AMEN, Pr Mmbaga. Mimi nikitaka NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU, Nasikiliza Mahubiri yako. Huu ndo muujiza wangu almost daily.
@josephngigi42114 ай бұрын
Mungu na akuongezee nguvu zaidi na miaka na neema juu yako siku zote Mchungaji.
@user-jg3yy3tj2v5 ай бұрын
Mchungaji Mungu muhumbaji akutie nguvu tena asante kwaneema ya Yesu nimesikia neno nzuri, ubarikiwe Amen🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@JacklineMoti5 ай бұрын
Praise the Lord mtumishi wa Mungu. Aliye Hai Jina la Bwana libarikiwe Sana.
@PheadaKasigwa5 ай бұрын
Nimebarikiwa na ombi la yehoshafati nami natulia niuone wokovu wa BWANA
@faustermtavangu82123 ай бұрын
Naomba.Uniombee Mungu binti yangu ajifungue salama nipo hosptali kuna vitu havipo sawa Asante Mchungaji Asante Mungu kwani naamini neno la Mungu lina nguvu sana.
@nyambocksupplier75165 ай бұрын
Mungu akubariki pastor akupe miaka mingi ya kuishi duniani na mbinguni tukutane Kwa shangwe
@annahkerubokirera52295 ай бұрын
Amen Amen Amen and be blessed pastor wherever you are and God bless you abundantly
@eustina05 ай бұрын
Maombi yangu eeeh Mungu wayajua pokea sifa za moyo wangu
@annamuhoho18725 ай бұрын
Pastor ubarikiwe, tunakuombea Mungu akutumie kama Daudi mfalme.
Asante mchungaji roho yangu imepata amani barikiwa sana
@micahnyauma12433 ай бұрын
Amen
@josephngigi42114 ай бұрын
Lakini mwalimu wangu nakupenda pamoja na mafundisho wakati wowote ninapo pungukiwa nikiguza tu! U TUBE napatana somo lako lina fanana na upunguvu wangu hivi basi mimi ni mwigilisti napenda kalama ya kufundisha sema neno hapo ulipo naamini dio naanza mafundisho ya kibibli u tube Joseph ngigi preach good news gospel of salvation niombee pia Mungu na akubaliki sana my rollmodel.
@MahubiriPrMmbaga4 ай бұрын
Mungu akupe haja ya moyo wako
@jeanmakeusa83894 ай бұрын
Pastor Bwana akubariki sana,itakuwa vema siku moja uje ukatusalimu hapa mjini Goma DRC katika Union yetu ya NECUM. Bwana uku bariki sana na familia yako bila kusau wasabato wote wa TZ. Mimi ni Makeusa John mshiriki wa kanisa la Mabanga Goma DRC.
@NicolasKitoga4 ай бұрын
Asante kwa mafundisho mchungaji Pia naonba msaada wamaonbi Nami najifunza apa mjini Goma ili Mungu akiniwezesha niwe mchungaji kama wee
@user-nd3rd3xo7x5 ай бұрын
Nashukuru Sana mchungaji kwa somo la leo naomba maombi kwa Familia yangu especially mume wangu
@kennedymwirigi45772 ай бұрын
Blessed from Kenya
@RehemaMkamba5 ай бұрын
Asante mchungaji kwa mahubiri mazuri. Naomba umuombee dada yangu pia alikuwa muombaji lakini alifika mahali fulani kwa ajili ya maombi akaomba na kuchoma vitu vya kichawi, kutoka hapo maisha yake yakabadilika kabisa ameharibikiwa naomba umkumbuke kwenye maombi
@KevinGechore4 ай бұрын
Amen mchungaji wacha mungu apewe sifa.
@averenejohn35134 ай бұрын
Amen
@gracekisaka84614 ай бұрын
AMEEN
@user-jn8th1tw8h4 ай бұрын
Muyinga njombe nimebarikiwa na somo zuri pastor umeniinua kiroho Amina sana
@dishonkeya83974 ай бұрын
Amen 😅
@marymauti41055 ай бұрын
Mchungaji niombee niko some challenges kwa ndoa mume wangu ametawaliwa na ulevi..mungu akubariki kwa mafunzo yako mema Amina
@MahubiriPrMmbaga5 ай бұрын
Mungu akutendeee makuuu
@MahubiriPrMmbaga5 ай бұрын
Pole sana! Nguvu ya Mungu iingie ndani yake na kumpa badilko kuanzia leo! NA IWE HIVYO
@joycethomas66195 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbaga pastor naomba namba yako
@josephinelusambo45935 ай бұрын
amen amen mtumishi
@nezerinejuma55105 ай бұрын
Amen ❤️🙏🏾
@namsifumaduhu21835 ай бұрын
Asante Yesu
@zeliageorge33115 ай бұрын
Kama Bwana asingekuwa pamoja nasi tuseme nini Basi? Kwa mkono hodari akatupigania; hila za mwovu na zikashindwa....Uhimidiwe Bwana.
@user-tg6xb5rc8m5 ай бұрын
Please pastor niombee nami niwe Karibu na Mungu
@user-sr3rn1ty9g5 ай бұрын
Mchungaji me naomba msaada wa maombi nasumbuliwa na nguvu za giza nilipata shida hii nikiwa form 3 mpk 4 Mchungaji nimeenda kwa waganga nimegundua mungu nimuweza sasa nipo chuo lkn bado sijaponq
@nicksonmasatu72094 ай бұрын
Huu mtafsiri wa lugha za viziwi anapotea sana, mjitaidi awe anaonekana muda wote kwenye screen, tafadhali.
@user-pe9hl6ks6m5 ай бұрын
Amina kwa kutufundisha kuomba
@user-rv7nm5ep4p5 ай бұрын
Amen mtumishi, wa Mungu mafundisho ni mazuri sana, ila nataka nijue kwa nini Sabato ni jumamosi na Wala si jumapili?
@nelsonamani94894 ай бұрын
Uko tayari kujifunza Mtumishi? Inawezekana kabisa kujua Siri hii, barikiwa
@janviershaminya24855 ай бұрын
asante kwa mungu
@user-ee8dr9iw4k5 ай бұрын
Nimebarikia sana Nikiwa Mogadishu ninaitaji maombi, Nina kidonda haiponi
@happyharuni6705 ай бұрын
Aminaa
@user-dk3xi4pz7o5 ай бұрын
Amina Amina
@dagradaonlinetv5 ай бұрын
Pastor niombee nasumbuliwa na pingili za mgongo
@joseshido81925 ай бұрын
🙏
@NyamariFaith-qu1jm5 ай бұрын
Mungu abariki hili somo kupitia kwa mjungaji hakika mungu ametenda makuu maishani mwangu kupitia kwa mafundisho haya
@bamag-0215 ай бұрын
Hakika nimebarikiwa sana
@franciscamoshi76715 ай бұрын
Havache mtani wakwa.
@jonaskaminsa18105 ай бұрын
Naomba kumuombea mke wangu amepata strocke Niko Iringa mjini
@user-pe9hl6ks6m5 ай бұрын
Kama yehoshafati
@erastusobara31965 ай бұрын
Pastor napitia mzigo mzito ambao siwezi taja hapa nikumbuke tu Kwa maombi