Nilitekwa na WAASI, Nilitupwa kati kati ya BAHARI, Wengi walikuwa WANAKUFA, Nimekaa JELA, Niliumia

  Рет қаралды 121,054

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 204
@samomnanka2779
@samomnanka2779 4 жыл бұрын
Hizi simulizi huwa ni nzuri zinasisimua, zinahuzunisha ila kikubwa ZINAFUNDISHA... bravoo kaka mtangazaji
@salimzephania1794
@salimzephania1794 4 жыл бұрын
Mm mwenyewe nimepitia maisha hayo nime panda mara mbili mili yangu ya kwanza nilingia Madagascar n reunion mili yangu ya pili nili kwenda hd spain kisiwa kinaitwa Bilbao kuna watu wuesi wengi 2 mm kipindi sikutarajia km nitakuta watu weusi ndio mr kwanza kujuwa km n kuna wa Spain weusi ila kutembea unajuwa mengi 2 baada ya hapo nilirudi nyumbani nikaamuwa kwenda sauz ndio nilikaa miaka kumi n mbili ila km bado rizk yako n bado yani nilitumia md wangu sana nilivyo kuwa kijana kutafuta ili nije nikomboe family yangu ila sikufanikiwa ila mungu ndio mtowaji bd sijakata tamaa ya maisha sahii nimetulia napanga maisha yangu upya
@shamimuomary831
@shamimuomary831 3 жыл бұрын
daah namkumbuka kaka angu aliwkua south Africa alikaa miaka 5 then alizamia ili aend Australia lakin alifia njian😭😭😭mpk leo bad tunakukumbuk maan hta mwili wake aukurud Tz 😭😭😭mungu akupe kauri thabith mda mwingine tunaona kma ndoto labd ipo siku utarud rip my kaka😭😭
@myself4128
@myself4128 4 жыл бұрын
Kinachotumaliza waafrika ni Extended families....tunahangaika sana wanaume sababu ya kulisha mijitu isiyo na shukurani..... Wanaume tumepewa LABELS oor utasikia ndio uanaume...mara mwanaume umeumbwa kuteseka...n.kndio maana tunahangaika tu ovvyoo...tutulie nyumbani tuee wajasiriamali tuu .nimegundua maisha yetu mengi tunamaliza tunahangaika tuuu siku unatulia ushazeeka na utajiri hujaupata
@khaijakadija2082
@khaijakadija2082 2 жыл бұрын
Ni kweli
@AllenSalewa
@AllenSalewa 5 ай бұрын
FACT
@badbeats5637
@badbeats5637 4 жыл бұрын
Jamaa anatakiwa atolewe movie. Real man.
@eunicebukokhe6805
@eunicebukokhe6805 3 жыл бұрын
Ni siku za mwisho Ndugu jikaze uombe Mungu sana akuokoe na akulinde pia,maana huyo shetani tunaye siku zote anatafuta akutumikishe kama mfungwa mpinge huyo shetani kwa kupiga magoti na kuomba Mungu akulinde
@eunicebukokhe6805
@eunicebukokhe6805 3 жыл бұрын
Don't let satan to play with your life please mr forgive them what they did to you, always pray.don't let them know where you are standing ok
@aminumengo2123
@aminumengo2123 2 жыл бұрын
Nilipokuwa nafanya kazi na waghana waliniuliza eti ukichukuwa trip melini ukirudishwa kwenu unafungwa nakawajibu ndio ,wakawa wanacheka sn . Wananiambia kwetu chukuwa trip utakavyo ukirudishwa unaambiwa welcome home and try again ni kutafuta maisha
@nassorosaidi9605
@nassorosaidi9605 4 жыл бұрын
Mzee ujana wake alikuw hatar sana like kwa bahalia√√√
@delekalxon7221
@delekalxon7221 4 жыл бұрын
Yes Siku nyingine tena ,new chapter masaa tofauti
@razmuhammad7223
@razmuhammad7223 4 жыл бұрын
My focus ilikua ni kumsikiliza baharia tu, ila hapa nime-pause in just 3mins, nimegundua huyu interviewer is very talented and competent... Big up bro.. Well now, lemme proceed
@kingkendrickk
@kingkendrickk 4 жыл бұрын
Keep it up bro. I really appreciate your work
@ilyasmuhsin3285
@ilyasmuhsin3285 4 жыл бұрын
Best interview ever..💪💪✊
@KHALID_NGWEMBELE
@KHALID_NGWEMBELE 4 жыл бұрын
Mzee stor yake nzur lakn anaruka sana episode nzur nzuri 😄pongez kwako mtangazaj unaweza babaaa👏👏👏
@kamanzicrouch3881
@kamanzicrouch3881 3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@samniza1763
@samniza1763 4 жыл бұрын
Big up big man, I like hustlers mungu azidi kukupa huohuo moyo wa kutafuta.
@TALLUBOY
@TALLUBOY 4 жыл бұрын
Duh mzee umeludiswa South Africa Mala nyingi sana
@immajoachim3181
@immajoachim3181 4 жыл бұрын
Mabaharia wengine wapo Tanga broo watembelee
@yaqoubsalim99
@yaqoubsalim99 4 жыл бұрын
Huyo ndio Bahari wa ukweli, yupo fasta kumaliza story, eti nilizaliwa nikateseka lakini bado naishi halafu nitakufa.
@edoniko9420
@edoniko9420 4 жыл бұрын
Hapo mzee wangu umeongea VIZURI sana
@ruu6592
@ruu6592 3 жыл бұрын
Yani unamua kuingia meli kama ya kwako mashallah kipaji icho
@simonsweka7305
@simonsweka7305 4 жыл бұрын
Loh... Mungu akutnguliee ...yotee maishaa....katk utftji...
@fatmamwatamba5881
@fatmamwatamba5881 4 жыл бұрын
Daah mzee yuko vizuri Na hamejitaidi
@asiaenzi5542
@asiaenzi5542 4 жыл бұрын
stori nzuri
@mursalseleman2174
@mursalseleman2174 4 жыл бұрын
Angekua anataja na mwaka ingekua vzr
@ibykazu3561
@ibykazu3561 4 жыл бұрын
Homy ILaLa fresh, henzi ya bandidu umerudi toka South hadi Bongo kwa border ? Baria anajipakia arudi Bongo kwa miguu special kutoka South kwenye mapangapanga ya kumwaga to sea, TZ tukutuku vichaa for life one love from Boston strong 617 USA.
@AnwarShivji-vq1nd
@AnwarShivji-vq1nd Жыл бұрын
Kuna story nzuri sana ya baba yangu alikuwa baharia
@husnahassan6289
@husnahassan6289 4 жыл бұрын
Mambo ni moto nakufatilia sana Esco
@mwalimudotto844
@mwalimudotto844 2 жыл бұрын
Baba unajua kuhoji
@wazirisukari5178
@wazirisukari5178 4 жыл бұрын
Kwahiyo mpaka saivi unatamani kwenda Italia Lima mboga huko mzee ulishachemka kitambo sana
@kyaloronny5407
@kyaloronny5407 4 жыл бұрын
Stoaway so mchezo na maisha ugaibuni hayataki uzembe
@africatanzaniatours
@africatanzaniatours 4 жыл бұрын
Great story
@twayibmood7319
@twayibmood7319 4 жыл бұрын
Amazing story
@shegonego2609
@shegonego2609 4 жыл бұрын
Daah pole san mzee
@elijahm.muthini
@elijahm.muthini 4 жыл бұрын
Unatusaidia sana kusukuma mda wakati huu mgumu sisi tuliokwama huku uarabuni🇰🇪
@alongwetv3151
@alongwetv3151 4 жыл бұрын
Naomb contact Zak📱
@hamishemed9396
@hamishemed9396 4 жыл бұрын
Pole akyi Elija
@maryamoman1370
@maryamoman1370 4 жыл бұрын
Tupo pamoja my inshaalah tutaenda tuvtz yetu
@fredrickmuasya8475
@fredrickmuasya8475 4 жыл бұрын
Kasee
@elijahm.muthini
@elijahm.muthini 4 жыл бұрын
@@fredrickmuasya8475 Oyah! ukowapi bro?
@juliaayieta2578
@juliaayieta2578 4 жыл бұрын
Interview nzuri esco_dona 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@jesusnetworkministry
@jesusnetworkministry 4 жыл бұрын
Njoo na Zanzibar wapo wengi sana hao jamaa
@ibranassor610
@ibranassor610 4 жыл бұрын
Dah ilkuwa ni deadely voyage
@frankmaria6717
@frankmaria6717 4 жыл бұрын
Unaehoji hakuna mahali umemuuliza mwaka wa tukio safari alianza lini,tukio flani ilikua mwaka gani mpaka mwaka gani nk
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 4 жыл бұрын
Huyu jamaaa inaonekana kuna matokeo mengi sana anayaficha lakini ndio ubaharia mkuu sio lazima useme kila kitu
@hassanimapanga7024
@hassanimapanga7024 4 жыл бұрын
Ibrahim Aziz toka lini baharia akasema ukweli
@alihaji7201
@alihaji7201 4 жыл бұрын
Mimi nilizamia South Africa nilimhongaa bahariaaa Dolla elf 8000 elf naneulikua wawili na wakat wa kutoka tulivalishwa ma over rolls km wafanyakaz hd Southampton england
@ennarobert6238
@ennarobert6238 4 жыл бұрын
Baadae ikawaje?
@expert5898
@expert5898 4 жыл бұрын
Ndio upo huko hadi leo?
@kassimmahimbo3028
@kassimmahimbo3028 4 жыл бұрын
Ali Haji acha uongo ww elfu 80 dollar wazijua?? au umesikia wkati mwadanganywa: nizaid ya milion 170
@alihaji7201
@alihaji7201 4 жыл бұрын
@@kassimmahimbo3028 dola elf nane
@expert5898
@expert5898 4 жыл бұрын
@@kassimmahimbo3028 amesema dollar 8000 sio dollar 80,000/=, ambayo ni sawa na milioni 16 za kibongo. Lakini bado ni nyingi sana! Kama alikuwa nazo hizo! Alizamia kwanini?? Si angepanda ndege na change ingerudi nyingi tuuu!!
@arancaraba293
@arancaraba293 4 жыл бұрын
Pole
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 4 жыл бұрын
Mabaharia km hawa serikali iwaenz na kuwatambua.mchanqo wao enz hizo waliitanqaza sana Tanzania nje ya nchi
@saidijuma6861
@saidijuma6861 4 жыл бұрын
Kwli Mzee baba
@pidasisaidi2670
@pidasisaidi2670 4 жыл бұрын
Mimi huwa nakubali maswali yako tu bro!!
@MartinaMsimbe-qk8ug
@MartinaMsimbe-qk8ug 7 ай бұрын
Huyu hawezi kusimulia vizuri. Story anatoa kama simple
@spinoespanolxiang8204
@spinoespanolxiang8204 4 жыл бұрын
Wow
@ramadhanjuma7629
@ramadhanjuma7629 4 жыл бұрын
Mtangazaji jifunze jinsi ya kuhoji maswali, hii ni bonge la story ila umechangia kuipoza kwa asilimia 70
@JohnJohn-wu7we
@JohnJohn-wu7we 4 жыл бұрын
Nenda Maersk Studio,Kinondoni,utapewa really Seaman story
@jemamhagama4978
@jemamhagama4978 3 жыл бұрын
Wengi wao naona wamechoka kimaisha japo walivamia meli kwenda nga'mbo
@abduryabdallah8671
@abduryabdallah8671 4 жыл бұрын
Dah
@amiriramadhan7753
@amiriramadhan7753 4 жыл бұрын
Hayo ndo mavazi ya mabaharia mabaharia wengi washakata lingi lakini mshushe nungwi utazama wewe yeye anachapa maji
@jamesyusuph336
@jamesyusuph336 3 жыл бұрын
Duhu
@الزنجباريعلي-خ3ك
@الزنجباريعلي-خ3ك 4 жыл бұрын
huyu mzee nimtafutaji ila maisha nisafari ndefu sana mja hupitia mengi ktk kufaiti maisha
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 4 жыл бұрын
Baharia hyu si teja yupo vzr yupo gado
@Daniel-ug6fi
@Daniel-ug6fi 4 жыл бұрын
nice stori
@nahishakieathumani5041
@nahishakieathumani5041 4 жыл бұрын
Pole broken
@chiefndatu1895
@chiefndatu1895 3 жыл бұрын
Chakalulu nipo na kalinjumbi apa tunakuskiza kwa uzur tu
@muddyville
@muddyville 4 жыл бұрын
Kinachofurahisha mabaharia ni dressing codes zao tu hata ukimkuta mzee...
@josephfunganya9339
@josephfunganya9339 4 жыл бұрын
Huwoniuogo mukubwa
@muddyville
@muddyville 4 жыл бұрын
@@josephfunganya9339 ndo umeandika nini?
@alexmsimbete8250
@alexmsimbete8250 4 жыл бұрын
Nakufatilia sn uko vzr
@expert5898
@expert5898 4 жыл бұрын
Mimi na wenzangu wawili tulizamia meli ilikuwa inaenda ugiriki, ilikuwa 1995 kipindi hicho nikiwa na miaka 20 kipindi Mlema kashika mno kwenye siasa. Ilikuwa taabu sana! wale wenzangu wawili walipoteza maisha japo kwa vifo tofauti, mmoja alipigwa risasi na wale mabaharia... Hiyo safari ilinivuruga sana akili yangu Hadi leo. Kila nikikumbuka huwa nalia.
@eskodonald3087
@eskodonald3087 4 жыл бұрын
Uko wapi kwa Sasa?
@expert5898
@expert5898 4 жыл бұрын
Mimi naishi Dar japo nimekuja Tanga one-time.
@eskodonald3087
@eskodonald3087 4 жыл бұрын
Unarudi lini?
@expert5898
@expert5898 4 жыл бұрын
Wiki ijayo ntapata picha halisi, kwan vipi?
@eskodonald3087
@eskodonald3087 4 жыл бұрын
Nichek Instagram @esko_donald
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 4 жыл бұрын
Mzee ana story nzuri lkn anazihadithia kwa mkato
@bueno1818
@bueno1818 4 жыл бұрын
Mnyama Esko!!!
@yusufumbwene6845
@yusufumbwene6845 4 жыл бұрын
😅😅😅😅 RENAMO hata ukisoma historia ya harakat za kupambana na ukoloni hawakuwa wazuri . Wamekata watu midomo sana
@fatmakiraga4016
@fatmakiraga4016 3 жыл бұрын
Vijana wa skuizi hawajui kuchukua meli kazi Yao ni kuibia watu ndio waona uhuni
@maigajohn702
@maigajohn702 3 жыл бұрын
Simulizi iko pw
@kachabisnea8815
@kachabisnea8815 4 жыл бұрын
Duh jamaa karuka sana eti mtwara hadi quirimane yani umeshindwa kuitaja mocimboa nampula hadi kufika uko sema cy mbaya umejitaid kamanda sisi bado tupo uku tunapambana bado
@vianyfrancis2789
@vianyfrancis2789 4 жыл бұрын
Huyu muongo anahadithi ya kusimuliwa
@manasemwakilasa5931
@manasemwakilasa5931 4 жыл бұрын
Maswali mazuli Sana dogo
@manasemwakilasa5931
@manasemwakilasa5931 4 жыл бұрын
Haya bwana
@darlinmamawatatu6411
@darlinmamawatatu6411 4 жыл бұрын
Bora zamani walikuwa wanazamia wanarudi na marinda yao sasa hivi zamia washenzy wazungu wanakufunua malinda kwanza wakikupata na kukutupa baharini ...vijana bora mtumie njia halali kusafiri na kutafuta maisha tu
@hashimlaizer6924
@hashimlaizer6924 4 жыл бұрын
hatariiiii
@hashimlaizer6924
@hashimlaizer6924 4 жыл бұрын
yaaan
@amedeusjoseph7176
@amedeusjoseph7176 4 жыл бұрын
Mambo
@amedeusjoseph7176
@amedeusjoseph7176 4 жыл бұрын
Vp
@Laurent_chenza_Tz
@Laurent_chenza_Tz 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 4 жыл бұрын
Mnala Autulii Kama Kicheche Wa Uwanja Wa Fisi
@christercheru8328
@christercheru8328 2 жыл бұрын
Hongera apewe kazi kwa safari hii maana ni watafiti sana hawa mabaharia
@wanderenyeura9011
@wanderenyeura9011 4 жыл бұрын
Balaa sana
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 4 жыл бұрын
Ukitaka Habar Fupi Fupi Tumia Airtel Na Ukitaka Habari Ndefu Tigo Voda Na Jibu Airtel Plesha Tupu Apa Nimeganda Habar Inazunguluka Tobo Tupu
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 4 жыл бұрын
Mtangazaji haulizi jamaa alizaliwa mwaka gani,alipokwea meli ya kwanza ilikua mwaka gani,alienda Msumbiji mwaka gani. Stori nzuri ila mwandisha ameshindwa kuhoji ili kuleta mtiririko mzuri.
@nurabdiyare8025
@nurabdiyare8025 2 жыл бұрын
Sijajua kama amesomea, kujua mwaka ni kitu muhimu yeye anahoji kama mbulula
@rasjamal9854
@rasjamal9854 4 жыл бұрын
Katika maelezo yote asemi meli ya kwanza kapandia Port Dar es salaam ilikuwa mwaka gani? Na alipoenda Mozambique ilikuwa mwaka gani? Na meli aliyo panda South Africa mwaka gani? Na port gani?kwa mimi story bado aija jitosheeza
@tanzaniadar5227
@tanzaniadar5227 4 жыл бұрын
Anazingua hyu boya katoka mtwara ghafla tupo kilimani hafu kapilimposh wapi na wapi ssa
@rasjamal9854
@rasjamal9854 4 жыл бұрын
@@tanzaniadar5227 umeona kilimani kapilimposhi Zambia ndiyo maana nimeona story za maskani? Michezo hiyo nime cheza na mpk sasa nipo mtoni
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 4 жыл бұрын
Mtangazaji hajui kuhoji
@serijofesto9068
@serijofesto9068 4 жыл бұрын
Tatizo hpo ,,,,MTU anaemhoji ndo ki.l,,,za
@mussakiumbo5990
@mussakiumbo5990 4 жыл бұрын
Never lose hope baharia wewe vp chakaruru
@sulaymanwaziri4455
@sulaymanwaziri4455 4 жыл бұрын
Ukamhoji Sinbad baharia huyo ndie bahari tajiri kuliko wote duniani,, ila alikutana na hatari kubwa ktk safari zake hata ilifika kipindi alizikwa kaburini akiwa mzima na akatoka baada ya miezi mingi angali hai na utajiri mkubwa sana
@herikaniugu
@herikaniugu 3 жыл бұрын
Sinbad movies 🔥🔥
@sulaymanwaziri4455
@sulaymanwaziri4455 3 жыл бұрын
@@herikaniugu kumbe mhenga mwenzangu😂😂😂
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 4 жыл бұрын
Hivi Nan amewahi kukutana na baharia aliyetoboa life??? Wote naonaga wamechoka mbaya?
@hajimbwanahaji7197
@hajimbwanahaji7197 4 жыл бұрын
Wapo wengi sana
@Mpakauseme
@Mpakauseme 4 жыл бұрын
Wapo kibao na wengine wana uraia ktk mataifa mengine na awataki hata kurudi Afrika tupo nao huku viwanjani mpaka sasa na familia zao
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 4 жыл бұрын
I wish nao watafutwe watupe history ya hustling zao, kila siku tunakutana na Hawa waliochoka inavunja moyo na nguvu ujue😄
@abuumaryam1628
@abuumaryam1628 4 жыл бұрын
Mimi
@If_u_salim
@If_u_salim 4 жыл бұрын
Mabaria wapo wengi sana walio toboa tembea viwanja utaona mwenyewe
@anahna6788
@anahna6788 4 жыл бұрын
Huyu yuko fiti kuliko wale mamento wa bagamoyo
@hafidhissa4405
@hafidhissa4405 4 жыл бұрын
Hahahahaa wale wa Bagamoyo story zao za kichawi. Nadhan wana future za kua waganga😂😂😁
@captendunga1392
@captendunga1392 4 жыл бұрын
Umeonaeee hata kama alikula unga hakuula kwa mda mrefu.
@expert5898
@expert5898 4 жыл бұрын
Hahahahaha... Umenifurahisha sana
@expert5898
@expert5898 4 жыл бұрын
Huyu anajua kusimulia
@salimmohamedsalim4448
@salimmohamedsalim4448 4 жыл бұрын
Unachelewa saana kurusha vipindi vyako mzee escom
@ibrahimrukundo3064
@ibrahimrukundo3064 4 жыл бұрын
bwana jabiri iko makini namtangazaji umeanda vyema.
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 4 жыл бұрын
Kweli wewe baharia hata kofia ulivyovaa hiyo
@directorkabalo3206
@directorkabalo3206 4 жыл бұрын
hawa ndio mabaharia sasa🙂🙂
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 4 жыл бұрын
Store all the way ( stolowey) Are we? We are ,( wiii, waa) As you were ( az wea) Support ( sapota)
@alexanderankiza2615
@alexanderankiza2615 4 жыл бұрын
Stow-a-way,
@mustafaahmad3585
@mustafaahmad3585 4 жыл бұрын
Huyu hakuwa na Seamen book
@landlord440illuminate8
@landlord440illuminate8 4 жыл бұрын
Ndumilakuwili alizamiaga wakamtosa kaogelea mpaka ufukweni.
@mpondamedia2416
@mpondamedia2416 4 жыл бұрын
ubarikiwe bro kwa kuwahoji hawa mabaharia nna bro wangu al maarufu msolopa yupo kibaha kwa mfipa nataka ukamuhoji ni follow insta shaikh_mponda tuyajenge ukamuhoji shukran bro
@eskodonald3087
@eskodonald3087 4 жыл бұрын
Nichek Instagram @esko_donald
@stevengolan9729
@stevengolan9729 4 жыл бұрын
Midomo ya jamaa anayehoji mikubwa yote wa juu na chini
@kimwelshebuge8772
@kimwelshebuge8772 4 жыл бұрын
Mwaka gani
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 4 жыл бұрын
Watoto wa kariakoo usafiri wameuanza zamani,kariakoo hamna fala
@Danny-px1bh
@Danny-px1bh 4 жыл бұрын
Kuna mdad kapita huko nyum..duh anamnyeo huyoo
@williambasiga5285
@williambasiga5285 4 жыл бұрын
stowaway is not a Seafarer bandugu
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 4 жыл бұрын
Yani Mtandao Wa Airtel Uko Vipi Intaneti Ugolo Tupu
@hamisikalulumbe6857
@hamisikalulumbe6857 4 жыл бұрын
Baharria gani alishawahi kutoboa life hil hamna show time tuuu
@bwanap2003
@bwanap2003 4 жыл бұрын
Do 14:09 Nikitoka Mtwara kuja huku Tanzania 🤣🤣🤣
@abdullmahbeshi2903
@abdullmahbeshi2903 4 жыл бұрын
Pallahani Masumba kakusudia dar c unajua tenaa😃😃
@bwanap2003
@bwanap2003 4 жыл бұрын
@@abdullmahbeshi2903 🤣🤣🤣
@MITOBO
@MITOBO 4 жыл бұрын
Kwanin mabaharia wengi wamechoka..?
@alihaji7201
@alihaji7201 4 жыл бұрын
Baharia nataka kiwanja maeneo ya buyuni kw ujenz wa nyumba
@alihaji7201
@alihaji7201 4 жыл бұрын
Kipo
@andrewmaurus7864
@andrewmaurus7864 4 жыл бұрын
Chenye ukubwa gani unataka
@zamzam5001
@zamzam5001 4 жыл бұрын
Baharia
@yusufhassanfu4012
@yusufhassanfu4012 4 жыл бұрын
Kipindi poa lakini advertising zako nyingi mno,zinatoa husuda yakuendelea kutizama.
@juliaayieta2578
@juliaayieta2578 4 жыл бұрын
Kwa wale queens 👸🏽 wanaojipenda hii video ni kwa ajili yenu jifunze mbinu mpya zinazo nisaidia kutotoka vipele wakati wakunyoa 👇🏾👇🏾 kzbin.info/www/bejne/p3KXlYuPZbJqfsU Ukijifunza kitu pls usikose ku subscribe 😘🙏🏾
@AnwarShivji-vq1nd
@AnwarShivji-vq1nd Жыл бұрын
Nipe namba yako ya whattsap
@bosslilyg4390
@bosslilyg4390 4 жыл бұрын
Escooo 💪💪💪
@MWAMALUMBILI
@MWAMALUMBILI 4 жыл бұрын
Huo mchanga wa chuma ni dhahabu hiyo inaibiwa.
@hassanimapanga7024
@hassanimapanga7024 4 жыл бұрын
Huyo kwa muonekano tu nikweli baharia chakaruru
@expert5898
@expert5898 4 жыл бұрын
Hahahaha
@hassanimapanga7024
@hassanimapanga7024 4 жыл бұрын
samson nkandi noma sana hawa mabaharia
Quilt Challenge, No Skills, Just Luck#Funnyfamily #Partygames #Funny
00:32
Family Games Media
Рет қаралды 55 МЛН
The Story Book: Wanyama Wa Kutisha (DINOSAURS) Season 02 Episode 07
23:09