NJIA RAHISI YA KUTATHIMINI UBORA WA ASALI

  Рет қаралды 41,571

Tanzania Forest

Tanzania Forest

Күн бұрын

Asali ni chakula, dawa na zao la biashara kwa binadamu. Kwa kuzingatia umuhimu huu asali inatakiwa kuwa na ubora na usalama unaokidhi matakwa ya walaji.
Njia rahisi ya kupima ubora wa asali ni kutumia kigezo cha maji kwenye asali na kujua asali iliyochemshwa. Asali bora na isiyochemshwa ina kiwango cha maji kisichozidi asilimia 20. Asali iliyo na kiwango kikubwa cha maji ina uwezekano mkubwa wa kuchacha na kuwa pombe.
Ungana na mtaalamu wetu kuweza kujua namna unaweza kutambua ubora wa asali kirahisi na kuepuka kutapeliwa.

Пікірлер: 82
@kadoaugust6497
@kadoaugust6497 3 ай бұрын
Asante kwa somo lizuri
@LydiaRweyemamu
@LydiaRweyemamu 3 ай бұрын
Barikiwa dada kwa somo zur
@DenisSanga-bj5ud
@DenisSanga-bj5ud 4 ай бұрын
Ahsante na hongera Santa dada
@bernardmakungu290
@bernardmakungu290 2 жыл бұрын
asali darasa hili zuri sana. Hongereni TSF na wale wanaotuuzia asali safi kama Yakilila wauzaji wa asali mbichi Geita.
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 6 ай бұрын
Asante sana mana lilikuwa linatuchanganya hilo la kujuwa asali feki na orijino
@zenjigreen5491
@zenjigreen5491 2 жыл бұрын
Somo hili ni muhimu sana kwangu.nimekua niliogopa kununua asali kwa kutumia ipi bora. Shukran
@HusseinKoja-ww7gi
@HusseinKoja-ww7gi 3 ай бұрын
Mungu alishasema watatoa asali matumboni mwao zenye rangi tofauti
@israelmunuo7938
@israelmunuo7938 3 ай бұрын
Asante sana
@kingsolomon0
@kingsolomon0 3 жыл бұрын
Asanti sana Theresia . This is very educational and informative program on testing the quality of honey . Hogera . love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@queenpiscator6117
@queenpiscator6117 2 жыл бұрын
Hongera dogo haya ndo ma tangazo ya muhimu kijamii sio ma dada wanaolipia kwa ajili ya kuta ngaza vipodozi vya rangi za waarabu na wachina na kuonekana uso km wacheza sala kasi hongera mpz wewe ni mfano mzuri
@edwardedward8187
@edwardedward8187 5 жыл бұрын
Asanteni TFS
@rosenyato8729
@rosenyato8729 3 жыл бұрын
Biashara yangu kubwa ni asali. Dada uko sahihi kabisa. Hongera sana. Niko Dar. Uzeni asali hutajuta
@berthabusunzu1970
@berthabusunzu1970 Жыл бұрын
Hongera sana. Masoko yakoje. Ninauza ila masoko
@maggymgaya2504
@maggymgaya2504 4 жыл бұрын
Asante dada 🙏🙏🙏
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 ай бұрын
Shukran
@avax5717
@avax5717 6 жыл бұрын
Asante kwa elimu
@marygorethWilliam
@marygorethWilliam 4 ай бұрын
Theresia hongera sana
@musaabuebker1750
@musaabuebker1750 5 жыл бұрын
Asante kwa darasa dada mzuri.Apo sitauziwa tena asali feki
@jakobonoha7666
@jakobonoha7666 Ай бұрын
Vifungashio, na wingi was maji ndio njia peke zakutambua asali ni Bora??? Au Kuna njia zingine zaidi upande wa wingi wa maji Kuna njia3 umeztaja, maji kwenye glass, mchanga, njiti ya kiberiti
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 4 жыл бұрын
Asante sana my dear
@richardkizigha8329
@richardkizigha8329 2 жыл бұрын
Somo zuri asante
@edwardedward8187
@edwardedward8187 5 жыл бұрын
Somo nimelipenda na nimenufaika na maelezo kwenye video hii
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 жыл бұрын
Hiyo asali ya pili mulishaichanganya mana ni mchuzi si asalii mmmh
@NellyMadeni-yv6fd
@NellyMadeni-yv6fd Жыл бұрын
Yamchanga ni nzuri na nyepesi na rshisi
@kuziririzaisabatosiitegeko7088
@kuziririzaisabatosiitegeko7088 2 жыл бұрын
Nashukuru kwa elimu ila kwa sababu nakupenda nikweli ni mwamba urekebishe myself zako hizo zimekuharibiya muonekano.kubali zabo za asili dada mbona muri tu
@noelamtesigwa6819
@noelamtesigwa6819 2 жыл бұрын
Yaan saiv watanikoma😂😂wamezoea kunipigaa
@zephnyarufunjo12
@zephnyarufunjo12 5 жыл бұрын
Asante ofisi za wakala wa huduma za misitu kwa mwanza ziko wapi
@GilbertGombeye
@GilbertGombeye Жыл бұрын
Theresia asante je asali inatibu ukimwi nauliza nilibiwe
@bonifacemorro282
@bonifacemorro282 4 жыл бұрын
Excellent mtaalamu ameeleza vizuri sana na imeeleweka. Tupatieni contact yenu
@petromnyeti1049
@petromnyeti1049 Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri
@eliasmasunzu4063
@eliasmasunzu4063 Жыл бұрын
Vifungashio vinapatikanaje kwa bei rahisi
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 6 ай бұрын
Namba zenu
@anniepaul3200
@anniepaul3200 5 жыл бұрын
Da teddy kwa mtu ambae haishi tz anataka kusafirisha asali nje ya nchi taratibu gani afuate?
@rosenyato8729
@rosenyato8729 3 жыл бұрын
Hicho kifaa cha kupimia ubora wa asali nakipataje?
@leilajenifer6740
@leilajenifer6740 Жыл бұрын
Namba ya simu
@frankyesaya7768
@frankyesaya7768 6 жыл бұрын
Hongereni sana
@salumbabu1602
@salumbabu1602 2 ай бұрын
Napataje iyo honey refractometer?
@tanzaniaforest4823
@tanzaniaforest4823 2 ай бұрын
Tungependa kujua kwanza unapatikana wapi ili tuweze kukusaidia kwa haraka
@leonardflavour7533
@leonardflavour7533 4 жыл бұрын
Je nakama imepikwa inakuwajeee
@marygorethWilliam
@marygorethWilliam 4 ай бұрын
Tafadhali namba za simu,unapatikana wapi?
@malickmpemba9885
@malickmpemba9885 Жыл бұрын
Nitapata wapi vifungashio Bora vya asali?
@congratulationmayunga3833
@congratulationmayunga3833 Жыл бұрын
Madukani
@dausonkamaka8165
@dausonkamaka8165 6 жыл бұрын
Nakuelewa ccta
@jackfimbo4486
@jackfimbo4486 5 жыл бұрын
sasa na wenye viparata au vatamburisho vya ujasiliamali wanasajilije ?
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 6 ай бұрын
Tumefundishwa leo izo nijia na ya kibiliti
@florencejohn6427
@florencejohn6427 3 ай бұрын
Huyu dada hajui kiswahili. Hana uwezo wa kuwasilisha mambo. Mtu kumwelewa ni kazi ngumu sana.
@debbymwaka4048
@debbymwaka4048 3 ай бұрын
Acha ujinga Sasa hio nilugha gani anaongea labda ww Ndo hujui kiswahili Ila Sisi tuna muelewa saana
@iddrashid7054
@iddrashid7054 11 күн бұрын
Wewe ni ndugu lawama huna jema kiswahili hajui na hayo matendo anayofanya nayo huelewi?
@salimabdallah7409
@salimabdallah7409 4 жыл бұрын
Je njia moja ikikubal zngine zkagoma?
@muhammedameir3582
@muhammedameir3582 3 ай бұрын
Ndiyo si salí safi hiyo.
@jumasaid8777
@jumasaid8777 4 жыл бұрын
Utatambuaje kama haina sumu?
@mwanaidimuhamed6540
@mwanaidimuhamed6540 3 жыл бұрын
Mi nahitaji asali ya Lt 20 napata wapi na sh ngapi?
@elvisnzovu8282
@elvisnzovu8282 3 жыл бұрын
Wewe uko wapi? Contract me elvisnzovu98@gmail.com
@jumasaid8777
@jumasaid8777 4 жыл бұрын
Kama huna kampuni
@davydany9648
@davydany9648 4 жыл бұрын
Naomba kujua jinsi ya kupata hicho kipimo cha kupimia asali
@الوفاءالمثالي
@الوفاءالمثالي 3 жыл бұрын
how can buy ?
@crazygaston8066
@crazygaston8066 2 жыл бұрын
Am also selling honeybees .. we can talk
@dorrislukinja2703
@dorrislukinja2703 Жыл бұрын
Asali ikichachuka unalewa Kama pombe ukiywa
@lulucharles7252
@lulucharles7252 3 ай бұрын
Safi
@mpoyokapictures1405
@mpoyokapictures1405 6 жыл бұрын
hamja taja mawasiano yenu wala amjaelekeza mnapo patikana
@deogratiusmartine7210
@deogratiusmartine7210 5 жыл бұрын
Vp kuhusu wakulima wadogo wadogo kwny utaritibu ukonje hasa wanaozalisha na kuuza
@deogratiusmartine7210
@deogratiusmartine7210 5 жыл бұрын
Utaratibu wa usajili
@edwardedward8187
@edwardedward8187 5 жыл бұрын
Ingia kwa mtandao ugoogle wakala wa mazao ya misitu Tanzania(TFS)
@peterkabogo6468
@peterkabogo6468 2 жыл бұрын
Dada mvavi yakulinia tutapata wp
@marcosabore1527
@marcosabore1527 Жыл бұрын
Nikwa namna gani unaweza pata vivungashio ya asali
@malickmpemba9885
@malickmpemba9885 Жыл бұрын
Ndg, ulifanikiwa kupata vifungashio vya asali?
@mohamedthoya7436
@mohamedthoya7436 6 жыл бұрын
Kuganda kwa asali ni tabia.....mhhh...rudi maabara dada..
@avax5717
@avax5717 6 жыл бұрын
Ni kweli huwa ni tabia
@japharihashimu6554
@japharihashimu6554 4 жыл бұрын
Asali inatabia kiongozi
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 4 жыл бұрын
Icho kidude bei gani
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 6 ай бұрын
Ya mchanga ndo hatujafundishwa
@theresiakamote883
@theresiakamote883 4 ай бұрын
Ipo pia
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 4 жыл бұрын
Naanza proces kesho
@GilbertGombeye
@GilbertGombeye Жыл бұрын
Jenawezaje kufunga nyuki na je asali wa nyuki wadogo ipo kweli
@frowinimwinuka9736
@frowinimwinuka9736 4 жыл бұрын
Vifungashio nitapata wapi
@elvisnzovu8282
@elvisnzovu8282 3 жыл бұрын
Hakika ni swali zuri sana. Tunaomba tujibiwe dada yangu
@prophilsamwel4709
@prophilsamwel4709 2 жыл бұрын
Kariakoo vipo
@gwiterrichard7352
@gwiterrichard7352 5 жыл бұрын
vifungashio navipata wapi msaada tafadhal kwa yeyote anaeweza kunisaidia
@immanuelgotifrid2377
@immanuelgotifrid2377 4 жыл бұрын
vinapatikana kariakoo
@rosenyato8729
@rosenyato8729 3 жыл бұрын
Kariakoo kwa Dar
@omaruliza3039
@omaruliza3039 3 жыл бұрын
Naomba mawasiliano yenu. e-mail yangu ni ommyuliza98@gmail.com
UFUGAJI WA NYUKI;zijue mashine za kuvuna na kuchakata asali
8:41
Shamba Darasa TV
Рет қаралды 5 М.
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 11 МЛН
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
规则,在门里生存,出来~死亡
00:33
落魄的王子
Рет қаралды 27 МЛН
Mh. PETER PINDA;ASALI NI UTAJIRI MKUBWA
10:43
TanTrade Tanzania
Рет қаралды 13 М.
MPANGO WA BIASHARA(BUSINESS PLAN)
30:18
Ngowi TV
Рет қаралды 38 М.
Biashara ya kuuza ASALI  na Dada Coletha / Wengine wanapaka sehemu zao
23:05
Gangana Info Channel
Рет қаралды 3,5 М.
Fahamu juu ya Kukua kwa tezi dume kutoka kwa Dk. Isaac Mawalla
2:03
The Aga Khan Hospital, Dar Es Salaam
Рет қаралды 2,4 М.
MAAJABU YA ASALI, HABATSAUDAA, SWAUMU, TANGAWIZI,,ALQASAUS, SUFA NA MENTHOL
31:57
Nyuki wadogo waweza kukupa kipato cha juu
13:17
Mosses Anney
Рет қаралды 7 М.
FAIDA 12 ZA ASALI KIAFYA
8:01
SukaMedia
Рет қаралды 3 М.
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 11 МЛН