Ety nyumba alijenga lini wewe mpuzi sana hadi wamuuliza kama alitumia shs ngapi yani hata huna huruma kwakweri watu wapo msibani badala ya kuwa liwaza na kuwapa MOYO unauliza maswali ya kijinga atlist try to have some sence even if you don't have heart nkt I'm so disappointed in you people.......Rest in peace dear Sam wa ukweli I loved you
@itetejoshua79926 жыл бұрын
Millard ayo ee Kaz yako tunajua so kama vp hilo tangazo achan nalo mzee baba
@dorothymohamed50406 жыл бұрын
Wewe mtangazaji huna akili maswali gani hayo unamuuliza 😕😕
@happybarack83546 жыл бұрын
ivi nyie mkoje mnahoji nin sasa nyumba mshaiona maswali ya kipuuzi acheni ufara nyie watangazaj muachen kaka wa watu apumzike r. I. p sam
@janethmales61096 жыл бұрын
we msenge mwenzio amepokerewa namungu we unauliza usenge kwenu kunahata gofu lachumba kimoja ebu jiulize kwanza ucha kuuliza usenge umeenda msibani tuliza mshono maswli yann mbwa ww
@rashidmuna83726 жыл бұрын
Mallard Ayo hawa vijana wako wanauliza maswali ya kifala sana, shenzi sana. Naona page yenu imeanza kua ya kifala.
@emmanuelmahendeka61086 жыл бұрын
Millard naikubalisana Chanel yako lakinikwa watangazaji wanao vunjamisingi kama hao wanashusha hadhi ya chanel
@alfredkishema37886 жыл бұрын
jaman n msimban au kuhojiana tena duhhh bongo bhana
@nikomnanka56866 жыл бұрын
Hivi huyu ni binadam toleo la ngap? Au akili ameziacha nyumban anauliza upuz gani,,,,,,,,,,uwo
@swaumubaruarashidi78786 жыл бұрын
jama acheni ulimbukeni mnamjaji mtu ameshafariki
@aloycesiwingwa65486 жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi
@leokamil20756 жыл бұрын
Dah Jamani Mungu amrehemu nimetokwa na machozi walahi.
@swabrinamasoud1066 жыл бұрын
Allah ailaze roho ya marehemu Sam pema peponi Amiin
@afrahnawas43846 жыл бұрын
Masha'Allah😍
@francishura12266 жыл бұрын
Navichukia vyombo vya habari vya Tanzania mtu akifa watachunguza adi marehemu alikuwa anavaa chupi ya size gani akiwa mzima hawana habari siyo vizuri mungu hapendi usanifu hata kama mnatafuta ela kwa njia ya kusabuscribu siyo mpaka mtu afe R.I.P Sam nyimbo yako imewagusa wengi siyo wachawi tu kwani uchawi sio lazima kuloga hata ambaye ukifa anapeleleza maisha yako ni mchawi pia ana kweli bora wali tembele kuliko walimwengu duuuu mmenishinda tabia waandishi wa habari wa bongo tz shikamooni
@djonetz27306 жыл бұрын
We ni Afisa upelelez au mtangazaji mbona unabaka fani wew
@virginiakibe18466 жыл бұрын
Ha ya maswali ya nyumba yakunjia wapi wakati watu sana huzuni Rip