MashAllah,,sheikh,,shukrani kweli umeyafunguwa masikio ya wengi,,jazzakaAllah khair
@madrasatulfurqani9 ай бұрын
aamin
@jumakumala1337 Жыл бұрын
ALLAH AMLIPE JANNATUL FRIDAUSI SHEIKH WETU NA MJALIE BARURI YAKE IWE BUSTANI MIONGONI MWA BUSTANI ZA PEPONI AMIIN
@madrasatulfurqani Жыл бұрын
aamin
@naamanomarimohamed9364 Жыл бұрын
Amin Thuma Amin
@abouswaleh7375 Жыл бұрын
Amiiiiiiiiiiin Amiiiiiiiiiiin
@issaissa6711 Жыл бұрын
Ameen...
@ibrataxidriverzanzibar Жыл бұрын
Amiin
@MahmoudAlly-u3u8 күн бұрын
Allah akupe pepo ya firdaus
@sadahmakshnada4503 Жыл бұрын
Allahumma ghfirlahu war ham huu Sheikh Nassor Bachu
@madrasatulfurqani4 ай бұрын
aamin
@barkanassir252811 ай бұрын
Ustadh bora uwailimishe wengi hawayajui hayo. Shukran sanaa Allahu barik
@jumaasungwi65743 ай бұрын
Mwanazuoni wetu Allah amlipe jannatul fir daus marhumu sheikh nassor bachu.
@thamratysuleiman30533 ай бұрын
@@jumaasungwi6574 ammiin
@AtanasioDaffa2 ай бұрын
Allah ampe kauli thabiti""shekhe nassoro bhachu
@man-ui3ey2 ай бұрын
Allah ammrehem maalim bachu. Na wengine waliotangulia mbele ya haki. Pamoja na sisi tulio njiani. Amin.
@madrasatulfurqani2 ай бұрын
aamin
@suleim505 Жыл бұрын
ALLAH AKUREHEMU KWA KAZI KUBWA, MZURI ULIYOIFANYA KATIKA WAJIBUWAKO HAPA ULIMWENGUNI.
@madrasatulfurqani Жыл бұрын
aamin
@asilahassan99656 ай бұрын
Ammina ya rabbill allamin allhuma amin kwa sote
@swafiirbulbul819 Жыл бұрын
Sheikh Nassor Abdallah Bachu ... ❤ ... Allah amrahamu
@madrasatulfurqani Жыл бұрын
aamin
@asilahassan99656 ай бұрын
Ammina ya rabbill allamin allhuma amin
@jumakitadu867411 ай бұрын
NAKUPENDA mpaka naumwa!!❤️❤️❤️❤️
@IrfanSalama-y1c3 ай бұрын
Shekh upo sahihi kabisa Allah akurehemu na akisameh makosa yako
@habibabdallah837810 ай бұрын
Amiiin
@IshakaMtipura10 ай бұрын
Anaeamini Sheikh yupo sahihi gonga like
@mohammedal78643 ай бұрын
@@IshakaMtipura hayupo sahiih, huoni hapo nikuhalalisha zina
@khamisjakusimai69253 ай бұрын
@@mohammedal7864 ndugu yangu kwaza soma hebu
@mudighurayra3 ай бұрын
@@mohammedal7864mgonjwa na ww
@RaimamomedSaide21 күн бұрын
@@mohammedal7864tupe usibitisho wako? Anahalalisha zinaa kwani yy amewatuma watu wakazin au amekemea kua mzinifu haowi ispokua mzinifu mwenzake,sasa km mtu haskii kuacha uzinifu ndio maana yake hio alokusudia.
@omaryoussuphbilali948611 ай бұрын
Allah amsamehe makosa yake nampenda mnoo Kwa ajili ya Allah
@asilahassan99656 ай бұрын
Ammina ya rabbill allamin allhuma amin kwa sote
@SaidCheka10 ай бұрын
Allah amlipe kher sheikh we2
@MwaliSuleih2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ baraka'Allah fiik insha'Allah sheikh
@madrasatulfurqani2 ай бұрын
aamin
@SadickMaulidi2 ай бұрын
Mashallah allah akpe mwisho mwema❤
@ovicsmnene48112 ай бұрын
❤Mansha'Allah Sheikh
@jiongezeemaarifa1496 Жыл бұрын
Maa Shaa Allah Sheikh Nassor Bachu nimeshangaa hapa jibu alilotoa kuhusu swali hili ni tofauti kabisa na jibu Alilotoa mwanafunzi wake mpenzi Sheikh Mselem kuhusiana na kadhia hii lakini wote wawili wako Sahihi Alhamdulillah....
@gharibaltiwany8165 Жыл бұрын
Hawezi kua sahihi wote huyu kateleza
@jumakingambe4323 Жыл бұрын
@@gharibaltiwany8165 ALIYETELEZA NI NANI ???
@JumaNyange-tz8pi Жыл бұрын
Ambaye hajamuelewa sheikh Bacho hawezi kuelewa tena
@asilahassan99656 ай бұрын
Sn
@AbuuAyubu-q3l Жыл бұрын
اللهم غفرله ورحمه
@HasanShake-m6k7 ай бұрын
Mashallah mungu akurehemu
@Ummusajdah Жыл бұрын
Hakika ya harali ipo wazi na haramu ipo wazi mengine tunamuachia Allah
@maryamanalisi19710 ай бұрын
Maa shaa allah ❤
@jumamohamed4808 Жыл бұрын
Mashaallah Allah Amrehem sheikh
@madrasatulfurqani Жыл бұрын
aamin
@halimamfaume1925 Жыл бұрын
Allah akujaalie jannah ❤
@madrasatulfurqani Жыл бұрын
aamin
@allysaidi-uy9rm Жыл бұрын
Mwenyezi mungu amrehemu
@madrasatulfurqani Жыл бұрын
aamin
@Husseinjumamrhero10 ай бұрын
mashaallah allah akurehem akup kaul thabit
@shukurukoll7269 Жыл бұрын
Allah SW ni Mwingi wa kusamehe. Ni mjuzi wa wajuzi .
(ALLAH) ampe nuru qabur kwake na amuingiz pepon bila ya jesabu bi maan ameach elimu yenye manufaa mashallah Hakik na ss tulobak tuige na tutend matend mema ili tupate kikumbukwa kweny khery
@hamadsuleiman5177 Жыл бұрын
Wallah amekufa laakin yupo hai kwa kweli...Gwiji la fiqhi huyu
@zainabuyassini3095 Жыл бұрын
Wanaume wema ni Kwaajili ya wanawake wema na Wana wake wema ni Kwaajili ya wanaume wema.
@sharifamgumiro-zs4ph11 ай бұрын
Oooooooh Masha Allah 🙏
@sharifamgumiro-zs4ph11 ай бұрын
Mwanaum mzinif hamuoi ila mwanamk mzinf au mwanamk mshirkina na mwanamk mzinif haolewi ila na mwanaum mzinif au mshirikina na hay yameharamshwa kwa waumin
@SaidCheka10 ай бұрын
Nikweli kabsa Allah a2hifadhi
@IssakSuleiman3 ай бұрын
ameen inshallah
@feisaldesign4156 Жыл бұрын
Allahuma Amin
@hamisishabani43333 ай бұрын
Allah akukinge naazabu zakaburi
@jabirkasunzu68412 күн бұрын
Aamiiin
@salmakwayu3951 Жыл бұрын
Allah amsamehe madhambi yake
@abuusuhail3 ай бұрын
Assalamu alaykum warahmatulah wabarakatuh' mashaALLAH, ALLAH amuhifadhi
@TipsEventsGuide-s5o3 ай бұрын
W, salaam warahmatullahi wabarakaatuh
@madrasatulfurqani3 ай бұрын
aamin
@AlyissaAbdala4 күн бұрын
Allah mrehemu shekhe
@abdallahjambia6596 Жыл бұрын
Maashallah
@mussakisope72079 ай бұрын
Allah subuhanahu wataala ampe kauli thabiti
@madrasatulfurqani9 ай бұрын
aamin
@Ummusajdah Жыл бұрын
Mtume alosema ktk umma wake yashatokea zinaa itakuwa harali ndo itakuwa jmn Allah atuifadhi
@DelleAlly-m1g Жыл бұрын
Rahimahu llahu
@aliwakokono7 ай бұрын
Vv 0:35 😮
@LatifahPambe5 ай бұрын
Allahumma rhamuhum
@AllyMa-pc Жыл бұрын
Naam
@siti319710 ай бұрын
Sasa shekh ,, km mtu hmekuaribia n umezaa nae ,, n hila kukuowa ndio tabu jee kunamtu yuatk kukuowa yawezekana. ,, kwenda kuolewa. Hm😢
@ABUUALLY-tv8rl Жыл бұрын
Kawaida ya mwanamke uliezini nae ni vigumu kumuowa na hatakama utamuowa basi mutakuwa hamuaminiyani Kila mmoja hamuamini mwenzake ! Na kama kaweza kukupa mwili wake wewe ukastarehe nae kabla ya kumuowaa ata shidwa kuwapa wanaume wengine wanje! 😢
@otrishxavi8350 Жыл бұрын
Anaweza akawa alistarehe na ww kwa kukupenda sababu ungekukataa msingekuwa karibu,hii dunia ina majaribu ww sheikh ombeni toba kisha muoe halafu wote mrudieni mungu atawasamehe na kuwapa kizazi bora na msirudie madhambi kama hayo tena
@ABUUALLY-tv8rl Жыл бұрын
Leo maasi yameenea na uzinifu umeenea Kila konaa sababu ni masheikh ndio wanaosababisha watu waziini Kwa kutoa fatwa za kuhalalisha ndoa za uzinifu ndio maana Leo waislamu wamekuwa hawana khofu na uzinifu wanazini kisha wanaowana 😭 hatuna utofauti na makafiri maana makafiri huzini kisha wakaowana 😭 sheikh Ambae anaemuogopa Allah basi wallah hawezi kuhalalisha ndoa za uzinifu hata siku Moja na kama kisingiziyo umeshamchezea na kumuingilia mtoto wa watu ataolewa na nani ! Hiyoo ni hoja ya kipumbavu Kwa sababu kama kweli unampenda Binti wa watu na unamalengo nae basi wallah husubutu kuzini nae kabla ya kumuowa ila Kwa vile masheikh wanawasapoti wazinifu na wanahalalisha baada ya kufanya uchafu wa zinaa waowane ndio maana watu Leo wanazini Wala khofu hawana yoyote ileee
@ABUUALLY-tv8rl Жыл бұрын
Uzinifu Leo umekuwa ni jambo la kawaida na ndio maana hukimbiliaa kuowaana baada ya kufanya machafu ili kujihalishia ,tunazidanganya nafsi zetu sana na Wala hiyoo sio tobaa tobaa ni kutengana nae na kujutiaa Kwa ulicho kifanya ,kama ndoa ni jambo la halali basi kwanni utangulize zinaaa kisha ndoaa ? Hiyoo sio ndoaa ambayo Allah s.w anayoikubali
@AbdallahMasoud-bp6hz Жыл бұрын
Swadakta habib!!!
@أحمدبنسليمانآلعبدالسلام Жыл бұрын
upo sahihi kaka mia kwenye mia
@rosemaryalexander80889 ай бұрын
Allah amrehemu
@madrasatulfurqani9 ай бұрын
aamin
@JIBRILYUSSOUF Жыл бұрын
Mungu akuingize peponi sheikh wetu
@afropanorama4730 Жыл бұрын
takbir
@SabrinaAchoollaАй бұрын
Je mume wa mtu kazini alafu😅aliyezin naye inafaa kumuoa
@madrasatulfurqaniАй бұрын
Amefanya kosa kubwa sana anatakiwa atubie Kwa ALLAH naasirudie Tena Kwani katika Sheria ya uislamu aliyeoa au kuolewa akazini hukumu yake ni kupigwa mawe mpaka kufa (Wallahu alam)
@SalehMilulu-ks9zd8 ай бұрын
Allah atupe muongozo na mwisho mwema
@abuually-ol2xc4 ай бұрын
Allah akusamehe makosa yako ila kwa hilii umechemkaa shehe bachu ,hakuna udhuru kwenye zinaaa ety mushafanya uchafu wa zinaaa halafu mupange ndoa muowanee huoni kama huko ni kumdanganya mwenyezimungu ?? 😢 Wenyezimungu hairidhii ndoa ya wazinifuu
Haifai hukum ya hao kama hawajaolewa wala kuowa mikwaju 100 bila huruma na watenganishwe miji walio owa au kuolewa mawe shimoni mpaka afe ukizini na mwamke sihalali yako umemgeuza kuwa haramu yako vp umuoe haifai
@madrasatulfurqani Жыл бұрын
Katika suratu nuur ALLAH amesema{{Mzinifu wa kiume hamuoi ila Mzinifu wa Kike na Limeharamishwa hilo kwa waumini}}
@abdab846611 ай бұрын
Babla sheria ya kupigana mikwaju Mia mpaka utawala uwe ni wa uislamu,
@abdab846611 ай бұрын
Mi niamuunga Rai ya marhemu,hamna zaidi ya quran ilivoeleza alkhabithina lil khabiithati
@abdab846611 ай бұрын
Alafu mpaka uje upigwe mikwaju ushahidi ni mpaka mtu ameona dhakari ikiingia kwenye tupu ya mwanamke,sheria za kislaamu haziibatishwi
@abdab846611 ай бұрын
Nambie utaona vipi dhakari ikiingia,labda iwe Wana act cinema chafu
@Ummusajdah Жыл бұрын
Jamani toba ya wanazinaa ni kuwatenganisha watubie wasionane kwa sasa eti ni kuwaozesha mashekh tunashindwa kuwaelewa lkn uwazi upo ktk surat nur zinaa ni haramu sio halali jamani mselem nilimuelewa sana jmn
@naadhiradam Жыл бұрын
Kumbuka kakwambia mwanzo kua hii ni ikhtilafi ya maulamaa yeye katoa kwa mujibu wa mtazamo wake na mselem alitoa kwa mijibu wa mtazamo wake wote wapo sawa maana inapokuja ikhtilafi kwa maulamaa we angalia wapi unahisi ndo sawa halafu fata lkn sio kwa mujibu wa matamanio yako la!
@Ummusajdah Жыл бұрын
Amesema mtume wa Allah rehma na amani ziwe juu yake watakuwepo watu ktk umma wake wataharalisha zinaa na khalila na miziki sasa tunasubili siku ya mwisho tu mengine ndo haya kila shekh na mtazamo wake
@sammarley1413 Жыл бұрын
Unayo Aya isemayo hivo ? Naomba nisaidie please
@SurprisedOmbreSky-qg6dk Жыл бұрын
Mie naona Rai ya mselemu ni Bora
@AhmedMbaruk-vt9rd5 ай бұрын
LEO HII UNAWATENGANISHAJE...WATAWASILIANA KWA SIM...
@abuually-ol2xc4 ай бұрын
Ndoa ni jambo halali na haiwezekani haramu ikazaaa halali 😢 Allah atuepushe na itiqadi za kinaswaraa maana wakristo huzini kwanza ikisha ndio hupanga waowanee kama si kumfanyia ujanja mwenyezimungu ni nni ?
@HassanPandu-j7t3 ай бұрын
Mkiristo hakhusika na masala haya mpaka atakaposliim
@azizayassin362311 ай бұрын
Sasa hivi ndio kwanza wanaolewa na mimba haswaaa😢
@ABUUALLY-tv8rl Жыл бұрын
Wakristo kwanza huchezeana kisha ndipo wakaowana ila waislamu hamuwezi kuchezeana kisha ety mukaowana itakuwa munafata Mila za kikafiri hamufati Mila za kiislamu
@otrishxavi8350 Жыл бұрын
Hata sisi waislam wapo pia wenye kuzini kabla hawajawao na wengine wameoa na wanazini pia wapo tena wengi,ujue Allah anamuongoa amtakaye na pia anamuingiza moyo amtakaye,kikubwa ni kuombeana kheri na dua njema sisi waislam na ukimuona mwenzio anakosea basi muonye bila kujali dini yake kwa uislam umeletwa kwa watu wote
@ABUUALLY-tv8rl Жыл бұрын
Hao waislamu wanaozini kisha wakaowana hao hawajawa waislamu wa kweli ndio wale waislamu majina ,ilaa zinaa itabakia kuwa zinaa Wala haihaliki Kwa kuowana ,na kadiri masheikh wanapohalalisha ndoa za wazinifu ndipo huwatoa khofu waislamu ndio maana ndoa za wazinifu zimekuwa nyingi sana sababu ni mashekh kuwatoa waislamu khofu na kuwafanya kuwa waone zinaa ni jambo la kawaida tu ndio maana watu huzini kishaa wakafunga ndoaa tena bila ya khofu yoyote na wanajihesabu wamefunga ndoaa ila kiukweli hasaa hakuna ndoaa baada ya kuzinii na kama watafunga ndoaa baada ya kufanya uzinifu basi huandikiwa wanazini mpaka siku ya kiyama
@hadijahamis5455 Жыл бұрын
Samahani nataka kuelewa zaidi elimu yangu ndogo.kwa hiyo atakayemuoa aliyezini naye hakuna ndoa?na hata kama wakioana itahesabika bado wanaendelea kuzini?na je hawa watuu wawili tutawasaidiaje waoe ambaooo hawajaziniii au?
@ABUUALLY-tv8rl Жыл бұрын
Ndio hakuna ndoaa apoo Bali huzidanganya tu nafsi ila kwamwenyezimungu haikubali ndoa kama hiyoo na kama itatokea wataowana basi watengane.kila mmoja atubie Toba yakweli na watengane wasionane tenaa
@ABUUALLY-tv8rl Жыл бұрын
Binaadamu kukosea ni lazima Wala sikatai kwamba binaadamu hawakosei ila isiwe sababu mazali kazini nae inamlazimu amuowee ety sababu ataolewa na nani ! Hiyoo ni hojaa sio ya msingi Wala hakuna huruma katika uchafu wa zinaaa hizoo ni milaa za kikristo na kiyahudi huzini kwanza kisha wakaowanaa
@JumaSaleh-k3g3 ай бұрын
Asalam alykum warahmatullah, vipi unaweza kuwowa mwana mke bando awajampa talakha? na mke anaka mwenyewe,na mume anachia wa toto ,mume ana owa mwengine,????naomba msaadha please 🙏
@madrasatulfurqani3 ай бұрын
w,salaam haiwezekani kumuoa mwanamke ambaye hajapewa talaka kisheria ya uislamu hairuhusiwi
@ibrahimsaleh-v7e11 ай бұрын
Lau ingelikua hawaozeshwi haya mambo yangepungua manake msichana angejua fika kua nikifanya uchafu huu ndio nishamkosa huyu ninae mtaka
@salimusaidi-h4c11 ай бұрын
Mzinifu hamuoi isipokuwa mzinifu mweznzake
@captshaky Жыл бұрын
je ALLAH ametuambia wazinifu muwaozeshe? ama wapewe heddi ?
@madrasatulfurqani Жыл бұрын
haddi mpaka dola ya kiislamu kadhi ndo mwenye mamlaka ya kusimamia hiyo hukumu sasa hivi huyo kadhi yuko wapi?
@AliKhamis-j9z Жыл бұрын
Kasome xana kabla yakulaumu xaca utatekeleza haddi VP nchi ambayo haitekelezi Sheria ya Allah xaxa jee kwahiyo hawazinifu tuwafanye nn nataka nijue fatwa yako ww msomi
@captshaky11 ай бұрын
NI SWALI LIMEULIZWA SIO MAONI NADHANI UMEONA QUESTION MARK? @@AliKhamis-j9z
@SurprisedOmbreSky-qg6dk Жыл бұрын
Na yule mtoto wa zinaa walopata kabla ya kuoana.vp nae story yake inakua.nataka kufahamu anaejua hili suala
@gharibaltiwany8165 Жыл бұрын
Shekh hapa aliteleza hukumu ya wazinzi ni bakora na mawe
@JumaNyange-tz8pi Жыл бұрын
Baada ya bakora nini kifuatie?
@jumakingambe4323 Жыл бұрын
MFANO. MWANAMKE MZINZI AMBAYE HAJAOLEWA BAADA YA KUPIGWA FIMBO 100 UTAKUBALI WEWE UMUOE ???
@sammarley1413 Жыл бұрын
@@JumaNyange-tz8piHakuna jibu ndugu yangu watu kama hawa wao sio wenzetu wao ni Malaika nakila akosea dawa nikumuhukumu tu hawana solution
@HasanShake-m6k7 ай бұрын
Mashallah mungu akurehemu
@laja2950 Жыл бұрын
(ALLAH) ampe nuru qabur kwake na amuingiz pepon bila ya jesabu bi maan ameach elimu yenye manufaa mashallah Hakik na ss tulobak tuige na tutend matend mema ili tupate kikumbukwa kweny khery
@HasanShake-m6k7 ай бұрын
Mashallah mungu akurehemu
@laja2950 Жыл бұрын
(ALLAH) ampe nuru qabur kwake na amuingiz pepon bila ya jesabu bi maan ameach elimu yenye manufaa mashallah Hakik na ss tulobak tuige na tutend matend mema ili tupate kikumbukwa kweny khery