NJE NDANI BEHEWA ZA GHOROFA ZA TRENI ZA UMEME ZA SGR TANZANIA

  Рет қаралды 39,021

Jenafa TV

Jenafa TV

Күн бұрын

Пікірлер: 36
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
Mbona katika kichwa cha habari mmeweka picture tofauti aisee mnapenda sana mambo ya uwongo uwongo
@Ibrahmagesa_tz
@Ibrahmagesa_tz Жыл бұрын
Bro unalalamika nn mbona vedio haidanganyi au we nikipofu
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 ай бұрын
Kipofu mimi au wewe kuma la mama yako , kwasababu wewe mshamba kila kitu unachukulia poa poa mkundu wewe ​@@Ibrahmagesa_tz
@Essau-si4wz
@Essau-si4wz Ай бұрын
Âa​@@Ibrahmagesa_tz
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt Ай бұрын
Mimi wasiwasiwangu ni kwamba mnapambana sana lakini shidayangu ni kuhujumiwa na wenye mabasi
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 Ай бұрын
Kazi nzuri nashauri TRC wawe makini sana na wachafuzi mtu akiwa na nguo chafu asiruhusiwe kuingia kwenye treni pia watoto wa shule hutembea na kaputura zilizovujia wino wa peni matakoni na kuachia rangi kwenye VitiTRC angalia hili pia.
@MohamedChilllo-ru8vg
@MohamedChilllo-ru8vg 8 ай бұрын
Katika mabehewa yenye viwango yaliyoletwa Tanzania ni haya ,naipongeza Serikali ya mh Samia kwa hiki ninachokiona ,ila ninashauri kutanua usafiri wa treni za daladala ndani ya Dar kwa route za Gerezani ,Ubungo ,Kimara ,Mbezi hadi Kibaha ,nyingine route ya Mbagala
@abdullahhilalabdullahalmug3168
@abdullahhilalabdullahalmug3168 2 ай бұрын
Mabehewa Mazuri sana Hongera Tanzania. Kuhusu Air Condition Madirisha Hayafunguki je bahati mbaya kama Aircondition imeharibika Safarini
@rajabukipara3008
@rajabukipara3008 Ай бұрын
As Si itakuwa Imeharibika!!😂
@SakayaG
@SakayaG Ай бұрын
Kwenye ndege madirisha hayafunguki
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Wasafiri msije kuyachafua.mabehewa.Atakayechafua alipe faini tena kali.Tuende na wakati uchafu ni hatari😮
@JenafaTV
@JenafaTV 8 ай бұрын
😂😂😅tumecheka wote hapa ofisini hii coment yako.. ahsante @gracekagoma
@user-lz7sd1vd2e
@user-lz7sd1vd2e 2 ай бұрын
Hongera sana jana nimepanda Kwa Mara ya pili nimefurahi sana
@jumas.sendekwa2788
@jumas.sendekwa2788 2 ай бұрын
Ulipanda haya ya ghorofa au mengine
@BarakaRobert-j7g
@BarakaRobert-j7g 2 ай бұрын
Jamani TRC kwenye upande wa Rangi wanatuangusha kiukwel
@yassinluziga5408
@yassinluziga5408 Ай бұрын
Inakubeba rangi wew???
@jacksonninde8971
@jacksonninde8971 8 ай бұрын
Yatapita kwenye maandaki na ulefu huo kwenda juu
@tillionsmon6131
@tillionsmon6131 Жыл бұрын
Inapendeza sana
@ramadhanmohamed3261
@ramadhanmohamed3261 Жыл бұрын
Inaanza lini kufanya kazi jmn,,miaka inaenda,,kama reli mpaka Kilosa mmemaliza,kwa nn isianze iwe inafka tuu kwa kuanzia mpka kilosa kule??
@kambamazig02024
@kambamazig02024 5 ай бұрын
Sasa msijaze abiria kama panzi kama ni abiria 150 basi iwe hivyo na msizidishe bali ongezeni treni ziwe nyingi.
@bagaileshabani3179
@bagaileshabani3179 2 ай бұрын
Kumbe ni malichakavu !? Yalishatumika kwenye oparetion ulaya Kwa mujibu wa maelezo ya ingenia
@muyongahassan2188
@muyongahassan2188 Жыл бұрын
Pc yenyemmeweka inabendera ya usa simnadanganya hapo achen ujanja
@mushtaqakram9843
@mushtaqakram9843 2 ай бұрын
Sasa muhimu Cha kufanya ni kuzingatia usafi na kuyatunza yasiwe kama mabasi ya mwendo kasi
@jumas.sendekwa2788
@jumas.sendekwa2788 2 ай бұрын
Haya yanafanya kazi wapi sasa
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 2 ай бұрын
Haya mabehewa n mapya sheria yetu ya manunuzi inasemaje ? Mungu ibariki Afrika
@tazrywiser5126
@tazrywiser5126 Ай бұрын
Wee bwana kabla hayajaja ulidhania siku moja tungekuwa nayo? Hata kama makuukuu ingekuwa rahisi sana basi tungekuwa nayo siku nyingi shukuru kwa hicho tulichopata angalau
@benosilwani5208
@benosilwani5208 5 ай бұрын
Mabasi ya Mwendokasi tuliambiwa hivyohivyo, tutaona muda utaongea
@m.e.ssofttech2806
@m.e.ssofttech2806 Жыл бұрын
TV mbona hakuna
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 Ай бұрын
Akina KATARAMA mtapata tabu sana
@williammwaisunga3407
@williammwaisunga3407 Жыл бұрын
Mnatuchanganya tu
@gooleserviceyoutubescandar3450
@gooleserviceyoutubescandar3450 Жыл бұрын
Kaziiendelee.
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Жыл бұрын
mabehewa sita tayari yamefika, kichwa kimoja kilisemekana kufika mwezi wa saba na sasa mwezi wa nane unakaribia kuisha, je wapi kichwa hicho?
@KhamisMouktar-kk2yq
@KhamisMouktar-kk2yq 2 ай бұрын
Mwezi wa Nane upi unakaribia kuisha
@m.e.ssofttech2806
@m.e.ssofttech2806 Жыл бұрын
Mbona TV hakuna
@jumaabas6837
@jumaabas6837 8 ай бұрын
Utaangalia kwenye simu yako
@JenafaTV
@JenafaTV 8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 tv zipo nadhani hajazingatia vizur huyu mtazamaji
#SGR: TRENI YA UMEME TANZANIA   (Film)
23:56
WABONGO UGHAIBUNI MEDIA PRODUCTION LIMITED WU®
Рет қаралды 2,2 М.
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 99 МЛН
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 838 М.
SCHOOLBOY. Мама флексит 🫣👩🏻
00:41
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 6 МЛН
МЕБЕЛЬ ВЫДАСТ СОТРУДНИКАМ ПОЛИЦИИ ТАБЕЛЬНУЮ МЕБЕЛЬ
00:20
Top 10 African Countries With The Best Railway Transport Systems 2024
9:53
MAENDELEO UJENZI WA FLYOVER
4:04
HABARI ONLINE TV
Рет қаралды 4,5 М.
NJE MPAKA NDANI YA MABEHEWA YA KISASA YA GHOROFA YA SGR
6:23
TRC RELI TV
Рет қаралды 37 М.
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 99 МЛН