Mbona katika kichwa cha habari mmeweka picture tofauti aisee mnapenda sana mambo ya uwongo uwongo
@Ibrahmagesa_tz Жыл бұрын
Bro unalalamika nn mbona vedio haidanganyi au we nikipofu
@Mpakauseme2 ай бұрын
Kipofu mimi au wewe kuma la mama yako , kwasababu wewe mshamba kila kitu unachukulia poa poa mkundu wewe @@Ibrahmagesa_tz
@Essau-si4wzАй бұрын
Âa@@Ibrahmagesa_tz
@LovelyOmbreSky-pu4jtАй бұрын
Mimi wasiwasiwangu ni kwamba mnapambana sana lakini shidayangu ni kuhujumiwa na wenye mabasi
@alfinmbilinyi5985Ай бұрын
Kazi nzuri nashauri TRC wawe makini sana na wachafuzi mtu akiwa na nguo chafu asiruhusiwe kuingia kwenye treni pia watoto wa shule hutembea na kaputura zilizovujia wino wa peni matakoni na kuachia rangi kwenye VitiTRC angalia hili pia.
@MohamedChilllo-ru8vg8 ай бұрын
Katika mabehewa yenye viwango yaliyoletwa Tanzania ni haya ,naipongeza Serikali ya mh Samia kwa hiki ninachokiona ,ila ninashauri kutanua usafiri wa treni za daladala ndani ya Dar kwa route za Gerezani ,Ubungo ,Kimara ,Mbezi hadi Kibaha ,nyingine route ya Mbagala
@abdullahhilalabdullahalmug31682 ай бұрын
Mabehewa Mazuri sana Hongera Tanzania. Kuhusu Air Condition Madirisha Hayafunguki je bahati mbaya kama Aircondition imeharibika Safarini
@rajabukipara3008Ай бұрын
As Si itakuwa Imeharibika!!😂
@SakayaGАй бұрын
Kwenye ndege madirisha hayafunguki
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Wasafiri msije kuyachafua.mabehewa.Atakayechafua alipe faini tena kali.Tuende na wakati uchafu ni hatari😮
@JenafaTV8 ай бұрын
😂😂😅tumecheka wote hapa ofisini hii coment yako.. ahsante @gracekagoma
@user-lz7sd1vd2e2 ай бұрын
Hongera sana jana nimepanda Kwa Mara ya pili nimefurahi sana
@jumas.sendekwa27882 ай бұрын
Ulipanda haya ya ghorofa au mengine
@BarakaRobert-j7g2 ай бұрын
Jamani TRC kwenye upande wa Rangi wanatuangusha kiukwel
@yassinluziga5408Ай бұрын
Inakubeba rangi wew???
@jacksonninde89718 ай бұрын
Yatapita kwenye maandaki na ulefu huo kwenda juu
@tillionsmon6131 Жыл бұрын
Inapendeza sana
@ramadhanmohamed3261 Жыл бұрын
Inaanza lini kufanya kazi jmn,,miaka inaenda,,kama reli mpaka Kilosa mmemaliza,kwa nn isianze iwe inafka tuu kwa kuanzia mpka kilosa kule??
@kambamazig020245 ай бұрын
Sasa msijaze abiria kama panzi kama ni abiria 150 basi iwe hivyo na msizidishe bali ongezeni treni ziwe nyingi.
@bagaileshabani31792 ай бұрын
Kumbe ni malichakavu !? Yalishatumika kwenye oparetion ulaya Kwa mujibu wa maelezo ya ingenia
@muyongahassan2188 Жыл бұрын
Pc yenyemmeweka inabendera ya usa simnadanganya hapo achen ujanja
@mushtaqakram98432 ай бұрын
Sasa muhimu Cha kufanya ni kuzingatia usafi na kuyatunza yasiwe kama mabasi ya mwendo kasi
@jumas.sendekwa27882 ай бұрын
Haya yanafanya kazi wapi sasa
@ellsonmkonyi13192 ай бұрын
Haya mabehewa n mapya sheria yetu ya manunuzi inasemaje ? Mungu ibariki Afrika
@tazrywiser5126Ай бұрын
Wee bwana kabla hayajaja ulidhania siku moja tungekuwa nayo? Hata kama makuukuu ingekuwa rahisi sana basi tungekuwa nayo siku nyingi shukuru kwa hicho tulichopata angalau
@benosilwani52085 ай бұрын
Mabasi ya Mwendokasi tuliambiwa hivyohivyo, tutaona muda utaongea
@m.e.ssofttech2806 Жыл бұрын
TV mbona hakuna
@hassanlikwenangu8471Ай бұрын
Akina KATARAMA mtapata tabu sana
@williammwaisunga3407 Жыл бұрын
Mnatuchanganya tu
@gooleserviceyoutubescandar3450 Жыл бұрын
Kaziiendelee.
@kambamazig02024 Жыл бұрын
mabehewa sita tayari yamefika, kichwa kimoja kilisemekana kufika mwezi wa saba na sasa mwezi wa nane unakaribia kuisha, je wapi kichwa hicho?
@KhamisMouktar-kk2yq2 ай бұрын
Mwezi wa Nane upi unakaribia kuisha
@m.e.ssofttech2806 Жыл бұрын
Mbona TV hakuna
@jumaabas68378 ай бұрын
Utaangalia kwenye simu yako
@JenafaTV8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 tv zipo nadhani hajazingatia vizur huyu mtazamaji