KANUNI HII ITAKULINDA KILA UENDAPO - PR DAVID MMBAGA

  Рет қаралды 29,177

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

3 ай бұрын

Пікірлер: 168
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 ай бұрын
HII NAMBA NI KWAAJILI YA MAOMBI NA SHUHUDA +255755932283
@Daud48
@Daud48 3 ай бұрын
Namba ya kuongea na pasta ni ipi maana Kuna mtu anahitaji kuongea na pasta kwa msaaada tusaidie no
@PendoOscar
@PendoOscar 3 ай бұрын
Mm ninasumbuliwa na mawazo mabaya pamoja na fikra lakin mumgu ni mwema naendelea kupambana kwa maombi naitaji na nguvu zawengine ili nisonge mbole
@beatricemageka0708
@beatricemageka0708 3 ай бұрын
Bwana ni mwema,naomi mkumbuke mamangu Abigail ambaya afya yake imedhoofika vibaya kwa ugonjwa ambao haupo. Ikiwa kuna nguvu za giza zinachangia,zishindwe nakuharibiwa kwa jina la Yesu na mum aweze kurudi kumtumikia Mungu kwa choir. Naamini Mungu wetu ni mkuu amemponya. Amina
@BeatriceKingeli
@BeatriceKingeli 3 ай бұрын
Kupitia maombi ya pastor mmbaga mum ametembea hivyo ameongeswa siku kama Ezekia Amen
@user-gw9cs8km3o
@user-gw9cs8km3o 3 ай бұрын
Amen
@judithonsomu4472
@judithonsomu4472 2 ай бұрын
Asante mchungaji kwa neno, Mungu azidi kukupa hekima ya neno.
@feadamagessa889
@feadamagessa889 3 ай бұрын
Namshukuru Mungu sana katika maisha yangu, mtoto wangu wa mwisho amebatizwa yupo fomu six alikuwa anakusikiliza mafunzo haya unayoyatoa mara kwa mara, Mungu akusaidie sana
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 3 ай бұрын
Nakuomba afya njema na maisha marefu. God bless you Pastor Mmbaga
@zachariahonga
@zachariahonga 3 ай бұрын
I now have a better understanding of that verse in John 15. Thank you pr., May God keep you humble always before Him
@anchillakagombola93
@anchillakagombola93 2 ай бұрын
Asante Mchungaji kwa neno.Nimebarikiwa sana.Najisikia furaha moyoni.Naendelea kusambaza neno la Mungu kwa familia yangu ili nao wakombolewe kiroho na kifikra.Hakika Mungu ni kila kitu kwa maisha na uzima wetu.Mungu akubariki uendelee kutufunulia maono ya Kristo .
@HappinessAhia-ey1lq
@HappinessAhia-ey1lq 8 күн бұрын
Amen pastor,Nabarikiwa Kila siku na Kila saa na mafundisho yako. Unaniimarisha sana kiroho. Kutoka hapa Washington USA bado naona Niko nyumbani hasa ninapokua nikisikiliza vipindi vyakom
@leonidasbzzojoyhatung3118
@leonidasbzzojoyhatung3118 3 ай бұрын
❤❤somo la leo ni kwa ajili yangu kweliiii.sitokuwa mateka tena popote .barikiwa sana.
@user-jw2er4tt1r
@user-jw2er4tt1r 3 ай бұрын
Pr Mungu akubariki sana, kweli fungu hilo leo ndo nimelielewa nilidhani ninatupwa kumbe ninanyanyuliwa
@agnesmulati3219
@agnesmulati3219 29 күн бұрын
Nashukuru sana mtumishi kwa mafunzo ya uzima wa milele BWANA Yesu Kristo atukuzwe.
@DianaAlfred-nk4ug
@DianaAlfred-nk4ug 11 күн бұрын
Asante Pr nimekuelewa kumbe bado sijajua Mungu nahitaji kumjua zaidi ,umenifungua
@leontinebinlydi9459
@leontinebinlydi9459 3 ай бұрын
Mungu hakubariki mtumishi. Nimebarikiwa Na mafundisho yako👏
@user-zs4mb1oe9k
@user-zs4mb1oe9k 3 ай бұрын
Amina mtumishi kweli nimeona mkono wa Bwana tangu nilipoanza kufuatilia mafunzo yako imani yangu imeimalika sifa zimrudie Abba wetu mbinguni, ninaamini atanivusha katika kiwango kingine maishani sifa na utukufu zimrudie yeye. Barikiwa sana mtumishi pamoja na familia yako. Nakufuatilia kutoka qatar.
@JosephMpangala-wd5mp
@JosephMpangala-wd5mp 3 ай бұрын
Pr ninashukuru sana kwa hubiri lako, kimenipa tumaini jipya, Mungu akubariki sana.
@marynasyieki3783
@marynasyieki3783 3 ай бұрын
Amen amen barikiwa Sana mchungaji Kwa Maelezo Mazuri nmeolewa maana y lifting and moving kutokakwa kitabu cha Yohana 4 5 6,May God bless you 🙌🙌🙏🙏🙏🙏
@AnnaMwailenge-hy3xg
@AnnaMwailenge-hy3xg 3 ай бұрын
Asante Sana kwamafundisho mazuri mungu akubariki Sana ,
@christinamdingi8373
@christinamdingi8373 3 ай бұрын
Pr. Mungu akubariki sana pamoja na Familia yako. Akulinde uingiapo na utokapo, fadhili zake ziambatane nawe, akupe neema katika dunia hii na maisha ya baadae.katika Jina la Yesu kristo amen amen.
@abigaelmwadena2262
@abigaelmwadena2262 3 ай бұрын
Mungu wangu nisadie nizdi kukujua katika maisha yangu na uniondolee kila mawazo mabaya🎉
@paulmmbaga6238
@paulmmbaga6238 3 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia shambani mwake! Tunabarikiwa sana na mafundisho haya!
@geophylinekerubo8452
@geophylinekerubo8452 3 ай бұрын
Ninatamani kukaandani yake bwana hili ninuliwe ,nitengenezwe kwa utukufu wake . Pastor pray for me and family
@IsayaManasd
@IsayaManasd 3 ай бұрын
Usikate tamaa wakati ukifika mungu atakutumia
@rhinakiza
@rhinakiza 3 ай бұрын
God bless you pastor with camera man for posting videos every time and make us to follow you guys 👏🏻👏🏻👏🏻🙏
@speciozakaloli
@speciozakaloli 3 ай бұрын
Shule kweli Asante mtumishi wa Mungu
@agnesmulati3219
@agnesmulati3219 29 күн бұрын
Noted man of God
@IbrahimNyanghura
@IbrahimNyanghura 2 ай бұрын
Mchungaji Asante sana Kwa ujumbe mzuri umenigusa kabisa na nimepona
@everlynekaringa3790
@everlynekaringa3790 2 ай бұрын
God bless you so much infact thro you now am anew creature in christ
@omankadara6418
@omankadara6418 3 ай бұрын
Amina mtumishi ubarikiwe sana
@raheljose9524
@raheljose9524 3 ай бұрын
Bwana endelea kuniinua niweze kuzaa tunda la kiroho🙏🏼
@MamaSamu-ro8zj
@MamaSamu-ro8zj 3 ай бұрын
Amen mch ,ila mch mi ninamatatizo kwenye ndoa angv
@danielmwakatumaakimu1050
@danielmwakatumaakimu1050 3 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi.nimekuelews.
@rodahadhiambo3637
@rodahadhiambo3637 3 ай бұрын
God bless you so much pastor ,we are learning everyday ,I have grown so much I only thank God .
@ombenijuma4986
@ombenijuma4986 3 ай бұрын
Mie ni miongoni mwa watu ambao nilikuwa nalielewa tofauti hilo fungu ila leo nmelielewa MUNGU azidi kukubariki Pr. Mmbaga
@chugawestnews2002
@chugawestnews2002 Ай бұрын
Nazid kukua kiimani ,mungu azid kukufungulia mafundish tofaut 🙏🙏
@marymokaya2020
@marymokaya2020 2 ай бұрын
Aminaa, amazing for the message
@user-nd3rd3xo7x
@user-nd3rd3xo7x 3 ай бұрын
Waiting let the holy spirit help us to understand
@eunicenyandiko1389
@eunicenyandiko1389 3 ай бұрын
Amen hallelujah
@user-cl7yl2in7e
@user-cl7yl2in7e 3 ай бұрын
Pr. Barikiwa sana na Mungu akupe haja ya moyo wako. Mwanangu Grace alianza kusumbuliwa na usingizi mzito wakati wa masomo. Kwasasa Yuko chuo lakini hiyo Hali inamfanya anatamani kuacha chuo aendelee mwaka ujao. Ni tangu dalasa la 5 hadi sasa
@EllenKihanda
@EllenKihanda 2 ай бұрын
Barikiea e mchungaji🙏🏿🙏🏿
@PhinaNGM
@PhinaNGM 3 ай бұрын
Kwa kweli nimepata kitu kupitia hili somo, Mungu anibariki Tu nitoke katika jaribu hili nililoingia mwenyewe Kwa ujinga wangu na sasa nimekuwa mateka Ila NEEMA ya Mungu itaniokoa.
@franciscamoshi7671
@franciscamoshi7671 3 ай бұрын
Havache mtani wakwa Mungu akubariki sana.Unatuinjilisha vizuri sana Ni lazima tumepokea Yesu na kumcha na kumjua sana Yesu na kulishika neno lake moyoni.
@MeryKiangi-rp2zg
@MeryKiangi-rp2zg 3 ай бұрын
Tuombe mungu sana atuwezeshe hatuwezi peke yetu
@YonaMshimi
@YonaMshimi Ай бұрын
Amen
@HabyGeorge
@HabyGeorge 2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji
@beatricenyiro5913
@beatricenyiro5913 3 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa neno hili nimelielewa na nimejifunza mengi
@MeryKiangi-rp2zg
@MeryKiangi-rp2zg 3 ай бұрын
Kumbe tunda la roho ni la muhimu sana katika maisha ya ukristo ohh yes tusaidie
@TinahItinde
@TinahItinde 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@SabatoSteven
@SabatoSteven 13 күн бұрын
Ubarikuwe sana
@user-kf9wh9jj6z
@user-kf9wh9jj6z 3 ай бұрын
Pastor nimebarikiwa sana mungu aendelee kututia nguvu
@deborahtengan207
@deborahtengan207 3 ай бұрын
Amen Amen I'm blessed watching from middle East,
@christinamafuru4784
@christinamafuru4784 3 ай бұрын
Mungu akubariki pamoja na familia yako, masomo yako yamekuwa faraja kwangu yamekuwa yakinibariki sana naomba uniombee nipate mtoto,
@user-tg9zb6jp8z
@user-tg9zb6jp8z 3 ай бұрын
Amène pasta asante kwamafundisho
@EllenKihanda
@EllenKihanda 2 ай бұрын
Nabarikiwa sana
@sylviesaidi5740
@sylviesaidi5740 2 ай бұрын
Nimebarikiwa sn na ilisomo ubarikiwa sn pastor
@HabyGeorge
@HabyGeorge 2 ай бұрын
Asante sana mchungaji
@MeryKiangi-rp2zg
@MeryKiangi-rp2zg 3 ай бұрын
Mungu na akubariki pr mbaga kwa masomo haya
@mlishohadija6923
@mlishohadija6923 3 ай бұрын
Amen ubarikiwe Mtumishi kwa somo vizuri 🙏🙏
@NtaweAndre-lv9sb
@NtaweAndre-lv9sb 3 ай бұрын
Asante Mungu kwa majibu sahihi kupitia mtumishi wako
@user-ou4un3gs9d
@user-ou4un3gs9d 3 ай бұрын
Amina nimelielewa somo Mungu aendelee kuku bariki mchungaji
@user-kf3pq5ur1s
@user-kf3pq5ur1s 3 ай бұрын
AMINA ASANTE SANA MTUMISHI KWA NENO HAKIKA UJUMBE MZURI UMENIFUNGUA KTK MAJARIBU.
@HildaOlomi
@HildaOlomi 3 ай бұрын
Nimekuelewa sana Paster, Hakika tunabarikiwa sana.
@user-be5zz3qg9q
@user-be5zz3qg9q 2 ай бұрын
Pr. ubarikiewe sana kwa somo zuri. by zephania muyinga
@MichaelKaingu-pf3vn
@MichaelKaingu-pf3vn 3 ай бұрын
Hapo umesema pr nmekuelewa sio kutolewa ni kuinuliwa be blessed pr
@user-jn8th1tw8h
@user-jn8th1tw8h 3 ай бұрын
Pr nashukuru kwa somo nimebarikiwa sana naomba uniombee biashara. yangu niliweka wakfu sasa inazidi kupotea naitwa haward muyinga njombe
@rechaelnjeri3299
@rechaelnjeri3299 3 ай бұрын
Mungu nimwaminifu kila wakati nashukuru maana amenitedea kazini maishani kifamilia nashukuru Mungu sanaa amenitedea pia anaweza kutedea pia
@RoseMshana-mn9zm
@RoseMshana-mn9zm 3 ай бұрын
Asante kwa somo ambalo linanipa amani moyoni
@MariamBusele
@MariamBusele 3 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji nawoote wamahubiri tv MUNGU awabariki 🙏🙏
@YuniceLameck
@YuniceLameck 3 ай бұрын
Kwakweli pr, nabalikiwa sana na mahubiri yako yananipa faraja barikiwa sana
@alonmusse4729
@alonmusse4729 3 ай бұрын
Nabarikiwa sana.lakini naomba mchungaji niombee naumwa madonda ya tumbo yananisumbua sanaa
@lucykihara4638
@lucykihara4638 3 ай бұрын
Amina Mtumish.Being blessd nikiwa Nbi
@veronicawilsonmbwambo1054
@veronicawilsonmbwambo1054 2 ай бұрын
Barikiwa
@jamesndanzi
@jamesndanzi 3 ай бұрын
kutoka Dododma...nimekuelewa vizuri mchungaji . barikiwa sana.
@user-ps7fy2oj7i
@user-ps7fy2oj7i 3 ай бұрын
Mchùngaji Mungu akubariki sans tunabarikiwa kuroka Burundi tunabalikiwa sana
@tsongonadine386
@tsongonadine386 3 ай бұрын
Amena
@SalahChoya
@SalahChoya 3 ай бұрын
Asanteni
@ElizabethMasambe
@ElizabethMasambe 3 ай бұрын
Nikumbuke kwenye maombi ninasumbuliwa na miguu pia nashukuru SoMo hili Lina nibariki asante mchungaji Kwa SoMo zuri
@ElizabethMasambe
@ElizabethMasambe 3 ай бұрын
Nimeomba Kwa ajili ya kuponywa miguu nimeamini nimeponywa Kwa jina la Bwana Amina😅
@shaniachanceline2751
@shaniachanceline2751 3 ай бұрын
Amen, amen, amen mubarikiwe Sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ndetitave466
@ndetitave466 3 ай бұрын
Amina nimekuelewa mungu akubaliki Leo ndo nimeelewa
@user-qw1wp7vc5i
@user-qw1wp7vc5i 3 ай бұрын
Pr . Mimi ni Eunice from Kenya naomba uniombe nimevamiwa na nguvu za Giza mtoto wangu aliingia Kwa luminati naimetuanga for so long pr. naomba uniombe Kwa uchumi yangu imevamiwa ikiendatu kusimama kuna matukio inatokea na biashara inarudi from zero niombe MTU wa mungu nimekutafuta sana
@DismasPaulo
@DismasPaulo 3 ай бұрын
Nasema amein ktk Bwana
@mwambakibucheche1119
@mwambakibucheche1119 3 ай бұрын
Nimebarikiwa sana Mungu akubariki sana
@onditifam.1188
@onditifam.1188 3 ай бұрын
Amen!!!🙏
@mussacharles5311
@mussacharles5311 3 ай бұрын
Pr divd mmbaga, nisaidie mimi sitaki kuaguliwa ila mama angu analazimisha niaguliwe na wa ganga wa kienyeji.
@user-fg4ro8ts2o
@user-fg4ro8ts2o 3 ай бұрын
Nashukulu mahubili mimi niko zambia naomba ya mbaga kunawagonjwa
@DotiFwihiro
@DotiFwihiro 3 ай бұрын
Barikiwa Mtumishi,mafunzo yako yamenikuza sana kiroho
@user-ep9by3ui1v
@user-ep9by3ui1v 3 ай бұрын
🤔uimidiwe bwana wa majeshi 🙏🙏 nashukuru saana mtumishi wa mungu 👋
@stevensamwel4854
@stevensamwel4854 3 ай бұрын
Nakuelewa sana TU, Bwana akurehemu tutaendelea kunywa maziwa taratibu tutashiba TU.
@rechaelnjeri3299
@rechaelnjeri3299 3 ай бұрын
Am really blessed to learn
@user-wg2gd2nl6c
@user-wg2gd2nl6c 3 ай бұрын
Nimeelewa. Vizuri barikiwa sana
@GideonSulle
@GideonSulle 3 ай бұрын
Nabarikiwa pr nipo ngorongoro
@jacintasyombua7512
@jacintasyombua7512 3 ай бұрын
Pastor naitaji maombi yako mandeni yamenifunga kabisa kabisa please your prayer
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 3 ай бұрын
Mpendwa maombi hayaondoi madeni ulipe tuu
@AngelineSaidi
@AngelineSaidi Ай бұрын
Nimekuelewa
@kadzocharosilver411
@kadzocharosilver411 25 күн бұрын
Nimeelewa
@MariamBusele
@MariamBusele 3 ай бұрын
Mimi ndio nnapambana nahasira niombee yesu anitoe kwenye huo uchafu
@mbelemmunga-ps4df
@mbelemmunga-ps4df 3 ай бұрын
Mungu akubariki.
@MeryKiangi-rp2zg
@MeryKiangi-rp2zg 3 ай бұрын
Bwana atusaidie tuweze kuzaa matunda
@roydzilah7329
@roydzilah7329 3 ай бұрын
Amen amen
@user-of9kh1dg5n
@user-of9kh1dg5n 2 ай бұрын
Songa mbele pr
@ahaziamtemela-ys5et
@ahaziamtemela-ys5et 3 ай бұрын
Amina mungu akubariki
@catherinendaro4670
@catherinendaro4670 3 ай бұрын
Ñi kweli kabisa barikiwa.
@angelnziajose7655
@angelnziajose7655 Ай бұрын
Nimekuelewa Pr wakulima wakiona pia limelalia mchanga analiinua na kuweka mti uegemee ili lipate nafasi ya kuzaa
@rizikimakupe-tw2sj
@rizikimakupe-tw2sj 3 ай бұрын
Nimeelewa ubarikiwe muchungaji
@tatuzuberi2233
@tatuzuberi2233 3 ай бұрын
Nimebarikiwa🙏🏾
SILAHA KUBWA YA KUVUNJA MADHABAHU || PR DAVID MMBAGA
56:10
Ikwabe Injili tv
Рет қаралды 18 М.
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 47 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 10 МЛН
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН
#OMBI LILOLETA USHINDI ||PR.MMBAGA ||SEH 2
52:46
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 18 М.
MAKOSA UNAYOYAFANYA WAKATI WA MAOMBI YAKO // REKEBISHA HARAKA
12:45
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 212 М.
UDANGANYIFU UNAOVUTIA WENGI
8:28
MAREJEO TV
Рет қаралды 491
Sililiza Kisa Cha Baba Huyu Utajifunza Kitu | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro
7:18
#SIRI HII INALETA TABASAMU KWA MUNGU| PR.DAVID MMBAGA|
1:47:38
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 21 М.
🔴#LIVE: 29/12/2022 - OMBA NGUVU HII IWE JUU YAKO: PR. DAVID MMBAGA
1:02:20
NGUVU YA MSALABA WA KRISTO MAISHANI || PR. DAVID MBAGA
51:52
Pizzo Online TV
Рет қаралды 16 М.
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 47 МЛН