Ndugu jikaze uombe Mungu sana akuokoe na akulinde pia,maana huyo shetani tunaye siku zote anatafuta akutumikishe kama mfungwa mpinge huyo shetani kwa kupiga magoti na kuomba Mungu akulinde
@eunicebukokhe68053 жыл бұрын
Don't let satan to play with your life please mr forgive them what they did to you, always pray.don't let them know where you are standing ok
@aminumengo21232 жыл бұрын
Nilipokuwa nafanya kazi na waghana waliniuliza eti ukichukuwa trip melini ukirudishwa kwenu unafungwa nakawajibu ndio ,wakawa wanacheka sn . Wananiambia kwetu chukuwa trip utakavyo ukirudishwa unaambiwa welcome home and try again ni kutafuta maisha
@nassorosaidi96054 жыл бұрын
Mzee ujana wake alikuw hatar sana like kwa bahalia√√√
@delekalxon72214 жыл бұрын
Yes Siku nyingine tena ,new chapter masaa tofauti
@razmuhammad72234 жыл бұрын
My focus ilikua ni kumsikiliza baharia tu, ila hapa nime-pause in just 3mins, nimegundua huyu interviewer is very talented and competent... Big up bro.. Well now, lemme proceed
@kingkendrickk4 жыл бұрын
Keep it up bro. I really appreciate your work
@ilyasmuhsin32854 жыл бұрын
Best interview ever..💪💪✊
@KHALID_NGWEMBELE4 жыл бұрын
Mzee stor yake nzur lakn anaruka sana episode nzur nzuri 😄pongez kwako mtangazaj unaweza babaaa👏👏👏
@kamanzicrouch38813 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@samniza17634 жыл бұрын
Big up big man, I like hustlers mungu azidi kukupa huohuo moyo wa kutafuta.
@TALLUBOY4 жыл бұрын
Duh mzee umeludiswa South Africa Mala nyingi sana
@immajoachim31814 жыл бұрын
Mabaharia wengine wapo Tanga broo watembelee
@yaqoubsalim994 жыл бұрын
Huyo ndio Bahari wa ukweli, yupo fasta kumaliza story, eti nilizaliwa nikateseka lakini bado naishi halafu nitakufa.
@edoniko94204 жыл бұрын
Hapo mzee wangu umeongea VIZURI sana
@ruu65923 жыл бұрын
Yani unamua kuingia meli kama ya kwako mashallah kipaji icho
@simonsweka73054 жыл бұрын
Loh... Mungu akutnguliee ...yotee maishaa....katk utftji...
@fatmamwatamba58814 жыл бұрын
Daah mzee yuko vizuri Na hamejitaidi
@asiaenzi55424 жыл бұрын
stori nzuri
@mursalseleman21744 жыл бұрын
Angekua anataja na mwaka ingekua vzr
@ibykazu35614 жыл бұрын
Homy ILaLa fresh, henzi ya bandidu umerudi toka South hadi Bongo kwa border ? Baria anajipakia arudi Bongo kwa miguu special kutoka South kwenye mapangapanga ya kumwaga to sea, TZ tukutuku vichaa for life one love from Boston strong 617 USA.
@AnwarShivji-vq1nd Жыл бұрын
Kuna story nzuri sana ya baba yangu alikuwa baharia
@husnahassan62894 жыл бұрын
Mambo ni moto nakufatilia sana Esco
@mwalimudotto8442 жыл бұрын
Baba unajua kuhoji
@wazirisukari51784 жыл бұрын
Kwahiyo mpaka saivi unatamani kwenda Italia Lima mboga huko mzee ulishachemka kitambo sana
@kyaloronny54074 жыл бұрын
Stoaway so mchezo na maisha ugaibuni hayataki uzembe
@africatanzaniatours4 жыл бұрын
Great story
@twayibmood73194 жыл бұрын
Amazing story
@shegonego26094 жыл бұрын
Daah pole san mzee
@elijahm.muthini4 жыл бұрын
Unatusaidia sana kusukuma mda wakati huu mgumu sisi tuliokwama huku uarabuni🇰🇪
@alongwetv31514 жыл бұрын
Naomb contact Zak📱
@hamishemed93964 жыл бұрын
Pole akyi Elija
@maryamoman13704 жыл бұрын
Tupo pamoja my inshaalah tutaenda tuvtz yetu
@fredrickmuasya84754 жыл бұрын
Kasee
@elijahm.muthini4 жыл бұрын
@@fredrickmuasya8475 Oyah! ukowapi bro?
@juliaayieta25784 жыл бұрын
Interview nzuri esco_dona 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@jesusnetworkministry4 жыл бұрын
Njoo na Zanzibar wapo wengi sana hao jamaa
@ibranassor6104 жыл бұрын
Dah ilkuwa ni deadely voyage
@frankmaria67174 жыл бұрын
Unaehoji hakuna mahali umemuuliza mwaka wa tukio safari alianza lini,tukio flani ilikua mwaka gani mpaka mwaka gani nk
@ibrahimaziz71584 жыл бұрын
Huyu jamaaa inaonekana kuna matokeo mengi sana anayaficha lakini ndio ubaharia mkuu sio lazima useme kila kitu
@hassanimapanga70244 жыл бұрын
Ibrahim Aziz toka lini baharia akasema ukweli
@alihaji72014 жыл бұрын
Mimi nilizamia South Africa nilimhongaa bahariaaa Dolla elf 8000 elf naneulikua wawili na wakat wa kutoka tulivalishwa ma over rolls km wafanyakaz hd Southampton england
@ennarobert62384 жыл бұрын
Baadae ikawaje?
@expert58984 жыл бұрын
Ndio upo huko hadi leo?
@kassimmahimbo30284 жыл бұрын
Ali Haji acha uongo ww elfu 80 dollar wazijua?? au umesikia wkati mwadanganywa: nizaid ya milion 170
@alihaji72014 жыл бұрын
@@kassimmahimbo3028 dola elf nane
@expert58984 жыл бұрын
@@kassimmahimbo3028 amesema dollar 8000 sio dollar 80,000/=, ambayo ni sawa na milioni 16 za kibongo. Lakini bado ni nyingi sana! Kama alikuwa nazo hizo! Alizamia kwanini?? Si angepanda ndege na change ingerudi nyingi tuuu!!
@arancaraba2934 жыл бұрын
Pole
@mussakiziyzi4084 жыл бұрын
Mabaharia km hawa serikali iwaenz na kuwatambua.mchanqo wao enz hizo waliitanqaza sana Tanzania nje ya nchi
@saidijuma68614 жыл бұрын
Kwli Mzee baba
@pidasisaidi26704 жыл бұрын
Mimi huwa nakubali maswali yako tu bro!!
@MartinaMsimbe-qk8ug7 ай бұрын
Huyu hawezi kusimulia vizuri. Story anatoa kama simple
@spinoespanolxiang82044 жыл бұрын
Wow
@ramadhanjuma76294 жыл бұрын
Mtangazaji jifunze jinsi ya kuhoji maswali, hii ni bonge la story ila umechangia kuipoza kwa asilimia 70
@JohnJohn-wu7we4 жыл бұрын
Nenda Maersk Studio,Kinondoni,utapewa really Seaman story
@jemamhagama49783 жыл бұрын
Wengi wao naona wamechoka kimaisha japo walivamia meli kwenda nga'mbo
@abduryabdallah86714 жыл бұрын
Dah
@amiriramadhan77534 жыл бұрын
Hayo ndo mavazi ya mabaharia mabaharia wengi washakata lingi lakini mshushe nungwi utazama wewe yeye anachapa maji
@jamesyusuph3363 жыл бұрын
Duhu
@الزنجباريعلي-خ3ك4 жыл бұрын
huyu mzee nimtafutaji ila maisha nisafari ndefu sana mja hupitia mengi ktk kufaiti maisha
@shaabanramadhan67704 жыл бұрын
Baharia hyu si teja yupo vzr yupo gado
@Daniel-ug6fi4 жыл бұрын
nice stori
@nahishakieathumani50414 жыл бұрын
Pole broken
@chiefndatu18953 жыл бұрын
Chakalulu nipo na kalinjumbi apa tunakuskiza kwa uzur tu
@muddyville4 жыл бұрын
Kinachofurahisha mabaharia ni dressing codes zao tu hata ukimkuta mzee...
@josephfunganya93394 жыл бұрын
Huwoniuogo mukubwa
@muddyville4 жыл бұрын
@@josephfunganya9339 ndo umeandika nini?
@alexmsimbete82504 жыл бұрын
Nakufatilia sn uko vzr
@expert58984 жыл бұрын
Mimi na wenzangu wawili tulizamia meli ilikuwa inaenda ugiriki, ilikuwa 1995 kipindi hicho nikiwa na miaka 20 kipindi Mlema kashika mno kwenye siasa. Ilikuwa taabu sana! wale wenzangu wawili walipoteza maisha japo kwa vifo tofauti, mmoja alipigwa risasi na wale mabaharia... Hiyo safari ilinivuruga sana akili yangu Hadi leo. Kila nikikumbuka huwa nalia.
@eskodonald30874 жыл бұрын
Uko wapi kwa Sasa?
@expert58984 жыл бұрын
Mimi naishi Dar japo nimekuja Tanga one-time.
@eskodonald30874 жыл бұрын
Unarudi lini?
@expert58984 жыл бұрын
Wiki ijayo ntapata picha halisi, kwan vipi?
@eskodonald30874 жыл бұрын
Nichek Instagram @esko_donald
@khamisrubea50834 жыл бұрын
Mzee ana story nzuri lkn anazihadithia kwa mkato
@bueno18184 жыл бұрын
Mnyama Esko!!!
@yusufumbwene68454 жыл бұрын
😅😅😅😅 RENAMO hata ukisoma historia ya harakat za kupambana na ukoloni hawakuwa wazuri . Wamekata watu midomo sana
@fatmakiraga40163 жыл бұрын
Vijana wa skuizi hawajui kuchukua meli kazi Yao ni kuibia watu ndio waona uhuni
@maigajohn7023 жыл бұрын
Simulizi iko pw
@kachabisnea88154 жыл бұрын
Duh jamaa karuka sana eti mtwara hadi quirimane yani umeshindwa kuitaja mocimboa nampula hadi kufika uko sema cy mbaya umejitaid kamanda sisi bado tupo uku tunapambana bado
@vianyfrancis27894 жыл бұрын
Huyu muongo anahadithi ya kusimuliwa
@manasemwakilasa59314 жыл бұрын
Maswali mazuli Sana dogo
@manasemwakilasa59314 жыл бұрын
Haya bwana
@darlinmamawatatu64114 жыл бұрын
Bora zamani walikuwa wanazamia wanarudi na marinda yao sasa hivi zamia washenzy wazungu wanakufunua malinda kwanza wakikupata na kukutupa baharini ...vijana bora mtumie njia halali kusafiri na kutafuta maisha tu
@hashimlaizer69244 жыл бұрын
hatariiiii
@hashimlaizer69244 жыл бұрын
yaaan
@amedeusjoseph71764 жыл бұрын
Mambo
@amedeusjoseph71764 жыл бұрын
Vp
@Laurent_chenza_Tz4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@awadhirajabu77544 жыл бұрын
Mnala Autulii Kama Kicheche Wa Uwanja Wa Fisi
@christercheru83282 жыл бұрын
Hongera apewe kazi kwa safari hii maana ni watafiti sana hawa mabaharia
@wanderenyeura90114 жыл бұрын
Balaa sana
@awadhirajabu77544 жыл бұрын
Ukitaka Habar Fupi Fupi Tumia Airtel Na Ukitaka Habari Ndefu Tigo Voda Na Jibu Airtel Plesha Tupu Apa Nimeganda Habar Inazunguluka Tobo Tupu
@kamgomoli36504 жыл бұрын
Mtangazaji haulizi jamaa alizaliwa mwaka gani,alipokwea meli ya kwanza ilikua mwaka gani,alienda Msumbiji mwaka gani. Stori nzuri ila mwandisha ameshindwa kuhoji ili kuleta mtiririko mzuri.
@nurabdiyare80252 жыл бұрын
Sijajua kama amesomea, kujua mwaka ni kitu muhimu yeye anahoji kama mbulula
@rasjamal98544 жыл бұрын
Katika maelezo yote asemi meli ya kwanza kapandia Port Dar es salaam ilikuwa mwaka gani? Na alipoenda Mozambique ilikuwa mwaka gani? Na meli aliyo panda South Africa mwaka gani? Na port gani?kwa mimi story bado aija jitosheeza
@@tanzaniadar5227 umeona kilimani kapilimposhi Zambia ndiyo maana nimeona story za maskani? Michezo hiyo nime cheza na mpk sasa nipo mtoni
@machintangachibwena59224 жыл бұрын
Mtangazaji hajui kuhoji
@serijofesto90684 жыл бұрын
Tatizo hpo ,,,,MTU anaemhoji ndo ki.l,,,za
@mussakiumbo59904 жыл бұрын
Never lose hope baharia wewe vp chakaruru
@sulaymanwaziri44554 жыл бұрын
Ukamhoji Sinbad baharia huyo ndie bahari tajiri kuliko wote duniani,, ila alikutana na hatari kubwa ktk safari zake hata ilifika kipindi alizikwa kaburini akiwa mzima na akatoka baada ya miezi mingi angali hai na utajiri mkubwa sana
@herikaniugu3 жыл бұрын
Sinbad movies 🔥🔥
@sulaymanwaziri44553 жыл бұрын
@@herikaniugu kumbe mhenga mwenzangu😂😂😂
@tahirnephessalum36784 жыл бұрын
Hivi Nan amewahi kukutana na baharia aliyetoboa life??? Wote naonaga wamechoka mbaya?
@hajimbwanahaji71974 жыл бұрын
Wapo wengi sana
@Mpakauseme4 жыл бұрын
Wapo kibao na wengine wana uraia ktk mataifa mengine na awataki hata kurudi Afrika tupo nao huku viwanjani mpaka sasa na familia zao
@tahirnephessalum36784 жыл бұрын
I wish nao watafutwe watupe history ya hustling zao, kila siku tunakutana na Hawa waliochoka inavunja moyo na nguvu ujue😄
@abuumaryam16284 жыл бұрын
Mimi
@If_u_salim4 жыл бұрын
Mabaria wapo wengi sana walio toboa tembea viwanja utaona mwenyewe
@anahna67884 жыл бұрын
Huyu yuko fiti kuliko wale mamento wa bagamoyo
@hafidhissa44054 жыл бұрын
Hahahahaa wale wa Bagamoyo story zao za kichawi. Nadhan wana future za kua waganga😂😂😁
@captendunga13924 жыл бұрын
Umeonaeee hata kama alikula unga hakuula kwa mda mrefu.
@expert58984 жыл бұрын
Hahahahaha... Umenifurahisha sana
@expert58984 жыл бұрын
Huyu anajua kusimulia
@salimmohamedsalim44484 жыл бұрын
Unachelewa saana kurusha vipindi vyako mzee escom
@ibrahimrukundo30644 жыл бұрын
bwana jabiri iko makini namtangazaji umeanda vyema.
@kibasamohamedi80294 жыл бұрын
Kweli wewe baharia hata kofia ulivyovaa hiyo
@directorkabalo32064 жыл бұрын
hawa ndio mabaharia sasa🙂🙂
@unjuusalvatory53314 жыл бұрын
Store all the way ( stolowey) Are we? We are ,( wiii, waa) As you were ( az wea) Support ( sapota)
@alexanderankiza26154 жыл бұрын
Stow-a-way,
@mustafaahmad35854 жыл бұрын
Huyu hakuwa na Seamen book
@landlord440illuminate84 жыл бұрын
Ndumilakuwili alizamiaga wakamtosa kaogelea mpaka ufukweni.
@mpondamedia24164 жыл бұрын
ubarikiwe bro kwa kuwahoji hawa mabaharia nna bro wangu al maarufu msolopa yupo kibaha kwa mfipa nataka ukamuhoji ni follow insta shaikh_mponda tuyajenge ukamuhoji shukran bro
@eskodonald30874 жыл бұрын
Nichek Instagram @esko_donald
@stevengolan97294 жыл бұрын
Midomo ya jamaa anayehoji mikubwa yote wa juu na chini
@kimwelshebuge87724 жыл бұрын
Mwaka gani
@hajimnubi45814 жыл бұрын
Watoto wa kariakoo usafiri wameuanza zamani,kariakoo hamna fala
@Danny-px1bh4 жыл бұрын
Kuna mdad kapita huko nyum..duh anamnyeo huyoo
@williambasiga52854 жыл бұрын
stowaway is not a Seafarer bandugu
@awadhirajabu77544 жыл бұрын
Yani Mtandao Wa Airtel Uko Vipi Intaneti Ugolo Tupu
@hamisikalulumbe68574 жыл бұрын
Baharria gani alishawahi kutoboa life hil hamna show time tuuu
@bwanap20034 жыл бұрын
Do 14:09 Nikitoka Mtwara kuja huku Tanzania 🤣🤣🤣
@abdullmahbeshi29034 жыл бұрын
Pallahani Masumba kakusudia dar c unajua tenaa😃😃
@bwanap20034 жыл бұрын
@@abdullmahbeshi2903 🤣🤣🤣
@MITOBO4 жыл бұрын
Kwanin mabaharia wengi wamechoka..?
@alihaji72014 жыл бұрын
Baharia nataka kiwanja maeneo ya buyuni kw ujenz wa nyumba
@alihaji72014 жыл бұрын
Kipo
@andrewmaurus78644 жыл бұрын
Chenye ukubwa gani unataka
@zamzam50014 жыл бұрын
Baharia
@yusufhassanfu40124 жыл бұрын
Kipindi poa lakini advertising zako nyingi mno,zinatoa husuda yakuendelea kutizama.
@juliaayieta25784 жыл бұрын
Kwa wale queens 👸🏽 wanaojipenda hii video ni kwa ajili yenu jifunze mbinu mpya zinazo nisaidia kutotoka vipele wakati wakunyoa 👇🏾👇🏾 kzbin.info/www/bejne/p3KXlYuPZbJqfsU Ukijifunza kitu pls usikose ku subscribe 😘🙏🏾