Ndacha ubarikiwe, umefanya kazi nzuri sana. Mrudishe katika ukristo.
@budumahmud10083 ай бұрын
Mashallah omosh mungu ampe imani hiyo yakuamini mung mmoja bila ka na mwenzke
@BebanMbabe-eh3zm3 ай бұрын
Duh kweli watu wanapotezwa tuwe makini kusoma vitabu na kuielewa biblia ili tuweze kumngoje Kristo Yesu tumaini letu
@zuhraall023 ай бұрын
Haki salama za omosh ooh walimundanganya kweli😂😂😂
@IslamicIQ103 ай бұрын
Ndacha ukona ukora mingi sana , soma next verse 104
@jumamnyonge21483 ай бұрын
Mtafu sheikh Ali karanja uone akiwanyorosha
@user-qk8ny9bx3s3 ай бұрын
Allahu Akbar
@jumamnyonge21483 ай бұрын
Yesu mwenyewe alikuwa anavaliya kanzu Na alisema tujifunze kwake wee suit umejifunza kwa mzungu kutoka Michigan American Yesu hakufikaga uko acheni ujinga wasabato
@jumamnyonge21483 ай бұрын
Moto wakuwaka unawangoja
@jamesnjiru59283 ай бұрын
Kanzu na suit ni nguo tu mavazi yalio sawa yako moyoni mwako, tabia na mienendo yako
@jumamnyonge21483 ай бұрын
@@jamesnjiru5928 nisawa
@jumamnyonge21483 ай бұрын
Ila ukiigia vile mitume walikuwa wanavaa si mbaya
@JudyPaul-ny2nh3 ай бұрын
Anataka wake wengi
@jumamnyonge21483 ай бұрын
Kwanza yesu hakuwa mkristo wala msabado Dini ya Mwanamke kutoka Michigan yesu hajuwi uko
@rwabu3 ай бұрын
Hongera kwa kubuni swali... Ila Wa Kristo wote duniani hakuna ambaye anafikiri hivyo ambavyo unafikiria!!! Vua Miwani ya kiislamu unapoutazama Ukristo!!! Hautauliza maswali ya aina hiyo tena!!!
@jumamnyonge21483 ай бұрын
@@rwabu towa verse hapa yesu alikuwa mkristo ili Mimi na wewe tuwe nani atavua miwani na si story maandiko hapa aliingiya kanisa Gani la kisabato ama catholic ama Anglican hizi ndiyo kanisa kubwa
@jumamnyonge21483 ай бұрын
@@rwabu mkristo wa kweli kama wewe lazima utapinga maneno ya Mungu then ya bible alafu ya Yesu lazima ukataye uyo ndiyo mkristo wakweli, mwambiye ndacha akupe iyo verse
@trutharchaeologist3 ай бұрын
Yesu atakuwaje mkristo kama yeye ndiye Kristo? Wewe wajua maana ya mkristo?
Duh huyu jamaa Mungu amsamehe kweli 😂 shetani ana nguvu sana
@mwoso3 ай бұрын
Huyo Omosh hako serious! Inafaa akae chini ajichunguze.
@Mudi-zk2cy3 ай бұрын
Omosh is on the right track.
@daudimichael73383 ай бұрын
Unamdanganya, amepotea
@nicksnicks62013 ай бұрын
He is lost
@user-ls1ix4rd8i3 ай бұрын
Wasilamu poleni hamjui mfanyalo
@jumamnyonge21483 ай бұрын
@@user-ls1ix4rd8i ninyi ndiyo mna jielewa kweli this is week yesu ni mwana wa Mungu ndiyo next week Yesu ndiyo Mungu ndiyo
@abdirashidsuraw33803 ай бұрын
Ndacha danganya wakiristo sio sisi.
@user-ls1ix4rd8i3 ай бұрын
Nyie wasilamu ndio mwadanganywa poleni!
@jumamnyonge21483 ай бұрын
@@user-ls1ix4rd8i Kwa lipi
@jumamnyonge21483 ай бұрын
@@user-ls1ix4rd8i nikulize wewe yesu ni kristo ama ni mkristo swali hilo
@jumamnyonge21483 ай бұрын
Ili nione Kama wewe huja danganywa uko right
@Earth-Final-Alarms3 ай бұрын
@omosh one hour
@lawrenceoyugi74603 ай бұрын
Woooii maskin Omosh 😅😅😅
@jumamnyonge21483 ай бұрын
Wewe Paulo Niko na video yako ukitowa siri vile iyo haya ya shetani uwa mnapindisha mdomo umesahau wewe mwenyewe na Mdomo wako
@henryosoro76962 ай бұрын
🤣🤣🤣
@khalfansaid47563 ай бұрын
Ww ndacha hunaakili unaendaje kumuuliza mtu Ambae amesilimu siku2 tu zilizopita ataijuaje quraan mbona ulipo pigwa maswli na Dr sule umeshika najjjjjjeeenngga hhooja unakimbia kujibu
@johnwamaarts63123 ай бұрын
Mbona unakubali kitu haukijui? Hyo si n ujinga ...lazima ufanye research alafu uamini Kama una Imani pofu ,kesho utakua unaabudu shetani
@user-cf3fe3cu8v3 ай бұрын
Sasa kama hajui amesilim nn sasa wakat hajui
@GatekaNene3 ай бұрын
Khalfansaid Mbona ma shekhe wenu uwaga wanauliza ma swali watu ambao hawajuwi cocote kwenye maandiko matakatifu na wakikosa jibu wanawasilimisha hapo hapo sasa wewe ndo unaona kuwa Ndacha kafanya kosa lakini munayo yafany nyinyi hamuyaoni sindiyo?? Aceni izo waislamu tit for tati bro
@tyivbra3 ай бұрын
Unamuongelea Dr.Sulle Kilasiku mnampiga vita ila waislamu bwana😂
@franciscomtambakuluca28303 ай бұрын
Dr sule nae ata ajuwi kitu
@jjtm1643 ай бұрын
Alidanganywa
@jumamnyonge21483 ай бұрын
Nanani
@jumamnyonge21483 ай бұрын
Kwani hawa wasabato hapo hawa wadanganyi
@jjtm1643 ай бұрын
@@jumamnyonge2148 kile wanaongea ni kweli
@josephoduor62113 ай бұрын
Je Muhammad bado ni Mtume ama alikuwa Mtume ?
@jumamnyonge21483 ай бұрын
Omosh ameingiya Uislamu juzi tu hata haja maliza kusoma ati unaenda kumuliza maswali akili zenu ziko sawa kweli wasabato
@barackamosi41163 ай бұрын
Mnafurahi kwamba mmempata mtu Alie kubali kufuga majini mwenzenu na idadi pia ya watu wa jeanamu idadi imeongezeka ndo Mana shehe ubwabwa kafurahi sana
@jumamnyonge21483 ай бұрын
Wapi iyo verse inasema hivyo Wacha kusikiza chenye hakiko Kwa maandiko
@user-vv5hq9mc1k3 ай бұрын
Ndacha wewe nakutaka uje lolgoria n unipatize ama nikusilimishe.