OMOSHI ONE HOUR AMEPATIKANA LEO, JACARANDA

  Рет қаралды 20,260

WARNING OF LAST DAYS

WARNING OF LAST DAYS

Күн бұрын

WARNING OF LAST DAYS, ni channel ya kujulisha watu ukweli na kitabu cha mwenyezi mungu,nakutagaza ujumbe wa malaika wa tatu(ufunuo 14:6-5)_lego letu nikutetea Neno la MUNGU yaani bibilia , ili tuweke wazi Imani ya kweli,pia kuwajulisha kabila zote na jamaa na dunia zima ujumbe wa malaika wa tatu yaani ujumbe wa mwisho

Пікірлер: 106
@elizabethnzula6704
@elizabethnzula6704 4 ай бұрын
Na kweli watu hawasomi maandiko vizuri team dacha MUNGU MWENYE UWEZO WOTE azidi kuwainuna sababu wengi wako makanisani nawanapotelea umo na ndio wamezama kabisa na awajui watatoka vipi. ni huruma sana maombi yanahitajika kwa wingi maana wengi ni mateka ..MUNGU ATUURUMIE SANA
@mjombawallace4966
@mjombawallace4966 4 ай бұрын
Ndacha amefanya ninatoka Kwa Bornagain 👋👋
@njorogerobert7405
@njorogerobert7405 4 ай бұрын
1st Corinthians 16.2 talks about Sunday. 2 colossians 16_17 don't judge. Acts 20:7 1st Corinthians 16:2. Day doesn't matter
@samxx411
@samxx411 4 ай бұрын
Mhh yaani wewe ndio unao Ndacha anasoma vyema maandiko?? hilo ndio tatizo lenu
@kennedysimiyu6786
@kennedysimiyu6786 Ай бұрын
Mungu awabariki Sana watumishi wake .
@nicholaskipkemboi2535
@nicholaskipkemboi2535 4 ай бұрын
Ndacha ni kweli mungu alipumzika swali lake je mungu alichoka? Jibu Isaiah 40:28...mungu hachoki Wala hazimii safi kazi safi ndacha
@Adm9464
@Adm9464 4 ай бұрын
Huyo ni Mungu feki. Bibilia inasema mwenyezi mungu ha lali, wala hazinziyi. The world will collapse if God gets a break to chill just like his creations.
@LuganoKibonaamenikiboko
@LuganoKibonaamenikiboko 2 ай бұрын
Ujena kwetu tunduma mwalim nakubali❤
@nationreelz
@nationreelz 4 ай бұрын
Mwalimu Mungu akubariki.tunakuombea huweze kupenya kila mahali upande mbegu ya neno la Mungu
@Elizabethsidi-b9j
@Elizabethsidi-b9j 4 ай бұрын
Kazi safi mwalimu wetu Mungu WA mbinguni akubariki
@jobgagi227
@jobgagi227 4 ай бұрын
This is true gospel Jesus is coming soon
@OmariAbdi-c9k
@OmariAbdi-c9k Ай бұрын
Yaani mungu wa ndacha yaani yesu anakuja kuoa maajabu ya ukristo na wakristo.
@everlynewanyama
@everlynewanyama 2 күн бұрын
Ushindwe kwa jina la Yesu na hayo majini yenu yaliyosilimu
@PeterObiri-wj1iz
@PeterObiri-wj1iz 4 ай бұрын
The best kukuru kakara uliza ujibiwe Ndacha . This one is fine or amongst my best. Hapo Jacaranda rudia every month at least 2 timez uniokolee my boyz. Meanwhile I will support you financially when you will go back to Kisii bro. I followed all mkiwa Congo and now am waiting upatize daktari Sule this next June
@AlexMungathia
@AlexMungathia 4 ай бұрын
Amen
@LongosiYusufu
@LongosiYusufu 9 күн бұрын
The true baptism it is in the name of Jesus Christ
@rajinkalisia1730
@rajinkalisia1730 4 ай бұрын
Amen. Ubarikiwe sana Ndacha
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 4 ай бұрын
Hawezi barikiwa juu ya hiyi hapa Yemia 50:6 soma ndiyo nikupe sababu hawezi barikiwa juu umesema
@solomonongoya9503
@solomonongoya9503 4 ай бұрын
Barikiweni walimu wetu kwa kutetea ujumbe
@estachkm824
@estachkm824 4 ай бұрын
Vizuri sana Mwalimu Ndacha
@johnnandemu5605
@johnnandemu5605 4 ай бұрын
As much as Omosh amesilim I think the approach Mwalimu ametumia kumuhubiria si nzuri viiile.inahitaji hekima sana kujadili na mtu kama huyu na kumshawishi aache uislamu na kuufuata ukiristo
@andrungure4689
@andrungure4689 4 ай бұрын
He is among the audience. Most probably he is following keenly
@FaithKathure-x9u
@FaithKathure-x9u 4 ай бұрын
Mungu hatafuti wenye elimu brother wajidangnya sana
@Onchieku-cp8wd
@Onchieku-cp8wd 4 ай бұрын
Wewe hauna uwezo wa kubadili mtu ila Mungu, kazi ya wahubiri ni kufikisha ujumbe wenye uamuzi ni wale wamefikiwa na ujumbe kuamua....
@johnragwel6931
@johnragwel6931 4 ай бұрын
wewe fanya hiyo kazi. Mtafute na utumie hekima yako
@johnnandemu5605
@johnnandemu5605 4 ай бұрын
@@johnragwel6931 kama huna kitu yakusema si unyamaze TU..
@evermtuku
@evermtuku 4 ай бұрын
AKIKA NDACHA ANAFAA KUSHIKWA MKONO HADI NA SERIKALI MAANA ILE ELIMU MUNGU AMEMPA YAFAA IFIKIE KILA MTU KABISA
@mjombawallace4966
@mjombawallace4966 4 ай бұрын
Bwana ukweli Ndacha amefanaya Nika hama kutoka Kwa Pentacostol church God bless this man 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@Khalidmwangwai4651
@Khalidmwangwai4651 4 ай бұрын
Akuna elimu hapo nikugeuza maandiko
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 4 ай бұрын
Kwenye umetoka penye umeenda ni some
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 4 ай бұрын
Ati anafaa nini hizo maongo anasema hapo wee some bible mwenyewe usisomewe
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 4 ай бұрын
Iyo Ufunuo wa Yohana soma iyo 14:12 uone Kama kunapahali imeandikwa kanisa la yesu
@shukriabdi-l3n
@shukriabdi-l3n 4 ай бұрын
Omoosh allah akuhifadhi
@salimomar-n7s
@salimomar-n7s 4 ай бұрын
Uislamu ndio dini ya haki ndacha utapta tabu sna
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 4 ай бұрын
Atapata sana hao ni wanafriki wanamuabudu Mwanamke alifiya Michigan Amerika hata yesu hakufikaga uko ila wamevaa ngozi ya yesu
@Onchieku-cp8wd
@Onchieku-cp8wd 4 ай бұрын
Uislamu una haki gani ikiwa Muhammad alikuja uso kwa kipofu alipokuja ili amfundishe akakataa?
@OmariAbdi-c9k
@OmariAbdi-c9k Ай бұрын
Makafiri watakua kuni wa moto wa jahanam
@everlynewanyama
@everlynewanyama 2 күн бұрын
Wewe enda uabudu hio sanamu yenu ya makkah polepole
@HezekiahDaniel-e4j
@HezekiahDaniel-e4j 4 ай бұрын
KAZI zuri
@RossaRutasha
@RossaRutasha 4 ай бұрын
Nimekuona kijana wetu Paul upo nimekukubari usitoke kuachana na Ndacha tusipokuona kwa Ndacha haupo hatusikilizi
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 4 ай бұрын
Sasa iyo ni ushabiki juu hata Paul akikudanganya utakubali tu juu u ampenda
@ArmandMananira
@ArmandMananira 4 ай бұрын
Nauliza, mitume gani alibaza kufuatana Na matayo 28:19? Japo kuwa n'a roho mtakatifu
@PatrickCommerçant-c9p
@PatrickCommerçant-c9p Ай бұрын
Kwelimze huyu niwa bichekesho mze uishi kwili
@mjombawallace4966
@mjombawallace4966 4 ай бұрын
Huyo mwizi kifo chake kilokuwa kabla kufa kwa yesu nikama walie kufa zamani
@SamsonHumbe
@SamsonHumbe 4 ай бұрын
Duuuhh jamaa ni mbishi balaa.
@jimmyclayo4152
@jimmyclayo4152 4 ай бұрын
Mwenye link ya group la warning of last day anitumie
@warningoflastdays254
@warningoflastdays254 4 ай бұрын
Drop naba
@justine-2707
@justine-2707 4 ай бұрын
Jogooo n adhana nn y kwnza swali kweli
@callennyabonyi5580
@callennyabonyi5580 4 ай бұрын
Wale wanatembea wakitangaza uong wako wp ,wapewe elimu ya bure
@hirammbugua7593
@hirammbugua7593 4 ай бұрын
Si huyu afuate shetani basi
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 4 ай бұрын
Wee ndacha muongo bible usiongeze wala kumpunza utapata mapigo iyo yohana hakuna pahali imeandikwa kanisa la yesu
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 4 ай бұрын
Ufunuo wa Yohana 14:12 Hapo ndipo penye subira ya watakatifu hao washikao amri za Mungu na Imani ya Yesu
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 4 ай бұрын
Hapo hakuna jina kanisa wee Muongo acha Imani za Hellen G white ndiyo unaleteya watu hapa
@AlbertMakori-u2l
@AlbertMakori-u2l 4 ай бұрын
Wewe unawaendea watu ambao kabla hajasilimu mlikua naye lakini baada ya kusilimu ndo unangangana kumtafuta ,haki wewe ndacha ni kafiri mwenyewe
@georgewere622
@georgewere622 4 ай бұрын
Wewe si Mkristo.
@abubakarhajjabubakarhajj1252
@abubakarhajjabubakarhajj1252 4 ай бұрын
Wacha kudanganya watu wewe mpuzi
@BernardChesoli-rj3nw
@BernardChesoli-rj3nw 3 ай бұрын
Wewe ndiyo mpuzi
@abubakarhajjabubakarhajj1252
@abubakarhajjabubakarhajj1252 3 ай бұрын
@@BernardChesoli-rj3nw wewe hujielewi Pole sana
@isaacowino405
@isaacowino405 3 ай бұрын
Anajadili kutumia maandiko sasa mbona unamtusi basi wwe pia tufundishe na Andiko
@mahmoudmohamed-w3l
@mahmoudmohamed-w3l 4 ай бұрын
Uyo ndacha anatafuta wale ambao hawana elimu akuje kwa watu Kama Mimi nimfunze bibilia
@warningoflastdays254
@warningoflastdays254 4 ай бұрын
Si ukuje JACARANDA GROUND
@bernardndolo1998
@bernardndolo1998 4 ай бұрын
Omosh alifuata kanzu na pilau
@Adm9464
@Adm9464 4 ай бұрын
Anyone who can tell good and bad , someone will feel the benefit and beauty of Islam in the first few hours of taking the shahada and Omosh just like the millions that convert to Islam globally feel that way . No one can force someone to faith first and foremost. Uislamu is straight forward, hakuna kona kona Kama kwenu where you get confused with God and Jesus and the role of each . Na hakuna pilau bure ndugu. Uislamu ni kuabudu na kufanya kazi sana. Hakuna ku pomzika unless you are RAO, Ruto ama Kenyatta family knowing vile wa Kenya wana njaa.
@Khalidmwangwai4651
@Khalidmwangwai4651 4 ай бұрын
Wew n Kama akili hauna pilau hupikwa msikitini kweli
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 4 ай бұрын
Hata Hellen G white Aliyeanzisha Sabato Ni Freemason Mkumbwa nandiye nyinyi mnamuabu iyo si niushetani
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 4 ай бұрын
Mi ushanga nawasabato mnaabudu shetani alafu mnataka watu waje Kwa sda ndiyo mnatumiya Uislamu vibaya hayo maneno unayatowa Kwa Hadith yatowe Kwa Quran ndiyo muongozo wa waislamu wacheni uchetani
@tumainjulius2311
@tumainjulius2311 4 ай бұрын
Sabato siyo ya Ellen White,,its belongs to Elohim.muumbaji wa mbingu na dunia.
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 4 ай бұрын
@@tumainjulius2311 wewe hakuna kitu unaleteya juu ya sda mulize ndacha ama nenda google usome history ya kiongoz wa sda nani uone Kama utabata jina Elohim
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 4 ай бұрын
Nenda google such muanzilishi wa sda dunia nzima uone Kama imeandikwa Elohim
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 4 ай бұрын
​@@tumainjulius2311ukipata neno Elohim takupa ingine nakama wee ni msabato utahama
@ezekielmwamba9106
@ezekielmwamba9106 4 ай бұрын
Amen Hakika Jacaranda kuna njaa ya neno la Mungu.
@ImaniPeter-r6r
@ImaniPeter-r6r Күн бұрын
Watu wanabishana sana kwa habari yadini,eti dini yakwelinini?dini yakweli nikuwaona wajane na yatima.
@everlynewanyama
@everlynewanyama Күн бұрын
Hawa watu wa jacaranda kweli ni siasa inawapeleka huko bt hawajui lolote
@pastorcharlesnderelimana4950
@pastorcharlesnderelimana4950 4 ай бұрын
NDACHE YOU ARE LYING ON BAPATISM
@whatmakesthisthingsimpossi7487
@whatmakesthisthingsimpossi7487 4 ай бұрын
ako jacaranda peleka mwili hapo upate elimu ya bure
@pastorcharlesnderelimana4950
@pastorcharlesnderelimana4950 4 ай бұрын
@@whatmakesthisthingsimpossi7487 hahahahaahahaha! There people who have no this life and the life to come. You must repent first or go to hell.
@Adm9464
@Adm9464 4 ай бұрын
Huyu pastor ni mjinga. Bibilia inasema ku describe Kanzu Kama mvazi mtakatifu. I have never won it myself as it is not a must to wear it. Just say the truth though.
@nyaungaosiemo9341
@nyaungaosiemo9341 4 ай бұрын
Mungu akusamehe
@everlynewanyama
@everlynewanyama Күн бұрын
Ni Shetani Muhammad aliyemsilimisha ndo anaongea ndani yako
@Adm9464
@Adm9464 Күн бұрын
@@everlynewanyama give us evidence. Hiyo ni maoni yako. You can’t be lying to people all the time . We are in the digital world where everyone can investigate and distinguish the truth from the lies. Toa kwa bibilia nzima Ukristo ni dini? Or Bibilia ni kitabu cha mungu, nabii gani ka pewa, mwaka gani ka pewa, nchi gani ka pewa.
@farajapeasonmagota8226
@farajapeasonmagota8226 4 ай бұрын
Unauliza unamtusi mtumish wewe
@salimomar-n7s
@salimomar-n7s 4 ай бұрын
Omoshi asikudanye hyu kafiri
@AlbertMakori-u2l
@AlbertMakori-u2l 4 ай бұрын
Kama kuna mtu mjinga kwa wakristo ni ndacha kwa sababu ukristo si dini na anaunga mkono tena kummbafu wewe
@GilesKhamis
@GilesKhamis 4 ай бұрын
Wewe umechoka sana, uislam hautoshi kukupeleka mbinguni
@msemakweli243
@msemakweli243 3 ай бұрын
Wewe ndo hupo sahihi
@maheeflower2691
@maheeflower2691 4 ай бұрын
All these is in the name of getting rich.hawa wote ni wapumbavu na wamepungukiwa na maarifa.
@hirammbugua7593
@hirammbugua7593 4 ай бұрын
Omosh anafikiri happ ni jubilee
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 4 ай бұрын
ww ndacha msenge, wasema ww ni mkristo andiko gn ktk biblia inosema ukristo ni dini?? Jibu hilo usidanganye watu pumbavu zako
@msemakweli243
@msemakweli243 3 ай бұрын
Na wewe nitajie muisilamu 1alifanikiwa kupata pepo
@msemakweli243
@msemakweli243 3 ай бұрын
Usije kuwa wewe ndo msenge lakn Dini yenu inawaruhusu kutukana watu
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 3 ай бұрын
@@msemakweli243 ht kuuliza kwenye hujui kupata pepo au kuingia peponi?
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 3 ай бұрын
@@msemakweli243 na ww ndo walewale nyote mashoga
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 3 ай бұрын
@@msemakweli243 usikasirike kiongoz wenu wa ukristo papa karuhusu ushoga 😂😂😂
@loner_wolf
@loner_wolf 4 ай бұрын
Upumbavu mtupu ,Omosh kasoma lini Quran hata uwekenaye muhadhara na kujadiri vitabu ? Hii inaonyesha Ndacha kashindwa sana sasa anatafuta asiyejua ili ashinde .
@michaelkarisa5270
@michaelkarisa5270 4 ай бұрын
Ata waislam pia hufanya vivyo hivyo, stick to your lane.
@BernardChesoli-rj3nw
@BernardChesoli-rj3nw 3 ай бұрын
Wewe umeshinda sule
@jjtm164
@jjtm164 4 ай бұрын
Thanks to God in my previous comment nilitaka Omosho apatikane sasa namtaka nuru okanga
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 4 ай бұрын
Wapi yesu alifundisha salamu hiyo Bwana yesu asifiwe
@franciskiio9980
@franciskiio9980 4 ай бұрын
Wewe dhehebu yako ni gani,ama ni ubishi
@justine-2707
@justine-2707 4 ай бұрын
Jogooo n adhana nn y kwnza swali kweli
JACARANDA GROUND DAY 2 UJUMBE UNAEDELEA NA KICHEKO PIA,USIPITWE NA HII🤣🤣
4:19:23
LIFEHACK😳 Rate our backpacks 1-10 😜🔥🎒
00:13
Diana Belitskay
Рет қаралды 3,9 МЛН
когда не обедаешь в школе // EVA mash
00:57
EVA mash
Рет қаралды 3,1 МЛН
Will A Guitar Boat Hold My Weight?
00:20
MrBeast
Рет қаралды 242 МЛН
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 1,8 МЛН
JACARANDA GROUND DAY 3 UKWELI UNAEDELEA KUHUBIRIWA
3:38:13
WARNING OF LAST DAYS
Рет қаралды 9 М.
Ujumbe wa wakati wetu/ Ujumbe wa malaika watatu/ 3angels messages by Bro. Nicholas Kinyili
41:42
Divine Harvesters Ministers Kenya
Рет қаралды 1,1 М.
QURAN sio kitabu cha Mungu
1:36:39
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 6 М.
MANABI WA UOGO BY NDACHA (KASARANI DAY 5)
2:07:08
WARNING OF LAST DAYS
Рет қаралды 10 М.
MASWALI NA MAJIBU KUHUSU MUNGU WA BIBLIA // BUKAVU, DR CONGO
31:55
SAUTI NYIKANI MINISTRY
Рет қаралды 7 М.
USTADHI SHAFII USO KWA USO NA MCH. NDACHA KISA SABATO NA MAJINI
35:59
Hatimae mazinge abatizwa tanga #Debate #tangamjini #shalbaonlinetv
21:37
SHALBA OnlineTV
Рет қаралды 360 М.
LIFEHACK😳 Rate our backpacks 1-10 😜🔥🎒
00:13
Diana Belitskay
Рет қаралды 3,9 МЛН